Konde Boy Harmonize akwea waya kama komandoo Siku ya Mwananchi

Спорт

TUKIO ZIMA: Tazama jinsi #Harmonize alivyowa-surprise wananchi akishuka #MkapaStadium kikomandoo.
#AzamSportsHD
#WikiYaMwananchi #SikuYaMwananchi #WikiendiKubwa #TunaanzaMsimuMpya #TunaJamboLetu #YangaSC #TimuYaWananchi #SikuYaWananchi #AigleNoir #MkapaStadium
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 558

  • @venancekavishe9823
    @venancekavishe98233 жыл бұрын

    Hakuna kama YANGA TANZANIA hii, Wamefunika💛💚

  • @hadsonsangala3083
    @hadsonsangala30833 жыл бұрын

    Huyi konde walah ni sayari nyingine kabisa👏👏👏

  • @maulidlle4347

    @maulidlle4347

    3 жыл бұрын

    @Rodrigo Brendan aaakhhkaaaaa

  • @maulidlle4347

    @maulidlle4347

    3 жыл бұрын

    @Rodrigo Brendan 9aaa

  • @youngleader8656
    @youngleader86563 жыл бұрын

    Kwa mtu asiye namafunzo ya kijeshi harmonize kajitahidi sana good adea

  • @jayclassic5164

    @jayclassic5164

    3 жыл бұрын

    Wanopenda kusema anaiga wako wapi

  • @hassanovajunior6972

    @hassanovajunior6972

    3 жыл бұрын

    Kajitahidi sana aisee

  • @sheilahabbas972

    @sheilahabbas972

    3 жыл бұрын

    Sana kajitaidi wao waosema ata kupita juu ya matofali hawezi

  • @charlesnjige2976

    @charlesnjige2976

    3 жыл бұрын

    Kwer nijeshi 💂💂💂💂👮👮👮👮👮

  • @mussachristopher6103
    @mussachristopher61033 жыл бұрын

    Yangaaaaa konde boy jexhiiiii

  • @juliuskinuthia2240
    @juliuskinuthia22403 жыл бұрын

    Tanzania mpo mbele sana, Mungu awajali mengi 🙏🙏

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69723 жыл бұрын

    JESHIIIII🐘🐘🐘🐘🐘🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @pauljohn1443
    @pauljohn14433 жыл бұрын

    Salut kwako konde boy mwenyewe

  • @rashirdissa5952
    @rashirdissa59523 жыл бұрын

    Konde Boy oyooooo

  • @revocatusadrian5750
    @revocatusadrian57503 жыл бұрын

    Ukiskia show ya kibabe ndio hiii... Shkamoo jeshiiiiiiiiiiii."#sihami_yanga

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu67983 жыл бұрын

    Penye ukweli tuseme ukweli tuache ushabiki watanzania ni wamoja ila dogo hamonaize kafunika mbaya nawapenda wote

  • @gabrielpetermkezessebuliba6721

    @gabrielpetermkezessebuliba6721

    3 жыл бұрын

    Akika konde boy ninoma

  • @arnoldiba1613
    @arnoldiba16133 жыл бұрын

    Hey everyone I'm Congolese but I love so much the Tanzanians

  • @salimali7930
    @salimali79303 жыл бұрын

    Konde ume maliza mchezo uko akuna anae kuweza kwa sasa...salute Bro respect from +254

  • @abdillahialiy9511

    @abdillahialiy9511

    3 жыл бұрын

    jeshi hatari sio simba hana maajabu

  • @mamakeesha1461

    @mamakeesha1461

    3 жыл бұрын

    Konde gang forever from 254

  • @marthaharmony5710
    @marthaharmony57103 жыл бұрын

    Jeshi ni fayaaa!!! Kwa alichokifanya nampongeza sana mi boyfriend wangu hata kupanda tu juu ya stuli anaogopa!! Anakuwa na wenge hatar ndo mana staki anibebe najua atanibwaga tu!!!

