SAMATTA AMALIZANA NA GENK AWEKA WAZI MSIMAMO WAKE, OFA ZA SAUDI ARABIA NA TIMU ATAYOCHEZA MSIMU UJAO

Пікірлер: 111

  • @OgesaCTale
    @OgesaCTale Жыл бұрын

    Mbwana Samata, hii interview umekuwa muwazi kweli kweli...! Safi samagoal endelea kupambana man!

  • @elibarickielibarick175

    @elibarickielibarick175

    10 ай бұрын

    10:31

  • @elibarickielibarick175

    @elibarickielibarick175

    10 ай бұрын

    11:13

  • @mbaroukally8655
    @mbaroukally8655 Жыл бұрын

    Huko Saudia saa hivi apate namba Samata,labda daraja la pili

  • @manyuhawilson4201
    @manyuhawilson4201 Жыл бұрын

    WELL.SAID @SAMA GOAL

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Жыл бұрын

    Nilichogundua sisi baazi ya wabongo tuna roho mbaya uchawi kuombeana mabaya chuki fitina majungu ili lipo sana mtu akifanikiwa atupendi kbc ilo lipo wazi kbc watu Wana chuki zao za maisha wanajifanya wanaamishia kwenye mpira

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Жыл бұрын

    Tunampenda msuva cz anajituma sn kulisaidia taifa lake kwenye timu ya taifa

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Жыл бұрын

    Jaman kwa nini comment nyingi mna mlalamikia samata mpeni ushauri anaweza kupitia hizi comment akajifunza kitu

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Жыл бұрын

    Samata unaongea vizuri sn, pongezi kwako

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Жыл бұрын

    Me nakukubali to haijalish uko na kiwango gn🔥

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Жыл бұрын

    Woow amazing sana

  • @AbdulatifSaidy
    @AbdulatifSaidy Жыл бұрын

    Hilo swali la kuhusu kuhama hama inaweza kuchangia kushuka kiwango ni zuri sana. Nadhani Samatta alikosa motivation baada ya kuondoka Aston Villa.

  • @stevenhipolity6198
    @stevenhipolity6198 Жыл бұрын

    Hanakiwango hata kwenye timu ya taifa hanamsaada

  • @mkodojoseph-kt8wd
    @mkodojoseph-kt8wd Жыл бұрын

    Lights haziko vzr

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Жыл бұрын

    Mesi akiletwa kikosi Cha mtibwa suger watamchukia, samata wanamuona ana kiwango kidogo kwasababu ya wachezaji anaokutana nao team ya taifa Wana uwezo mdogo ndio maana wanamuona anawaangusha taifa

  • @ahmadbadawi9664

    @ahmadbadawi9664

    Жыл бұрын

    Hana mpango huyu angekuwa angalau anafunga kama msuva ili kutuziba mdomo

  • @kaisarimbisso5011

    @kaisarimbisso5011

    Жыл бұрын

    We unavyomuona, ana nafasi ya kucheza Simba au Yanga? Ukweli Ni kwamba kiwango chake Ni kidogo kwa sasa. Anaweza akawa Ni sababu ya team ya taifa kudumaa. Kuna umuhimu akaachwa ili kuenda kwenye direction nyingine

  • @abiboseleman1649

    @abiboseleman1649

    Жыл бұрын

    tukubariane bana uwezo wake.ndo huo hapo alipo

  • @user-ky4uv8zv7p
    @user-ky4uv8zv7p Жыл бұрын

    Hongela jemedar wetu utakuwa wameanza milele endelea kupambana

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Жыл бұрын

    Samata ukisoma comment temana na wahuni wanao kupa mawazo madogo

  • @gervasbahingayi
    @gervasbahingayi Жыл бұрын

    Jitahidi sana usiende warabuni sisi watu weusi wanatubangua sana kua makini sana nibora ubaki kwawazungu naupewe pesa ndogo kuliko kwawarabu kupewa hela nyingi watakupaki benchi kwakue kibaji kama watanzania tupata hazara kumbuka tunakutemea kama nchi

  • @ferdinandlazaro15
    @ferdinandlazaro15 Жыл бұрын

    Captain Diego....

