FEI TOTO : MASHABIKI WANATHAMINI SANA WACHEZAJI WA KIGENI KULIKO SISI WAZAWA

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 118

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xvАй бұрын

    So kweli sisi tunashabikia mtu anayefanya vizuri natimu tunayoipenda

  • @madyuza4978
    @madyuza4978Ай бұрын

    This time mmezingua,, interview imefanyika week iliyopita mnaipost leo,, oya msituharibie image ya crown media

  • @user-tz8hj1sd5o

    @user-tz8hj1sd5o

    Ай бұрын

    Network mbaya🙈🙈🙈

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hpАй бұрын

    Fei uko vizuri endelea kupambana

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamangaАй бұрын

    Diara.Kwasi.msindo.bacca.Mandoza.Aucho.Pacome.Mdathiri.Guede.Fesal .Azizi key.....uko vizurii wewe ni Mkweli sana .......Kijana anaujua mpira na Ana macho

  • @festogangata7202
    @festogangata7202Ай бұрын

    Upo vizuri Fei

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6dАй бұрын

    FEISAL TOTO ndio mchezaji pekee anaejitambua kwa wachezaji wa ndani.. piga kazi FEI TOTO naamini utafika mbali sana na utakipiga nje REAL MADRID au ARSENAL inshaallah amiin..

  • @WinnieVenance
    @WinnieVenanceАй бұрын

    Feisal💥💥💥

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mcАй бұрын

    Jamani mpira siyo uadui , kuna maisha mengine baada ya mpira! Zama za fei na Yanga zilishapita, sasa yupo Azam hebu mwacheni ajitafute kijana ! sawa kakose lakini hakuna mkamilifu tunaishi katika mapungufu .

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263Ай бұрын

    Tunathamini wageni kwa sababu wanajua ethics na professionalism katika kazi yao. Hawagubikwi na jeuri, kiburi, dharau na majivuno. Wanaheshimu kazi, wanawahesshimu wananchi. Zaidi ya yote wana elimu na uzoefu wa kutosha wa kujufungamanisha (interaction) na jamii inayowazunguka. Hawa si mambumbumbu!

  • @muksinimbaruku1233

    @muksinimbaruku1233

    Ай бұрын

    Acha chuki Fala ww, vipi Dube, vipi mayele? vipo Enonga? Acha chuki tafuta hela

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    Ай бұрын

    Roho inawauma fei kuondoka yanga mna roho mbaya

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    Ай бұрын

    Yanga mna roho mbaya na mnarazimisha kubebwa Roho inawauma fei kuondoka yanga mna roho mbaya sana

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    Ай бұрын

    @@muksinimbaruku1233 Hoja hujibiwa kwa hoja kutukana na makasiriko yanadunisha uwezo wa kiakili wa kujenga hoja kimantiki. Kawaida tabia ya matusi humrejelea mwenyewe. Hivi hao uliyowataja ndiyo professionals pekee wanaocheza nchini? Mbona wako professionals wengi ambao wanalipwa chini ya ujira wanaopata wazawa? Kwanza professionals wanalipa kodi kubwa kwenye mishahara yao kuliko wazawa na gharama za vibali mfano working permit, nauli za kuwapeleka makwao wakati wa likizo au dharura, mbona hayo hamyaoni. Pili kazi yoyote ya ajira, ujira huzingatia mambo matatu ujuzi, muda na ñguvu ya akili inayotumika. Kama wachezaji wazawa wana vigezo hivyo wanashindwa nini kutoka nje nao wakacheze Mpira wa kulipwa wapate nao kulipwa vizuri sawa na professionals wengine? Uwezo huo hawana , badala yake wanakalia majungu, fitina na roho za kichawi! Nani kamzuia Fei kucheza mpira wa kulipwa? Je, ni Klabu gani ya nje imeisha muwania? Kwa kifuoi Hana vigezo,. Lakini badala ya kutafakari mapungufu yake anakalia majungu. Kama kweli ana machungu na kipato kidogo Cha wazawa aanze kwa kushawishi uongozi wa Azam wampunguzie mshahara na marupurupu ili alipwe sawa na wachezaji wazawa wenzake wa Azam.

  • @dreamleague-uq2gx

    @dreamleague-uq2gx

    Ай бұрын

    Takwimu zinaonesha wachezaji wakigeni ndo wachezaji wenye kiburi, jeuri, majivuno na zarau 🙏

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamiloАй бұрын

    Kiukwwli huyu Dogo Fei anajua sana.

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514Ай бұрын

    Fei mdogo wangu kuwa mstaarabu kunyamaza kimya kwa watu ni jawabu zuri..yapuuze japo yanakera subra yako ndio mafanikio kwako

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437Ай бұрын

    Good interview

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1oАй бұрын

    Mbona yanga wanamuimba Baka, Job, Mudathiri,Mzize na hata huyo Feisal mwenyewe waliimbwa sana, Timu uliyopo ndio kila kitu, Hivi nani anamuona Kipre Junior pale Azam? Hivi Fei anamkuta Kipre? Lkn timu aliyopo haina nguvu kabisa, wachambuzi ndio mnamuimba Wewe mtangazaji acha unafiki, Umemuambia ataje chake afu waweka chako

  • @TwalibKwelii

    @TwalibKwelii

    Ай бұрын

    Kipre ni mchezaj mzur ila anachelew kwenye maamuz kwa iyo anauwa xan mashambuliz ila fei anachez mpira wa akili xan atachelew kuumiy na atafik mbali coz anachez mpira wa kikubwa xan

  • @user-kk3tv6kw1o

    @user-kk3tv6kw1o

    Ай бұрын

    @@TwalibKwelii AKILI?????

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061Ай бұрын

    Hajui kingereza huyoo

  • @WamburaBruno
    @WamburaBrunoАй бұрын

    nikweli watanzania wanayo tabia yakuwakubaliiii wachezaji wa kigeni?

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640Ай бұрын

    ❤❤

  • @cretrinomz
    @cretrinomzАй бұрын

    hongera sana

  • @danielkabambi4199
    @danielkabambi4199Ай бұрын

    Video quality

  • @godlovechambulila6997
    @godlovechambulila6997Ай бұрын

    Hamjuiiii

  • @makamezahoro8194
    @makamezahoro8194Ай бұрын

    Azam fey ndio amefanya makubwa kuliko alipokuwa lkn kama unajua mpira fkiria alichofanya

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416Ай бұрын

    🔥🔥

  • @user-nx8ll1sl6p
    @user-nx8ll1sl6pАй бұрын

  • @mnhambomapessa3948
    @mnhambomapessa3948Ай бұрын

    Yan hakukua na sababu yakuweka haya mahojiano wakati yanayo jadiliwa mengi yameshapita...kwa kweli crown media hapa mme puyanga

  • @Maro_tv05

    @Maro_tv05

    Ай бұрын

    Aisee kumbe ndo maana Yesu licha ya kufanya makubwa bado kuna wengne hawakuyasadiki

  • @jamesassanga8581
    @jamesassanga858129 күн бұрын

    Fei Bado anaupenzi sana na yanga

  • @MuddySanze
    @MuddySanzeАй бұрын

    Si kweli we mshamba kwani wakati upo yanga ulipendwa sasa haupo mashabiki wa yanga hawawezi kukupenda ipo hivyo huwezi kumpenda adui yako

  • @its.ramadjr751
    @its.ramadjr751Ай бұрын

    WA kwanza leo😊😊😊 ila hii mbona imechelewa asa

  • @vavalaifm544
    @vavalaifm544Ай бұрын

    Huwez kusaminika kama hufanyi vizuri na kuichafua tim hata siku mmoja

  • @YasinSheikika
    @YasinSheikikaАй бұрын

    Hana jipya huyo macho kulegea kunguni

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842Ай бұрын

    Kameanza sasa kulialia 😅😅😅 nidhamu kana sifuri haka katoto, vipi kuhusu kutunyamanzisha 😂😂😂😂

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhhАй бұрын

    Yan mnachelewa kupost mnazingua

  • @JamesPhiri-sz5qn
    @JamesPhiri-sz5qnАй бұрын

    Pablo 👑👑👑👑🇿🇲🇿🇲

  • @voicdesition897
    @voicdesition897Ай бұрын

    Nenda Pakistan

  • @oscarnevelle5472
    @oscarnevelle5472Ай бұрын

    Mwandishi wa habari unaongea sana ,uliza swali alafu subiri mtu ajibu.

  • @AliyussufMakame-js5dp
    @AliyussufMakame-js5dp29 күн бұрын

    Kila mtu anafuata masilai niache milione 16 kwa kupata milione 4 za Yanga

  • @shafiimsofe9975
    @shafiimsofe9975Ай бұрын

    Mbona ulithaminiwa kipindi uko yanga, umeondoka kwa vurugu watu wsiwathamini waliopo, hiyo kauli haiko sawa niya kibaguzi, wazenji achane tabia za kibaguzi , sasahivi mnaongea kauli za kibaguzi sana na kila mahali.

  • @ramamakelo3780

    @ramamakelo3780

    Ай бұрын

    Wazenji nuksi saana bro

  • @dunkchainz7237
    @dunkchainz7237Ай бұрын

    Media mpya simlaumu saana mwanahabari the way anauliza maswali… nmependezwa sana na the way Feisal amehandle interview… nmeona utofauti mkubwa sana tangu vuguvugu lake na wananchi lilivoisha… nkiwa kama shabiki wa Yanga nimktakiw kheri tu katika maisha yake… Lakini tutaendelea kumzomea hadi siku tutapochoka tutaacha 😂

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cuАй бұрын

    Si kweli kuwa mashabiki hawawapendi wazawa, akumbuke alivokuwa Yanga tulivokuwa tunamuimba na kumpenda. Asijisahaulishe.

  • @ce-08

    @ce-08

    Ай бұрын

    Lakin alvyokuja Aziz Ki tulimsusa Wala sio uongo

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa4361Ай бұрын

    Safi, lakin hatujuwi kw nin hamkuipost kw wakat, coz mnajua ikiisha tu interview ndan ya masaa kadhaa baad ya kurevew inatakiwa ipostiwe sasa sjuw nn kiliwakwmisha.

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090Ай бұрын

    Mwacheni kijana bado anajitafuta kimaisha....tulikuwa naye na sasa yupo Azam.....kila la heri Fei

  • @banjobeattz2858
    @banjobeattz2858Ай бұрын

    We mtangazaji bogazi uliza point man

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547Ай бұрын

    Siyo kweli! Huyu jamaa alikuwa akipendwa sana na washabiki wa Yanga kuliko wachezaji wa kigeni. Ila tamaa ilimfukuza.

  • @user-iy7xy1np7c

    @user-iy7xy1np7c

    Ай бұрын

    Sio tamaa ni maslahi!Hata ww ukipata deal zuri lenye maslahi kuliko hutoliacha ata siku moja

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387Ай бұрын

    Nishacheza mpira bongo ila fei kweye hizi timu,viongozi ni wale wale labda itokee miujiza.

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uhАй бұрын

    Ameshindwa kupata kiatu maana yy mama alimpa yeboyebo

  • @AbdulraufSalum
    @AbdulraufSalumАй бұрын

    Hii media ya kindezi San

  • @bernadking3835
    @bernadking3835Ай бұрын

    Iv Kuna shida gan mnapost interview nusu nusu aziji kwa wakat au mmetumwa kuarb crown yetu

  • @Breezy9757
    @Breezy9757Ай бұрын

    Ndio tunathamini wageni kwa sabab wnafanya vile washabiki tunataka

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995Ай бұрын

    Interview ya week juzi leo ndo mnapost ✍️✍️✍️

  • @seydouside4081
    @seydouside4081Ай бұрын

    Wageni hawatukani viongozi wao.