  • @godfreymakubo3692

    @godfreymakubo3692

    3 жыл бұрын

    Unamsema boyfriend wako mbele za watu?? Nitamwambia aiseewh Dada MARTHA

  • @marthaharmony5710

    @marthaharmony5710

    3 жыл бұрын

    @@godfreymakubo3692 usimwambie plz ntakupa pipi

  • @hidayamwasha9409

    @hidayamwasha9409

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hassanmussa5828

    @hassanmussa5828

    3 жыл бұрын

    Kaweza sana konde

  • @mapete2154

    @mapete2154

    3 жыл бұрын

    Achana nae uyo njo kwangu me

  • @lochucheddymon4065
    @lochucheddymon40653 жыл бұрын

    Wapi likes ya Konde boy jeshi

  • @bibomax4273
    @bibomax42733 жыл бұрын

    the real meaning of creativity🙌🏾

  • @mohamedimneka5871
    @mohamedimneka58713 жыл бұрын

    Konde tz. Hakuna anayekuweza, younger love u so much.

  • @ttt-zs8id
    @ttt-zs8id3 жыл бұрын

    Likes zenu kwa kumpongeza Jeshi

  • @abdillahialiy9511
    @abdillahialiy95113 жыл бұрын

    sema jeshi umetisha simba hana ata maajabu nakukubali sana harmonize simba mwenywe akiona lazma agune kwanza

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji1183 жыл бұрын

    Daah hii show haichoshi kuangalia daah 2021 bado nipo naicheki👍

  • @neylathmtendanga5632

    @neylathmtendanga5632

    2 жыл бұрын

    Me too😆😆🙌

  • @neylathmtendanga5632

    @neylathmtendanga5632

    Жыл бұрын

    me too 2022

  • @mgeleka2378
    @mgeleka2378 Жыл бұрын

    One of the greatest shows....am watching it 2023💚💛

  • @fadhiliboy1412
    @fadhiliboy14123 жыл бұрын

    kama hujuti kuwa konde gang mm like hapa tunjuane

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    sijuti na wala sitojuta ata wakimuweka wa 10 bora bado tutamsapot

  • @elizerbethmichael9992
    @elizerbethmichael99922 жыл бұрын

    Leo tena Kilele cha Wiki ya Mwananchi 29.8.2021 ahsante Mungu nimefika salama naiona tena Wananchi tuna jambo le2 💛💚🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @siafuvideo2541
    @siafuvideo25413 жыл бұрын

    Dah..! Uliua sana JESHI it was so amazing

  • @twabapamogospelzambia
    @twabapamogospelzambia3 жыл бұрын

    Harmonize is a good artist, diamond a good entertainer but but alikiba is the best of all time trust me is the only king of bongo flavour.

  • @daviswagofya2191

    @daviswagofya2191

    3 жыл бұрын

    Sure.

  • @hassanmussa5828

    @hassanmussa5828

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa.....kikwete mwenyewwe kaliga makofi

  • @hassanmussa5828
    @hassanmussa58283 жыл бұрын

    Alafu kumbe ajadondoka kama ivo mnavoongea....jaman muacheni harmo

  • @jeniphamyale9489
    @jeniphamyale94893 жыл бұрын

    Nibonge la burudani, tena linakosha roho yaani dah

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji71493 жыл бұрын

    President kikwete was a soldier. He knew whats going to happen to harmonize.. its not easy he need military training for that shit ....

  • @musamgulila577

    @musamgulila577

    3 жыл бұрын

    Exactly

  • @mohammediswalehe7126
    @mohammediswalehe71263 жыл бұрын

    Salut kwako kond geng umetisha.

  • @kakorejrboyz6447

    @kakorejrboyz6447

    3 жыл бұрын

    Saliluti kwa kudondoka au?

