MJENGO wa SAMATTA Tishio, Msikiti Ndani na Kiwanja cha Mpira..

Спорт

MJENGO wa SAMATTA Tishio, Msikiti Ndani na Kiwanja cha Mpira..
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta, ambaye kwa sasa anachezea timu ya KRC Genk anajenga mjengo wa Kishua katika maeneo ya Kibada Kigamboni, ni kutokana na mafanikio aliyoyapata na anayoendelea kuyapata katika kipaji chake cha kucheza mpira Kimataifa.
#SAMATTA #MJENGOWASAMATTA
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 77

  • @salumhamdu6633
    @salumhamdu6633 Жыл бұрын

    Maashaallaah amjaliee nasi pia tujaliwee Inshaallaah

  • @mudasina900
    @mudasina9005 жыл бұрын

    Masha Allah Allah amzidishie mema na ampe afya njema ili aweze kuendelea na kazi yake Amiin

  • @waynekaleb4247

    @waynekaleb4247

    2 жыл бұрын

    i guess I'm kinda randomly asking but do anybody know of a good website to watch newly released movies online ?

  • @jumabakali82
    @jumabakali824 жыл бұрын

    Bismilah Na Azidishiwe na mungu Amlinde zaidi

  • @salumally3128
    @salumally31285 жыл бұрын

    MashaAllah,Allah amzidishie kila la heri kwenye kazi zake

  • @mikidadiamina4534
    @mikidadiamina45345 жыл бұрын

    Mashallah Alhamdulillah 🙏

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh2035 жыл бұрын

    Mashaallah m.mungu akuongoze broo

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa68725 жыл бұрын

    hongera cn kijana wetu

  • @tarmoealoyt4835
    @tarmoealoyt48354 жыл бұрын

    Masha Allah !!!! Mungu kakuinua mja wake.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38994 жыл бұрын

    Masha allahwenyezi mungu amuondolee hasada na ampe.afya kwenye lazi yake Amiin.

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne97965 жыл бұрын

    mashaaaaalah mungu akuzidishie sama goli ama kweli unajituma

  • @najimshaib9306
    @najimshaib93065 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @siddoha1347
    @siddoha13475 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @aminafadhili4284
    @aminafadhili42845 жыл бұрын

    Masha allah

  • @sixberttindwa4653

    @sixberttindwa4653

    5 жыл бұрын

    Mtangazaji mongo akunauwanja

  • @allyfaraji706
    @allyfaraji7065 жыл бұрын

    One step ahead-Hatua Moja mbele.

  • @faridashabani5940
    @faridashabani59404 жыл бұрын

    Allah akupe mwisho uliomwema 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @jofreykasian7184
    @jofreykasian71845 жыл бұрын

    Great

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV5 жыл бұрын

    Mbona wew mtangazaji hujui unachosema!

  • @naimasaid7763
    @naimasaid77634 жыл бұрын

    Maa sha Allah

  • @faizsaleh3709
    @faizsaleh37095 жыл бұрын

    Nice

  • @halisiaisaya7832
    @halisiaisaya78325 жыл бұрын

    Safi sna

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram14055 жыл бұрын

    Mashallah allha amuongezee

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Nic

  • @safariludefu6175
    @safariludefu61754 жыл бұрын

    Munatumalizia mb zetu mbona huo uwanja wa mpira hauonekani?

  • @goodluckaugustino5486
    @goodluckaugustino54865 жыл бұрын

    Hii ndio maana haris ya kitu kujituma, marengo na mipango thabiti hatua kubwa unapiga kila kukikucha,mwenyez mungu amsimie kwa kila hatua

  • @hallin9561
    @hallin95613 жыл бұрын

    Soccer la bongo na nje tofauti kabisa yan. Mtu anamiliki mjengo huo sijui wachezaj wetu wa sim a na yanga kama wanaweza

  • @samkoka3
    @samkoka35 жыл бұрын

    Safi kijana unapamban kwel kufanikiwa lazima

  • @deongoma1008
    @deongoma10085 жыл бұрын

    We mtangazaji unajielewa kweli

  • @mathayomtemi7616
    @mathayomtemi76165 жыл бұрын

    hatar Sana nzuli

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu20534 жыл бұрын

    Ndio mana mnaitwa makanjanja..sasa " mjengo"/ndio kiswahili cha wapi?

  • @user-dz9el9qw5z
    @user-dz9el9qw5z3 ай бұрын

    Sai kila wanawake wanapenda via bure utasikia wanataka kuolewa nae😂

  • @jafarimganga5257
    @jafarimganga52574 жыл бұрын

    Mjengo mzuri na linapendeza lkn pia ni vema kufunga chuma nyeupe aina ya Stanley steel ambazo hazikamati kutu popote ufungapo ili kuboresha zaidi nitafute kupitia whatsup namba 0659639540

  • @chelseadiva1072
    @chelseadiva10725 жыл бұрын

    Mbona kama haujiamini na hauna uhakika na unachokisema

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah96305 жыл бұрын

    Watanzania bhana

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr50355 жыл бұрын

    Dada ni mrembo kweli kweli..!

  • @igomambeyamatukiotv6536

    @igomambeyamatukiotv6536

    5 жыл бұрын

    Eti mdada mlembo kweli kwelu duh.....

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel46135 жыл бұрын

    Km mm ningekuwa samata ningeoa mzungu,maana wabongo wanazingua.🚶

  • @lucasmhagama8166

    @lucasmhagama8166

    4 жыл бұрын

    Mawazo yako wapo waliooa wazungu wakafilisiwa

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali71924 жыл бұрын

    Hatutaki msikiti uliojengwa na pesa ya mpira

  • @sulleymanjimmy3199
    @sulleymanjimmy31995 жыл бұрын

    Pumbavu nyie nawa unsubscribe sasa hivi sabab title na mlichozungumza na vitu viwili tofauti.

