ISHU YA AZIZ K YAIBUA MAZITO,GB64 ADAI UKIUWA KWA UPANGA UTAKUFAKWA UPANGAAWATAKA YANGA WAVUMILIE TU

Ойын-сауық

#ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam

Пікірлер: 164

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi17 күн бұрын

    Eng Hersi Said amekujaza mimba kudadeki

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania632617 күн бұрын

    Hela ya Chama tunayo na Aziz tunayo tajir yetu cyo chupli,chupli😂

  • @geraldmbengwa6381
    @geraldmbengwa638118 күн бұрын

    Wewe kama huvuti bangi basi utakuwa chizi, Aziz ki bado yuko sana

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile18 күн бұрын

    Aziz ki kuja Simba ni ndoto gb 64 we waokote Wana Simba wengine ila Mimi umenikosaaaa

  • @kitaraabdi9529

    @kitaraabdi9529

    17 күн бұрын

    Mtasema tu tajiri kaludi

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    17 күн бұрын

    Tajiri yupi unaemsema?muda ule alikuwa wapi?hapo mnajifariji kupitiliza​@@kitaraabdi9529

  • @HelenAllySorirey
    @HelenAllySorirey18 күн бұрын

    Kweli nimeamini makolo wazee wakipayuka

  • @EliasFijabo-pt2zb
    @EliasFijabo-pt2zb17 күн бұрын

    Mechi ya costa ilikuwa mbombo ngafu Azizi ki aliiamua mechi dah gb aisee mbombo ngafu musimu ujao yanga wajipange mbombo ngafu

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten755217 күн бұрын

    MASHABIKI WA MAKOLO NI MAMBUMBUMBU WANAAMINI UONGO KULIKO UKWELI,NDIO MAANA YANASUKUMWA NDANI,🤣🤣🤣🤣🤣🤣😛😛😛😛😛😛😛😛

  • @mwanangusana
    @mwanangusana18 күн бұрын

    😂😂😂😂. Generator la uongo ..... kelele nyingi kiboko yao ni Mangungu

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g18 күн бұрын

    Mashabiki wasimba ni mazwazwa wa karne basi hapo kwa akili zao zakupayuka wanaamini kwamba nikweli ki anakwenda simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lucymsheshi5871

    @lucymsheshi5871

    18 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 yani kaa wanywa gongo 😂😂😂😂😂

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    18 күн бұрын

    Mnawashwa eeeh!!!???

  • @user-uj5wg9mm2t

    @user-uj5wg9mm2t

    17 күн бұрын

    Hapo hajasema km anaenda Simba acha uchiz au kiswahili sio lugha yko huelewi hapo

  • @donkhan6841

    @donkhan6841

    17 күн бұрын

    Hawajui kwamba ni swala la branding na marketing. YANGA ndio timu pekee inayojua kucheza na akili za watu

  • @yonaivan

    @yonaivan

    17 күн бұрын

    Kapimwe akil ww, kwan kuna mtu aliamin chama anakwenda utopolon, ww subir majibu tu

  • @JofreyNyelo
    @JofreyNyelo18 күн бұрын

    Ww utachekea chooni kesho tu!

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini17 күн бұрын

    Kuanzia leo sikuamini tena mbwaaa we

  • @reggezawady4994
    @reggezawady499417 күн бұрын

    Yupoooo

  • @khalidjmaftah9449
    @khalidjmaftah944916 күн бұрын

    Yaaan anajiona ana akili sanaaa kuliko Hersi😂

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu12818 күн бұрын

    Waweke sawa Enginiaaaaa😂😂😂😂

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp17 күн бұрын

    Hili jama mm silikubali tena sahiv bada kupata umarufu sahiv anaropoko t mwanzo akiongelea mpira vzuri

  • @user-ot7yi6eq7s
    @user-ot7yi6eq7s18 күн бұрын

    Ukifiwa na mzazi huwezi kuamini mpaka azikwe

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g18 күн бұрын

    Mtasubili sana kolo nyiye

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga957917 күн бұрын

    Kumbe nikweli ulitumbuliwa hunaelim mazungumuzo Yako niyamtu hajaendashule

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha275317 күн бұрын

    Ama kweli!!!!

