Maisha ya SAMATTA na majirani NYUMBANI kwake/ mlinzi wake afunguka mazito

Mlinzi wa nyumba ya Samatta afunguka namna alivyopata kazi ya kulinda nyumba hiyo.
#Samatta #AstonVilla #TFF

Пікірлер: 72

  • @khamiswilangali9500
    @khamiswilangali95003 жыл бұрын

    Interview imetulia sana big up Dar 24. Pia naomba namba ya huyo jamaa anae tengeneza hayo makuti au Dar 24 naomba mnielekeze hadi nyumbani kwa huyo jamaa wa makuti Filbert Petel

  • @sakiman8825
    @sakiman88253 жыл бұрын

    This is private property has the owner given you permission to enter yes or no?

  • @sadicklazalo2296
    @sadicklazalo22962 жыл бұрын

    Nice Sana player wetu waTanzania

  • @agabalufulani7247
    @agabalufulani72473 жыл бұрын

    Good job, great of Samatta, keep it up and big up

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe56403 жыл бұрын

    Duhhh ramani kma nyumba yangu ya tunguuu ( zanzibar)

  • @johnbernad3990

    @johnbernad3990

    Жыл бұрын

    Tunguu ya uwandani au ya wap?

  • @JanethMathayo-ys3km
    @JanethMathayo-ys3km2 ай бұрын

    Yuko vizur Sana

  • @zainabmwengela5987
    @zainabmwengela59873 жыл бұрын

    Naingia moja kwa moja kwenye point punguza maneno mengi

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi17873 жыл бұрын

    Hongera umejitahidi

  • @fatumasabuni2695
    @fatumasabuni26953 ай бұрын

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe62303 жыл бұрын

    unaongea sanaaa bhnaaa tuoneshe vtu vya msng kwa,waktiiii

  • @user-sc5iq4nl7c
    @user-sc5iq4nl7c4 ай бұрын

    Ulitengea tofauti ya hiyoo jeewewe UNAYOOO ACHA KUROPOKA 11:28

  • @allychindema8875
    @allychindema88753 жыл бұрын

    👍

  • @phiniasphinias8963
    @phiniasphinias89634 жыл бұрын

    Sasa mbona hujaingia ndani boss,,au umepigwa ban kuingia huko?

  • @victusnesphory1861
    @victusnesphory18613 жыл бұрын

    Hapo hata kama ingekuaje bado angesifiwaa. Tuu maana teyari ana maisha na yuko njeee

  • @swahilinetwork7631
    @swahilinetwork76313 жыл бұрын

    Home Swit Home

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu52432 жыл бұрын

    Wee mtangazji acha kutu-advice, wewe ndio uweke akiba angalau uanze kujitegemea. Acha kutokea kwenu utokee kwako sasa.

  • @amosijustine9148
    @amosijustine91483 жыл бұрын

    Acha maneno yako wewe watu tunatumia mb zetu kujua vitu sio maneno yako mb zangu umemaliza bure tu

  • @salamakombo3257
    @salamakombo32573 жыл бұрын

    Daimond hana km iyoo duuh

  • @msowanelson5452
    @msowanelson54524 жыл бұрын

    Kolona mmekosa hadi vya kureport

  • @rajabually8659
    @rajabually86592 жыл бұрын

    Jamaa namkubali sana

  • @EliyaJesis
    @EliyaJesis Жыл бұрын

    Be animation football academ ia weather king now

  • @shebbybongo567
    @shebbybongo5674 жыл бұрын

    Ogirinal, kama umesikia mtangazaji kachapia gonga like

  • @edgarnestory8466

    @edgarnestory8466

    5 ай бұрын

    Ogirinal😂

  • @ramadhanishabani6017
    @ramadhanishabani60173 жыл бұрын

    Sawa dogo hamisi makamba

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha10772 жыл бұрын

    Hujui hata kuongea

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein43112 жыл бұрын

    Hongera Sana samata

  • @stivenmoshi960
    @stivenmoshi9603 жыл бұрын

    Mhhhh

  • @Mswanotv
    @Mswanotv3 жыл бұрын

    Huyu jamaa n mtangazaji namkubali Sana hapa TZ

  • @kanyemkambwana1589
    @kanyemkambwana15892 жыл бұрын

    Dauka somba kichwa kibovu nakumbuka vurugu zako za chuo hahahahahaha kijana hatar sana ww

