NJE YA ULINGO | Mwakinyo afunguka mikasa ya safari yake ya ngumi na alichoteta na Terrence Crawford

Спорт

Bondia Hassan Mwakinyo amezungumzia safari yake ya ngumi huku akitaja mikasa aliyowahi kukutana nayo kwenye safari yake ya ngumi ikiwemo kuwahi kupimwa haja ndogo akihisiwa kutumia dawa za kusisimua misuli.
Mwakinyo pia amefunguka kila kitu jinsi alivyokutana na Bondia wa Marekani, Terrence Crawford na kila kitu walichozungumza na kukubaliana.
Ni kupitia kipindi cha Nje ya Ulingo akiwa na Aidan Mlimila.

Пікірлер: 46

  • @saidbakari2408
    @saidbakari24082 ай бұрын

    Champion champez Kinyo boe home boe be blessed kaka

  • @GodfreyNefary-mq5gr
    @GodfreyNefary-mq5gr2 ай бұрын

    Hata watu waongee juu ya mwakinyo mabaya yake lakin mee kwangu ndiye bondia bora wa muda wote

  • @VisionVibes360-yi3rr
    @VisionVibes360-yi3rr2 ай бұрын

    Hakuna bondia ninae mkubalia duniani kama huyu jamaa(champez one time) 💪💪💪

  • @MuhinaCharse-gt7og
    @MuhinaCharse-gt7og2 ай бұрын

    Ebana Leo kipindi kimekua kifupi Sana Mana tumepata mtu anaeijua ngumi na kuifatilia kuliko chochote kwenye maisha yake champez mtata mtatuzi mwamba kabisa

  • @shabanlue7253
    @shabanlue72532 ай бұрын

    Masumbwi🔥🔥🔥

  • @Basagamp4
    @Basagamp42 ай бұрын

    Sema mwakinyo anajitambua saaana. Binafsi nampenda sana

  • @ulamaaworiaa8879
    @ulamaaworiaa88792 ай бұрын

    Safi sana champion

  • @user-hs9hk7ox3y
    @user-hs9hk7ox3y2 ай бұрын

    Mwamba unajuwa sana kaza sana kaka utafkambali sana duniani

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman18382 ай бұрын

    Caption ❤

  • @hancykajanjathelimitmusic427
    @hancykajanjathelimitmusic4272 ай бұрын

    Huyu ndo namba moja Tanzania

  • @JohanesboymsaniiMsanii
    @JohanesboymsaniiMsanii2 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿Naitwa JohanesBoy kishanda nimeachia❤nyimbo mpya ( JohanesBoy kishanda nakupenda official video❤❤❤❤ musicnaomba like zangu za JohanesBoy kishanda video)

  • @MrishoRajabu-rx8zp

    @MrishoRajabu-rx8zp

    2 ай бұрын

    Aliyekuambia hapa tunatangaza movie nan

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah73032 ай бұрын

    Champenz one time ❤❤❤

  • @mohammedramadhan5547
    @mohammedramadhan55472 ай бұрын

    🥊

  • @nekashash2190
    @nekashash21902 ай бұрын

    Aidan...Hamis Mwakinyo Boxing Gym... Pro Boxing Player Hassan Mwakinyo Champez...God Bless ndg yangu..

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb2 ай бұрын

    Aminiy Mwakinyo Mpekazi Konde boy Iriatambue Apakazi

  • @AwadhiAlfani-bd5pj
    @AwadhiAlfani-bd5pj2 ай бұрын

    washikishe adabu. kaka wakome

  • @endrewnicolaus3819
    @endrewnicolaus38192 ай бұрын

    🥊🥊🥊🥊🥊🥊

  • @mliwakhatib9457
    @mliwakhatib94572 ай бұрын

    Mwamba anajua kujieleza na anajua nn anaongea ni mfuatiaji wa ngumi ukiachana nayy kua bondia

  • @florinndeki8465
    @florinndeki84652 ай бұрын

    Aisee huyu jamaa ni bondia aliyekamilika sana,ata maneno yake ya shombo ambayo wengine wanamsema hayajaja Kwa bahati mbaya anajua maneno na ngumi ,akiwa ulingoni anabadirika chap kama kinyonga ,tumuache tu kama hatukubali Sanaa yake na ubora alionao"mabondia wengine wa TZ wamuige tu Wala siyo zambi kuiga Kwa anayejua.