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah841615 күн бұрын

    Hersi anajuwa kuwachetuwa makolo kikowapi sasa

  • @GiseracharlesGiseracharles
    @GiseracharlesGiseracharles17 күн бұрын

    Kweli walisema duniani Kuna watu na viatu GB 64 nikiatu tuu

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu17 күн бұрын

    Awez ondoka yanga ongeza kufikiria

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p17 күн бұрын

    Huyu jamaa alituambia chama kasaini Simba miaka miwili

  • @kitengekitenge4881
    @kitengekitenge488116 күн бұрын

    Unarpoka sana sometimes! Angalia utapoteza heshima

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi17 күн бұрын

    Leo ndio nimeamini maneno ya alhaj Ismail Aden Rage kuwa nyinyi ni mbumbumbu

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi17 күн бұрын

    Hivi umeshahamia Azam

  • @peterpain5594
    @peterpain559417 күн бұрын

    Haaaaah!! Kwaiyo Aziz k yy asikilize maneno ya madhibiki wakulopoka lopoka kama mwalimu kweli ww kweli kubwa jinga apo kalume haufanyi kazi kutwa nzima ww kushinda na waandishi tu iloooooo kubwa jinga

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi17 күн бұрын

    Watoto wako wasipokusalimia unakasilika kumbe dingi hamnazo

  • @IsmailHija
    @IsmailHija17 күн бұрын

    Ki azizi bado yupo yanga

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje898017 күн бұрын

    Gb64 una mtindio wa ubongo subiri 5 tena tarehe ya ngao ya jamii na Aziz atwafunga Simba goli 1 katika kipigo cha siku hiyo Inginia anatembea na akili za mabwege kana hili hapa

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws16 күн бұрын

    Aibu Yako sasa k huyo ndani ya yanga

  • @mudywambash6684
    @mudywambash668417 күн бұрын

    Umeingizwa Chaka wwe we nidogo Sana kwenyempila

  • @NduwimanaMoussa-bu3ic
    @NduwimanaMoussa-bu3ic17 күн бұрын

    Wegb.unaropoka.sana.mwisho.naweye.namsemaji.wenu.mtayibika.mnepigwa.kufra.azizik.hajasaini.hukumuona.mamayake.wakati.alikuwa.hapa.kaenda.nampunga.wamyaka.miwili.ya.z.aziziki.mtaropoka.sana

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta400017 күн бұрын

    Mhuuu huna akili ww wangejua wakuache lokapu kumbe jinga pori

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha275317 күн бұрын

    Kunywa simu tu ufe. Hazikutoshi kabisa

  • @AyubuRamadhani-wz4gk
    @AyubuRamadhani-wz4gk16 күн бұрын

    Pumbavuuu

  • @user-ze7zq9eq3k
    @user-ze7zq9eq3k18 күн бұрын

    Tulia ww hutambuliki msimbazi...ukivua miwani ww mwenyewe umefanana na dube😂😂😂

  • @Dewizzyommy

    @Dewizzyommy

    17 күн бұрын

    🤣🤣 wew jau kinoma

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha275317 күн бұрын

    Ama kweli huna akili

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo213817 күн бұрын

    Halafu anajifanya alikuwa mwalimu

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo630217 күн бұрын

    Kwachama ulijiapiza Sana leoyuko wapi

  • @richardrashidi7878
    @richardrashidi787816 күн бұрын

    Apigwe vibao huyo kama alivyo sema apigwe, haya sasa mwamba master k kabaki analakusema huyo?

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando17 күн бұрын

    Huyo jamaa hanaga akili ndo maana alipelekwa polisi

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy17 күн бұрын

    Yani azizi kii acheze shirikisho unaumwa wewe laana tumia akili kuma wewe

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa361217 күн бұрын

    Tabu ni kwamba unapiga kelele sana sio unaongea unayoyajuwa redio ugali itakupoza ndio maana ulsweka ndani

  • @AlfredEssau
    @AlfredEssau18 күн бұрын

    Mzee uctumie nguvu saaana, wenzako wako kiuchumi zaidi!! Fanya utafiti kwanza maana unawapoteza Makolo wenzako!! Ndo maana mwandishi Justine Kessy aliwahi kusema jamani someni, nendeni shule!!!