  • @harlequinzuller971
    @harlequinzuller9713 жыл бұрын

    Wasafi waonyeshe ubabe wao kama watamfikia kamandah jeshi amkeni akili sio kuimba nyimbo za watoto hazielimishi chochote big up jeshi

  • @mercywamucii1786

    @mercywamucii1786

    3 жыл бұрын

    Hata hazina mauthui

  • @mamakeesha1461

    @mamakeesha1461

    3 жыл бұрын

    Wameskia,,konde for life

  • @simbaramadhan6607
    @simbaramadhan66073 жыл бұрын

    Bifu ya nini ahahahahaha mtoto kushindana na baba yake 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @gorginamakau7089
    @gorginamakau70893 жыл бұрын

    Jeshiii...from +254....i salute u konde boy ..🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kilimileally4866
    @kilimileally48663 жыл бұрын

    Kusinzia leo nahama timu wasafi rasmi ni konde boy

  • @jackgodgivenzihindula
    @jackgodgivenzihindula3 жыл бұрын

    Tanzania hakuna korona 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ,no mask, no social distance, no sanitanzer ... Gonga like apa.

  • @emanuelnyanja7558
    @emanuelnyanja75583 жыл бұрын

    Hongereni wana jagwani

  • @raymdingi2402

    @raymdingi2402

    3 жыл бұрын

    Kwakweli ilipendezaaa

  • @raymdingi2402

    @raymdingi2402

    3 жыл бұрын

    Kwakweli inapendezaaa

  • @rizikifuraha9952
    @rizikifuraha9952 Жыл бұрын

    Wow naipenda sana yanga nawatakia mshinde jmn timu yangu msije mkaniangusha jmn yanga damu yangu

  • @getrudadavid6500
    @getrudadavid65003 жыл бұрын

    Umetisha baba

  • @gabrielpetermkezessebuliba6721
    @gabrielpetermkezessebuliba67213 жыл бұрын

    Akika naipenda yanga

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi82163 жыл бұрын

    Nakumbuk mwak 2007 tulipoanzish umiseta kubaha secondary muhshmiw Jakay alikuw mgen rasm nilipata zawad lkn walimu sio wat wazr

  • @anoldimajaliwa805
    @anoldimajaliwa8053 жыл бұрын

    Naipenda yanga pamoja jeshiiii 👏👏

  • @emmanuelmsumba4742
    @emmanuelmsumba47423 жыл бұрын

    Amin kwamba ww ni jeshi kweli

  • @poizon834
    @poizon8343 жыл бұрын

    Waliozingua kulee juu wameiachia kamba bila kipimo Ila konde kajitahidi sana hongera KondeBoy

  • @sheilahabbas972
    @sheilahabbas9723 жыл бұрын

    Konde boy jeshiiiiiiiiiiii

  • @sudisaidi9420
    @sudisaidi94203 жыл бұрын

    Bigup sana kwa Jeshi konde gang

  • @ezekieladam7007
    @ezekieladam70073 жыл бұрын

    Baba ni baba tu simba 4life

  • @bong2020able
    @bong2020able3 жыл бұрын

    Nzuri ❤️ 💯 One love Africa

  • @emmydaniel181
    @emmydaniel1813 жыл бұрын

    Yanga hoeeeeeeeeeee

  • @jacksonluzwiro9374
    @jacksonluzwiro93743 жыл бұрын

    yanga juu

  • @Beatricevalley15
    @Beatricevalley153 жыл бұрын

    Umetisha jeshiiii

  • @danieltarimo9771

    @danieltarimo9771

    3 жыл бұрын

    KBisaaaa

  • @Penda997
    @Penda9972 ай бұрын

    You're amazing konde boy❤❤we ni jeshi nimekubali💯

  • @ntalikimkama7317
    @ntalikimkama73173 жыл бұрын

    Kode boy for life

  • @kendrickpernkis148

    @kendrickpernkis148

    3 жыл бұрын

    Huyo ni jesh kwel jaman

  • @annasalum9825
    @annasalum98253 жыл бұрын

    Safi sana konde umewashangaza wa2 kila mtu alitaka kujua utakyjaje

  • @noahkilongo3274

    @noahkilongo3274

    3 жыл бұрын

    Nice

  • @oscarmicke9363
    @oscarmicke93633 жыл бұрын

    Hongel xan yanga

  • @jamesyusuph1288
    @jamesyusuph12883 жыл бұрын

    Asante sana kwa matangazo yenu tunawapata vizur sana.