  • @aceotz2579
    @aceotz25794 жыл бұрын

    Kipenzi cha watanzania😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍😙😙😙

  • @samwellemanja7979

    @samwellemanja7979

    4 жыл бұрын

    Because love to ❤❤😙😙😙

  • @mawazontabagara8607

    @mawazontabagara8607

    3 жыл бұрын

    Some

  • @elickmkongwa3755

    @elickmkongwa3755

    2 жыл бұрын

    Nakubari sana mwamba Wang

  • @RehemaChap3
    @RehemaChap34 ай бұрын

    Jamani acheni wivu mjenge na nyie zenu kama mbaya utakuta hata slop kwenu hakuna

  • @stevensalvatory503
    @stevensalvatory5033 жыл бұрын

    Mjengo mkali sana

  • @Edwardmtaya-zc4iq
    @Edwardmtaya-zc4iq9 ай бұрын

    Good

  • @sahilygwisu3183
    @sahilygwisu31833 жыл бұрын

    😂

  • @sofianibarua8770
    @sofianibarua87703 жыл бұрын

    S

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti23703 жыл бұрын

    Muwekeen barabara kaitangaza nchi kimataifa.

  • @JumamahindaKhamis-xk1de

    @JumamahindaKhamis-xk1de

    Жыл бұрын

    Hakai mbali na road kuu

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema19692 жыл бұрын

    Too much talking

  • @du8284
    @du82843 жыл бұрын

    😂😂😂nakuimba kabisa

  • @tatuhussein1942
    @tatuhussein19423 жыл бұрын

    Wasanii was kisukuma

  • @tatuhussein1942

    @tatuhussein1942

    3 жыл бұрын

    Guide gude

  • @allymukhsin2962
    @allymukhsin29624 ай бұрын

    Bongo usenge mwingi sana asa hiki ndo nn kmmke

  • @coldfayahmistari254
    @coldfayahmistari2543 жыл бұрын

    Upuzi mtupu,katafuteni basi na kishuzi chake cha rangi gani.

  • @mablukmawazo7291
    @mablukmawazo72912 жыл бұрын

    Haa wapi bia tam

  • @mashaurivicent4028
    @mashaurivicent40285 ай бұрын

    Labda ni nyumba ya mama yake , ni nyumba ya kawaida mno kwa pesa aliyonayo.

  • @Munyama675

    @Munyama675

    5 ай бұрын

    Duh

  • @saidsinani8765
    @saidsinani87653 жыл бұрын

    Nyumba ni yakawaida sana haiendani na ustaha wake has a 255 chaampion

  • @willysampa2995

    @willysampa2995

    3 жыл бұрын

    Wabongo bhana Ww Unayo?

  • @drgeofreykupaza7707

    @drgeofreykupaza7707

    3 жыл бұрын

    Aende akamjengee yeye

  • @darusngassa4081

    @darusngassa4081

    3 жыл бұрын

    Kamjengee wewe bro

  • @lutulalihim1585

    @lutulalihim1585

    3 жыл бұрын

    Mjomba unafaamu kujenga wewe acha roho ya korosho.

  • @nyangetangelesi2035

    @nyangetangelesi2035

    3 жыл бұрын

    We unayo au niwivu tu

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni77554 жыл бұрын

    Mbea

  • @simonanthonykayombo6913
    @simonanthonykayombo69133 жыл бұрын

    Punguza maneno mtangazaji

  • @ernestdismaseryd1677
    @ernestdismaseryd16773 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/iYai1LmuiMudk6Q.html duuuh

  • @stevensteve7519
    @stevensteve75194 жыл бұрын

    Ukikosa habari za kuhabarisha umma basi hata umbea unakua habari muhimu za kutangaza. Sasa Kama nyumba yake imekamilika au haijakamilika inahusu??

  • @dickmalove5544

    @dickmalove5544

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph16102 жыл бұрын

    Stegemei kuona mtu maarufu kama huyo anaelipwa pesa nyingi afu ajenge nyuma ya kawaida kama hio! Nyumba ya kawaida sana hio, Nyumba hio haiendani na kipato chake! Yakawaida sana wala sio ya kusfia!

  • @yudadaniel4867

    @yudadaniel4867

    2 жыл бұрын

    ww naeee unajua ata bei ya mfuko mmoja wa cement kweli? au unaongea ongea tu kama bata anae harisha

  • @danieljoseph1610

    @danieljoseph1610

    2 жыл бұрын

    We huna akili hata kidogo! Unaongea manini hayo mbele za watu?

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    2 жыл бұрын

    Acha mambo yako wew unayo? Kla mtu na plan yake ,je unajua ana nyumba ngapi? Fuatilia utagundua nyumba kubwa ni ya bishara ya kuishi u unajenga size yako, wew ulitaka ajenge kubwa kam Hotel?

  • @Munyama675

    @Munyama675

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 hiyo nyumba ni ya Kawaida? Una akili timamu lakini?

Келесі