MAJIBU YANGU KWA MPOTOSHAJI KASSIM MAFUTA KUHUSU ARAFA _SEHEMU YA PILI
Жүктеу.....
Пікірлер: 485
@dalalimjinga.1442 жыл бұрын
Abuidi Mwenyeenzi mungu akueke sana,hawa mabidaaa wanataka kutuvuruka toka kuanzia miaka ya 1980
@abuukilanga22492 жыл бұрын
Hawa wanaopiga kelele watuambie sunna na biddah ni ipi kati ya wale wanao angalia mwezi kwenye sim. Tv. Na hawa wanao angalia mwezi moja kwa moia. ALLAH AUJAALIE KILA LENYE KHERI WALE WANAOFATA SUNNA ALIO TUACHIA MTUME MUHAMMAD SWALALLAH U ALEY WASSALAM. YA MWEZ
@khalidsalim94122 жыл бұрын
Alhamdulillah, tunamshkuru Mungu sana kwa kutupa Mtu kama ww ndani ya Jamie yetu, Wallahi tunakupenda sannaaa sheikh Muhammad Idd, Endelea kuwabainisha wapotoshaji,
@shamsiyyahtamtatv29923 жыл бұрын
Mungu akulipe kher sheikh
@user-vh7ts1fc2e2 жыл бұрын
Asant shkh Wang Allah akujalie kher sana mzee wangu tupo pamoja
@abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын
Alhamdulillah,unachonifurahisha Sheikh Abuu,HOJA zako ni KIRUNGU na Preferences ya Vitabu Unatoa Allah akubariq
@kondomuhammed7453 жыл бұрын
Shukran sheikh iddi
@alawijunior9628
3 жыл бұрын
Wew pia hujielewi...nenda kasome
@mhrmahir3756
2 жыл бұрын
shekh uyu askofu
@user-qm2of7vd3k
2 ай бұрын
@@mhrmahir3756acha matusi ya kumuita muislamu mwenzako askofu kama Muhammad idd kakosea wewe Lete hujja zako utufundishe nasi badala ya matusi
@suleimansaid42443 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah yaani hoja zinaeleweka maneno ya kisomi kabisa anayeelewa na aelewe asante sana alhabib tusomeshe sheikh wangu
@Mohamedmjenga
Жыл бұрын
Tuko pamoja ndug Hawa mawahabi wapotosha watu
@khalfansuleiman62063 жыл бұрын
MAASHAALLAAH ,ALLAAH AKUPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA KTK DUNIA NA AKHERA YAKO
@husseinyusuf8997 Жыл бұрын
بارك الله فيك يا شيخنا لا يفضض الله فاك في نصرك لدين الله الحنفي
@sheikhabdulmajidabdallah96253 жыл бұрын
Maashallah, baaraka llahu fiika
@yusuphmpenja32882 жыл бұрын
Shekh mimi nimekuelewa mungu akulindie elimu ulionayo kwa kutufundisha alama ya mambo mema alama ya kuanza jambo na kumaliza jambo muandamo wa mwezi shuklani
@abuufarheenfarid93202 жыл бұрын
Hoja nyepesi
@kondomuhammed7453 жыл бұрын
Maashaallah sheikh
@othmanjr1133 жыл бұрын
Wallah, kama haujelewa hizi hoja , wewe unashidaa ya mafuhum. Maaana shiekh amaeeleza kisawa sawaa yani mashAllah.
@user4123 жыл бұрын
Assalamu a'laykum. Sheikh twaomba umueke sawa na Muhammad bachu. mrejeshee zawad yake.
@ramadhanjuma610
3 жыл бұрын
Acha ushabiki ww muhammad macho kafanya nn mmbaka awekwe sana acha ushabiki ww
@ramadhanjuma610
3 жыл бұрын
Muhammad macho kafanya nn mmbaka awekwe sawa acha ushabiki ww
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
@@ramadhanjuma610 kwani huna khabari wa anachokifanya??
@hamisibakari7271
3 жыл бұрын
Huyo ni bwana mdogo sana si wa kujibiwa na sheikh muhammad idd
@gshdhvdhf8283
3 жыл бұрын
Mohamed Bacho ni moto wa kuotea mbali...
@haydarhamad65323 жыл бұрын
Masha'Allah,naomba umsomeshe na Muhammad Bachu pia! Shukran.
@ally5814
2 жыл бұрын
Naam
@salhacker7728
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 huyu mtoto wa bachu hamuwezi akomae na wazee wenzake
@haydarhamad6532
2 жыл бұрын
@@salhacker7728 Keep your breath to cool your porridge bro!😂😂😂
@swaalehomar2748
2 жыл бұрын
Tara
@ahmadsaid58452 жыл бұрын
Kesho 26 july 2021 moto anauzma mwwnyew fundi kassim mafuta anaijibu hii fitna
@hamzasima Жыл бұрын
Ww sheikh Allah akuongoze huna elimu we ni muongo2
@abuuhudhaifa51342 жыл бұрын
Inshaa Allah Leo 26/7/2021 baada ya magharibi Shekh kassim atajibu hoja zako tunasubiri tuone ni zipi hoja zenye dalili sahihi
@salhacker7728
2 жыл бұрын
Naomba unitumie kwenye email yangu Akhyii ahmediisaleh15@gmail.com
@swaalehomar2748
2 жыл бұрын
Hahah
@Mohamedmjenga
Жыл бұрын
Hamna kitu nyie masalafi
@Mohamedmjenga
Жыл бұрын
Hamna kitu nyie masalafi
@abdulrahimmuhammad28443 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH MOLA MLEZI ATUFAHAMISHE SOTE
@abdulkaderaljabry9582
3 жыл бұрын
Huwezi kuijua siku ya Arafa bila kufuata Mwandamo, na hapo ndio mwanzo wa kuhesabu masiku, bila hivo, siku ya Arafa hutaweza kuijua. Nakubaliana sana na wewe Sh. Idi. Allah Yahfadhak. Ameen
@liheweswalehe538
2 жыл бұрын
Kila mtu ss anajua ukwelj kuhusu alafa acha uongo ww
@hajisimaikhatibu4432 жыл бұрын
Usisahau kumkosowa na alhadi kuhusu haleluya anasema lailaha ila waaa
@nasriprogrammingsite7026
2 жыл бұрын
Hhhhhhhha
@seifseif50932 жыл бұрын
Asante SNA shekh Abuu Iddi. Wapeleke darasani vishekh ambavo havikupata kukaa darasani na walimu baadala take wanasoma vitabu wenywe kwasababu wanaelewa kiarabu than wakatupotosha watu kumbe hawajapata kusomeshwa na walimu walioelewa
@abuumaryam7970
2 жыл бұрын
Darsa ya matusi naona hoja za msingi alizo zisema sheikh kasim hakuzijibu zaidi ya matusi😂
@mustafaramadhan5941
2 жыл бұрын
Kwa darsa ya matusi jamaa kwel yupo juu
@user-hb8vi9fx6g3 жыл бұрын
ALHAMDULIL-LAAHI RAB-BIL'AALAMIIN,,, NAMSHUKURU SANA MWENYEZI MUNGU,KUNIJAALIA KUA NA MASHEIKH BADALA YA KUA NA TECHNOLOGY KUA NDO MUONGOZO !!! AL-LAAH AKUHIFADHI SHEIKH ABUU IIDI AAMIIN YAA RAB-BAL'AALAMIIN.