  • @omarymwande6935
    @omarymwande69353 жыл бұрын

    Konde boy mjeda wa ukweliiii

  • @abbasmohamed5066
    @abbasmohamed50663 жыл бұрын

    konde unamkosea heshima baba ako mondi...bt big up bro! unaweza.

  • @sophiaathumani9939
    @sophiaathumani99393 жыл бұрын

    Naipenda Sana Yanga

  • @addelineantony3622
    @addelineantony36223 жыл бұрын

    Simba achen wivuuuu

  • @sussanreuben8200
    @sussanreuben82003 жыл бұрын

    safi lkn alihatarisha maisha yake,tushukuru mungu tu haijawa noma

  • @ayushjhay4361

    @ayushjhay4361

    2 жыл бұрын

    tena asirudie wallah

  • @odaxkasita8264
    @odaxkasita82643 жыл бұрын

    Ile kamba kuna watu wanamshusha sio kwamba anajishusha mwenyewe waliomshusha ndio wamezingua wamemshusha Kwa spidi...

  • @bullychandy6509
    @bullychandy65093 ай бұрын

    HERE AGAIN 2024

  • @aishakombo2037
    @aishakombo20373 жыл бұрын

    Hongera sana Rajabu Umefanya kitu unique

  • @hininikigufa9775
    @hininikigufa97753 жыл бұрын

    Mm nipo Congo nakubal mziki wa konde boy

  • @fanakalusinje8827
    @fanakalusinje88273 жыл бұрын

    konde boy jeshi saluti

  • @noelkihwelo3649
    @noelkihwelo36493 жыл бұрын

    watu waongo ety alidondoka wapi mbona sjaona

  • @siafuvideo2541
    @siafuvideo25413 жыл бұрын

    Big up sana sana sana Harmonize Umeua broo

  • @neylathmtendanga5632
    @neylathmtendanga56322 жыл бұрын

    2021 wananchi 💚💛

  • @ntalikimkama7317
    @ntalikimkama73173 жыл бұрын

    Unajua mpaka bax wananichi hatujutii kuwa na TEMBOOO TEMBOOO jeshii

  • @abdillahialiy9511

    @abdillahialiy9511

    3 жыл бұрын

    jeshi hatri sio simba shoga kazi kuzunguka tu uwanja

  • @johneliuteri3796

    @johneliuteri3796

    3 жыл бұрын

    Haijawahi kufeli

  • @elinlinus5786
    @elinlinus57863 жыл бұрын

    kazi nzuri konde boy

  • @siafuvideo2541
    @siafuvideo25413 жыл бұрын

    Konde Boy Mnyama

  • @happycharles9019
    @happycharles90193 жыл бұрын

    Umenpa raha sana konde boy

  • @jacksonsilvester4518
    @jacksonsilvester4518 Жыл бұрын

    Hiisiku ndo harmo alijipatia wafuasiwengi kwa show yakibabe

  • @ryankangwana9312
    @ryankangwana93123 жыл бұрын

    Hainistui...team konde gang hapa

  • @issajuma5251
    @issajuma52513 жыл бұрын

    Pamoja

  • @zamudasaide2647
    @zamudasaide26473 жыл бұрын

    Salamu kwa wa Tanzania ,sisi twauona huku Mozambique

  • @jonaswiliamwiliam988
    @jonaswiliamwiliam9883 жыл бұрын

    Jesh

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey703 жыл бұрын

    #Oyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooo #jeeeeeeeshiiii

  • @jamspili9606
    @jamspili96063 жыл бұрын

    Jeshiiii konde boy jeshiiii tembo ni tembo

  • @ErickSawe-ff3kw
    @ErickSawe-ff3kwАй бұрын

    Hongeni wananchi

  • @petetndenga35
    @petetndenga353 жыл бұрын

    Atari sana

  • @africandarling6925
    @africandarling69253 жыл бұрын

    Daaa AISSEH raha tupu👌👌Hamo Yanga daima mbele

  • @mohamedabdalah9124
    @mohamedabdalah91243 жыл бұрын

    Nimeipenda sana

  • @kikotijoseph6942
    @kikotijoseph69423 жыл бұрын

    Watani Kama mnatambika !!!!

