Salama Na SAMATTA SE6 EP49 | HEADMASTER PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kila kijana wa ki Tanzania ambae anaupenda na kuuthamini mpira wa miguu na ambaye angependa ndo iwe kazi ya maisha yake basi Mbwana Ally Samatta ndiye role model wake, hakuna doubt kwamba watakua na mapenzi na Cristiano Ronaldo au Leo Messi au Kylian Mbappe au Marcus Rashford ila yule ambaye amewaaminisha kwamba INAWEZEKANA ukacheza POPOTE hapa duniani na hasa kwenye ligi yetu pendwa ya Uingereza ni Samatta. Rafiki tu kutoka Mbagala rangi tatu ambaye kashacheza saaana ndondo na makombe ya mbuzi wakati anakua na mwisho wa siku akaenda kucheza kwa wazungu na bado anaendelea kutafuta rizki yake huko, hata kama sio ligi ile ambayo hata yeye mwenyewe angependa awepo ila BADO ni MWAMBA wetu. Samatta huyu huyu ndo ambaye alijitwika mpira kichwani na kuitika nyavuni mbele ya beki ambae anaaminika kuwa BORA kwa misimu hii miwili mitatu ndani ya Virgil van Dijk. Hata wakati naandika hii bado mwili unanisisimka kwa wazo tu kwamba nililishuhudia lile, pata picha kwa mtoto ambaye ana ndoto hizo. Lile goli lilimfanyia NINI kwenye ndoto zake. KRC Genk walipoteza mchezo ule wa ugenini wa kombe la mabingwa wa Ulaya kwa magoli 2-1 ila kwenye mitaa yote ya mikoa ya Tanzania ile mechi ilikua ya USHINDI.
Mbwana ametokea kwenye familia ya kawaida sana sana, wazazi wake wote kama kumbukumbu yangu itakua 100 basi walikua polisi, najua kwa hakika Baba yake alikua Polisi kwa asilimia 100. Kwa marehemu Bi Mkubwa wake ndo sina hakika sana ila kwa hakika jibu limo kwenye haya maongezi yetu. Anakumbuka jinsi ambavyo Mzee wake alikua anasisitiza kwenye suala la elimu na heshima, kama mtoto wa mwisho kwenye familia hiyo, Mbwana aliupenda sana mpira, zile za kujiiba na kwenda kucheza mechi za mbali alishafanya sana na matunda ndo haya ya leo. Nadhani ilifika kipindi Mzee mwenyewe aliona basi sawa, twende huko utakako. Familia yao yote ni wapenzi wa mpira na Kaka yake Mouhamed bado anacheza hapa hapa Tanzania. Sasa akiwa kama kioo kikubwa sana kwenye jamii hii Samatta anazungumzia presha ambayo hupewa hasa pale anapoitwa kwenye timu ya Taifa, jinsi maneno mengi ya kashfa yanaporushwa kwake kutoka kwa wananchi na anakumbuka pia wakati bado anacheza T.P Mazembe kuna kipindi kocha aliacha kumuita yeye na Rafiki yake Thomas Ulimwenguna ilisemekana kama pengine hakuna na interest na team au hakua anatoa 100. Pengine kipindi hicho aliumia zaidi maana hiyo haikua jambo zuri kwake.
Mbwana anazungumza na mimi kuhusu urafiki wake na Ulimwengu na maisha ambayo walikua wanaishi pamoja wakati wako DRC, anakumbuka jinsi walivyokua wanapanga kufanikiwa pamoja na mipango yao endelevu kwenye career yao. Ulimwengu nae ana siku yake kwenye kiti chetu In Shaa Allah maana nae ana mengi ya kutuelezea. Majeraha ya mara kwa mara bila ya shaka yalisababisha kwa kiasi kikubwa ndoto zake za kucheza Ulaya kutochukua hatua ya juu kama ambavyo angependa, ila mimi naamini hayo yote maisha tu, kila kitu kilikua tayari kimesha andikwa.