@swalehbakari26673 жыл бұрын
😁😁 funua mi zigo iyo utupe Elim
@ally5814
2 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhh aifungiwe vo mizigo tusipotoshwe
@mustafaramadhan5941
2 жыл бұрын
Dah na hio mizigo kwel maana hamna haikuwa na haja ata ya kuiweka hapo alikuwa achukue vitabu vyenye hoja tu aweke apo mbele hakuna haja ya kieka library nzima apo wala hana alichokifungua
@jumaajunior79143 жыл бұрын
Masha,lah
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Mi nimependa na nafuatilia sn mawaidha yenu na jua lengo ni kuwaelimisha waamini wenu waelewa kwa ufasaha na watimize ibada za waamini wenu ila jambo jema naona ni mutant waadhili wote nguli ili mtoke na jibu moja na muwaeleze waamini wenu wasiojua mimi si muislam ila naheshimu sn Imani za watu wengine wanaomcha MUNGU
@abuuqusaysuqry60023 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Mohammed idd
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Anayoyazungumza ni kweli maana hayo ya kuzimwa Umeme,kutokuwepo Mahujaji uwanjani katika viwanja vya Arafa yoote yanawezekana
@salimhajj23713 жыл бұрын
Asie na sheikh sheikh wake no shetaniiii
@daudmharami47223 жыл бұрын
Barakallahu fiiik
@abuusingano9086 Жыл бұрын
Ninyi mashekhe zetu mnao tuongoza kila mmoja kunionesha mwenziwe nimsomi zaidi ya mwenziwe paspo kutufundisha kuhofu allah paspo kuoneshana nani zaidi ya mwenziwe hii itakuwekeni pabaya kesho inshallah kwaelimu mliyo nayo lakin mmekuwa watu wakutoleana fatua kutuelimisha msiwe kama mnagombea kiti na wadhfa
@idarousomar12 жыл бұрын
Wewe ndio mpotoshaji kabisa haufai hata kuitwa sheikh labda uitwe shehena
@Ahmadasshii-raazy88883 жыл бұрын
رضي الله عنك شيخنا وستاذنا اباعيد جعلك الله عيدا لجميع المسلمين عامة وللطلاب علم خاصة
@alawijunior9628
3 жыл бұрын
هل هذا صحيح يا شيخ؟
@maawymuhammad6779
11 ай бұрын
@@alawijunior9628نعم
@rukundoibrahim8072 жыл бұрын
قال تعالى (ولاتنازعوا فتفشلوا وتذهب ريحكم واصبرواان الله مع الصابرين.)
@abuhafs4774
2 жыл бұрын
لقد أنزلتَ الآية اخي الكريم في غيره منزله
@ashrafseif9460
2 жыл бұрын
Sasa vtabu kukuzunguka ndo nn?
@saamiaabdallah21602 жыл бұрын
Etyy mzigo kwa vitabu vyako viwili hivyo hhhhhh pole Sana mudi iddi
Bora tu Shekh Kassim urudi huku uje tusome maulidi tupige na dufu
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
NYINYI MTAISHIA USHINDI WA MATUKIO NA IDADI
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
JITAHIDINI KUSOMA KWA MALENGO YA KUJUA NA KUFANYIA KAZI OGOPENI KUMALIZA NYUMRI ZENU KWENYE NYIMBO NA MICHEZO HII SI DINI YA IBADA ZA NYIMBO NA KUCHEZA MMEKUA WAFUASI WA BIADAA BADALA YA KUA WAFUASI WA SUNNAH NAONA UMESHINDWA KUTULIA KWENYE MADA UNAENDA KUZUNGUMZIA KITU KILICHOUTIA KUTU MOYO WAKO (MAULIDI) MCHENI ALLAH KWANI UNAFURAHI KUA TKT ORODHA YA WAZUSHI ? JAMBO AMBALO(BIDAA) MTUME ALIKUA AKILIKEME MPKA USO UNABADILIKA ? AU MNAFURAHI KUITWA WAPINZANI WA MAWAHABI IJAPO MNAHARIBU DINI KWA UZUSHI MLIOUKUMBATIA ? KUBAKI MJINGA MAISHA YOTE NI BORA KULIOO KUA MZUSHI BAKI KTK MADA YA ARAFA HII INAZUNGJMZIKA USILETE MADA ZA KIZUSHI
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
@@swaleheally9814 SHUKRAN AKHY KWA ASIYE KUJUENI NYINYI MAWAHABI NADHANI ANGEPATA TABU SANA KWA HICHI ULICHONIJIBU HAPA ILLA SIPATI TABU KWA VILE NAKUJUENI KAMA ANAVYO KUCHAMBUANI HAPO SHEKH MUHAMMAD IYDI KWAMBA UELEWA KWENU MDOGO SANA HIVI NIKIKUTAJIA BIDAA MULIZO ZIANZISHA NYINYI UTASEMA JE? MUMELETA MIFARAKANO KTK JAMII KWA UKOSEFU WENU WA UWELEWA MPAKA SASA ALLA KAKUKATENI MAPANDE MUNASHAMBULIANA NYINYI KWA NYINYI
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
@@salamakhamis8092 WEWE KAMA UNAELiMU KTK HAYA ULIYOYASEMA YATAJE HAYO MAMBO YA BJDAA KWA LENGO ZURI LA KUTAADHARISHA JAMII YA KIISLAAM KWENYE JAMBO HILO KWANI LEMGO SI KUORODHESHA IDADI YA BIDAA. LENGO WATU WATOKE KWENYE BIDAA WAFUATE MAFUNZO YA MTUME صلى الله عليه وسلم KUMBUKA KUA ALIE TAHADHARISHA BIDAA NI MTUME صلى الله عليه وسلم NA WAFUASI WAKE WANALIFANYA HILO . AMA WENGINE HAWANAHAJA YA KUTAHADHARISHA BALI NI NGUMU, KWA SABABU BIDAA NDIO CHOMBO CHAO CHA USAFIRI Wazushi mmeichakaza dini Ya ALLAH kwa kuacha mafunzo ya MTUME صلى الله عليه وسلم Kwenye vipengele vingi vya dIni kama si vyote
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
WAWEZE PIGA MIFANO JUU YA HIYO MIFARAKANI?
@sinaniwalii55333 жыл бұрын
Mashaallah, Jazakallahu khayra. Alla akupe umri mrefu uzidi kuwasaidia waislamu
@ismailhassan5662
3 жыл бұрын
Huyu nishee mzushi hafai kumfata
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
@@ismailhassan5662 mzushi kakumalizeni mawahabi
@mustafaramadhan5941
2 жыл бұрын
@@salamakhamis8092 wallah hana hoja aloijibu kiufasaha ni ubabaishaji tu na tuhma pamoja na matusi ndio aloyapa kipau mbele
@daudmharami47223 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@shabanimdamanyi78702 жыл бұрын
Masuni wakosahihi kabisa
@user-qm2of7vd3k
2 ай бұрын
Masuni wako sawa hao masuni ni kina nani mbona unajichangnya hebunieleze nami nifahamu
@markazalqaim Жыл бұрын
احسنتم
@abuukilanga22492 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH. ALLAH AKUJAALIE MAISHA MAREFU YENYE KHERI NA WEWE
@jumaajunior79143 жыл бұрын
Swadact All,Habiiiib
@abdulbogoyo12432 жыл бұрын
MAS'ALA YA DINI HAYATAKI USHABIKI KAMA SIMBA NA YANGA: SOTE TUFUATILIE HOJA HIZI KISHA NAAMINI MWISHO WA SIKU TUTAPATA MAJIBU YALIYO SAHIHI.
