Je nikweli Sheikh Nassor Bachu Aliwahi kuwa SHIA??Ukweli ni huu.

Пікірлер: 82

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Жыл бұрын

    ALLAH amtilie nuru kaburini mwake sheikh wetu wa ki sunnah , na amlipe pepo ya juu kabisa amiin

  • @ibugharib389
    @ibugharib3893 жыл бұрын

    MASHAALLAH, hakuna binadamu asiyekuwa na kasoro lakini ALHAMDULLILAH amejitahidi Allah alivyomuwezesha tumejifunza mengi ALHAMDULLILAH alichokosea Allah amsamehe

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын

    Allah Amrehem Sheikh Nassor Bachu, Allahumma Amin ya Rabb 🤲

  • @thulaniduku3218

    @thulaniduku3218

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @sabihamakami3720
    @sabihamakami37203 жыл бұрын

    Allah akurehemu shekhe nassor bachu 😪😪😪😪

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed7273 жыл бұрын

    ALLAH amuhifadhi amrehemu sheikh wetu.

  • @omysule7118
    @omysule7118 Жыл бұрын

    Alhamdulillah. Allah akusamehe makosa yako na akulipe kila la kher, sheikh wangu mpendwa namba 1. Tuunashkuru pia kwa kutuachia dhahabu ambae ni mwanao

  • @chulululicious6061
    @chulululicious60612 жыл бұрын

    Tulipoteza sheikh mkubwa sanaa ..nmejifunza mingi sheikh wangu ..Allah akurehemu sheikha nassor bachu

  • @suhel5209
    @suhel52093 жыл бұрын

    Allah akuweke salama ulipo ustadh al marhum Bachu.

  • @maseledotto8490
    @maseledotto84903 жыл бұрын

    Allah amjaalie kila la kheir huko akhera alipo

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu71683 жыл бұрын

    Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala atakua si muislam, na yoyote anaemshirikisha Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo pia atakua sio muislam

  • @kombomakame7547
    @kombomakame7547 Жыл бұрын

    Allahumma ghufirlahu warhamhu filnannah

  • @tigersterling5417
    @tigersterling54173 жыл бұрын

    Ya Rabbi murehemu sheikh wetu na wanachooni wetu wote.

  • @thulaniduku3218

    @thulaniduku3218

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @thulaniduku3218

    @thulaniduku3218

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @cath-ef7wd

    @cath-ef7wd

    9 ай бұрын

    Amin

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole40003 жыл бұрын

    Mungu amrehemu Sheikh wetu

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe42043 жыл бұрын

    Allah amrehem shekhe wetu kipenz salafi wa Zanzibar

  • @ramadanismail3052

    @ramadanismail3052

    Жыл бұрын

    Ameen Yarab

  • @hamicpina1151

    @hamicpina1151

    8 ай бұрын

    Xio xalafi Sunna

  • @ALIKHAMIS-un4fv

    @ALIKHAMIS-un4fv

    6 күн бұрын

    ​@@hamicpina1151ni salafi sheikh nassor

  • @hamicpina1151

    @hamicpina1151

    5 күн бұрын

    @@ALIKHAMIS-un4fv sio salafi mjomba maana hakuwa na mambo yakubishana yeye ilikuwa anatowa daawa na sifa ya salafi ni kushindana mambo ya hoja weeee adi kazi ya mtume kzi ya kumtangazia ALLAH kwa wasio mjuwa na kulingania wasiomuabudu ALLAH kwa salafi haipo wao mambo ya hoja tuuu kwa shekh nassoro hakuwa mtu wa ivi yeye ni daawa tuu na kuufundisha umma misingi ya dini bx

  • @bjzee1981
    @bjzee19813 жыл бұрын

    Hata MI nisha fundishwa na nina hakika wengi tumesha kaa mbele ya ma ustadh wa bid'a. Ila kwa kudra za Allah akatufunulia elimu zaidi yaku tofautisha Kati ya hawa washirikana na watu wa Sunna