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw Жыл бұрын

    binafsi namkubali sana sama goal lakini kusema jambo frani halitatokea ikiwa maisha bado yanaendelea hicho kitu sikubaliani nacho ninacho amini tuombeane kheri hakuna mkate mgumu mbele ya chai vijana sasa hivi wanauwasha sana moto

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Жыл бұрын

    Jamaa mtu wa tofaut sana... Na mafanikio yake yote hayo ila very humble

  • @Adeen.1

    @Adeen.1

    Жыл бұрын

    Mtu kuwa humble wampima kwa nini? Kuongea? Kutovaa hereni? Kutochora tattoo? Au? Naomba unisaidie

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 Жыл бұрын

    Wazo zuri

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 Жыл бұрын

    Congratulations samagols

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Жыл бұрын

    Hana mpango Hana msaada Kwa taiga anajikubali mno alafu ni mchezaji wa kiwango Cha kawaida sana Bora timu ya taiga aitwe kichuya.

  • @kelsonkenedy6473

    @kelsonkenedy6473

    Жыл бұрын

    jifunze kuandika

  • @shukranitv2971

    @shukranitv2971

    Жыл бұрын

    Kam hujui mpira kaa kuuanglia tu syo kuropoka ajitumaje Sasa mpka avunjike ndio useme amejituma

  • @Muda27

    @Muda27

    Жыл бұрын

    Timu ya taiga ndio timu gani mpuuzi wewe

  • @Rachid_Daudi
    @Rachid_Daudi Жыл бұрын

    #LiegeEdward ⚽️

  • @idrisasalum8013
    @idrisasalum8013 Жыл бұрын

    Huyu jamaa hana mpira wowote

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 Жыл бұрын

    NI KAMA SIMBA KUMJIA MLETE MZUNGU MJUU MPAKA KUONDOKA BORA ANGEACHWA 🙄

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 Жыл бұрын

    Samata nimekupenda kuongea ukweli

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Жыл бұрын

    mtangazaj saf san unauliz critical questions

  • @user-gg8ph1ew2w
    @user-gg8ph1ew2w Жыл бұрын

    Sijakuelewa kabisa samatta sijui unaongea vitu gani

  • @sebastianituruki7673
    @sebastianituruki7673 Жыл бұрын

    Namkubali sana huyu jamaa sema tu mpira na umri, now unamkataaa aisee

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Жыл бұрын

    Karibu mashujaa, kigoma

  • @user-cs7hi1sp6h

    @user-cs7hi1sp6h

    Жыл бұрын

    We vio unampeleka team za Burundi

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    @@user-cs7hi1sp6h ameshindwa ulaya, mashujaa ni levels yake (inacheza nbcpl)

  • @unknown_9942
    @unknown_9942 Жыл бұрын

    Usiangaike mjomba njoo simba nyota yako ing'ae upewe minyunyizo na triple c tuone kama hujaenda man city

  • @ndakimanota

    @ndakimanota

    Жыл бұрын

    Unamambo wew

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo

    @BADILIJUSTUS-fs3oo

    Жыл бұрын

    Chama Hana Kasi ya kucheza na samatta Kuma ww, huyo chama ambaye ni mzigo kwa kocha na club mara 10 Bora ata saido fundi anaweza cheza na samatta

  • @unknown_9942

    @unknown_9942

    Жыл бұрын

    @BADILIJUSTUS nenda kwa mama ako mwambie akufundishe lugha nzuri za kuongea na watu kabla haujauponzaa.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Жыл бұрын

    Kwann ckuhiz unapiga tushuti mtoto na minazi?

  • @jamaalsaleem2926
    @jamaalsaleem2926 Жыл бұрын

    Samagolii

  • @salumjuma1236
    @salumjuma1236 Жыл бұрын

    Umechoka samata kiukweli

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Жыл бұрын

    Samata una bahati na gundu pia unalo maana uwaga auchukui makombe

  • @ndakimanota

    @ndakimanota

    Жыл бұрын

    Hachukui makombe yapi

  • @bhm675

    @bhm675

    Жыл бұрын

    @@ndakimanota 😂😂😂

  • @AbdulatifSaidy

    @AbdulatifSaidy

    Жыл бұрын

    Umeanza kumfuatilia 2022😂

  • @habibuhamisi7796

    @habibuhamisi7796

    Жыл бұрын

    makombe mbona amechukua

  • @dalalizanzibar9583
    @dalalizanzibar9583 Жыл бұрын

    Sasa akija mwingine akitangulia kufunga magoli 10, si huyo wa 10 atakuwa wa kwanza jamani? Ndugu mwandishi bhana!!

  • @maase2023
    @maase2023 Жыл бұрын

    Mpira umekwisha huyu arudi asomee ukocha akafundishe namungo tu

  • @kaisarimbisso5011
    @kaisarimbisso5011 Жыл бұрын

    Kuna umuhimu akaachwa team ya taifa ili kujenga team yenye ushindani zaidi. Anaweza akawa ndio sababu kubwa hatuna muelekeo sahihi. Sioni tukijenga future ya stars wakati tunaendelea kumkumbatia.nahodha asiye na mchngo wowote

  • @kakasteve7117

    @kakasteve7117

    Жыл бұрын

    Kwani kabla ya samata ni lini taifa stars imekua na matokeo mazuri?