@chundesaalim65402 жыл бұрын
Genius
@iddikibwana91852 жыл бұрын
Masha Allah. Shehe nimekuelewa Sanaa. Kuna mashehe wanacheza na ufahamu wa watu.
@abdurahfaris8438
2 жыл бұрын
kabisaaa kabisaaa
@abuushakiraddausiy8666
2 жыл бұрын
Tangu linii makhurafiii makawa na uelewa kuvaaatuu mmeshindwa mwavaa isbaali..
@salimhajj23713 жыл бұрын
Jambo jipyaaaaaaaaaaa
@omarhaji7512 жыл бұрын
Unakubalika shekhe wetu km hawaelewi basii ni ahlu lbidaa aoooo
@alhashimy26252 жыл бұрын
Mashaallah umejitajidi sana kuongea na mafuta kwa hishma na adabu kubwa, Kuliko mashekh wengine, au Mdigo na mzigua Dugu moja🤣😅😂
@meekman654
2 жыл бұрын
😁
@daudmharami47223 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@ayubukasimu7280 Жыл бұрын
Ww shekh muogope muumba ipo siku itajibu huo upotoshaji wako watafuta umaarufu bila elim
@user-qm2of7vd3k
2 ай бұрын
Upotoshaji Gani unao uzungumzia hapa mche mola wako Lete hoja kama unazo acha chuki zako
@salumnuhu90662 жыл бұрын
Umeweka vitabu mbele kama unauwezo wakufanya bahthi
@rashidinjoe8167 Жыл бұрын
Tunatakiwa kufunga siku ya A'arafa na Kisimamo Cha A'arafa hufanyika Makka.Tanzania na Saudiarabia hatujapishana masaa.'Arafa ni moja sio zaidi ya moja.Usilazimishe majibu ya masheikh yafanane wakati wanatofautiana elimu na ufahamu wa mambo.Ndugu zangu tusomeni.
@abubakarymaulidy5681
11 ай бұрын
Afu ndgu usicho elewa weww kwan kuna mtu anasema huku tz tunasimama arafa au huku twa funga sku ya arafa ???
@alhashimy26252 жыл бұрын
LAKINI WEWE ABU IDI PIA NI MUWAHABI, MAANA WEWE PIA HUKUBALI KUA JAMBO HILI LA ARAFA LINA IKHTILAFU BAINA YA WANA WACHUONI, NA KWAMBA, UPANDE WAPILI NAO WANA HOJA, LAKINI HILO HULIKUBALI KABISAAA,
@swaalehomar2748
2 жыл бұрын
Haya pia huna🙄🙄🙄
@jamalsalum8726
2 жыл бұрын
Hakuna ikhtilafi kwny tarehe,ikhtilafu ni ktk muandamo wa mwezi, kila watu na kuona kwao
@nassornassor2252 жыл бұрын
Wacha watu tufarikiane katika family kwa kufunga arafa siku tofauti kwa sababu aya ya mungu haikutwambia tushikamane tu waumini,ila tumeambiwa tushikamane kwa kamba ya Allaah na atakaeenda kinyume hatuwezi kushikamana nae,maana huko itakuwa sio kushikamana kwa kamba ya Allaah itakuwa ni kufatana katika kamba ya iblis
@omarisuleiman62853 жыл бұрын
mafuta next level kwako kwaiyo kaa utulie na ukasome kwake
@ankaldally2734 Жыл бұрын
Huu mjalada shykh abuu Eid ameukimbia ahhhhhhh ila nyie mliokuwa humu hamfatilii mijadala ya majibizano ahhhhhhh
@yoyotv16752 жыл бұрын
Duuh kweli kiama kiko karibu
@abasijuma69892 жыл бұрын
Kusema arafa haifungamani na mahujaji kusimama pale arfaati huu ndo upotoshaji na huyu babu ndio msimamo wake lkn atawapotosha msiotaka kusoma dini na kumshabikia huyo mganga wa kienyeji
@abdallahkengia.11312 жыл бұрын
Duh. Nilikua nikikudhania kua ni sheghe, kumbe ni mbumbumbu hauna kitu. Umejirundikia vitabu kama vile punda ayebeba mzigo asijue kilichomo NDANI ya mzigo. Bora ungekaa kimya tusingekuju kua ni mtupu kiasi hicho.
@fulgencearsene9829
2 жыл бұрын
Ndugu yangu. Hivi kweli, huwoni kama sheikh huyu amejitahidi kwa hoja? Usijali vitabo hivyo. Sikiliza tu hoja zake. LAMSINGI NIKUWA SWALA HILI LA ARAFA NILA IHTILAFU. Tizama usul fiqhi inasemaje huhusu swala la ihtilafu.
@abuufarheenfarid93202 жыл бұрын
Wewe mzee umepotea hakika
@abujamalaalghammawiy74703 жыл бұрын
Naam wape wape sheikh, mpaka waelewe
@mussamsuya8595
3 жыл бұрын
Huyo sheikh abuu idd hajijui
@abujamalaalghammawiy7470
3 жыл бұрын
@@mussamsuya8595 Awe anajua au hajui, hiyo sio hoja, HOJA NI NINYI KUJIBU MAELEZO YA SHEIKH
@amiriissa96752 жыл бұрын
Mh hhh
@samsonkatigiri2344 Жыл бұрын
Shida ni kwamba Saudia wanapanga tarehe kwa kutumia kalenda, wakati Bakwata wanapanga tarehe kwa kufuata mwandamo wa mwezi,sasa hapo hawawezi kwenda pamoja,ila kuna kipindi Arafa zinakuwa sawa,kutatua tatizo hili tunahitaji kupata kiongozi mkuu wa waislam Duniani,vinginevyo,kila mtu afanye anavyoona inafaa,tunakoelekea viongozi watavunjiana heshma.
@abasijuma69892 жыл бұрын
Mimi naona kama shetani anamnyooshea kidole malaika
@omarhaji7512 жыл бұрын
وكما قال رسول الله (صومو ا بيومكم
@user-vh7ts1fc2e2 жыл бұрын
Shkh asnt sanaaaa Allah akulipe kher
@sheikhabdulmajidabdallah96253 жыл бұрын
Na ni mwanafunzi wako huyo Sheikh wala hujakosea uliposema umemfundisha
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
Hahhaa muongo huyooo,sheikh kaanza kusoma mwaka 82,na Muhammad idi alikua hajaanza kusoma,na hilo nimeambiwa na mwanafunzi wa sheikh walid al hadi,kua sheikh Muhammad idi alipokewa na sheikh walid na akafundishwa na sheikh walid
@samirsadick2524
3 жыл бұрын
@@adamjutto5849 waamini uliyoambiwa na mwanafunzi wa shekh walidi kuhusu Muhammad Idi, lakini huamini anachokizungumza Muhammad Idi kinacho huu yeye mwenyewe?