  • @subiralema
    @subiralema17 күн бұрын

    Punguzeni maneno kasharudi😂😂😂😂😂

  • @kamanda7703
    @kamanda770318 күн бұрын

    Gb 64 ungeweka wazi tuu. Yanga ni mawakala au madalali wa ki aziz lakini hawawezi kuuza mchezaji ambaye hana mkataba kwao . Ila yanga hawataki kutoka mkono mtupu wapate japo chochote na ni haki yao kupata vi coins kwa yale mambo walofanya pamoja na ki aziz

  • @twahamapande2702
    @twahamapande270216 күн бұрын

    Umri wako na vitu unavyo viongea tofauti

  • @hassannickson7654
    @hassannickson765417 күн бұрын

    Mbumbumbu fc Kiko wp? Mnazugwa tu soka Ina wenyewe kolo

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo18 күн бұрын

    Pumba zingine ulizoongea ila ulichosema kweli viongozi Kama kweli walikuwa na Nia ya dhati na Aziz wasingeshughulika na Chama na hilo Mimi nilicoment huu ni uzembe.

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f17 күн бұрын

    achen upumbav. Niny uto pwax AZZ k yet nan mpaka ache Simba

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru162917 күн бұрын

    Mfoji Vyeti Akili yake haina Msaada kwa Jamii Mropokaji na mbea na unafiki walimuweza walipo muweka Rokapu alipo tolewa Akili imerudi nyuma

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l17 күн бұрын

    HILI NALO KUNA KIPINDI LINAKUWA ZWAZWA TU

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana18 күн бұрын

    Gb64 ww ni mjinga na unatumika. Uingozi wa Yanga upo makini hauwezi ukanyamaza kimyana kumwachia Azizi Ki.

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson447417 күн бұрын

    Kaka yanga siyo mambugila kama viongozi wa simba azizi k kitambo sana Alisha sine yanga usipoteze nguvu zako zote kuongea kaka yanga na kesho kutwa tu utapigwa makofi ahooo

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini17 күн бұрын

    Mshabakwa teary nyieee😂

  • @mudywambash6684
    @mudywambash668417 күн бұрын

    Kachane nywelewweeeee

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson447417 күн бұрын

    Tunza kumbukumbu hii azizi bado yupo sana yanga shauli yako

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi587118 күн бұрын

    😂😂😂😂 kweli huyu boya Kama alivyosema atahama chama akihama leo anaongea pumba kweli😂😂😂 Huyu hajui yanga ni mafya Eleweni azizi ki ni mali ya Yanga

  • @ChoghoghweDaudi
    @ChoghoghweDaudi18 күн бұрын

    Hawa watu wasioamini wanashida yaakili? mbona chama aliondoka jamani

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamri17 күн бұрын

    Sikia ili tahira maskini yamungu

  • @maulidichongoe5192
    @maulidichongoe519218 күн бұрын

    3:47 imeisha iyo

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu12818 күн бұрын

    Mnapata taaaabu kumuingelea Azizi Kii badala mjipange,sivyo mtapikwa 12😂😂😂

  • @user-xm7ew1uj1g
    @user-xm7ew1uj1g18 күн бұрын

    Huyu akili yake imeyumba kwanza ahamie azam km alivyoahidi kwamba chama akienda yanga anahamia azam m ona hajaenda leo anamzungumia aziziz ki huyo anaakili kweli? yaani Kwa ueledi wa viongozi wa yanga ulivyo ni wakumwachia azizi ki aka heze shirikisho ht mchezaji atakuwa na akili kweli aende simba raisi amewazinhuwa wamezingulika watu wenye akili finyu km huyu dishi limeyumba huyo

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg17 күн бұрын

    Kolo wanaridhika haraka

  • @peterpain5594
    @peterpain559417 күн бұрын

    Mhhhh!!! Ww mtego huo Aziz yupo

  • @rashidrashidmaulid1129
    @rashidrashidmaulid112917 күн бұрын

    Afu kweli we ni chapombe Leo ndo naamin

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza18 күн бұрын

    Ndio maana Mimi simpendi Mwalimu yanga na god nawaonaga kama waseng maana hupenda kutuharibia kwa misifasifa yao

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    18 күн бұрын

    Kolombangula

  • @Juliusbagasheki
    @Juliusbagasheki18 күн бұрын

    Kumbe GB 64 unabwabwaja tu mimi nilidhani unayoongeaga unafanya utafiti kwanza ( No research ...no freedom to speak) for your information Ki Azizi really is a Young Africans Sports Club player.!

