Konde Boy Harmonize akwea waya kama komandoo Siku ya Mwananchi
Спорт
TUKIO ZIMA: Tazama jinsi #Harmonize alivyowa-surprise wananchi akishuka #MkapaStadium kikomandoo.
#AzamSportsHD
#WikiYaMwananchi #SikuYaMwananchi #WikiendiKubwa #TunaanzaMsimuMpya #TunaJamboLetu #YangaSC #TimuYaWananchi #SikuYaWananchi #AigleNoir #MkapaStadium
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 558
Hakuna kama YANGA TANZANIA hii, Wamefunika💛💚
Huyi konde walah ni sayari nyingine kabisa👏👏👏
@maulidlle4347
3 жыл бұрын
@Rodrigo Brendan aaakhhkaaaaa
@maulidlle4347
3 жыл бұрын
@Rodrigo Brendan 9aaa
Kwa mtu asiye namafunzo ya kijeshi harmonize kajitahidi sana good adea
@jayclassic5164
3 жыл бұрын
Wanopenda kusema anaiga wako wapi
@hassanovajunior6972
3 жыл бұрын
Kajitahidi sana aisee
@sheilahabbas972
3 жыл бұрын
Sana kajitaidi wao waosema ata kupita juu ya matofali hawezi
@charlesnjige2976
3 жыл бұрын
Kwer nijeshi 💂💂💂💂👮👮👮👮👮
Yangaaaaa konde boy jexhiiiii
Tanzania mpo mbele sana, Mungu awajali mengi 🙏🙏
JESHIIIII🐘🐘🐘🐘🐘🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Salut kwako konde boy mwenyewe
Konde Boy oyooooo
Ukiskia show ya kibabe ndio hiii... Shkamoo jeshiiiiiiiiiiii."#sihami_yanga
Penye ukweli tuseme ukweli tuache ushabiki watanzania ni wamoja ila dogo hamonaize kafunika mbaya nawapenda wote
@gabrielpetermkezessebuliba6721
3 жыл бұрын
Akika konde boy ninoma
Hey everyone I'm Congolese but I love so much the Tanzanians
Konde ume maliza mchezo uko akuna anae kuweza kwa sasa...salute Bro respect from +254
@abdillahialiy9511
3 жыл бұрын
jeshi hatari sio simba hana maajabu
@mamakeesha1461
3 жыл бұрын
Konde gang forever from 254
Jeshi ni fayaaa!!! Kwa alichokifanya nampongeza sana mi boyfriend wangu hata kupanda tu juu ya stuli anaogopa!! Anakuwa na wenge hatar ndo mana staki anibebe najua atanibwaga tu!!!
@godfreymakubo3692
3 жыл бұрын
Unamsema boyfriend wako mbele za watu?? Nitamwambia aiseewh Dada MARTHA
@marthaharmony5710
3 жыл бұрын
@@godfreymakubo3692 usimwambie plz ntakupa pipi
@hidayamwasha9409
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanmussa5828
3 жыл бұрын
Kaweza sana konde
@mapete2154
3 жыл бұрын
Achana nae uyo njo kwangu me
Wapi likes ya Konde boy jeshi
the real meaning of creativity🙌🏾
Konde tz. Hakuna anayekuweza, younger love u so much.
Likes zenu kwa kumpongeza Jeshi
sema jeshi umetisha simba hana ata maajabu nakukubali sana harmonize simba mwenywe akiona lazma agune kwanza
Daah hii show haichoshi kuangalia daah 2021 bado nipo naicheki👍
@neylathmtendanga5632
2 жыл бұрын
Me too😆😆🙌
@neylathmtendanga5632
Жыл бұрын
me too 2022
One of the greatest shows....am watching it 2023💚💛
kama hujuti kuwa konde gang mm like hapa tunjuane
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
sijuti na wala sitojuta ata wakimuweka wa 10 bora bado tutamsapot
Leo tena Kilele cha Wiki ya Mwananchi 29.8.2021 ahsante Mungu nimefika salama naiona tena Wananchi tuna jambo le2 💛💚🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Dah..! Uliua sana JESHI it was so amazing
Harmonize is a good artist, diamond a good entertainer but but alikiba is the best of all time trust me is the only king of bongo flavour.
@daviswagofya2191
3 жыл бұрын
Sure.
@hassanmussa5828
3 жыл бұрын
Kweli kabisa.....kikwete mwenyewwe kaliga makofi
Alafu kumbe ajadondoka kama ivo mnavoongea....jaman muacheni harmo
Nibonge la burudani, tena linakosha roho yaani dah
President kikwete was a soldier. He knew whats going to happen to harmonize.. its not easy he need military training for that shit ....
@musamgulila577
3 жыл бұрын
Exactly
Salut kwako kond geng umetisha.
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Saliluti kwa kudondoka au?
Wasafi waonyeshe ubabe wao kama watamfikia kamandah jeshi amkeni akili sio kuimba nyimbo za watoto hazielimishi chochote big up jeshi
@mercywamucii1786
3 жыл бұрын
Hata hazina mauthui
@mamakeesha1461
3 жыл бұрын
Wameskia,,konde for life
Bifu ya nini ahahahahaha mtoto kushindana na baba yake 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Jeshiii...from +254....i salute u konde boy ..🔥🔥🔥🔥🔥
Kusinzia leo nahama timu wasafi rasmi ni konde boy
Tanzania hakuna korona 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ,no mask, no social distance, no sanitanzer ... Gonga like apa.