Samatta ni Baba ambaye watoto wake wanasoma hapa hapa nyumbani, nilimuuliza kama watoto wake wanajua yeye ni nani na akanipa story ndogo ya yeye kung’amua kama wanafahamu fika Baba yao ni nani.
Mwenzangu humu kuna mengi sana ambayo yatakufaa na kwa nafasi ya kipekee ningependa kumshukuru Captain wa Taifa kwa kuchukua time kwenye ratiba yake ambayo ilikua imebana kweli kweli ili tu aje kutubarikia meza yetu kwa uwepo wake.
Yangu matumaini uta enjoy sana.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 134
Kama bado unamkubali huyu jamaa gonga like twenzetu
Santa very humble and peaceful guy naona ananyayo kama za Ali hana mbwembwe and that's why he's unique ❤hii sampuli ndio kio cha jamii
The first ever sensible young Tanzanian born and raised in Tanzania. Proud of who you have become.
@JJ-sx7ne
Жыл бұрын
Labda wewe kingereza hakipo kabisa! 98% kaongea kiswahili..
Baada ile ya Jakaya....Hii tena umefanya kubwa Salama🙌⚽️💪
Big up kwa Salama kuweza kutuletea Samatta. Anaongea mambo mengi mazuri ya mfano kwa vijana wetu kwa soka letu. Ila suala la maadili sikubaliani naye aliposema ni yeye mwenyewe. Bila shaka maadili yake mazuri yamejengwa ktk familia yao (baba na mama) na hususan kwakuwa ni familia ya kipolisi, timu alizopitia hapa bongo na tamaduni zetu za kitanzania. Sisi watanzania tupo vizuri kimaadili kuliko baadhi ya watu wa mataifa mengi. Kila la heri kwake na Salama.
Huyu mwanamme mbona best baba! Ni kioo cha jamii..... Vijana wajifunze kupitia tabia yake.... Ahsante Salama kumtafuta...
Hes very humble like Ali Kiba...much love from🇶🇦🇶🇦
@mnasicafe1319
Жыл бұрын
Yeah
@GodfreyPaul
Жыл бұрын
Much appreciation for your popa🔥🔥🔥
Mungu amempa uwezo ila hapendi show off anaishi kama Ali kiba good bless you
@nellymatalanga5033
Жыл бұрын
You are ths two people wamebarikiwa but wako humble na down to earth
@mzirairebeca9996
Жыл бұрын
Nature ya kazi yake pia
@mzirairebeca9996
Жыл бұрын
Ukiwa msanii makelele hayakwepeki
@silvanusremmy9575
Жыл бұрын
Sasa Alikiba ametokea wapi. Acha makasiliko 😀
Fantastic interview big up sister Salama 2023
Ulivofanya interview na Idris, nilitamani ufanye na Samatta as well. Nilivyoona hii leo, ilinikosha sana kwani Samatta ni nguli na role model to a lot of us young footballers. I am currently playing my football in The Thailand 3rd division and I dream one day not only to replicate the legend’s work but also I dream of being part of this show. Thank you Salama and Samatta for this wonderful interview
@Chemba67
Жыл бұрын
Keep it up Hanssen Benson.......your name sound Danish.......