  • @SaidSammedia
    @SaidSammedia18 күн бұрын

    Gb umeishiwa ww roho yakutapatapa

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa83818 күн бұрын

    YANGA WAONGO

  • @mmewaswida
    @mmewaswida18 күн бұрын

    Huyu mjinga bado anaweza kuzungumza mbele za watu. Mwehu tu huyu

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d18 күн бұрын

    Yanga wanasafiri wazee wa tasafu

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv695817 күн бұрын

    We akili una

  • @mirajiali3926
    @mirajiali392617 күн бұрын

    Chizi wewe usikatae kutiwa makofi leo maana wewe unatoa ahadi halafu unashindwa kutekeleza

  • @JeladiMtengwa-p6v
    @JeladiMtengwa-p6v18 күн бұрын

    namba yako nayipatje kaka kuna soda balidi yakwako

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt18 күн бұрын

    Tulia kidogo wewe kutudanganya kwamba umekaa na mo kwamba chama atabaki simba mwisho wayote chama akaenda yanga kwaivyo kutoka hapo nimekuwa nyota hunaukweli kwaivyo ki azizi atacheza yanga punguzo mdomo kidogo mm naamini utafikia.

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h18 күн бұрын

    Sema mdogo wangu ukweli

  • @bashirjama8225
    @bashirjama822518 күн бұрын

    Hujamuelewa hajasema anakuja simba

  • @user-xt9ne1mx1c
    @user-xt9ne1mx1c18 күн бұрын

    Nyie ropokeni tu hasa wewe ulisema chama hawezi kwenda Yanga na kaenda Azizi haondoki Yanga mnachuuzwa akili tu

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile546217 күн бұрын

    Kumbe we MBUMBUMBU kweli

  • @Farida-vg5ry
    @Farida-vg5ry18 күн бұрын

    Hizi ni propaganda tu kazitengeneza GSM sio kweli aziziki kuja Simba wametengeneza propaganda

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp17 күн бұрын

    Hv kwann mwana aliitwa gb 64😂😂😂

  • @nasseralshaibani6995
    @nasseralshaibani699518 күн бұрын

    Viwango gani? Kucheza na majini

  • @matiankomola2391

    @matiankomola2391

    15 күн бұрын

    Inaonekana wewe ni muumini Mkubwa wa Majini! Unayafuga nini!

  • @nasseralshaibani6995

    @nasseralshaibani6995

    15 күн бұрын

    @@matiankomola2391 ntakuletea na wewe wakukabe roho. Nnashinda na wewe na nnakupa mfano mechi ya fainali yanga vs coastal union ile mechi ilikuwa ya uchawi wa hali ya juu na umeona uwezo wa Akpan alikuwa star simba wakamchukua na matokeo yake nini?

  • @RehemaAbdala-kp9dz
    @RehemaAbdala-kp9dz18 күн бұрын

    hahahaha inauma ee ndio kwanza mambo yapo mezani

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo630217 күн бұрын

    Ndio maana uliwekwa ndani

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury833318 күн бұрын

    Nilikuwa nakukubali lkn kumbe naww nizuzu tu ulisema chama akienda yanga unahamia Azam au siyo ww kumbe naww nibwabwa tu mchome ndio shabik wasimba mwenye akili

  • @MrishoMindu-zq7mz

    @MrishoMindu-zq7mz

    18 күн бұрын

    Usijifariji mchome anapumuliwa kisogoni kama wewe tu usimuonee wivu ongeza ufundi wateja wataongezeka tu. SIMBA ina watu wenye akili %100. Mliambiwa kwenye timu nzima ile watu wote hawana akili wenye akili ni watu wawili tu Rais mstaafu na Mz Manara. Sasa ktk hawa watu wawili walio twajwa hapa wewe upo? Kama haupo jibu liweke matakoni. Acha Mchomwe ww na mwenzio mchezo mlio uchagua sio rafiki mbele ya safari.