  • @mohammedsalim7051
    @mohammedsalim70512 жыл бұрын

    ALLAH AMREHEMU SHEIKH NASOR BUCH

  • @ramadhanomar8093
    @ramadhanomar80933 жыл бұрын

    Sijaona kama sheikh nassor bachu east Africa...eee mola mrahamu sheikh wetu

  • @salmaalisalim2462
    @salmaalisalim2462 Жыл бұрын

    MashaaAllah alikuwa shujaa sheikh nassor Allah amrahamu

  • @jardiniddy3205
    @jardiniddy32052 жыл бұрын

    Allah amrehemu .Allahuma thabit'hu bi qauli tthabit

  • @kitosio
    @kitosio6 күн бұрын

    Mtumaji. ALLAH AKULIPE KILA KHERI

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын

    Allahumma Amin ya Rabb 🤲

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 Жыл бұрын

    Rahmahullah Sheikhe Nasoro Bachu

  • @abdillahbakar9850
    @abdillahbakar98503 жыл бұрын

    Allah amrehemu akhera aliko

  • @sakinat2527
    @sakinat25273 жыл бұрын

    Allah amraham sheikh bachu

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    3 жыл бұрын

    Amiin mzee mwenye busara zake ila huyo mtoto kisunzi😄😄

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    3 жыл бұрын

    @@rehemasalim4590 umeonaee yani anabusara japo tulikua wadogo akifariki ila clip zake zipo kwa sasa KZread tunamfatilia

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    3 жыл бұрын

    @@omaar5693 😀😀😀😀

  • @ayubumagumu4386
    @ayubumagumu43863 жыл бұрын

    Allah amrehemu sheikh

  • @jumaomar7602
    @jumaomar76022 жыл бұрын

    Alla akurehemu akusamehe dhambi zako

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali71923 жыл бұрын

    Shukran

  • @wailusebea3511
    @wailusebea35112 жыл бұрын

    Allh amrehemu shkh nasoro bacho na amsamehe

  • @husseinfunga3272

    @husseinfunga3272

    Жыл бұрын

    Aamin

  • @bizuwena623
    @bizuwena6233 жыл бұрын

    ALLAH AKULIPE KHERI KILA ULIPOPATIA.NA AKUSAMEHE ULIPOKOSEA KWA JUHDI YAKO.

  • @husseinfunga3272

    @husseinfunga3272

    Жыл бұрын

    Aaamin

  • @eaduruus8896
    @eaduruus88963 жыл бұрын

    Assalamu Alaikum. Sheikh Muhammad, tunaomba utuwekee duruus za Tamaamul Minnah zilizofundishwa na Sheikh Bachu Allah amrehemu, ili tuweze kustafidi kielimu, baarakallahu feekum.

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim77593 жыл бұрын

    Hakuna alieweza kuwazungumza vizuri mashia km shekh qasim allah amuhifadhi

  • @vitalcool9266

    @vitalcool9266

    3 жыл бұрын

    Sababu wewe ndivyo ulivyokaririshwa

  • @zuheorsalim7759

    @zuheorsalim7759

    3 жыл бұрын

    @@vitalcool9266 hapna huo ndo ukweli hao wengine wote KAZI Yao ni matusi tu

  • @habibuchipeka7934

    @habibuchipeka7934

    3 жыл бұрын

    We nawe una matatizo

  • @khalidmussa3769

    @khalidmussa3769

    3 жыл бұрын

    Wewe umeanza kusikika mada za mashia kwa qasimu lkn kuna kina sheikh Saalim barahiyani wamezungumzia sana kuhusu mashia

  • @zuheorsalim7759

    @zuheorsalim7759

    3 жыл бұрын

    @@khalidmussa3769 barahiyan nae ni shekh 🤣

  • @aliabdallah452
    @aliabdallah4523 жыл бұрын

    Allah amsamehe na ampe rehma zake , lakini weka mpaka mwisho ili tufaidike

  • @idrisaaly3557
    @idrisaaly35573 жыл бұрын

    Kaka usichoke kurusha video za sheik wetu marehem Nassor bachu Allah akulipe kila la kheri na nichukue na fursa hii kumuombea dua sheik Nassor bachu Allah amlaze mahali pema peponi (amin)

  • @suleimanjuma4443
    @suleimanjuma44433 жыл бұрын

    Assalamu Alaikum. sheikh naomba uiweke yote na sheikh ukipata nafas hebu tuelezee na kusihana madhehebu ya salafii.Allah amrehemu sheikh wetu nassor bachu

  • @adamtawete5865
    @adamtawete58652 жыл бұрын

    Allahmdullilah ala manhaj Sarafi

  • @khamismachu9612
    @khamismachu96123 жыл бұрын

    Mashaallah mungu amrehem

  • @NoorAli-vj4gn

    @NoorAli-vj4gn

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @maseledotto8490

    @maseledotto8490

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @hannanshekale5574
    @hannanshekale55743 жыл бұрын