  • @joycemakori3835
    @joycemakori38355 жыл бұрын

    Ni Genk au jenk? 😂 😂

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono64254 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah Ushauri tu mtangazaji Esta kamuone dentist 🦷 una kitu kinaitwa malocclusion kuna huduma inaitwa orthodontic treatment inakufaa wewe ni mtangazaji unamurikwa na camera kila mda

  • @hasanikinyasi2706

    @hasanikinyasi2706

    4 жыл бұрын

    nina shd iyo

  • @hasanikinyasi2706

    @hasanikinyasi2706

    4 жыл бұрын

    nina shd na ww

  • @richardmvungi8084
    @richardmvungi80845 жыл бұрын

    nanyie mmezd hta haijaisha?

  • @allykombo7924

    @allykombo7924

    5 жыл бұрын

    Yakawaida tu hiyo hamuna nyumba ya kusifu

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph16102 жыл бұрын

    Hio mbona ni nyumba ya kawaida sana! Sema nyie mna vihere here tu! Nyumba ndogo sana na huyo dogo analipwa pesa nyingi ila kajenga nyumba sawa na muuza karanga tu!

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j3 жыл бұрын

    Yaninipesa yahalali mabisa raha

  • @sakiman8825
    @sakiman88253 жыл бұрын

    This is private property has the owner given you permission to enter his premises yes or no? trespassing is a crime

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba57625 жыл бұрын

    Mbona huongei vizuli kama MTU aliye ishiwa punzi

  • @matitu_jr5035

    @matitu_jr5035

    5 жыл бұрын

    mbona huandiki vizuri!

  • @suleimanfhamad7674

    @suleimanfhamad7674

    4 жыл бұрын

    Ni kutamani labda angekua demu wa Sammata

  • @samhaule5281
    @samhaule52815 жыл бұрын

    Nyie Wadaku Watanga zaji. Hivi nyinyi hamna NYUMBA!! Mbona hamuonyeshi nyumba zenu?

  • @saidseleman6004

    @saidseleman6004

    5 жыл бұрын

    Labda chumba

  • @piusmnanka2755

    @piusmnanka2755

    5 жыл бұрын

    Wao wana makamera na vipaza saut...!

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    Iyo moja ya kazi yake kutangaza au kuonesha matukio mbali mbali usimulaumu amuoni ata uko ulaya wanavyoonesha mafanikio ya mchezaji furani au mpaka aoneshwe leon messi au cristian ronaldo ndio uone sawa wacha uzwazwa iyo moja kazi ya mtangazaji duniani kote ameoneshwa regnal mengi nyumba yake mbona amkusema au vitu ivyo vigeni kuonyesha mjengo magari ndege za wasanii mbali mbali au wachezaji mipira aina mbali mbali duniani au mpaka aoneshwe michel Jackson

  • @samhaule5281

    @samhaule5281

    5 жыл бұрын

    Mbona hakuna jambo baya lolote nililo ongea!! Ila nimesha kusoma ! Wewe huna hata Banda la kuku ndio maana povu lina kutoka.

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    5 жыл бұрын

    😃😃😃

  • @ameniameni617
    @ameniameni6175 жыл бұрын

    Mbona ujiamini

  • @shabanmohamed1039
    @shabanmohamed10395 жыл бұрын

    Kumbe utangazsji ni kazi ngumu hivo

  • @totoozebingwatshumani4642
    @totoozebingwatshumani46424 жыл бұрын

    Mtangazaji siyo jenk Genk 😂

  • @omarykwasirisana6107
    @omarykwasirisana61075 жыл бұрын

    mbona unaongea kamawatu walioingia kipata habari bilayakuruhusiwa na kama mmefanya hvyo huo niupuuzi sio habari nibora mkasubiri uishe mkajaomba mpate habari sasa mtu kabla hujaingia ulikuwa unaongea vizuuuri umeingia2 unaanza kutetemeka vp bn

  • @Spark88-l6y
    @Spark88-l6y5 жыл бұрын

    NI Genk au jenki 🤣😂😂

  • @jsix9854

    @jsix9854

    5 жыл бұрын

    Ila si umeelewa🤣

  • @teklamanase7088
    @teklamanase70884 жыл бұрын

    huyo mtangazaji mweeeee

  • @nasabimohamed5721
    @nasabimohamed57214 жыл бұрын

    Tena yanawahusu mamb yawatu mbna yenu hamuyaeki wazi

  • @waleotv9785
    @waleotv97855 жыл бұрын

    kumbe wakawaida king kiba na domo wapo juuuuu

  • @geofreymwizarubi4356

    @geofreymwizarubi4356

    5 жыл бұрын

    Wakawaida we unao

  • @rubenissack8760
    @rubenissack87605 жыл бұрын

    huwezi wewe kutagaza

  • @johnfaustin9342
    @johnfaustin93425 жыл бұрын

    nyie Inawahuxu au umbea tyuuu

  • @user-nj1jd6zy8e
    @user-nj1jd6zy8e5 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @teklamanase7088
    @teklamanase70884 жыл бұрын

    huyo mtangazaji mweeeee

  • @ramadhanisemkuya2774
    @ramadhanisemkuya27745 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @ilhamhaji933
    @ilhamhaji9334 жыл бұрын

    Mashaallah

Келесі