MJENGO wa SAMATTA Tishio, Msikiti Ndani na Kiwanja cha Mpira..
Спорт
MJENGO wa SAMATTA Tishio, Msikiti Ndani na Kiwanja cha Mpira..
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta, ambaye kwa sasa anachezea timu ya KRC Genk anajenga mjengo wa Kishua katika maeneo ya Kibada Kigamboni, ni kutokana na mafanikio aliyoyapata na anayoendelea kuyapata katika kipaji chake cha kucheza mpira Kimataifa.
#SAMATTA #MJENGOWASAMATTA
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 77
Maashaallaah amjaliee nasi pia tujaliwee Inshaallaah
Masha Allah Allah amzidishie mema na ampe afya njema ili aweze kuendelea na kazi yake Amiin
@waynekaleb4247
2 жыл бұрын
i guess I'm kinda randomly asking but do anybody know of a good website to watch newly released movies online ?
Bismilah Na Azidishiwe na mungu Amlinde zaidi
MashaAllah,Allah amzidishie kila la heri kwenye kazi zake
Mashallah Alhamdulillah 🙏
Mashaallah m.mungu akuongoze broo
hongera cn kijana wetu
Masha Allah !!!! Mungu kakuinua mja wake.
Masha allahwenyezi mungu amuondolee hasada na ampe.afya kwenye lazi yake Amiin.
mashaaaaalah mungu akuzidishie sama goli ama kweli unajituma
Mashaallah
Mashaa Allah
Masha allah
@sixberttindwa4653
5 жыл бұрын
Mtangazaji mongo akunauwanja
One step ahead-Hatua Moja mbele.
Allah akupe mwisho uliomwema 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Great
Mbona wew mtangazaji hujui unachosema!
Maa sha Allah
Nice
Safi sna
Mashallah allha amuongezee
Nic
Munatumalizia mb zetu mbona huo uwanja wa mpira hauonekani?
Hii ndio maana haris ya kitu kujituma, marengo na mipango thabiti hatua kubwa unapiga kila kukikucha,mwenyez mungu amsimie kwa kila hatua
Soccer la bongo na nje tofauti kabisa yan. Mtu anamiliki mjengo huo sijui wachezaj wetu wa sim a na yanga kama wanaweza
Safi kijana unapamban kwel kufanikiwa lazima
We mtangazaji unajielewa kweli
hatar Sana nzuli
Ndio mana mnaitwa makanjanja..sasa " mjengo"/ndio kiswahili cha wapi?
Sai kila wanawake wanapenda via bure utasikia wanataka kuolewa nae😂
Mjengo mzuri na linapendeza lkn pia ni vema kufunga chuma nyeupe aina ya Stanley steel ambazo hazikamati kutu popote ufungapo ili kuboresha zaidi nitafute kupitia whatsup namba 0659639540
Mbona kama haujiamini na hauna uhakika na unachokisema
Watanzania bhana
Dada ni mrembo kweli kweli..!
@igomambeyamatukiotv6536
5 жыл бұрын
Eti mdada mlembo kweli kwelu duh.....
Km mm ningekuwa samata ningeoa mzungu,maana wabongo wanazingua.🚶
@lucasmhagama8166
4 жыл бұрын
Mawazo yako wapo waliooa wazungu wakafilisiwa
Hatutaki msikiti uliojengwa na pesa ya mpira
Pumbavu nyie nawa unsubscribe sasa hivi sabab title na mlichozungumza na vitu viwili tofauti.
Ni Genk au jenk? 😂 😂
Ma Shaa Allah Ushauri tu mtangazaji Esta kamuone dentist 🦷 una kitu kinaitwa malocclusion kuna huduma inaitwa orthodontic treatment inakufaa wewe ni mtangazaji unamurikwa na camera kila mda
@hasanikinyasi2706
4 жыл бұрын
nina shd iyo
@hasanikinyasi2706
4 жыл бұрын
nina shd na ww
nanyie mmezd hta haijaisha?
@allykombo7924
5 жыл бұрын
Yakawaida tu hiyo hamuna nyumba ya kusifu
Hio mbona ni nyumba ya kawaida sana! Sema nyie mna vihere here tu! Nyumba ndogo sana na huyo dogo analipwa pesa nyingi ila kajenga nyumba sawa na muuza karanga tu!
Yaninipesa yahalali mabisa raha
This is private property has the owner given you permission to enter his premises yes or no? trespassing is a crime
Mbona huongei vizuli kama MTU aliye ishiwa punzi
@matitu_jr5035
5 жыл бұрын
mbona huandiki vizuri!
@suleimanfhamad7674
4 жыл бұрын
Ni kutamani labda angekua demu wa Sammata
Nyie Wadaku Watanga zaji. Hivi nyinyi hamna NYUMBA!! Mbona hamuonyeshi nyumba zenu?
@saidseleman6004
5 жыл бұрын
Labda chumba
@piusmnanka2755
5 жыл бұрын
Wao wana makamera na vipaza saut...!
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Iyo moja ya kazi yake kutangaza au kuonesha matukio mbali mbali usimulaumu amuoni ata uko ulaya wanavyoonesha mafanikio ya mchezaji furani au mpaka aoneshwe leon messi au cristian ronaldo ndio uone sawa wacha uzwazwa iyo moja kazi ya mtangazaji duniani kote ameoneshwa regnal mengi nyumba yake mbona amkusema au vitu ivyo vigeni kuonyesha mjengo magari ndege za wasanii mbali mbali au wachezaji mipira aina mbali mbali duniani au mpaka aoneshwe michel Jackson
@samhaule5281
5 жыл бұрын
Mbona hakuna jambo baya lolote nililo ongea!! Ila nimesha kusoma ! Wewe huna hata Banda la kuku ndio maana povu lina kutoka.
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
😃😃😃
Mbona ujiamini
Kumbe utangazsji ni kazi ngumu hivo
Mtangazaji siyo jenk Genk 😂
mbona unaongea kamawatu walioingia kipata habari bilayakuruhusiwa na kama mmefanya hvyo huo niupuuzi sio habari nibora mkasubiri uishe mkajaomba mpate habari sasa mtu kabla hujaingia ulikuwa unaongea vizuuuri umeingia2 unaanza kutetemeka vp bn
NI Genk au jenki 🤣😂😂
@jsix9854
5 жыл бұрын
Ila si umeelewa🤣
huyo mtangazaji mweeeee
Tena yanawahusu mamb yawatu mbna yenu hamuyaeki wazi
kumbe wakawaida king kiba na domo wapo juuuuu
@geofreymwizarubi4356
5 жыл бұрын
Wakawaida we unao
huwezi wewe kutagaza
nyie Inawahuxu au umbea tyuuu
Mashaallah
huyo mtangazaji mweeeee
Mashaallah
Mashaallah