RAMANI YA VYUMBA (3) NA BUJETI YAKE MPAKA KWENYE KOZI TATU ZA JUU
#ujenzi #ramanizanyumba #ujenzinafuu
Жүктеу.....
Пікірлер: 69
@user-wz2gn1jx2h12 күн бұрын
Kabisa bro
@user-gp9np3nf2p15 күн бұрын
Shukuran kwa somo zr lete darasa.la vymba 2 sebule.jiko na vyoo viwili
@AnnaMwanisenga-jn1pg7 ай бұрын
Kweli brother umetowa ushauri mzuri sana hongeraa Kwa ramani Kali hiyo
@FilexTesha2 ай бұрын
Imependeza
@hosianamazengo76857 ай бұрын
Naomba nicholewe Raman nimeipenda sana
@FilbertNyoni25 күн бұрын
Safi sana
@user-sy6gx3nl9y9 күн бұрын
Nyumba nzuri,ramani yake bei gani.na kiwanja sqm ngapi?
@aronindibalema4964Ай бұрын
Dar mko vizuri sana bukoba cement 4.5 sh 25000 32.5 22500 tofali mpaka saiti sh 1600 bati gaiji 30 ya rangi kiboko bando sh 480000
@SharifIbrahim-qc7bd2 ай бұрын
Nyumba nzuri sanaaaaa
@maswamills31618 ай бұрын
Imenoga sanaaa!!!!👏👏👏👏👏
@user-hq9tq6rw1f11 ай бұрын
Nice work
@arafasalim67910 күн бұрын
👍
@aminasalim75717 ай бұрын
Naomba kuchorewa ramani
@GoodluckJosephTarimo3 ай бұрын
❤🎉yaan ni og sana
@yusrababuu Жыл бұрын
Safi sana,naomba utuwekee hatua kwa hatua mfano msingi na mahitaji yake namaanisha tofali,mchanga,nondo nk mpk msingi kukamilika inafika milioni ngapi kupandisha mpk linta nk,gharama ya ufundi usiweke,
Naomba uwe unaziwekea naomba Ili tukikutafuta tukwambie ramani ipi mtu anataka
@YohanaJohn-magesse2 ай бұрын
💪💪
@mirnababy501211 ай бұрын
Jumla bei gani maana wengine tulikua tunakaa mwisho darasani😅
@user-yi7jj1ow6d8 ай бұрын
Iko gud
@salama11135 ай бұрын
Kaka kweli nondo hata mm niliambiwa 40 chini na leta
@blandinagoodluck428510 ай бұрын
Nahitaj hii Raman
@mussaali384511 ай бұрын
Tuonyeshe na ramani yake kuanzia msingi na ndani Basi fundi
@naumikabila58807 ай бұрын
Hivi ukinunua ramn kwako inawezekana fundi mwingine akujengee
@barakati.oghatibu3 ай бұрын
iko poa san
@user-xh6tb2oh1q8 ай бұрын
😂kaka tuambie na bati zinaingia ngapi pamoja na mbao ngapi zinatakiwa
@hamadiiburaimumashaka9 ай бұрын
nyumba kali
@honestdaps Жыл бұрын
Umeeleweka sana kk
@sanukamedia9084
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@user-ci2fc9xw2g9 ай бұрын
Vijijini tunatumia tofali mdogo zatope
@faridahussein32248 ай бұрын
nitapataje ramani
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Mhh nimekusikiliza kwa makini, ila hiyo bajeti ni ya huko Dar aisee. Arusha nimepandisha mjengo kama huo huo kuanzia chini mpka lenter na coz mbili juu, milioni 24 hapo ni pamoja na ufundi. Yote kwa yote Arusha vitu viko juu mnoo. Mchanga lori kubwa sh laki mbili, tofali hadi syte sh 1300, cement elfu 18...aisee tunao jenga tupewe maua yetu.🙌🙌🙌
@sanukamedia9084
Жыл бұрын
Mikoani vitu viko juu sana
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@sanukamedia9084 sanaaa, hapa najiandaa na kupaua jasho linanitoka😰
@happylynguya3464
Жыл бұрын
@@shakilamasoud2983 Waoooow! hongera sana nimekutamania, Mungu mwema utamaliza tu.
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@happylynguya3464 Amina Yarabbilala mina. 🤲🤲
@fatmakanyanga3149
10 ай бұрын
Mje kibaha roli mchanga 60 elf tofali 850 had site
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Mimi naitaji nyumba kama hii mana ninafamilia niwakabishi kiwanja mnipenyumba iliyokamilika niwaandalie milion ngapi mimi nije kuamiatu
@fatmakanyanga314910 ай бұрын
Fundi wangu alinambia tofali 4500 nyumba ya vyumba vi tatu jiko na sebule nilochokaa
@maryamharuna8051
10 ай бұрын
Wanakatisha tamaa tu af ujenz mzur bora uwepo
@fatmakanyanga3149
10 ай бұрын
@@maryamharuna8051 yapi ni kwelii
@stevengeorgetibenda1647
8 ай бұрын
kwa uzoefu wangu nyumba ya vyumba vitatu na kila kitu ni tofali 3000-4500 huyu anayesema tofali 2,500 anakwambia lakini kakuficha usione ramani ukamgundua kama kweli au muongo,nyumba ya tofali 2,500 itakuwa ndogo ndani ktk vyumba,jiko au sebule
@SediqGustavo
8 ай бұрын
@@stevengeorgetibenda1647😂😂
@user-ez9qc2jo1x
8 ай бұрын
Mwambie akuoneshe hiyo ramani ya kuweza kujengwa na tofali 2,500 uone vipimo vyake vipoje au kama itakupendeza
Пікірлер: 69
Kabisa bro
Shukuran kwa somo zr lete darasa.la vymba 2 sebule.jiko na vyoo viwili
Kweli brother umetowa ushauri mzuri sana hongeraa Kwa ramani Kali hiyo
Imependeza
Naomba nicholewe Raman nimeipenda sana
Safi sana
Nyumba nzuri,ramani yake bei gani.na kiwanja sqm ngapi?
