PART 2: TULIPELEKWA KWA MGANGA WA KIENYEJI TUKALALA HUKO, TUMETESEKA SANA - JESCA ASIMULIA......
Спорт
PART 2: TULIPELEKWA KWA MGANGA WA KIENYEJI TUKALALA HUKO, TUMETESEKA SANA - JESCA ASIMULIA......
Hatimaye Bondia Jesca Mfinanga amefanikiwa kurudi nchini akitoka Afrika kusini alipokwenda kucheza na kupata matatizo ya Promota kuingia mitini bila ya kuwalipa yeye na mwenzake Egine Kayange .
Bongo Boxing Safari tumepiga stori nae akiwa Uwanja wa Ndege ambapo ameelezea mkasa mzima.
Пікірлер: 7
Unyamaa
Uyo balozi mungu amlinde milele amiina
MNA BAHATI SOWETO SIO MCHEZO
Unaweza kupewa hata sumu huko.Kuua kwao ni suala jepesi kama kula pipi
Ulishinda pambano?
Mwandishi kwanini anaharakisha simulizi? Mwache aeleze vizuri kila kitu
Sasa canera man mwanzo ulikuwa unaoneshea nini na ili iwejee! Hampo seriuos na kaz ndio hamfanikiwiii. Mnafanya kazi kinafki !!! Sisi tunataka kumsikia Jesca na cio mangira mengne hayatuuhusu sisi!!!