KIBWANA SHOMARI AMJENGEA JUMBA LA KIFAHARI BABA YAKE? KIJIJINI KWAO/ YANGA WALIVYOMSAJILI KIMAFIA
UKWELI WA AMISHA YA BEKI WA PEMBENI WA YANGA SHIMARI KIBWANA, MAKUZI NA MALEZI YAKE KISOKA,SAFARI YAKE YA SOKA LA VIJANA, MTIBWA SUGAR HADI YANGA.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#KIBWANASHOMARI #YANGA #MOROGORO
Пікірлер: 68
Mtangazaji unajua kusimualia hongera Sana
Anko wang kama anko wang kaka ake na mama angu 😍😍😍❤️❤️❤️kinolee mojaa iyo
Kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga Mwenyezi awadangulie awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la Yesu Kristo aliye Bwana naMwokozi wetu ameeeen barikiwa Sana nyote nawapenda shalom
Moro kuzuri sana. Safi sana kimbwana. Mzee yupo vizuri.
Hongera Sana kijana. Wana Morogoro tunajivunia mafanikio yako. Keep it up.
Wengine tuko peku na tuna pita kwenye Ardhi iliyojaa miba na mawe tunapata maumivu makali yasiyo elezeka lakini Pamoja na hayo yote hatuchoki kuvumilia kwakua family zetu zimeweka tumaini kubwa Juu yetu.
@alexjohn1321
2 жыл бұрын
Daahhh pole dear
@rehemaponera8160
2 жыл бұрын
Umeniliza ati hatuchoki kupambania familia usikate tamaa Mungu anakusaidia
@prettyh7509
2 жыл бұрын
😭😭 wengine hatuna kwetu asante Mungu Nina kwangu
@tunsumejohntunsumejohn2210
2 жыл бұрын
Amina🥲
@mahmoodalghefeili5370
2 жыл бұрын
@@prettyh7509 😭😭😭😭😭😭😭
💕💕💕 mashallah morogoro napapenda
vizuri sana kibwana
Aha kumbe Kibwana Shomari Safari yake ilikua sio aende Yanga!!! 🙆 Tumepgwa ...
Somba endelea kupambana utakuja kua mwanfishi mkubwa
Like father like son... Sauti ya Baba inafanana kabisa na mwana...
Dah!Ndo kwetu huko hongera Kaka kibwana shomary
Makala safii mko vizuri Dar 24
Safiii sana
Niripozariza Edwin kinore au amini asante kibwana
Hiyo Safari ya Norway naikumbuka sana Halfan Ngasa naye alikwenda wakati huo mimi na Halfan Ngasa tulikuwa wote darasa la saba huko Mwanza 1977!!
@allahisone6386
2 жыл бұрын
TULIUMBWA NA MAQADARA TOFAUTI USIKATE TAMAA KWENY RAHMA ZAKE ALLAH NI WAKATI UKIFIKA PIA UTASAHAU MABAYA YOTE ULIO PITIAA
Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥 ________________ Karibuni
Mtangazaji anayeelezea ni nani huyu.. Namkuballiii Sanaaaaa 🔥🙌🙌
@hidayahassan8014
2 жыл бұрын
Maalim Kondo
@stanslausmteme8455
2 жыл бұрын
Huyu anaitwa Shabani kondo class mate wang huyu hata mimi namkubali sana
@edwarddavid8076
2 жыл бұрын
Sauti yake inataka kafanana na ya abdallah mwaipaya yule aliyekuaga wa ITV
Mungu akulinde kibwana utimize ndoto zako
Mungu ambariki bwana mdogo tunatoka mbali lakini hatukati tamaa mpaka hapo alipofika amepambana sana.
gingers sana mzee Kingalu.
Yarabi na mimi nifanyie wepesi wa riziki nikiona hivi natamani na mimi siku moja nimjengee mama angu
Nmependa
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa maandishi ya bluu hapa chini kzread.info/dron/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw.html
Kama unaamini sauti ya mzee inataka kufanana na Babu Tale weka like
ongera stweka wangu mungu akurinde
Dr.Rais Mama Samia arudishe hii mechezo ya Secondary kwani pia ni ajira kwenye Vijana wengi kama ilivyo Mziki ndio maana Kenya na Uganda wanatushinda
Somba na Isaya dede, Mngemalizia huyo mzee Shomari Kingaru mwanae aalitaka aende club gani... Sio Simba sports ndio ndoto yake kweli?
Huyu somba ana udugu na zembwela mbona ka wanashabiana sauti?
Pamoja
Makala nzuri
Aminia Sana sombaaa
Sombaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Nimempenda mama fatuma muuza mafuta😁😁😁
@Tatemaster015
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣unatabu sana
@khadijahali4837
Жыл бұрын
😂😂😂
Tunataka muendelezo banaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Snake boy kuanzia part ya 17
Diamond
Mzee ally shomary kitaaluma ni daktari wa meno
Kmb kibwana Yanga dam
Malizia majiano adi yafike mwisho
Dogo aacheuogabadarayake apambanesana situnampenda ilapia hatakocha aweanampanafasi makeligiyetuanaiweza jamanikibwana punguzapresha
Mazingira yametulia
Kazuri
Nakubari.sana.somba.mwamba.wewe
Baba sharo mwenyewe 😂😂
.
Machozi yamenitoka
Amonaise
Ally
P
neemahaitangazwi
Hii ndo jumba la kifahari? Nyie waandishi hebu muongee ukwl nyumba ya zamani hiyo
@sylvestercameo6263
Жыл бұрын
Wewe kwako unauelewaje neno fahari? Kwako wewe jumba la kifahari unalielewaje? Unabeza kwa vigezi vipi?
@fettiemaganza1484
Жыл бұрын
Ukitazama jamii ilowazunguka hapo ni ya kifahari
Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥 ________________ Karibuni