🚨 Uchambuzi Crownfm, Mapya Yaibuka inshu ya Aziz ki,Zandani kaanza safari kurudi dar es Salaam.

#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo

Пікірлер: 25

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v15 күн бұрын

    TIMU ZA AFRICA HAZINA UWEZO WA KUMSAJIRI AZIZI KI ISIPOKUWA YANGA

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d15 күн бұрын

    Yani kiukweli wana simba wenzangu tujiandae maana naona kama tabu iko palepale

  • @godfreykibaha4441
    @godfreykibaha444115 күн бұрын

    Deal done, Stephen ni Mwananchi

  • @MusaManyilima
    @MusaManyilima15 күн бұрын

    Kwani huyo azz ni mungu aende tu kwao au kwetu

  • @noelmakere1381
    @noelmakere138115 күн бұрын

    Wachambuzi acheni uongo. ...km hamna taarifa sahihi kaeni kimyaaa

  • @Ba63828
    @Ba6382815 күн бұрын

    Umepatia mchambuzi: UPENDO FURAHA MUHIMU

  • @AllyAthumani-xy4xf
    @AllyAthumani-xy4xf15 күн бұрын

    katika watangazaji wakweli nyinyi mmenyooka

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa83815 күн бұрын

    Waongo nyinyi

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa198015 күн бұрын

    Belozdad alitoa ofa tangia mwezi wa 6 wala sio Jana.

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid342915 күн бұрын

    Mmezidi umbea

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f14 күн бұрын

    Niny uto hamjitambui niny umewezaje mpaka Simba washindwa huyo AZZ ki atakuja ,,,,,,,

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig15 күн бұрын

    Wwe ni mchambuz mandaz k azzi amesha ondoka

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h15 күн бұрын

    Aziz ki ameshaondoka kweda wapi? zaidi ya kwenda Yanga?

  • @AyatollahMustafa
    @AyatollahMustafa15 күн бұрын

    Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v15 күн бұрын

    WAAMDISHI ISHINI KWA" FACT" MSIISHI KWA" SPECULATION" WENYE "D2 TUTAWADHARAU SANA

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d15 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZakiaMgabo
    @ZakiaMgabo15 күн бұрын

    Ende tu mpiran n biashara

  • @Kabeya410
    @Kabeya41015 күн бұрын

    Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA

  • @AliUsi-ms4bm
    @AliUsi-ms4bm15 күн бұрын

    Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan520915 күн бұрын

    Kwa taarifa yako mwanamichezo, Eng.Hersi anampadisha chart ila Anasaini yanga na MO hamhitaji Azizi Ki kwa dau lolote

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v15 күн бұрын

    NYIE WACHAMBUZI ni UJINGA WENU WA KUFIKIRI

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h15 күн бұрын

    Acheni akatsfute maisha

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    15 күн бұрын

    Ndo yupo njiani kuelekea Egypt kujiunga na akina deborah

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface119915 күн бұрын

    Makolon hawana ubavu wa kimsajili hiyu dogo....wanatafuta mlango wa kutokea ilii wapte viewers

  • @francismomo7067

    @francismomo7067

    15 күн бұрын

    Je akisajiliwa Simba utasemaje,