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
@@samirsadick2524 taarekhe yakataa hayo anayoyasema,wakati sheikh qaasim mwaka themanini na mbili anasoma,sheikh Muhammad idi alikua bado hajaanza kusoma,wamekutana mwaka ganiii? Hilo ndo swali langu,? Sheikh qaasim anakiri kua yeye ni mwanafunzi wa sheikh burhaaan,asa ebe fikiria umri wa sheikh burhaan na sheikh Muhammad idi!!! Na wakati sheikh burhaan anafundisha sheikh Muhammad idi alikua ni mwanafunzi,alimfundishia waapiiii?
@imash04tv20
3 жыл бұрын
@@adamjutto5849 ww mtoto wa miaka 15 unamuita mtu muongo ulikua nae ww sheikh kamsomesha nq baba yangu walikua shirika katika darsa ya Muhammad iddi baba akiwa na sh kassim pamoja ndugu yangu usiwe na chuki kwa sababu ya madhehebu tu na utawajibu wengi maana kila mtu wamjibu chuki hizo ndio mnavyosomeshwa naona na mnajulikana kama sio wahabi salafi mtu basi hajakamilika .......
@samirsadick2524
3 жыл бұрын
@@adamjutto5849 Kwa hiyo wewe ulimshuhudia mafuta akiingia Tamta mwaka 82?
@mullestv26802 жыл бұрын
Shekhe unaonekna una kiburi haikua na ulazma kukushanya vitabu vote hvo nyuma ya kamera kwa lengo gani
@topfreelancer5151
2 жыл бұрын
Mkwala nakuambia
@harounsaleh6526
2 жыл бұрын
Wewe ndo mwenye kiburi maana hujui wala huna heshima
@ibnulislaamhamad76733 жыл бұрын
Kw kweli usufi ni mzigo wallah.....Allah atuhifadhi....mana sioni chochote humu ila porojo na talbiis.
@abubilal4319
3 жыл бұрын
Porojo gani na kuna nukuu za vitabu hapo?, kwa kweli uwahabi ni fitna kwa uislamu, hivi nyinyi mawahabi mna matatizo gani?, huenda hata darasani kusoma dini hujaenda kisha unatoa Kauli hizi mbovu.
@salehally2744
2 жыл бұрын
Toka hapa hujui kitu mpumbavu wewe hoja ziko wazi za kisomi unaleta ujinga hapa
@yussufhamad37212 жыл бұрын
Abuu idi vp Naina kimnya au ushainuwa mikono maana sheikh alisema ukishindwa umtumie at SMS na akaahidi kukustiri na hajakufedhehi na jee umetuma into SMS Tunaona mahalo umesimama
@user-ln8ru7bh8x2 жыл бұрын
Allh atujalie khery lkn mashekhe was bakwata mnakosa elim sahihi ktk Dini mnapotosha sn Dini
@nasirabdullah6227 Жыл бұрын
Ww usalama tulia katafute mbaazi na chapati ule
@sempaysensey64863 жыл бұрын
Arafa atausipo onyesha kitabu ipowazi tu
@user-go3bk6wr8u Жыл бұрын
Virus ni vidudu hatari katik chombo.
@abuhafs47742 жыл бұрын
Maswali ya kitoto wallaahi mm ni wa thaanawiy tu lkn naweza in shaa llaah kumjibu ila sheikh abal fadhli ndie mwenyewe tumpe nafasi yake
@jumamnemo8383
2 жыл бұрын
Jibu basi ,tukuone usitake sifa na utukufu usiokua nao .
@hajikiandiko3139
2 жыл бұрын
Ina lilahi
@mohamedathman2619 Жыл бұрын
Rudi darasani usomeeeeeeeeeeee...................
@SalehSaleh-gr5fo3 жыл бұрын
Huyu shekhe ni mpotoshaji sana anajenga hoja kwa falsafa. Mara nyingi mida ya Swalaa ya maghrib utamkuta amekaa lumumba anapiga stori badala ya kwenda msikitini.
Ebana shekhe vp mbona kimya toka mwaka jana jiiiiiiiiiiii au dawa imefika mahala pake hahahahahaha au umempigia sim kisiri siri umeyamaliza 😂😂
@crescentvscross11322 жыл бұрын
Mwezi wa kuweka bando aminini ni bidaa ni bidaaa
@swaalehomar27482 жыл бұрын
Mawahabi hawajielew
@kwangayahafidh7499 Жыл бұрын
Sasa she kwa Nini iwe ni siku moja tu ndio tukosane jamani mbona mnatuyumbisha nyinyi mashehe
@omarycheyo5534 Жыл бұрын
Hili lishekhe ubwabwa,muwe na arafa yenu nyie majuha,
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Mimi nasema huyu jamaa watu waendelee kumpinga lakini kielimu na kuufahamisha Umma Wallahi hawamuwezi ibaki tu kumpinga kwa taasubbi zetu baaaaaaasssss
@abdurahfaris8438
2 жыл бұрын
hahahha asante kwa ukwel anatisha uyu
@harithhemed9920 Жыл бұрын
Nimeskiliza shekhe na nimesoma commnt baath lakn mbona huyo shekh hatengenezi hoja kwa dalili antumia Sana akili na kuwatuhumu wenzake kwamba hawana mafuhumu
@abubakarymaulidy5681
11 ай бұрын
Wee umelala aisee kwhy iyo aya inayo zungumzia nyakati nimaneneo yake au na weww ufahamu ni shida
@s.ridhwali15693 жыл бұрын
Nimemtolea hizi hadithi,katika clip yake ya Juzi #Muhammed_Nassoro_Bachu ,lakini kaingia mitini mpaka sasa sijamuona.
@hamadatahir9307
3 жыл бұрын
Kaingia mitini? Khaaa..basi kaogopa huyo
@abdallahomar3268
2 жыл бұрын
ww fundi dah
@meekman654
2 жыл бұрын
😁
@omarhaji7512 жыл бұрын
Shekhe nakuelewa waeleweshe woote hao maana imekuwa gumzo lkn mbona hwaleti mijadala kuhusu funga ya muharram mwez 10
Kuwa muadilifu katika darsa zake zote mwishoni kunakuwa na Maswali na Majibu
@muhamedhussein26293 жыл бұрын
Hawa likua waulizwe wao na Mtume nani Bora pia nani mkweli
@khamisisuleiman28033 жыл бұрын
Wewe ndie mpotoshaji hivi ndugu zangu waislamu tujiulizeni ili siku iitwe yaumu arafa jambo gani au tukio gani linatakiwa lipatikane ndani ya siku hiyo au liambatane ndani ya siku hiyo ?.
@mohammedabdulrahman8863
3 жыл бұрын
Ni tarekhe ngapi hiyo Arafah?
@alhajilyimo9939
3 жыл бұрын
Inamana mwezi wa ramadhani ukiisha hukuna kwafwatilia mwezi tunahamia makkha kusikilizia mahujuji au
@ibrahimfarouq8339
3 жыл бұрын
@@alhajilyimo9939 Kwani Makkah wanatumia calendar gani na dunia nzima wanatumia calendar na sie Tanzania tunatumia calendar gani?
@ikabako2454
3 жыл бұрын
Khamisi hilo swali haliwezi kujibiwa hata kidogo. Lazima watu wawe jabal arafa. Rasool SAW alisema hijja ni arafa. Arafa ni pale watu wakikusanyika arafa hakuna arafa nyengine.
