Muhammad Bachu PAMBANENI NA ALBANI KWANZA KISHA NDIO MUJE KWETU.

Пікірлер: 132

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee18482 жыл бұрын

    We Muhamad Bacho ukapimwe Akili....

  • @jabalutv3359
    @jabalutv33592 жыл бұрын

    Jazzakallahu khayran sheikh wangu

  • @zaharahassan7873
    @zaharahassan78732 жыл бұрын

    We tubia we. Kwakuwafurahidha kina barahiyani ndio uite MSIKIT kijisikiti.. سبحانالله!

  • @abdurkarimujuma6433
    @abdurkarimujuma64332 жыл бұрын

    Kutukana masheikh wa suna kama kasimu mafuta birashaka Allah atakuona

  • @rahmaabdillahi2795
    @rahmaabdillahi27952 жыл бұрын

    Subhaanallah

  • @salehmussa9371
    @salehmussa93712 жыл бұрын

    Shekh mm nakubaliana nawewe kuwa sio sahihi kuwasema vibaya bila heshima wale wote wasiofanya yasawa katika Sunnah ya Mtume SAW. Allah akulipe heri inshallah

  • @anyeresa928

    @anyeresa928

    9 ай бұрын

    Ustadh wangu wenyewe hao ndo pia wamwita majina mabaya... kwani huwaoni au huwasikii... sema wote waache kudharauliana.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 жыл бұрын

    HUYU MISIKINI MUHAMMAD NASSOR BACHU HAJIELEWI!!

  • @shkjumaa8339

    @shkjumaa8339

    2 жыл бұрын

    kosa lipi sheikh..

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52412 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @kassimabdallah7297
    @kassimabdallah72972 жыл бұрын

    Akhiy.umeharibu ddawa yako kwakujiingiza kwenye ddawa za mipashoo una felii

  • @ahmedjuma2674
    @ahmedjuma26742 жыл бұрын

    Hivi unaakili au matamanio ndio yamekutawala

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Shekhe,upo sahihi ni kweli hawa majadida kina mafuta na genge lake wamemdhulumu xana shekhe barahyani allah amuhifadhi,shekhe kapambania sunna sana tz wakati huo wanaompiga vita kina mafuta na wenzie walikuwa wapiga madufu na wengine wamezaliwa juzi tuu,maskini hawajui mchango wa sunna hapa tz ni barahyani amesaidia sana kupambana na watu wa bidaa amepigwa xana mawe yule shekhe Allah, atamlipa siku ya kiama kwawale walomdhulumu hakika allah awapendi madhalimu, wengi hawajui katika hii comment zao humu ni majadida na watu wa bidaa ndo wanaotukana.

  • @mohdabdallah2629
    @mohdabdallah2629 Жыл бұрын

    Anakataa dua ya pamoja halafu anawambia waumini waitikie dua

  • @swaffaa12020
    @swaffaa1202011 ай бұрын

    Ametoka Kwa Salafi ameingia Kwa masufi kibaya Zaidi Ni Shekh mzima anatoa laana Na Dua Kwa pamoja ndani ya msikiti Na kulazimisha kuitika Ameen si Dhani kama mtume s.a.w aliwahi fanya hili kumuombea maovu muislamu mwenzako.

  • @yusuphsammysammy7424
    @yusuphsammysammy742420 күн бұрын

    Huyu jamaa Allah amuongoze

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Жыл бұрын

    Hapa umeteleza Allah akusameheme

  • @mohammedlakhan5258
    @mohammedlakhan52582 жыл бұрын

    Allah akuongozee ndo dua gan hyo na umesoma dini ww Mtumee kafanyiwa mangap hajawah hata cku moja kukubal adhabu iwashukiee makafir sembusee ww unaombea dua waislam wenzako !!!!! Jitafakari akhy

  • @abdallasaid9348
    @abdallasaid93482 жыл бұрын

    Heee!! Muandamane..

