NJE YA ULINGO | Mwakinyo afunguka mikasa ya safari yake ya ngumi na alichoteta na Terrence Crawford
Спорт
Bondia Hassan Mwakinyo amezungumzia safari yake ya ngumi huku akitaja mikasa aliyowahi kukutana nayo kwenye safari yake ya ngumi ikiwemo kuwahi kupimwa haja ndogo akihisiwa kutumia dawa za kusisimua misuli.
Mwakinyo pia amefunguka kila kitu jinsi alivyokutana na Bondia wa Marekani, Terrence Crawford na kila kitu walichozungumza na kukubaliana.
Ni kupitia kipindi cha Nje ya Ulingo akiwa na Aidan Mlimila.
Пікірлер: 46
Champion champez Kinyo boe home boe be blessed kaka
Hata watu waongee juu ya mwakinyo mabaya yake lakin mee kwangu ndiye bondia bora wa muda wote
Hakuna bondia ninae mkubalia duniani kama huyu jamaa(champez one time) 💪💪💪
Ebana Leo kipindi kimekua kifupi Sana Mana tumepata mtu anaeijua ngumi na kuifatilia kuliko chochote kwenye maisha yake champez mtata mtatuzi mwamba kabisa
Masumbwi🔥🔥🔥
Sema mwakinyo anajitambua saaana. Binafsi nampenda sana
Safi sana champion
Mwamba unajuwa sana kaza sana kaka utafkambali sana duniani
Caption ❤
Huyu ndo namba moja Tanzania
🇹🇿🇹🇿Naitwa JohanesBoy kishanda nimeachia❤nyimbo mpya ( JohanesBoy kishanda nakupenda official video❤❤❤❤ musicnaomba like zangu za JohanesBoy kishanda video)
@MrishoRajabu-rx8zp
2 ай бұрын
Aliyekuambia hapa tunatangaza movie nan
Champenz one time ❤❤❤
🥊
Aidan...Hamis Mwakinyo Boxing Gym... Pro Boxing Player Hassan Mwakinyo Champez...God Bless ndg yangu..
Aminiy Mwakinyo Mpekazi Konde boy Iriatambue Apakazi
washikishe adabu. kaka wakome
🥊🥊🥊🥊🥊🥊
Mwamba anajua kujieleza na anajua nn anaongea ni mfuatiaji wa ngumi ukiachana nayy kua bondia
Aisee huyu jamaa ni bondia aliyekamilika sana,ata maneno yake ya shombo ambayo wengine wanamsema hayajaja Kwa bahati mbaya anajua maneno na ngumi ,akiwa ulingoni anabadirika chap kama kinyonga ,tumuache tu kama hatukubali Sanaa yake na ubora alionao"mabondia wengine wa TZ wamuige tu Wala siyo zambi kuiga Kwa anayejua.
@enamo1889
2 ай бұрын
Isee ,Kweli kabisa broo zilobaki ni jealous tu na ushabiki wa kipinzani
Maamuz Yako ni muhim zaid
Hassani kwenye SOUTHPAW na vile anavyokua ana dance duuh,,anavutia sana kutazama. Kama Terence Bud Crawford vileee
@fj8317
2 ай бұрын
Halafu Crawford ndo role model wake
Mdigo kama Mdigo
Boxing trending
❤
Champeezzz
Kwani kachaguliwa na kamision ya ngumi au kachagua yeyemwenyewe??
Champenz
Wadunde ili wakuheshim
mmeamin km huyu ni aina ya watoto waliolelewa na mama pekee pasipo baba anavoweza kukosa umakin anawezaje kupigana na mtu ambae cyo mpiganaji??
Champez one time
Likes wasena wangu
Ila huyu jamaa anaongea du.
@user-bn6we3nj6t
2 ай бұрын
Anajua
Wenzako huwa hawaongei sana . Wesubiriupigwe uone watuwakucheke, sikuhizi mabondia wa ulaya wanacheza hata na mabondia wa viwango vya chini . , bora kibunda kiingie.
Mwakivyo NGUMI BADO. huyo PATRCK ni bindia NYANYA. mapambano mengi kashindwa. Na sio kweli kuwa pambano gumu.uwongo mtupu.
@abduryjumbe7447
2 ай бұрын
Weee patrick ni bondia mzuri sana.
@yasiniselemani8672
2 ай бұрын
@@abduryjumbe7447alikuwa mzur zamani kwa Sasa ni nyanya tu Kama alivyo sema huyo huyo jamaa hapo juu
@user-rp1ly4xc8k
2 ай бұрын
N@@abduryjumbe7447 Patrick ni mwepesi wa kukata tamaa Hana uvumilivu kabisa mwakinyo atajipigia tu
@ricklandennis
2 ай бұрын
Mwakinyo ngumi bado ww ulietayari mbona hatukujui? Ngumi zimebadilika siku hizi sio kupigana tu ni technic, ona Floyd Mayweather wanamdiss ila anashinda, ni km mpira unaweza ukachagua mfumo wako thn ukaumaster, ona Tank Davis alivyopigana na Ryan Garcia angesema arushiane ngumi angepigwa ila alimwacha ampige huku anavizia body punch alivyoipata ndipo alipomazizia pambano, mwakinyo Yuko sawa ana njia anataka kuipita na nyendo zake sio mbaya
@sports007tv4
2 ай бұрын
Nenda kapigane nae ww