@ibningaum9134
2 жыл бұрын
arafa ni tar ngapi acha hizo habari ni tukio gani mana hata hilo tukio haliwezi kuwa ni hadi tarehe iwe imefika, ukisha ipata hiyo rarehe kisha ujiulize je dunia nzima yaweza kua na tarehe moja kwa kuzingatia mwezi muandamo
@yuusufmustafa65703 жыл бұрын
Sheikh muogope Allah
@badrumbarouk3377
2 жыл бұрын
Umemuona kakosea mbona anaongea pwent tu
@badrumbarouk3377
2 жыл бұрын
Umeona kakosea mbona anaongea pwent tu
@nassornassor2252 жыл бұрын
Sema tu mchuzi mwekundu ni mtamu zaidi kuliko mchuzi wa maji
@sempaysensey64863 жыл бұрын
Acheni kuiridhisha serikali ninyi bakwata mridhisheni Allah vyake vimetimia
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
Ww mpumbavu Arafa ni mwez 9 mfunguo 3 kw Makka Tanzania japo kua ni mwez 8 ww funga t
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
Usitupumbaze simama yako Arafa uone nchi gan itakufata
@sempaysensey6486
2 жыл бұрын
@@khamisaly3286 Sasa wesimjinga kama Mimi utanifunza Nini
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
@@sempaysensey6486 Nitumie namb yako nikufunz
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
@@sempaysensey6486 Elimu ya fik,hi huwez ukafata sheria ya Allah
@allykhamisally91313 жыл бұрын
Huyu babu nae anatafuta mambo mengine mbali ili kuipa nguvu hoja yake(yaani anatafuta masiku mengine tofauti na hiyo arafa husika).
@muhammadochenje4610
3 жыл бұрын
Hilo swala muulize kassim mafuta
@muslihmohd3685 Жыл бұрын
Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???
@binhussain34452 жыл бұрын
Hiyo picha hapo yanini?? Ilhal wajua malaika hawaingii sehemu yenye pichaaa
Пікірлер: 485
Abuidi Mwenyeenzi mungu akueke sana,hawa mabidaaa wanataka kutuvuruka toka kuanzia miaka ya 1980
Hawa wanaopiga kelele watuambie sunna na biddah ni ipi kati ya wale wanao angalia mwezi kwenye sim. Tv. Na hawa wanao angalia mwezi moja kwa moia. ALLAH AUJAALIE KILA LENYE KHERI WALE WANAOFATA SUNNA ALIO TUACHIA MTUME MUHAMMAD SWALALLAH U ALEY WASSALAM. YA MWEZ
Alhamdulillah, tunamshkuru Mungu sana kwa kutupa Mtu kama ww ndani ya Jamie yetu, Wallahi tunakupenda sannaaa sheikh Muhammad Idd, Endelea kuwabainisha wapotoshaji,
Mungu akulipe kher sheikh
Asant shkh Wang Allah akujalie kher sana mzee wangu tupo pamoja
Alhamdulillah,unachonifurahisha Sheikh Abuu,HOJA zako ni KIRUNGU na Preferences ya Vitabu Unatoa Allah akubariq
Shukran sheikh iddi
@alawijunior9628
3 жыл бұрын
Wew pia hujielewi...nenda kasome
@mhrmahir3756
2 жыл бұрын
shekh uyu askofu
@user-qm2of7vd3k
2 ай бұрын
@@mhrmahir3756acha matusi ya kumuita muislamu mwenzako askofu kama Muhammad idd kakosea wewe Lete hujja zako utufundishe nasi badala ya matusi
MashaAllah MashaAllah yaani hoja zinaeleweka maneno ya kisomi kabisa anayeelewa na aelewe asante sana alhabib tusomeshe sheikh wangu
@Mohamedmjenga
Жыл бұрын
Tuko pamoja ndug Hawa mawahabi wapotosha watu
MAASHAALLAAH ,ALLAAH AKUPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA KTK DUNIA NA AKHERA YAKO
بارك الله فيك يا شيخنا لا يفضض الله فاك في نصرك لدين الله الحنفي
Maashallah, baaraka llahu fiika
Shekh mimi nimekuelewa mungu akulindie elimu ulionayo kwa kutufundisha alama ya mambo mema alama ya kuanza jambo na kumaliza jambo muandamo wa mwezi shuklani
Hoja nyepesi
Maashaallah sheikh
Wallah, kama haujelewa hizi hoja , wewe unashidaa ya mafuhum. Maaana shiekh amaeeleza kisawa sawaa yani mashAllah.
Assalamu a'laykum. Sheikh twaomba umueke sawa na Muhammad bachu. mrejeshee zawad yake.
@ramadhanjuma610
3 жыл бұрын
Acha ushabiki ww muhammad macho kafanya nn mmbaka awekwe sana acha ushabiki ww
@ramadhanjuma610
3 жыл бұрын
Muhammad macho kafanya nn mmbaka awekwe sawa acha ushabiki ww
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
@@ramadhanjuma610 kwani huna khabari wa anachokifanya??
@hamisibakari7271
3 жыл бұрын
Huyo ni bwana mdogo sana si wa kujibiwa na sheikh muhammad idd
@gshdhvdhf8283
3 жыл бұрын
Mohamed Bacho ni moto wa kuotea mbali...
Masha'Allah,naomba umsomeshe na Muhammad Bachu pia! Shukran.
@ally5814
2 жыл бұрын
Naam
@salhacker7728
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 huyu mtoto wa bachu hamuwezi akomae na wazee wenzake
@haydarhamad6532
2 жыл бұрын
@@salhacker7728 Keep your breath to cool your porridge bro!😂😂😂
@swaalehomar2748
2 жыл бұрын
Tara
Kesho 26 july 2021 moto anauzma mwwnyew fundi kassim mafuta anaijibu hii fitna
Ww sheikh Allah akuongoze huna elimu we ni muongo2
Inshaa Allah Leo 26/7/2021 baada ya magharibi Shekh kassim atajibu hoja zako tunasubiri tuone ni zipi hoja zenye dalili sahihi
@salhacker7728
2 жыл бұрын
Naomba unitumie kwenye email yangu Akhyii ahmediisaleh15@gmail.com
@swaalehomar2748
2 жыл бұрын
Hahah
@Mohamedmjenga
Жыл бұрын
Hamna kitu nyie masalafi
@Mohamedmjenga
Жыл бұрын
Hamna kitu nyie masalafi
ALHAMDULILLAH MOLA MLEZI ATUFAHAMISHE SOTE
@abdulkaderaljabry9582
3 жыл бұрын
Huwezi kuijua siku ya Arafa bila kufuata Mwandamo, na hapo ndio mwanzo wa kuhesabu masiku, bila hivo, siku ya Arafa hutaweza kuijua. Nakubaliana sana na wewe Sh. Idi. Allah Yahfadhak. Ameen
@liheweswalehe538
2 жыл бұрын
Kila mtu ss anajua ukwelj kuhusu alafa acha uongo ww
Usisahau kumkosowa na alhadi kuhusu haleluya anasema lailaha ila waaa
@nasriprogrammingsite7026
2 жыл бұрын
Hhhhhhhha
Asante SNA shekh Abuu Iddi. Wapeleke darasani vishekh ambavo havikupata kukaa darasani na walimu baadala take wanasoma vitabu wenywe kwasababu wanaelewa kiarabu than wakatupotosha watu kumbe hawajapata kusomeshwa na walimu walioelewa
@abuumaryam7970
2 жыл бұрын
Darsa ya matusi naona hoja za msingi alizo zisema sheikh kasim hakuzijibu zaidi ya matusi😂
@mustafaramadhan5941
2 жыл бұрын
Kwa darsa ya matusi jamaa kwel yupo juu
ALHAMDULIL-LAAHI RAB-BIL'AALAMIIN,,, NAMSHUKURU SANA MWENYEZI MUNGU,KUNIJAALIA KUA NA MASHEIKH BADALA YA KUA NA TECHNOLOGY KUA NDO MUONGOZO !!! AL-LAAH AKUHIFADHI SHEIKH ABUU IIDI AAMIIN YAA RAB-BAL'AALAMIIN.