@allahisone6386
Жыл бұрын
@Hanssen God bless you ❤️🙏❤️
SAMATA NA KING KIBA ALLAH BLESS YOU OTHER CELEBRITIES THEY HAVE TO COPE FROM YOU
The best interview Hey kenyans give likes for it
Salama Hongera Sana. Nafatilia Sana Vipindi Vyako. Navipenda. 👍
Nina mwanangu anakupenda na anacheza mpila hatari Huwa anajiita samata, sapoti wanetu vijijin kaka nao watimize ndoto zao Allah akufanyie wepesi uzidi kung'ara
Bless captain Diego
Samanta MUNGU akubariki sana una busara sana
Aiseh! Jamaa Mbona Haongei Kingereza Kama Mimi Wakati Mimi Nimekaa Week Tu Nime Sahau Kiswahili 😁😁
@jackbujimu3220
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mie nimesoma tu English medium primary Ila mpka Sasa ninachanganya ngeli Kama nimeish mambele
Kama umegundua lafudhi ya samatta ishabadilika automatically kuwa ya kiingereza gonga like hapa😝
@navigatorelias9794
5 ай бұрын
Wewe acha zako babu, Asa si lazima hiyo hata wwe ukitoka kwenu huko dongo kusimamia ukija mjini lazima kiswahili chako kibadilike, so sielewi unataka kumaanisha nn
Waoooooo fantastic mr Samatta
Samatta anasound humble sana🔥🔥🔥
Nimechelewa sn kumjua samatta❤
I keep saying salama you got best questions for your guests.....you keep asking my questions every time i get time to see your sessions.....be blessed girl
kama baadhi ya majibu yanatakiwa Sana ili kutimiza mahojiano ni sawa ila kama sivyo, naomba salama punguza kujenga MASWALI yanayo mlazimu mtu ajibu katika mtazamo fulani.....awe huru tusitarajie atajibu nini I LOVE YOU SALAMA
This Guy is very humble and smart, he knows how to communicate
@ahmedjaffari9375
Жыл бұрын
Exactly… he is truly a professional footballer, may Almighty Allah bless him abundantly 🙏🏿
Best player ever ♥️🇹🇿
Mbwana unayo hekima na busara sana.safi sana.
Noma sana
Salama jabir Ur on 🔥🔥
mbagala boy
He's well programmed aisee
Your the best not just of luck but you deserve it keep up samatta
Capten Diego
Uyu yomuli Dar Es Salaam Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Legend Bro
Humble man...
Nilisubili Sanaa asante sanaa
Sam ✊🔨 keep it up bro unjua
leo salama na samata
Huna Baya bro
🔥🔥🔥🔥
Mimi mkenya Ila Huyu Jamaa namkubali🙌🏾⚽♥️⚽
@ramadhanmaisa788
Жыл бұрын
Hakun ulazim wa kusema ww n mkenya
Nakkubali sana
Woyoooo mbwana samatta😜😜😜
Waaaaoooh Asante kwa hii Salama
Naskia sauti ya ommy dimpoz zinafanana
Hyo ni nature ya intruvant peoples Huwa wanakuwa na rafiki wachche lkn wanapendwa na wengi na Huwa wanajifanyia maamuzi wenyewe na pia wapo focused na hutoboaa sanaaa.
Salama tunaomba ufanye interview na nadir haruob canavaro
Samagoal Mbagala Boy
Tz oneeee🔥🔥🔥🔥
Popa
MWAKINYO ANGEPATA NIDHAMU NA HESHIMA KAMA YA NDUGU NYETU SAMATTA ANGEFIKA ZAIDI YA ALIPO LEO.
@tztanzania2262
Жыл бұрын
Mbona na mwakinyo yupo fresh tu!
@barbarasara4033
Жыл бұрын
@@tztanzania2262 dharau nyingi
@mickidadybakari9974
Жыл бұрын
Mwakinyo mtu poa saaana kama utam chukulia poa ila kama ukiwa mduanzi utam hulia mbona ila ni mshikaji saaana tena zaid ya saaana
Mwamba kabsa
Samatta Goal 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huyu ni mimi kabisa hua naamua mwenyewe mambo yangu.
@tztanzania2262
Жыл бұрын
Usifanye hivyo mara zote jtahd baadhi ya mambo kuomba ushaur
Mwamba huyu ni hatari sana
Champion Boy 🇹🇿
#SalamaNaDrLeaky
Mbwana you are what your father and mother groomed you to be what you are. Be appreciative of your parents
@mashamassingisa8738
Жыл бұрын
True
@FranklinMtei
Жыл бұрын
Was looking for this. Kajikuza mwenyewe? Heshima kwa wazazi
SAMATTA 🔥🔥🔥 gonga like kwa mwamba
Dah Salama kwa kumleta salama umenitouch saaaana yan. Hebu pokea 10k la soda hapooo.
