Mtanzania anayecheza soka la Kulipwa Ubelgiji ,Mbwana Samata amefunguka Kuhusu Kunyimwa Pasi na Jack Grealish
Жүктеу.....
Пікірлер: 17
@johnluvanda Жыл бұрын
Interview zuri sanaaa sema kiamo una maswali marefu sanaa alf sauti haukazi samata ni very professional
@shabanimwinyikhery1174 Жыл бұрын
Samagooo uko vizurii
@iddimasika1173 Жыл бұрын
Wabongo muwache ushambaa sasa hao walinzi wakaz gn hp
@jumakalinga2812 Жыл бұрын
Huna baya mwamba nakubali kinoma ila umeniuzi umetukataa wanao wa Simba sports
@mkalisantosTV Жыл бұрын
very humblee
@eliazarinyakiema196911 ай бұрын
Vip kuhusu ugali wa udaga au mtama pamoja na kichuli. Ulaya vipo?
@abdallahomary515 Жыл бұрын
Kweli hajitumi kama msuva huyo
@Ambagaye Жыл бұрын
Intareview ni nzuri ila hao walinzi hapo nyuma yake ni feki sana.
@Lassana755 Жыл бұрын
Muongo wali upo kibao
@MuhammadHassan-xp6dc
Жыл бұрын
hajasema kama haupo bali kasema hauwezi kukuta wali ndondo yani wali maharage
@mariamdimosso621
Жыл бұрын
Sa ndondo si unapika na kuna hotell kibao za waswahili watu kutoka east Africa
@fettymilly7664
Жыл бұрын
Muwe mna sikiliza interview vzur kabla amjaja kucomment
@anthonydcosta-hh7lu Жыл бұрын
Hakuna chips 😂😂😂😂😂😂 kumbe ukika ulaya unauweza wa kudanganya
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Hadanganyi ni kweli wali nyama yao dah! Hovyo sana hapa yenywe nasikia njaa balaa lakini nikiwaza kwenda reastaurant ni changamoto kupika mvivu chipsi yai labda upike mwenyewe au ukute chipsi tatu nne ukinunua shawarma ama berbeque
Пікірлер: 17
Interview zuri sanaaa sema kiamo una maswali marefu sanaa alf sauti haukazi samata ni very professional
Samagooo uko vizurii
Wabongo muwache ushambaa sasa hao walinzi wakaz gn hp
Huna baya mwamba nakubali kinoma ila umeniuzi umetukataa wanao wa Simba sports
very humblee
Vip kuhusu ugali wa udaga au mtama pamoja na kichuli. Ulaya vipo?
Kweli hajitumi kama msuva huyo
Intareview ni nzuri ila hao walinzi hapo nyuma yake ni feki sana.
Muongo wali upo kibao
@MuhammadHassan-xp6dc
Жыл бұрын
hajasema kama haupo bali kasema hauwezi kukuta wali ndondo yani wali maharage
@mariamdimosso621
Жыл бұрын
Sa ndondo si unapika na kuna hotell kibao za waswahili watu kutoka east Africa
@fettymilly7664
Жыл бұрын
Muwe mna sikiliza interview vzur kabla amjaja kucomment
Hakuna chips 😂😂😂😂😂😂 kumbe ukika ulaya unauweza wa kudanganya
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Hadanganyi ni kweli wali nyama yao dah! Hovyo sana hapa yenywe nasikia njaa balaa lakini nikiwaza kwenda reastaurant ni changamoto kupika mvivu chipsi yai labda upike mwenyewe au ukute chipsi tatu nne ukinunua shawarma ama berbeque
@mariamdimosso621
Жыл бұрын
Chips zipo ubwabwa
Muongo wali upo tena kibao
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
Hujamuelewa