  • @mussaissa6796
    @mussaissa67962 жыл бұрын

    Masufi ndio Waliokukosoa kuwa kiarabu hujui Na wakaweka maneno ambayo umeyatamka vibaya sana kiswarfa Na wakaonyesha kuwa elimu ya lugha katika milango ya sarufi uko mtupu kabisaa Kama masufi wamekosea mbona huwakanushi na kutuonyesha kuwa umepatia na hukukosea Kisha upnyeshe huko kupatia kwao Ewe ghabiyyun

  • @nasriramadhani3980
    @nasriramadhani39802 жыл бұрын

    Ww mvuta bangetuu

  • @aminirashid2833
    @aminirashid2833 Жыл бұрын

    Wee muhamad bachu humjui vizuri sheikh Rabii acha ujinga

  • @abdallasaid9348
    @abdallasaid93482 жыл бұрын

    Wewe Muhammad Bachu ni Mwanafunzi wa MSABAHA Unapita mule mule...

  • @abuahmad1206

    @abuahmad1206

    2 жыл бұрын

    Wew jahil mwengne

  • @abdulkareemseif1892

    @abdulkareemseif1892

    2 жыл бұрын

    Hawana tofauti

  • @abdulahmahamed3790
    @abdulahmahamed37902 жыл бұрын

    Makosa ni ya hao watu waliyokaa hapo kumsikiliza huyu ambae anatafuta balaa hapa duniani

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Жыл бұрын

    Uko vzuri bachu lkn achana na kujibizana na watu wa bid3ah.. sio kua hawajui…wanajua haki ila wanaangalia matumbo yao…fabya daawa yako kwajili ya Mungu na sio vzuri kumuombea mwenzio dua mbaya …Allah atuongoze sote

  • @user-uf6qf9lx4y

    @user-uf6qf9lx4y

    10 ай бұрын

    Unaposema watu wa bidaa unakusudia nini?

  • @swalehjamal4867

    @swalehjamal4867

    10 ай бұрын

    @@user-uf6qf9lx4y nakusudia binadamu yeyote anaezusha mambo katika dini ima kumsingizia Allah au kumsingizia mtume? Umeelewa au bachu atoe vdeo ndio muelewe?

  • @suleimanissa5301
    @suleimanissa53012 жыл бұрын

    uislam unaenda pabaya sijui tunaacha kizaz cha aina gani kiyama hicho

  • @abuuutheymiintv7875
    @abuuutheymiintv78752 жыл бұрын

    Maa shaa Allah. Allah akulipe kila la kheri .

  • @user-jd3ey7fv6h
    @user-jd3ey7fv6h9 ай бұрын

    Wapambane kwanza na mwanafunzi wako albani Kisha ndio waje kwako aalim ambae hakuna kama ww porojo jingi

  • @hassanmussa4734
    @hassanmussa47342 жыл бұрын

    Kijana mche Allaah kiukwel hata wew ni miongoni mwa wanaomsema vbaya shekhe rabii kwaiy unataka Allaah aondoshe nguvu zako wew za kiume au vp? اتق الله

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi22322 жыл бұрын

    Wee ni bichwa huyu MZEE aliyekuajiri alipambana na salafi mpaka mvi zimetoka

  • @swalehjamal4867

    @swalehjamal4867

    Жыл бұрын

    Ww kabla uropokwe ungewaambia wazazi wako wskupe jina zuri kama dini inavolingania…sasa mashauri mvungi ndio jina gani katika uislamu

  • @nasirdinmohammed8741
    @nasirdinmohammed87412 жыл бұрын

    @Muhammad bachu unajuwa manhaj lakini wew kweli vp utamrad mubtadiii afy utaje kazur yake kwel hjsoma manen ya wana vyuon afu shekh rabiii kwel umfananishe na mdai riba et na yeye atajiwe mazur yake Wallah huko ni kuwafanyia hiyana waislam

  • @abdulkareemseif1892

    @abdulkareemseif1892

    2 жыл бұрын

    Huyu Ni mpuuzi wa kiwango Cha lami

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u2 жыл бұрын

    "إن الله لا يصلح عمل المفسدين "

  • @abdulazizkadika6244

    @abdulazizkadika6244

    2 жыл бұрын

    ما ذا تعني يا اخي.