Aliifunga Liverpool 😁😁
Sama goal Sama Sama goal....
Sama goal Sama goal. You de best bro
Kipendacho moyo dawa
Home boi
Samatta mkali sana namkubali
Mlete mandonga salama
@henrymassawe699
Жыл бұрын
😁🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 hatavuruga interview aiseee!!!🤣🤣
Kaka yangu
Samagoal #hainakufel
WA kwanza leoooooo
SAMATTA anatabia kama zangu😁😁
Champs Boy
Laana ya wazazi ndio hiyo mitihani.
Kizaz san
Wanasema pesa ni sabuni ya roho
Nafurahia wewe kujenga msikiti
Yan pia salama leo ujui umulize nn..
Tuletee na pastor Tony kapola,
Salama mbona watukatisha?
Apo salama umenichanganya kabla amjaaanza nyuma muanze mbele mimi cjakuelewa kabisa
@walafredchikawe4113
Жыл бұрын
😂😂😂😂
ωχχ ο σαματαςς χαχα
Kwan jaman ilo neno shock mbona watu ulitumia vibaya
@Oldskulgemini9991
Жыл бұрын
SEMA hata wazungu hutumia Hilo neno mara nyingi Sana so Wala sio ajabu SEMA labda kwakuwa umeona wabongo pekee😅
@ahz6907
Жыл бұрын
Linatakiwa litumikaje?
@kamanziian1073
Жыл бұрын
Wewe ndo hulielewi
Apo mnatuchanganya Birmingham ipi sasa ya gwajima au?
@eddiearts3713
Жыл бұрын
birmingham ni mjini ndani ndio kuna club ya aston villa
@barbarasara4033
Жыл бұрын
Nakojoa. ..... Kwa kucheka
@mdalamgir-gu9hu
Жыл бұрын
Tatzo utembei nawala ulizi pia mitandao uoni
@denisruvugo1764
Жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahahahahaha
Wape points zao wazazi maana wao ndio source ya tabia yako
@mashamassingisa8738
Жыл бұрын
Masikito kua cjasikia hili kutoka kwake
@adamsengo1869
Жыл бұрын
@@mashamassingisa8738 eti ni yeye tu amejikuta yupo ivo yani kama vile alijikuza mwenyewe, naona kama vile kwa mbali ana katabia cha kujimwambafai flani hivi
@mashamassingisa8738
Жыл бұрын
Masikitiko makubwa kk
@izzi198
Жыл бұрын
angevuta bangi na kuwa teja mngewapa point wazaz wake? Acheni kushinikiza ujinga
@mashamassingisa8738
Жыл бұрын
@izzi haya kk uko vyema sana
kzread.info/dash/bejne/lIN3k7CLct3OgaQ.html Ujumbe wa wafanyakazi Kwa Mama samia
Bro umetupa funzo kubwa cc vijana, wewe nd mchezaji usie kuwa na wajivuno na nadir haruob Kwa maono yangu
Kwani wewe Salam,Nani huaga anakushauri kuwakandia vijana wenye talent za mziki?
mbona sama goal anajifanya kama hajui kiswahil vzr, yan kama ameish eurupe since he was childhood
@mdalamgir-gu9hu
Жыл бұрын
Kizungu gan kazumgumza apo izo actualy nyingi..
@bryanlimbi326
Жыл бұрын
Sasa he was childhood ndo nini ..!? , Jifunze grammar mbwa wewe
@timmahbee
Жыл бұрын
@@bryanlimbi326 ilikua na ulazima wa kumtukana????
@noelsanga6853
Жыл бұрын
@@timmahbee wivuuu tu unawasumbua
@anoldjefsta177
Жыл бұрын
@@bryanlimbi326 na aanze kubweka saivi
@samagoal77 #diego
Noma sana