  • @msemakweli...
    @msemakweli...18 күн бұрын

    Hii akili ya huyu jamaa ndo akili ya mikia wote yaani jana Hersi alipomaliza tu ile interview yake mo dewji akatuma offer kwa Aziz Ki😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @MrishoMindu-zq7mz

    @MrishoMindu-zq7mz

    18 күн бұрын

    We akili yako kama ya Baba yako wa kambo mjinga wewe Mo una ushahidi kua ali tuma offer? Unamfuata Momo akili za kuambiwa changanya na za kwako. Tumia akili kumtafuta Baba yako wa halali. Usitumie Matako kwenye kufikiri.

  • @msemakweli...

    @msemakweli...

    17 күн бұрын

    Yamekuchoma eeh!? We nae ndo wale wasiokua na akili ni kama umetolewa ubongo ukawekewa mavi😂 pole ukweli ni kwamba mmeingizwa mkenge na Hersi mafala nyie. Tajiri yako kakurupuka ka ushuzi katuma offer asijue Hersi anaongea nini. Asee Rage habahatishi kuwaita majuha🖐🤣🤣🤣🤣😬@@MrishoMindu-zq7mz

  • @MrishoMindu-zq7mz

    @MrishoMindu-zq7mz

    17 күн бұрын

    @@msemakweli... we sio bure utakua kisoda cha Bar kila mlevi ana kikanyaga hujielewi . Inawezekana soka la Bongo umeanza kulifuatilia Baada kukosa mbolea ukaona uache kilimo. Ufuatilie Soka la Bongo. Lina Drama Nyingi sana acha uchizi pimbi laa zili. Rage nani akisema neno ni Sheria? Rage akikwambia mimi Baba yako unakubali kwa sababu kasema Rage Badala kuushirikisha kwanza ubongo wako una shirikisha kiduara ktk kufikiri. Jiongeze toka gizani. Ndio shida ya Mijitu ya Bara.

  • @hamisibakari6525
    @hamisibakari652517 күн бұрын

    Etii nilikuwa mwalim

  • @AndrewBernard-l3j
    @AndrewBernard-l3j18 күн бұрын

    Mmh hata hujui kitu

  • @Faridagongo
    @Faridagongo18 күн бұрын

    Ya wenzenu je nyie chama kawatendea mangap mbona mnamdharau mmesahau lini

  • @edwarddastani3691
    @edwarddastani369118 күн бұрын

    Kaka utawauwa utopolo kwa pressure 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AlfredEssau

    @AlfredEssau

    18 күн бұрын

    Huyu c alisema Chama akienda Yanga anaacha kushabikia Simba! Hanaga vyanzo sahihi vya taarifa, yeye anaangalia online videos tu!! Ila kwa kuongea ni mtu na nusu

  • @awetumtengera1147

    @awetumtengera1147

    18 күн бұрын

    Huna jipya ww na hata azizi k akiondoka pengo lake litazibwa na wengine. Hata waliokuwepo hukuwajua na walifika wakavuma na tukawafunga kifurushi Cha wiki na wale wale Bado wapo hii ndiyo yanga Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚💚.

  • @lucymsheshi5871

    @lucymsheshi5871

    18 күн бұрын

    Sisi sio mambumbumbu kama rage alivyo waita Hapa ndio unaona kiwango Cha umbumbumbu😂😂😂😂😂😂😂

  • @msemakweli...

    @msemakweli...

    18 күн бұрын

    Na kweli atawaua utopolo wa mo dewji kwa pressure wakigundua Aziz Ki bado yupo.😅😅😅😅

  • @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf
    @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf18 күн бұрын

    Huna akili wew

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g18 күн бұрын

    Ndo maana wanakuweka selo unakulupuka

  • @user-lg3mv3ny4c
    @user-lg3mv3ny4c18 күн бұрын

    Kwani ameondoka?

  • @mudywambash6684
    @mudywambash668417 күн бұрын

    Jeziimefubaa iyo boya ww

  • @abbyn.mwamba
    @abbyn.mwamba18 күн бұрын

    wewe acha kubishana na watu wapo kalibu na viongozi

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor852818 күн бұрын

    Kifariji 😅😅

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba17 күн бұрын

    Hahaaaaaaaaa

  • @user-xt4ev4vp7q
    @user-xt4ev4vp7q17 күн бұрын

    Kwel kiboko yao mangungu😂

Келесі