    Ni babako huyu sheikh muhammad

  • @safinahighschool2179
    @safinahighschool21793 жыл бұрын

    Mungu amrahamu shekhe Nassor na amjaalie kizazi chake kuwa katika kundi la wafuasi (Shia) wa Mtume s.a.w na ahlulbayt na swahaba zao wema. Amin

  • @thulaniduku3218

    @thulaniduku3218

    2 жыл бұрын

    Nyinyi mashia ni makafiri

  • @abdulazizi2475

    @abdulazizi2475

    Жыл бұрын

    Kumbe kikundi loh!!!!

  • @allysalimsalim4965
    @allysalimsalim49653 жыл бұрын

    Huyu sheikh Allah angempa pumzi paka SAS hv kwa uwezo wa Allah tungefaidika Sana ila Allah ndo mjuzi zaid ya hilo

  • @abdallahomarabdallah4244

    @abdallahomarabdallah4244

    2 жыл бұрын

    Allah anafanya mambo yake kwa mipango alimuondoa Nassor Bachu akamleta Muhammad Nassor Bachu nae huyo amefuata nyenendo za baba yake Allah amuhifadhi na amueke anapo stahiki sheikh Bachu.

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete90153 жыл бұрын

    Nani ana mzushia ushia shekhe wetu

  • @sultannassor4868
    @sultannassor48683 жыл бұрын

    Tunahitaji muendelezo

  • @meekman654
    @meekman6543 жыл бұрын

    Tupeni muendelezo

  • @bilalihaji8431
    @bilalihaji84313 жыл бұрын

    Hajanikinaisha kabsa yannnnnn

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41493 ай бұрын

    ushia ndio ukweli

  • @abdillahbakar9850
    @abdillahbakar98503 жыл бұрын

    Shekh muhammad bachu nakuuliza nasikia chichi amebadilika amekua shia hivi ni kweli

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha80533 жыл бұрын

    Shia ni muslamu au ni nani.naomba ijibu?allah atulinde waisalmu wite duniani atupe mwisho mwema.

  • @rashidyusuphmwatebela8802

    @rashidyusuphmwatebela8802

    3 жыл бұрын

    Shia so muuslamu, Wao hawamuamini ALLAH ambaye tunamuamini sisi, ALLAH ambaye Mtume wake wa mwisho Ni Muhammad na khalifa baada ya Mtume huyu Ni Abubakar. Bali wao wanaamini maimamu wao 12, wanasifa za kiungu, na Kujua ghaibu n.k Hakika kwa hayo na mengi, wao so waislamu. Bali wanadai ya kuwa ni waislamu ...na madai pasina uhakika si lolote so chochote

  • @mhogomchungu7168

    @mhogomchungu7168

    3 жыл бұрын

    Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala si muislam, na yoyote anemshirikishwa Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo sio muislam

  • @khamisissa252

    @khamisissa252

    3 жыл бұрын

    @@rashidyusuphmwatebela8802 sahih.

  • @sittacharlesmaendeleo778

    @sittacharlesmaendeleo778

    Жыл бұрын

    Shia ni kafiri

  • @khaliddaud5352
    @khaliddaud53523 жыл бұрын

    Acha kupotosha waitu wee hujui chochote unasababusha waislam kuuwana huna ilmui

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 Жыл бұрын

    Kwani nikulize wewe Muhammad bin bachu Una sumbuka naninii? Pia ikiwa ushaudhihirishiaa UMMA kwamba hii ndio batili na ipi ndio HAKKI usibabike na hao wanao watoa watu na kuwakufurisha watu. #Usibabike#

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi93887 ай бұрын

    Mashia ni waislam halisi

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku32182 жыл бұрын

    Nguruwe za mashia ni makafiri wa waazi

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi93887 ай бұрын

    Mashia ni waislam halisi wa nyumbani kwa mtume

  • @bilalihaji8431
    @bilalihaji84313 жыл бұрын

    Inshaallwaa...ushia utashinda....hahaha

  • @saddammasha332

    @saddammasha332

    2 жыл бұрын

    Khanithi mkubwa

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi93887 ай бұрын

    Bachu kafiri huyu anayetukana masheikh

  • @salimmbwana6926
    @salimmbwana6926 Жыл бұрын

    Allah amrehemu na amsamehe sheikh wetu .