Hongereni wana jagwani
@raymdingi2402
3 жыл бұрын
Kwakweli ilipendezaaa
@raymdingi2402
3 жыл бұрын
Kwakweli inapendezaaa
Wow naipenda sana yanga nawatakia mshinde jmn timu yangu msije mkaniangusha jmn yanga damu yangu
Umetisha baba
Akika naipenda yanga
Nakumbuk mwak 2007 tulipoanzish umiseta kubaha secondary muhshmiw Jakay alikuw mgen rasm nilipata zawad lkn walimu sio wat wazr
Naipenda yanga pamoja jeshiiii 👏👏
Amin kwamba ww ni jeshi kweli
Waliozingua kulee juu wameiachia kamba bila kipimo Ila konde kajitahidi sana hongera KondeBoy
Konde boy jeshiiiiiiiiiiii
Bigup sana kwa Jeshi konde gang
Baba ni baba tu simba 4life
Nzuri ❤️ 💯 One love Africa
Yanga hoeeeeeeeeeee
yanga juu
Umetisha jeshiiii
@danieltarimo9771
3 жыл бұрын
KBisaaaa
You're amazing konde boy❤❤we ni jeshi nimekubali💯
Kode boy for life
@kendrickpernkis148
3 жыл бұрын
Huyo ni jesh kwel jaman
Safi sana konde umewashangaza wa2 kila mtu alitaka kujua utakyjaje
@noahkilongo3274
3 жыл бұрын
Nice
Hongel xan yanga
Asante sana kwa matangazo yenu tunawapata vizur sana.
Konde boy mjeda wa ukweliiii
konde unamkosea heshima baba ako mondi...bt big up bro! unaweza.
Naipenda Sana Yanga
Simba achen wivuuuu
safi lkn alihatarisha maisha yake,tushukuru mungu tu haijawa noma
@ayushjhay4361
2 жыл бұрын
tena asirudie wallah
Ile kamba kuna watu wanamshusha sio kwamba anajishusha mwenyewe waliomshusha ndio wamezingua wamemshusha Kwa spidi...
HERE AGAIN 2024
Hongera sana Rajabu Umefanya kitu unique
Mm nipo Congo nakubal mziki wa konde boy
konde boy jeshi saluti
watu waongo ety alidondoka wapi mbona sjaona
Big up sana sana sana Harmonize Umeua broo
2021 wananchi 💚💛
Unajua mpaka bax wananichi hatujutii kuwa na TEMBOOO TEMBOOO jeshii
@abdillahialiy9511
3 жыл бұрын
jeshi hatri sio simba shoga kazi kuzunguka tu uwanja
@johneliuteri3796
3 жыл бұрын
Haijawahi kufeli
kazi nzuri konde boy
Konde Boy Mnyama
Umenpa raha sana konde boy
Hiisiku ndo harmo alijipatia wafuasiwengi kwa show yakibabe
Hainistui...team konde gang hapa
Pamoja
Salamu kwa wa Tanzania ,sisi twauona huku Mozambique
Jesh
#Oyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooo #jeeeeeeeshiiii
Jeshiiii konde boy jeshiiii tembo ni tembo
Hongeni wananchi
Atari sana
Daaa AISSEH raha tupu👌👌Hamo Yanga daima mbele
Nimeipenda sana
Watani Kama mnatambika !!!!
24:09 mki muangalia jeshi vizuri ka fanana Iddi hamini😁😁😁
@abuykhalifa7886
3 жыл бұрын
Hahaha
@djb2kzer0
3 жыл бұрын
Abuy Khalifa 😁😁😁
@zalkiabendera5086
3 жыл бұрын
Hahahahaaakweli
Jeshiii!!!!...
Very nice
Very good Konde Gan
Respect Jeshi
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Mpaka poda hawezi kuwa JESHI na ndio maana kanasia juu ya Kamba na kudondoka Kama gunia la mavi chunga Sana hizi kazi zinawenyewe iwefundisho
@sylviah9666
3 жыл бұрын
@@kakorejrboyz6447 nawe washindia tu gunia la mavi,,,I don't blame u, that's what fills ur head,,
Ok
Tanzania mu mefika mbali kwabuludani kabisa!Nawapenda sana
Hongera umeuwa
Unaiwakilxha vyema xn kusin broo hnger xn
Uto msikilizeni Mheshimiwa vyema vyie acheni kucheza mpira wa mdomoni 😂😂😂😂😂😂
Bwana mm si shabiki,ila uwanja umejaa vibbaya mnooo kuliko Simba jamani tuseme ukweli hapo
Skip to 17:00 to save time 😉😉😉
Simbaaa all the way up
Mjeshi
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Mjeshi gani aliyeshindwa kushuka kwenye kamba mpaka amedondoka Kama gunia hizi kazi zinawenyewe sio wapaka poda❌❌❌🇹🇷🇹🇷🇹🇷🇹🇷🇹🇷🙆🙆🙆🙆🙆
Safi
Unaonyesha Sana watu kuliko kinachoendelea uwanjan bn we
Jeshiiiii
🔥🔥🔥🔥