😁😁 funua mi zigo iyo utupe Elim
@ally5814
2 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhh aifungiwe vo mizigo tusipotoshwe
@mustafaramadhan5941
2 жыл бұрын
Dah na hio mizigo kwel maana hamna haikuwa na haja ata ya kuiweka hapo alikuwa achukue vitabu vyenye hoja tu aweke apo mbele hakuna haja ya kieka library nzima apo wala hana alichokifungua
Masha,lah
Mi nimependa na nafuatilia sn mawaidha yenu na jua lengo ni kuwaelimisha waamini wenu waelewa kwa ufasaha na watimize ibada za waamini wenu ila jambo jema naona ni mutant waadhili wote nguli ili mtoke na jibu moja na muwaeleze waamini wenu wasiojua mimi si muislam ila naheshimu sn Imani za watu wengine wanaomcha MUNGU
Masha Allah sheikh Mohammed idd
Anayoyazungumza ni kweli maana hayo ya kuzimwa Umeme,kutokuwepo Mahujaji uwanjani katika viwanja vya Arafa yoote yanawezekana
Asie na sheikh sheikh wake no shetaniiii
Barakallahu fiiik
Ninyi mashekhe zetu mnao tuongoza kila mmoja kunionesha mwenziwe nimsomi zaidi ya mwenziwe paspo kutufundisha kuhofu allah paspo kuoneshana nani zaidi ya mwenziwe hii itakuwekeni pabaya kesho inshallah kwaelimu mliyo nayo lakin mmekuwa watu wakutoleana fatua kutuelimisha msiwe kama mnagombea kiti na wadhfa
Wewe ndio mpotoshaji kabisa haufai hata kuitwa sheikh labda uitwe shehena
رضي الله عنك شيخنا وستاذنا اباعيد جعلك الله عيدا لجميع المسلمين عامة وللطلاب علم خاصة
@alawijunior9628
3 жыл бұрын
هل هذا صحيح يا شيخ؟
@maawymuhammad6779
11 ай бұрын
@@alawijunior9628نعم
قال تعالى (ولاتنازعوا فتفشلوا وتذهب ريحكم واصبرواان الله مع الصابرين.)
@abuhafs4774
2 жыл бұрын
لقد أنزلتَ الآية اخي الكريم في غيره منزله
@ashrafseif9460
2 жыл бұрын
Sasa vtabu kukuzunguka ndo nn?
Etyy mzigo kwa vitabu vyako viwili hivyo hhhhhh pole Sana mudi iddi
Tunakuelewa vzr sana
sheikh mjibu sheikh abulfadhwil kasim mafuta qasim
Bora tu Shekh Kassim urudi huku uje tusome maulidi tupige na dufu
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
NYINYI MTAISHIA USHINDI WA MATUKIO NA IDADI
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
JITAHIDINI KUSOMA KWA MALENGO YA KUJUA NA KUFANYIA KAZI OGOPENI KUMALIZA NYUMRI ZENU KWENYE NYIMBO NA MICHEZO HII SI DINI YA IBADA ZA NYIMBO NA KUCHEZA MMEKUA WAFUASI WA BIADAA BADALA YA KUA WAFUASI WA SUNNAH NAONA UMESHINDWA KUTULIA KWENYE MADA UNAENDA KUZUNGUMZIA KITU KILICHOUTIA KUTU MOYO WAKO (MAULIDI) MCHENI ALLAH KWANI UNAFURAHI KUA TKT ORODHA YA WAZUSHI ? JAMBO AMBALO(BIDAA) MTUME ALIKUA AKILIKEME MPKA USO UNABADILIKA ? AU MNAFURAHI KUITWA WAPINZANI WA MAWAHABI IJAPO MNAHARIBU DINI KWA UZUSHI MLIOUKUMBATIA ? KUBAKI MJINGA MAISHA YOTE NI BORA KULIOO KUA MZUSHI BAKI KTK MADA YA ARAFA HII INAZUNGJMZIKA USILETE MADA ZA KIZUSHI
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
@@swaleheally9814 SHUKRAN AKHY KWA ASIYE KUJUENI NYINYI MAWAHABI NADHANI ANGEPATA TABU SANA KWA HICHI ULICHONIJIBU HAPA ILLA SIPATI TABU KWA VILE NAKUJUENI KAMA ANAVYO KUCHAMBUANI HAPO SHEKH MUHAMMAD IYDI KWAMBA UELEWA KWENU MDOGO SANA HIVI NIKIKUTAJIA BIDAA MULIZO ZIANZISHA NYINYI UTASEMA JE? MUMELETA MIFARAKANO KTK JAMII KWA UKOSEFU WENU WA UWELEWA MPAKA SASA ALLA KAKUKATENI MAPANDE MUNASHAMBULIANA NYINYI KWA NYINYI
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
@@salamakhamis8092 WEWE KAMA UNAELiMU KTK HAYA ULIYOYASEMA YATAJE HAYO MAMBO YA BJDAA KWA LENGO ZURI LA KUTAADHARISHA JAMII YA KIISLAAM KWENYE JAMBO HILO KWANI LEMGO SI KUORODHESHA IDADI YA BIDAA. LENGO WATU WATOKE KWENYE BIDAA WAFUATE MAFUNZO YA MTUME صلى الله عليه وسلم KUMBUKA KUA ALIE TAHADHARISHA BIDAA NI MTUME صلى الله عليه وسلم NA WAFUASI WAKE WANALIFANYA HILO . AMA WENGINE HAWANAHAJA YA KUTAHADHARISHA BALI NI NGUMU, KWA SABABU BIDAA NDIO CHOMBO CHAO CHA USAFIRI Wazushi mmeichakaza dini Ya ALLAH kwa kuacha mafunzo ya MTUME صلى الله عليه وسلم Kwenye vipengele vingi vya dIni kama si vyote
@swaleheally9814
3 жыл бұрын
WAWEZE PIGA MIFANO JUU YA HIYO MIFARAKANI?
Mashaallah, Jazakallahu khayra. Alla akupe umri mrefu uzidi kuwasaidia waislamu
@ismailhassan5662
3 жыл бұрын
Huyu nishee mzushi hafai kumfata
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
@@ismailhassan5662 mzushi kakumalizeni mawahabi
@mustafaramadhan5941
2 жыл бұрын
@@salamakhamis8092 wallah hana hoja aloijibu kiufasaha ni ubabaishaji tu na tuhma pamoja na matusi ndio aloyapa kipau mbele
🔥🔥🔥🔥
Masuni wakosahihi kabisa
@user-qm2of7vd3k
2 ай бұрын
Masuni wako sawa hao masuni ni kina nani mbona unajichangnya hebunieleze nami nifahamu
احسنتم
ALHAMDULILLAH. ALLAH AKUJAALIE MAISHA MAREFU YENYE KHERI NA WEWE
Swadact All,Habiiiib
MAS'ALA YA DINI HAYATAKI USHABIKI KAMA SIMBA NA YANGA: SOTE TUFUATILIE HOJA HIZI KISHA NAAMINI MWISHO WA SIKU TUTAPATA MAJIBU YALIYO SAHIHI.
Genius
Masha Allah. Shehe nimekuelewa Sanaa. Kuna mashehe wanacheza na ufahamu wa watu.
@abdurahfaris8438
2 жыл бұрын
kabisaaa kabisaaa
@abuushakiraddausiy8666
2 жыл бұрын
Tangu linii makhurafiii makawa na uelewa kuvaaatuu mmeshindwa mwavaa isbaali..
Jambo jipyaaaaaaaaaaa
Unakubalika shekhe wetu km hawaelewi basii ni ahlu lbidaa aoooo
Mashaallah umejitajidi sana kuongea na mafuta kwa hishma na adabu kubwa, Kuliko mashekh wengine, au Mdigo na mzigua Dugu moja🤣😅😂
@meekman654
2 жыл бұрын
😁
Ma shaa Allah
Ww shekh muogope muumba ipo siku itajibu huo upotoshaji wako watafuta umaarufu bila elim
@user-qm2of7vd3k
2 ай бұрын
Upotoshaji Gani unao uzungumzia hapa mche mola wako Lete hoja kama unazo acha chuki zako
Umeweka vitabu mbele kama unauwezo wakufanya bahthi
Tunatakiwa kufunga siku ya A'arafa na Kisimamo Cha A'arafa hufanyika Makka.Tanzania na Saudiarabia hatujapishana masaa.'Arafa ni moja sio zaidi ya moja.Usilazimishe majibu ya masheikh yafanane wakati wanatofautiana elimu na ufahamu wa mambo.Ndugu zangu tusomeni.
@abubakarymaulidy5681
11 ай бұрын
Afu ndgu usicho elewa weww kwan kuna mtu anasema huku tz tunasimama arafa au huku twa funga sku ya arafa ???
LAKINI WEWE ABU IDI PIA NI MUWAHABI, MAANA WEWE PIA HUKUBALI KUA JAMBO HILI LA ARAFA LINA IKHTILAFU BAINA YA WANA WACHUONI, NA KWAMBA, UPANDE WAPILI NAO WANA HOJA, LAKINI HILO HULIKUBALI KABISAAA,
@swaalehomar2748
2 жыл бұрын
Haya pia huna🙄🙄🙄
@jamalsalum8726
2 жыл бұрын
Hakuna ikhtilafi kwny tarehe,ikhtilafu ni ktk muandamo wa mwezi, kila watu na kuona kwao
Wacha watu tufarikiane katika family kwa kufunga arafa siku tofauti kwa sababu aya ya mungu haikutwambia tushikamane tu waumini,ila tumeambiwa tushikamane kwa kamba ya Allaah na atakaeenda kinyume hatuwezi kushikamana nae,maana huko itakuwa sio kushikamana kwa kamba ya Allaah itakuwa ni kufatana katika kamba ya iblis
mafuta next level kwako kwaiyo kaa utulie na ukasome kwake
Huu mjalada shykh abuu Eid ameukimbia ahhhhhhh ila nyie mliokuwa humu hamfatilii mijadala ya majibizano ahhhhhhh
Duuh kweli kiama kiko karibu
Kusema arafa haifungamani na mahujaji kusimama pale arfaati huu ndo upotoshaji na huyu babu ndio msimamo wake lkn atawapotosha msiotaka kusoma dini na kumshabikia huyo mganga wa kienyeji
Duh. Nilikua nikikudhania kua ni sheghe, kumbe ni mbumbumbu hauna kitu. Umejirundikia vitabu kama vile punda ayebeba mzigo asijue kilichomo NDANI ya mzigo. Bora ungekaa kimya tusingekuju kua ni mtupu kiasi hicho.
@fulgencearsene9829
2 жыл бұрын
Ndugu yangu. Hivi kweli, huwoni kama sheikh huyu amejitahidi kwa hoja? Usijali vitabo hivyo. Sikiliza tu hoja zake. LAMSINGI NIKUWA SWALA HILI LA ARAFA NILA IHTILAFU. Tizama usul fiqhi inasemaje huhusu swala la ihtilafu.
Wewe mzee umepotea hakika
Naam wape wape sheikh, mpaka waelewe
@mussamsuya8595
3 жыл бұрын
Huyo sheikh abuu idd hajijui
@abujamalaalghammawiy7470
3 жыл бұрын
@@mussamsuya8595 Awe anajua au hajui, hiyo sio hoja, HOJA NI NINYI KUJIBU MAELEZO YA SHEIKH
Mh hhh
Shida ni kwamba Saudia wanapanga tarehe kwa kutumia kalenda, wakati Bakwata wanapanga tarehe kwa kufuata mwandamo wa mwezi,sasa hapo hawawezi kwenda pamoja,ila kuna kipindi Arafa zinakuwa sawa,kutatua tatizo hili tunahitaji kupata kiongozi mkuu wa waislam Duniani,vinginevyo,kila mtu afanye anavyoona inafaa,tunakoelekea viongozi watavunjiana heshma.
Mimi naona kama shetani anamnyooshea kidole malaika
وكما قال رسول الله (صومو ا بيومكم
Shkh asnt sanaaaa Allah akulipe kher
Na ni mwanafunzi wako huyo Sheikh wala hujakosea uliposema umemfundisha
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
Hahhaa muongo huyooo,sheikh kaanza kusoma mwaka 82,na Muhammad idi alikua hajaanza kusoma,na hilo nimeambiwa na mwanafunzi wa sheikh walid al hadi,kua sheikh Muhammad idi alipokewa na sheikh walid na akafundishwa na sheikh walid
@samirsadick2524
3 жыл бұрын
@@adamjutto5849 waamini uliyoambiwa na mwanafunzi wa shekh walidi kuhusu Muhammad Idi, lakini huamini anachokizungumza Muhammad Idi kinacho huu yeye mwenyewe?
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
@@samirsadick2524 taarekhe yakataa hayo anayoyasema,wakati sheikh qaasim mwaka themanini na mbili anasoma,sheikh Muhammad idi alikua bado hajaanza kusoma,wamekutana mwaka ganiii? Hilo ndo swali langu,? Sheikh qaasim anakiri kua yeye ni mwanafunzi wa sheikh burhaaan,asa ebe fikiria umri wa sheikh burhaan na sheikh Muhammad idi!!! Na wakati sheikh burhaan anafundisha sheikh Muhammad idi alikua ni mwanafunzi,alimfundishia waapiiii?
@imash04tv20
3 жыл бұрын
@@adamjutto5849 ww mtoto wa miaka 15 unamuita mtu muongo ulikua nae ww sheikh kamsomesha nq baba yangu walikua shirika katika darsa ya Muhammad iddi baba akiwa na sh kassim pamoja ndugu yangu usiwe na chuki kwa sababu ya madhehebu tu na utawajibu wengi maana kila mtu wamjibu chuki hizo ndio mnavyosomeshwa naona na mnajulikana kama sio wahabi salafi mtu basi hajakamilika .......
@samirsadick2524
3 жыл бұрын
@@adamjutto5849 Kwa hiyo wewe ulimshuhudia mafuta akiingia Tamta mwaka 82?
Shekhe unaonekna una kiburi haikua na ulazma kukushanya vitabu vote hvo nyuma ya kamera kwa lengo gani
@topfreelancer5151
2 жыл бұрын
Mkwala nakuambia
@harounsaleh6526
2 жыл бұрын
Wewe ndo mwenye kiburi maana hujui wala huna heshima
Kw kweli usufi ni mzigo wallah.....Allah atuhifadhi....mana sioni chochote humu ila porojo na talbiis.
@abubilal4319
3 жыл бұрын
Porojo gani na kuna nukuu za vitabu hapo?, kwa kweli uwahabi ni fitna kwa uislamu, hivi nyinyi mawahabi mna matatizo gani?, huenda hata darasani kusoma dini hujaenda kisha unatoa Kauli hizi mbovu.
@salehally2744
2 жыл бұрын
Toka hapa hujui kitu mpumbavu wewe hoja ziko wazi za kisomi unaleta ujinga hapa
Abuu idi vp Naina kimnya au ushainuwa mikono maana sheikh alisema ukishindwa umtumie at SMS na akaahidi kukustiri na hajakufedhehi na jee umetuma into SMS Tunaona mahalo umesimama
Allh atujalie khery lkn mashekhe was bakwata mnakosa elim sahihi ktk Dini mnapotosha sn Dini
Ww usalama tulia katafute mbaazi na chapati ule
Arafa atausipo onyesha kitabu ipowazi tu
Virus ni vidudu hatari katik chombo.
Maswali ya kitoto wallaahi mm ni wa thaanawiy tu lkn naweza in shaa llaah kumjibu ila sheikh abal fadhli ndie mwenyewe tumpe nafasi yake
@jumamnemo8383
2 жыл бұрын
Jibu basi ,tukuone usitake sifa na utukufu usiokua nao .
@hajikiandiko3139
2 жыл бұрын
Ina lilahi
Rudi darasani usomeeeeeeeeeeee...................
Huyu shekhe ni mpotoshaji sana anajenga hoja kwa falsafa. Mara nyingi mida ya Swalaa ya maghrib utamkuta amekaa lumumba anapiga stori badala ya kwenda msikitini.
@humycymachambula1719
2 жыл бұрын
Unapiga nae story au???
@SalehSaleh-gr5fo
2 жыл бұрын
@@humycymachambula1719 huamini? Nenda kamshuhudie.
Kwa ww mbongo ya marekani ....
@harounsaleh6526
2 жыл бұрын
Na wewe mbongo ya Saudi Arabia yanakuhusu nn?
Leo tarehe 26....
Ebana shekhe vp mbona kimya toka mwaka jana jiiiiiiiiiiii au dawa imefika mahala pake hahahahahaha au umempigia sim kisiri siri umeyamaliza 😂😂
Mwezi wa kuweka bando aminini ni bidaa ni bidaaa
Mawahabi hawajielew
Sasa she kwa Nini iwe ni siku moja tu ndio tukosane jamani mbona mnatuyumbisha nyinyi mashehe
Hili lishekhe ubwabwa,muwe na arafa yenu nyie majuha,
Mimi nasema huyu jamaa watu waendelee kumpinga lakini kielimu na kuufahamisha Umma Wallahi hawamuwezi ibaki tu kumpinga kwa taasubbi zetu baaaaaaasssss
@abdurahfaris8438
2 жыл бұрын
hahahha asante kwa ukwel anatisha uyu
Nimeskiliza shekhe na nimesoma commnt baath lakn mbona huyo shekh hatengenezi hoja kwa dalili antumia Sana akili na kuwatuhumu wenzake kwamba hawana mafuhumu
@abubakarymaulidy5681
11 ай бұрын
Wee umelala aisee kwhy iyo aya inayo zungumzia nyakati nimaneneo yake au na weww ufahamu ni shida
Nimemtolea hizi hadithi,katika clip yake ya Juzi #Muhammed_Nassoro_Bachu ,lakini kaingia mitini mpaka sasa sijamuona.
@hamadatahir9307
3 жыл бұрын
Kaingia mitini? Khaaa..basi kaogopa huyo
@abdallahomar3268
2 жыл бұрын
ww fundi dah
@meekman654
2 жыл бұрын
😁
Shekhe nakuelewa waeleweshe woote hao maana imekuwa gumzo lkn mbona hwaleti mijadala kuhusu funga ya muharram mwez 10
Kwanza hapendi kuulizwa huyu Qasimu Mafuta .. Ataka aseme kisha asepa
@ibrahimfarouq8339
3 жыл бұрын
Kuwa muadilifu katika darsa zake zote mwishoni kunakuwa na Maswali na Majibu
Hawa likua waulizwe wao na Mtume nani Bora pia nani mkweli
Wewe ndie mpotoshaji hivi ndugu zangu waislamu tujiulizeni ili siku iitwe yaumu arafa jambo gani au tukio gani linatakiwa lipatikane ndani ya siku hiyo au liambatane ndani ya siku hiyo ?.
@mohammedabdulrahman8863
3 жыл бұрын
Ni tarekhe ngapi hiyo Arafah?
@alhajilyimo9939
3 жыл бұрын
Inamana mwezi wa ramadhani ukiisha hukuna kwafwatilia mwezi tunahamia makkha kusikilizia mahujuji au
@ibrahimfarouq8339
3 жыл бұрын
@@alhajilyimo9939 Kwani Makkah wanatumia calendar gani na dunia nzima wanatumia calendar na sie Tanzania tunatumia calendar gani?
@ikabako2454
3 жыл бұрын
Khamisi hilo swali haliwezi kujibiwa hata kidogo. Lazima watu wawe jabal arafa. Rasool SAW alisema hijja ni arafa. Arafa ni pale watu wakikusanyika arafa hakuna arafa nyengine.
@ibningaum9134
2 жыл бұрын
arafa ni tar ngapi acha hizo habari ni tukio gani mana hata hilo tukio haliwezi kuwa ni hadi tarehe iwe imefika, ukisha ipata hiyo rarehe kisha ujiulize je dunia nzima yaweza kua na tarehe moja kwa kuzingatia mwezi muandamo
Sheikh muogope Allah
@badrumbarouk3377
2 жыл бұрын
Umemuona kakosea mbona anaongea pwent tu
@badrumbarouk3377
2 жыл бұрын
Umeona kakosea mbona anaongea pwent tu
Sema tu mchuzi mwekundu ni mtamu zaidi kuliko mchuzi wa maji
Acheni kuiridhisha serikali ninyi bakwata mridhisheni Allah vyake vimetimia
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
Ww mpumbavu Arafa ni mwez 9 mfunguo 3 kw Makka Tanzania japo kua ni mwez 8 ww funga t
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
Usitupumbaze simama yako Arafa uone nchi gan itakufata
@sempaysensey6486
2 жыл бұрын
@@khamisaly3286 Sasa wesimjinga kama Mimi utanifunza Nini
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
@@sempaysensey6486 Nitumie namb yako nikufunz
@khamisaly3286
2 жыл бұрын
@@sempaysensey6486 Elimu ya fik,hi huwez ukafata sheria ya Allah
Huyu babu nae anatafuta mambo mengine mbali ili kuipa nguvu hoja yake(yaani anatafuta masiku mengine tofauti na hiyo arafa husika).
@muhammadochenje4610
3 жыл бұрын
Hilo swala muulize kassim mafuta
Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???
Hiyo picha hapo yanini?? Ilhal wajua malaika hawaingii sehemu yenye pichaaa