  • @ce-08

    @ce-08

    Ай бұрын

    Sasa c wanalipwa vizuri hata ww ukiwa top serikali unakula hela uwez kuona kama serikal inaviongoz Wala rushwa sababu ww umeshba

  • @user-wl3sv2xn9e

    @user-wl3sv2xn9e

    Ай бұрын

    Yes wageni wanajuta misingi ya mpira

  • @user-wl3sv2xn9e

    @user-wl3sv2xn9e

    Ай бұрын

    Wageni wanajuwa misingi ya mpira wa miguu

  • @ce-08

    @ce-08

    Ай бұрын

    @@user-wl3sv2xn9e sio kwel sema masrai Yao yanasikilizwa mbona wabongo waliopo nje wapo vizuri ni kwasababu wanajaliwa tu hata hao wageni wenyewe wengine shida msiwajal muone Kwan mara ngap wagen wamezishitak timu zetu mara ngap kina Morrison wamefanya utovu wa nidham hapo issues kubwa ni maslah tu mchezaj yoyote yule ukimpa maslah yake vizuri hatokusumbua

  • @user-qu9fd7cc8g
    @user-qu9fd7cc8gАй бұрын

    Hapo mmeharibu weken vitu updated kama mnataka kumaintain status yenu

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629Ай бұрын

    Fei acha kushindana na mashabiki kazi ya mashabiki ni kushangilia na kuzomea achana na mashabiki kabisa sisi tutaitetea Yanga milele

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib6621Ай бұрын

    Huyu jama anajitahidi lakin anaroho mbaya kW wengine

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3weАй бұрын

    Tunathamini anaecheza vizuri

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qyАй бұрын

    Ata wake tunathamini wa nje iwe wachezaji acha umama kama vipi kacheze.dada zako ukumbini kwenu

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1iАй бұрын

    Anaekuchukia ww hajui mpira na ni mpuuzi😊

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2jeАй бұрын

    Kwa mpira upi ulio nao wa kwenda kucheza nje wewe utaenda kucheza tabora united kwa ujeuri wako na hiv ulivyosusia medali

  • @HamisiKibungulu-qu6hl
    @HamisiKibungulu-qu6hlАй бұрын

    Choko huyoooo

  • @user-iy7xy1np7c

    @user-iy7xy1np7c

    Ай бұрын

    Analipwa mshahara si chini ya 20M sasa hapo utajua km choko ni yeye au wewe

  • @mzazi15
    @mzazi15Ай бұрын

    Ila kumuacha kipre jr nje ata kwenye sub ni tatzo 😅

  • @OkwSunzu
    @OkwSunzuАй бұрын

    Mbona mmefanana kama ndugu

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3quАй бұрын

    Kuwa nadabu ķuwa namaneno kidogo aca majivuno udapedwa badirika haucukiwi lahasha sema unakera mbone ivi unaongeya naheshima wacezaji wageni wanautulivu unatukanywa gushinda Saido ilayekimya anafunga kuriko wafulahiye wanamutukana ila hamutukani mutu Muze Saidi urishasikiya ngisi anamucamba nawengine wengi nawe sasa badirika mambo yako anyooke ushauli wambure

  • @YasinSheikika
    @YasinSheikikaАй бұрын

    Pumbavu huyo alitukana viongozi wetu

  • @user-fn7od9yk1o
    @user-fn7od9yk1oАй бұрын

    Ajifunze kupitia ligi ya uingereza na spain cio kuongea vitu visivyo na tija

  • @terrence9477
    @terrence9477Ай бұрын

    Wazawa ni wasaliti, wauza mechi. Wapambane na hali zao

  • @sajormaster1168
    @sajormaster1168Ай бұрын

    Mnafanya kumshusha alikiba fanya mambo ya akili nyie mambo ya zaman mnapost leo😊

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506Ай бұрын

    Pepo mbaya wa kuzimu wewe kafie mbali changodoa

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387Ай бұрын

    Azam mpelekeni arabuni tuu akajionee na pesa kama anataka.

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664Ай бұрын

    Toa pacome weka kipre jr

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын

    Feisal hana roho mbaya kama yanga

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001Ай бұрын

    Tunathanini uwezo wa mtu , sio Kwa sababu mchezaji wa ndani na umezidiwa uwezo na mgeni halafu tukufagilie....huo ni UJINGA

  • @richardgodfrey9020
    @richardgodfrey9020Ай бұрын

    Sasa tukusamini ww wakati ni shoga bwabwaa 😄

  • @LionelRichard-wj6zi
    @LionelRichard-wj6ziАй бұрын

    Interview imekosa MWANDISHI

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912Ай бұрын

    Interview ya zamani haina thamani sasa

  • @salcle9702
    @salcle9702Ай бұрын

    Hii chanel niya kizee na watu walio pitwa na mda wake

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934Ай бұрын

    Mnazingua mbwa nyie

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061Ай бұрын

    Wakuunge mkono upumbuvu wako nyoooooo

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061Ай бұрын

    Muongo wewe mpira ndo unakuushia hapo nje labda ukacheze malede TU hata huko nje hawakuchukuii huna adabu

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4kАй бұрын

    Acha ujinga dogo fanya kaz yako unalialia nini mpila ni nambaz sio kulegeza macho tu

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506Ай бұрын

    Hata alivyokaa kwenye kiti anaonekana mshambaa tuu!!

  • @GloryD-ky5nf
    @GloryD-ky5nfАй бұрын

    Hunanlolote wewe feisalim acha zarau Dunia Haina mwenyewe

  • @Soundprobeats
    @SoundprobeatsАй бұрын

    Kwa maringo yako hamna anayekukubali tena mkuu

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506Ай бұрын

    Wageni hawatukani viongozi wao huyu shoga kajiona sukari kuwatukana viongozi wetu ,fucky u

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290Ай бұрын

    Kuma nyoko ww Marengo Yako kucheza nje Kwa MCHEZAJI gan ww shoga Kuma nyoko Kuma la mama Ako msenge ww

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Elimu ya madrasa kingereza hujui ukacheze nje?? Arafu we mtangazaji punguza maswali kwani umesikia sisi yanga tunadhiki na feisal wakati tunao top wanaupiga mwingi mpk unamwagika huwiíi tuna watu kuliko huyu dogo wew mtangazaji acha ushamba huwo

  • @David_keyan
    @David_keyanАй бұрын

    Crown mnazingua yan mnachelewa kupost kaah hv hamsomi comment asilimia 90% wanalalamika mnachelewa alaf muelewe sasa hv michezo imekua zaid watu wanapenda sasa interview za seriously mnakaa mwez mzima mnapost khaa mtapotez mashabik kwa uzembe wenu ,Pablo kuwa seriously na kazi dogo

  • @EvaJuakaliTV

    @EvaJuakaliTV

    Ай бұрын

    Walikuwa hawana Bando 😂

  • @Mary-fs4mc

    @Mary-fs4mc

    Ай бұрын

    ​@@EvaJuakaliTV mahi siyo kweli😂 wanatuchezea akili zetu.

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939Ай бұрын

    Huyu Mtoto Bado Mshamba Hajielewi Kijua Kwake Ndio Kumemponza Amekosa Kiatu

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506Ай бұрын

    Ukiona mtu anamsifia huyu shoga basi ujue ni shoga mwenzie

  • @MaurusKomba-nb3mo
    @MaurusKomba-nb3moАй бұрын

    Uyu ni mchezaji mzuri sana. Ila hanatabia za ovyo sana.

  • @abdallahmkodo

    @abdallahmkodo

    Ай бұрын

    Kama zipi tuhambie

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125Ай бұрын

    NAYEYE AENDE KENYA AKATHAMINIWE, KAMA WACHEZAJI WA NDANI AWATHAMINIWI.

  • @waltermfikwa4361

    @waltermfikwa4361

    Ай бұрын

    Hayo ni makasiriko coz kawakimbia Yanga,,,,, 😂😂😂😂😂😂😂

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo

    @FirdausyAbubakary-bl2wo

    Ай бұрын

    😂😂😂khaaah Jamaniii

Келесі