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer03 жыл бұрын

    24:09 mki muangalia jeshi vizuri ka fanana Iddi hamini😁😁😁

  • @abuykhalifa7886

    @abuykhalifa7886

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @djb2kzer0

    @djb2kzer0

    3 жыл бұрын

    Abuy Khalifa 😁😁😁

  • @zalkiabendera5086

    @zalkiabendera5086

    3 жыл бұрын

    Hahahahaaakweli

  • @mcharmo2544
    @mcharmo25443 жыл бұрын

    Jeshiii!!!!...

  • @hoseakagusa4011
    @hoseakagusa40113 жыл бұрын

    Very nice

  • @jumanampambu3252
    @jumanampambu32523 жыл бұрын

    Very good Konde Gan

  • @johncharles5575
    @johncharles55753 жыл бұрын

    Respect Jeshi

  • @kakorejrboyz6447

    @kakorejrboyz6447

    3 жыл бұрын

    Mpaka poda hawezi kuwa JESHI na ndio maana kanasia juu ya Kamba na kudondoka Kama gunia la mavi chunga Sana hizi kazi zinawenyewe iwefundisho

  • @sylviah9666

    @sylviah9666

    3 жыл бұрын

    @@kakorejrboyz6447 nawe washindia tu gunia la mavi,,,I don't blame u, that's what fills ur head,,

  • @nduwamunguamuri8454
    @nduwamunguamuri84543 жыл бұрын

    Ok

  • @ernestciza4315
    @ernestciza43153 жыл бұрын

    Tanzania mu mefika mbali kwabuludani kabisa!Nawapenda sana

  • @annamilio9706
    @annamilio97063 жыл бұрын

    Hongera umeuwa

  • @alifemkumba2115
    @alifemkumba21153 жыл бұрын

    Unaiwakilxha vyema xn kusin broo hnger xn

  • @Joekwid960
    @Joekwid9603 жыл бұрын

    Uto msikilizeni Mheshimiwa vyema vyie acheni kucheza mpira wa mdomoni 😂😂😂😂😂😂

  • @fettyally333
    @fettyally3333 жыл бұрын

    Bwana mm si shabiki,ila uwanja umejaa vibbaya mnooo kuliko Simba jamani tuseme ukweli hapo

  • @MachariaWaKamauTV
    @MachariaWaKamauTV3 жыл бұрын

    Skip to 17:00 to save time 😉😉😉

  • @edanangila6912
    @edanangila69123 жыл бұрын

    Simbaaa all the way up

  • @suleimansuleiman6647
    @suleimansuleiman66473 жыл бұрын

    Mjeshi

  • @kakorejrboyz6447

    @kakorejrboyz6447

    3 жыл бұрын

    Mjeshi gani aliyeshindwa kushuka kwenye kamba mpaka amedondoka Kama gunia hizi kazi zinawenyewe sio wapaka poda❌❌❌🇹🇷🇹🇷🇹🇷🇹🇷🇹🇷🙆🙆🙆🙆🙆

  • @hayransalum9613
    @hayransalum96133 жыл бұрын

    Safi

  • @michaelluvanga7229
    @michaelluvanga72293 жыл бұрын

    Unaonyesha Sana watu kuliko kinachoendelea uwanjan bn we

  • @jonijostopper8164
    @jonijostopper81643 жыл бұрын

    Jeshiiiii

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu30653 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

Келесі