  • @theCashmanier

    @theCashmanier

    Жыл бұрын

    Atleast wkt wa Samatta wamecheza AFCON.

  • @gusonyusto9740

    @gusonyusto9740

    Жыл бұрын

    Hebu tupe mhongo wako tuone unatupeleka wap

  • @patricklaiton8939

    @patricklaiton8939

    Жыл бұрын

    well said...........ata kuwapa vijana wa u23 fursa awezi.......arudi simba

  • @shukranitv2971

    @shukranitv2971

    Жыл бұрын

    Nenda kacheze ww

  • @josephmpunta2662
    @josephmpunta2662 Жыл бұрын

    Mchezaji mkubwa huyo kachaza fanal na man city nakafungu siyo kitu rahisi

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    Hamna faida hapo.. ni rekodi yake.. tunataka mafanikio taifa stars

  • @ramadhanmaisa788

    @ramadhanmaisa788

    Жыл бұрын

    @@josephlorri431 kacheze ww ulete mafanikio

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    @@ramadhanmaisa788 nimecheza na dadako,akapatikana mjomba wako

  • @ramadhanmaisa788

    @ramadhanmaisa788

    Жыл бұрын

    @@josephlorri431 mkundu wa mamako

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    @@ramadhanmaisa788 namtaka dadako tu,sikuhitaji...usijipendekeze kwangu

  • @franccoz94
    @franccoz94 Жыл бұрын

    Arudi tu simba

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 Жыл бұрын

    SISI WA TANZANIA INATEGEMEA UMEZALIWA KUTOKA FAMILY GANII ILA COMMENT ZINAWEKA WATU KATIKA MATABAKA ILI TUJUE WAZAZII WALIOWAZAAA KWAHIYO KIUFUPI COMMENT NA UNAYO YASEMA NDO FAMILY YENUUU KWAIYO .........

  • @mgayan1222
    @mgayan1222 Жыл бұрын

    Mwandishi. Umeshaambiwa ni kweli haitavunjika LAKINI haina maana yoyote hadi pale ITAKAPOKUWA INAZUNGUMZIWA sasa bado unakazia kwamba ina maana. JIFUNZE KUWA Good listerner.

  • @janeththomas5981

    @janeththomas5981

    Жыл бұрын

    😂😂 nilifikiri ni mimi pekeyangu nimenote hilo.

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    Mwandishi ni chawa sana (mwijaku akasome), anataka bahasha baada ya hapo.. unampa sifa hadi mwenyewe anakushtukia..

  • @MudathiriMahr-df2wg
    @MudathiriMahr-df2wg Жыл бұрын

    Ila jitahd sn team ya taifa Kaka unatuangusha sn🇹🇿

  • @jumaaman6260

    @jumaaman6260

    Жыл бұрын

    Umri ushamtupa mkono mwanetu, moyo unataka mwili unagoma

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    @@jumaaman6260 case closed. Umesema hakika

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo

    @BADILIJUSTUS-fs3oo

    Жыл бұрын

    Mpira ni hakiri mchezaji mtanzania anayejua hivo ni zimbwe na samatta basiiiiiiiii michezaji mingine yote sijui msuva, mingine kutoka yanga inacheza mpira kwa kutumia nguvu nyingi bila akili hayiwezi ata kukotro mpira et unamulaumu samatta

  • @MudathiriMahr-df2wg

    @MudathiriMahr-df2wg

    Жыл бұрын

    @@BADILIJUSTUS-fs3oo hmn team yetu Hain uwez jamb la msing n kujituma tyu

  • @Lassana755
    @Lassana755 Жыл бұрын

    Huyu ata ndo ndo hapati number

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Жыл бұрын

    Hana mpira mkubwa. Heri ya Mzize

  • @user-vj4ow8ny1z

    @user-vj4ow8ny1z

    Жыл бұрын

    Mbwa wewe mzize bodaboda au nan😂

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj Жыл бұрын

    Juhudi hakuna

  • @muyongahassan2188

    @muyongahassan2188

    Жыл бұрын

    Kwl kbs

  • @cadiaonesmo9660
    @cadiaonesmo9660 Жыл бұрын

    Tatizo ni ubinafsi ulonao kwenye timu ya Taifa hupambani kama wengine wanavyo pambania tmu zao ndo maana hutoboi

  • @franklinchiduo6988

    @franklinchiduo6988

    Жыл бұрын

    hahahaha hatoboi kwenda wapi tena?