Dar mko vizuri sana bukoba cement 4.5 sh 25000 32.5 22500 tofali mpaka saiti sh 1600 bati gaiji 30 ya rangi kiboko bando sh 480000
Nyumba nzuri sanaaaaa
Imenoga sanaaa!!!!👏👏👏👏👏
Nice work
👍
Naomba kuchorewa ramani
❤🎉yaan ni og sana
Safi sana,naomba utuwekee hatua kwa hatua mfano msingi na mahitaji yake namaanisha tofali,mchanga,nondo nk mpk msingi kukamilika inafika milioni ngapi kupandisha mpk linta nk,gharama ya ufundi usiweke,
@sanukamedia9084
Жыл бұрын
Tutalifanyia kazi wazo lako. Asante 🙏
@yusrababuu
Жыл бұрын
@@sanukamedia9084 Shukran sana boss
❤
🤙
iko powa sana ramani
Nice luxurious sn
Raman mzur❤
Your good
Nzuri sanss
Asante
❤❤❤mzuli sana
Nyumba nzuri,je majenga hadi mikoani?
Kaka Mimi Natakakuunga nianzeje naombaushauri. Wako
❤❤❤
❤❤🎉🎉 mzur
Onyesha ramani
❤❤
❤❤❤❤
Hii Raman naipataje
Nice
Naomba uwe unaziwekea naomba Ili tukikutafuta tukwambie ramani ipi mtu anataka
💪💪
Jumla bei gani maana wengine tulikua tunakaa mwisho darasani😅
Iko gud
Kaka kweli nondo hata mm niliambiwa 40 chini na leta
Nahitaj hii Raman
Tuonyeshe na ramani yake kuanzia msingi na ndani Basi fundi
Hivi ukinunua ramn kwako inawezekana fundi mwingine akujengee
iko poa san
😂kaka tuambie na bati zinaingia ngapi pamoja na mbao ngapi zinatakiwa
nyumba kali
Umeeleweka sana kk
@sanukamedia9084
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Vijijini tunatumia tofali mdogo zatope
nitapataje ramani
Mhh nimekusikiliza kwa makini, ila hiyo bajeti ni ya huko Dar aisee. Arusha nimepandisha mjengo kama huo huo kuanzia chini mpka lenter na coz mbili juu, milioni 24 hapo ni pamoja na ufundi. Yote kwa yote Arusha vitu viko juu mnoo. Mchanga lori kubwa sh laki mbili, tofali hadi syte sh 1300, cement elfu 18...aisee tunao jenga tupewe maua yetu.🙌🙌🙌
@sanukamedia9084
Жыл бұрын
Mikoani vitu viko juu sana
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@sanukamedia9084 sanaaa, hapa najiandaa na kupaua jasho linanitoka😰
@happylynguya3464
Жыл бұрын
@@shakilamasoud2983 Waoooow! hongera sana nimekutamania, Mungu mwema utamaliza tu.
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@happylynguya3464 Amina Yarabbilala mina. 🤲🤲
@fatmakanyanga3149
10 ай бұрын
Mje kibaha roli mchanga 60 elf tofali 850 had site
Mimi naitaji nyumba kama hii mana ninafamilia niwakabishi kiwanja mnipenyumba iliyokamilika niwaandalie milion ngapi mimi nije kuamiatu
Fundi wangu alinambia tofali 4500 nyumba ya vyumba vi tatu jiko na sebule nilochokaa
@maryamharuna8051
10 ай бұрын
Wanakatisha tamaa tu af ujenz mzur bora uwepo
@fatmakanyanga3149
10 ай бұрын
@@maryamharuna8051 yapi ni kwelii
@stevengeorgetibenda1647
8 ай бұрын
kwa uzoefu wangu nyumba ya vyumba vitatu na kila kitu ni tofali 3000-4500 huyu anayesema tofali 2,500 anakwambia lakini kakuficha usione ramani ukamgundua kama kweli au muongo,nyumba ya tofali 2,500 itakuwa ndogo ndani ktk vyumba,jiko au sebule
@SediqGustavo
8 ай бұрын
@@stevengeorgetibenda1647😂😂
@user-ez9qc2jo1x
8 ай бұрын
Mwambie akuoneshe hiyo ramani ya kuweza kujengwa na tofali 2,500 uone vipimo vyake vipoje au kama itakupendeza
Imependeza
❤
❤❤❤❤
❤