  • @enamo1889

    @enamo1889

    2 ай бұрын

    Isee ,Kweli kabisa broo zilobaki ni jealous tu na ushabiki wa kipinzani

  • @YusuphIbrahim-yf7jn
    @YusuphIbrahim-yf7jn2 ай бұрын

    Maamuz Yako ni muhim zaid

  • @Jailosmagulu
    @Jailosmagulu2 ай бұрын

    Hassani kwenye SOUTHPAW na vile anavyokua ana dance duuh,,anavutia sana kutazama. Kama Terence Bud Crawford vileee

  • @fj8317

    @fj8317

    2 ай бұрын

    Halafu Crawford ndo role model wake

  • @kafirsantana8631
    @kafirsantana86312 ай бұрын

    Mdigo kama Mdigo

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid31312 ай бұрын

    Boxing trending

  • @saidyhusseinarsenal6795
    @saidyhusseinarsenal67952 ай бұрын

  • @iddbakari7627
    @iddbakari76272 ай бұрын

    Champeezzz

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah76502 ай бұрын

    Kwani kachaguliwa na kamision ya ngumi au kachagua yeyemwenyewe??

  • @user-ul1jm5bo6f
    @user-ul1jm5bo6f2 ай бұрын

    Champenz

  • @Salumramadhankitori
    @Salumramadhankitori2 ай бұрын

    Wadunde ili wakuheshim

  • @saididuri3518
    @saididuri35182 ай бұрын

    mmeamin km huyu ni aina ya watoto waliolelewa na mama pekee pasipo baba anavoweza kukosa umakin anawezaje kupigana na mtu ambae cyo mpiganaji??

  • @WilliamNathan-hm7nk
    @WilliamNathan-hm7nk2 ай бұрын

    Champez one time

  • @mohamedshemshindo2922
    @mohamedshemshindo29222 ай бұрын

    Likes wasena wangu

  • @autoimmunesecurity2140
    @autoimmunesecurity21402 ай бұрын

    Ila huyu jamaa anaongea du.

  • @user-bn6we3nj6t

    @user-bn6we3nj6t

    2 ай бұрын

    Anajua

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah76502 ай бұрын

    Wenzako huwa hawaongei sana . Wesubiriupigwe uone watuwakucheke, sikuhizi mabondia wa ulaya wanacheza hata na mabondia wa viwango vya chini . , bora kibunda kiingie.

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud36342 ай бұрын

    Mwakivyo NGUMI BADO. huyo PATRCK ni bindia NYANYA. mapambano mengi kashindwa. Na sio kweli kuwa pambano gumu.uwongo mtupu.

  • @abduryjumbe7447

    @abduryjumbe7447

    2 ай бұрын

    Weee patrick ni bondia mzuri sana.

  • @yasiniselemani8672

    @yasiniselemani8672

    2 ай бұрын

    ​@@abduryjumbe7447alikuwa mzur zamani kwa Sasa ni nyanya tu Kama alivyo sema huyo huyo jamaa hapo juu

  • @user-rp1ly4xc8k

    @user-rp1ly4xc8k

    2 ай бұрын

    N​@@abduryjumbe7447 Patrick ni mwepesi wa kukata tamaa Hana uvumilivu kabisa mwakinyo atajipigia tu

  • @ricklandennis

    @ricklandennis

    2 ай бұрын

    Mwakinyo ngumi bado ww ulietayari mbona hatukujui? Ngumi zimebadilika siku hizi sio kupigana tu ni technic, ona Floyd Mayweather wanamdiss ila anashinda, ni km mpira unaweza ukachagua mfumo wako thn ukaumaster, ona Tank Davis alivyopigana na Ryan Garcia angesema arushiane ngumi angepigwa ila alimwacha ampige huku anavizia body punch alivyoipata ndipo alipomazizia pambano, mwakinyo Yuko sawa ana njia anataka kuipita na nyendo zake sio mbaya

  • @sports007tv4

    @sports007tv4

    2 ай бұрын

    Nenda kapigane nae ww

Келесі