  • @lilianjonas2272

    @lilianjonas2272

    Жыл бұрын

    Ndo ushangae,,, Yani tatizo watanzania Elimu ndogo , Pili hatuna exposure😝Ukisoma comments utajua weng hatuna kazi so hatuelew kaz n nn, changamoto za kazi, na maendeleo ni nini.

  • @unknown_9942
    @unknown_9942 Жыл бұрын

    Naona jamaa kaamua kustaafu maana huko saud hamn mpira ataenda kucheza atapata mshahara tu na kukaa bench

  • @muyongahassan2188

    @muyongahassan2188

    Жыл бұрын

    Nikwl

  • @kaisarimbisso5011

    @kaisarimbisso5011

    Жыл бұрын

    Saudia hana.nafasi. Hata.msuva hana uhakika tena kwenye daraja la pili anakochozea. Mpira umepanda kule.

  • @bhm675

    @bhm675

    Жыл бұрын

    @@kaisarimbisso5011 msuva yupo championship sio Daraja la pili

  • @kaisarimbisso5011

    @kaisarimbisso5011

    Жыл бұрын

    @@bhm675 sorry. I was supposed to say yupo kwenye.second tier nyuma ya premiership, ambayo ndiyo championship league. Nchi nyingine wanaiita first division. Msuva anastruggle kuextens contract huko. Nafasi ya samatta ni finyu, in my opinion

  • @unknown_9942

    @unknown_9942

    Жыл бұрын

    Mpira unaenda sambamba na umri kiukweli samatta na msuva mda wao umeisha hakuna makubwa tutakayoyaona tena. Samatta muda wake ulikuwa kipindi kile yupo Genk anachukuwa tuzo ya mfungaji bora, na muda wake uliisha akiwa Aston villa, kwa ufahamu wangu mdogo tu.

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 Жыл бұрын

    Tatizolako hutowi kafara fanya kama wengine mwaga damu kk wanasema kazi na dawa kk amkaaa ww kam pesa uponazo unakwama wapi ss

  • @killingmleke1810

    @killingmleke1810

    Жыл бұрын

    Huyu ni mtu wa ibada wewe unataka atoe damu ili iweje ?yani aingie zambini kisa maisha ya dunia?huo siyo ushauri mzuri

  • @muyongahassan2188

    @muyongahassan2188

    Жыл бұрын

    @@killingmleke1810 saw kamanihivo wasimseme vibaya kwanacho kifanya ndoi nguvuzake za kawaida zimeishia hapo

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 Жыл бұрын

    Kiwango kimeisha kaka rudi bongo

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Жыл бұрын

    Unaadapt nini wewe probably ulitakiwa uonyeshe tarent yako

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Жыл бұрын

    SAMATA NI MBINAFSI SANA HAJAWAHI KUSHIKA MKONO MTU YEYOTE KUTOKA TANZANIA HE IS A SELFISH PLAYER AND WITH LITTLE EFFORTS

  • @tusaradrusia9670

    @tusaradrusia9670

    Жыл бұрын

    Ata mshika main mkono na yeye mwenyewe bado ana jitafuta. Mahana hakuwa star kiivyo

  • @thomaskulwa425

    @thomaskulwa425

    Жыл бұрын

    Mpira sio tako wewe! Kaa kimya. Na huyo siyo wakala uelewe

  • @AnualyJonas-vo7cf

    @AnualyJonas-vo7cf

    Жыл бұрын

    Kelvin John umemushika mkon wew

  • @FaridiMohamed-dd4hr

    @FaridiMohamed-dd4hr

    Жыл бұрын

    Wewe Kuna nani umemuona kamshika mwenzie mkono acha uchawi ww mtoto

  • @ntegrity277

    @ntegrity277

    Жыл бұрын

    Sisemi amchezee mtu asaidie wengine kwani anampira Gani wa ajabu! Kuna vijana wanacheza soccer balaa! SAMATA IS A SELFISH PLAYER HATA SHULE ALIOSOMA YA MSINGI WATOTO WANAKAA CHINI!

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Жыл бұрын

    Wachezaji wengi hawapati muda wa kuendana na mifumo ya timu wanazoamia kutokana na mihemko ya makocha na mashabiki.mpira umegeuka kama wimbo wa mwizi.akionekana teyari taharuki.

  • @franccoz94
    @franccoz94 Жыл бұрын

    Arudi tu simba

Келесі