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh66182 жыл бұрын

    Aibuu mawaidha ya dini kueleza mipasho na kuombeana dua mbaya, huko ndo kutangaza uislam, tuna tofauti gani baina yetu na mashia wanaotetea madhihebu yao kuwa ndo uislam, binafsi sisi tusiokua na elimu hatuoni fakhri kwa malumbano yenu mme poteza dira mnaacha kufata misingi ya dini mnakimbilia kujinasibu kwa ubora nani zaidi aibu gani hii

  • @kassimabdallah7297

    @kassimabdallah7297

    2 жыл бұрын

    Wewe ungekuwa na kheri nyingi Ungekaa darasani ukasoma na kusomesha huku ulikoingia sikoo.hiyo sio ddawa ya mbora wa viumbe

  • @mohamedsheikh6618

    @mohamedsheikh6618

    2 жыл бұрын

    @@kassimabdallah7297 sikuelewi ndugu yangu mbona mchango wako wa mawazo hauko fasaha wewe unayaonaje hayo nisawa wanavyo fanya?

  • @kassimabdallah7297

    @kassimabdallah7297

    2 жыл бұрын

    Unajua Allah amekupe elimu maashallah na nimesikiliza baadhi ya darsa zako nikazielewa sana jinsi unavyo kataza maaswi lakini nikazisikiliza nyingine nikakuta na wewe unaingia mule mule nikichukia sana japo sijakudharau.nikakupa udhuru labda ujana huoo huenda ukikua utaacha

  • @kassimabdallah7297

    @kassimabdallah7297

    2 жыл бұрын

    Yana kuna mambo unayakataza yakuwasema watu kabla ya kuwafuata.alafu na wewe unayafanya tena ukawaita wanafiqi.mimi nasaha zangu kwako badilika waachie wenyewe walumbane wanao lumbana wee bainisha haqii kataza maasi achana na kuwataja watu majina.mana ibilisi ni mshenzi sanaa

  • @mohamedsheikh6618

    @mohamedsheikh6618

    2 жыл бұрын

    @@kassimabdallah7297 ahh endelea kufahamu unavyofahamu mimi simo humo, sikuwezi, sina la kukuelekeza ni juu yako kuamini unaloona ni sawa kwako, hakuna atakaebeba dhambi za mwenzake kila mmoja atakua na lwake,

  • @suleimanmussa3212
    @suleimanmussa32122 жыл бұрын

    Barahiani muombaji riba Hahahaha duuuh

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg2 жыл бұрын

    Bayana chungu kwelikweli duh! Hahahahahahaha.

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    2 жыл бұрын

    Hana cha bayana huyu mtafuta sifa

  • @mansurabubakar3906
    @mansurabubakar3906 Жыл бұрын

    Mhjamani diniyetu uhuu

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u2 жыл бұрын

    Shkh Albany asemaje kuhusu kutaja mazuri na mabaya ya anaetahadharishwa?

  • @abrahamansaidi8631
    @abrahamansaidi86312 жыл бұрын

    Nnashida na no zako

  • @kassimabdallah7297
    @kassimabdallah72972 жыл бұрын

    Mana unayokataza ndio unayo yafanyaa sasa nashindwa kukuelewa

  • @daudymussa4620

    @daudymussa4620

    Жыл бұрын

    Anayo yakataza ndio anayo yyafanya

  • @dihemwamwenemilao2055
    @dihemwamwenemilao2055 Жыл бұрын

    Ufahamu mdogo tu huyu shekhe...

  • @khalfanshahabakar7439
    @khalfanshahabakar74392 жыл бұрын

    Kijana una jazba kasome tena

  • @sulebeka7202
    @sulebeka720211 ай бұрын

    Tabia yakutukana sio mzr

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi22322 жыл бұрын

    Yupo aliyemsema vibaya mukubil na Rabii huyo barahiyani anafigo moja dua ya ALBANI naona hujui analoliongea bichwa mjinga boss wako

  • @suleimanmussa3212
    @suleimanmussa32122 жыл бұрын

    Hahahaha huyu

  • @sadikkibiki6227
    @sadikkibiki62272 жыл бұрын

    Mpuuz ww kwa dua yk

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 Жыл бұрын

    We mwenyew huelew

  • @farajirashid8859
    @farajirashid88592 жыл бұрын

    Hapo ndipo ulipo fikia uislam wetu

  • @captainmajid6049
    @captainmajid60492 жыл бұрын

    سبحان الله تضع صورة الشيخ عبدالله لأ جل الطعن

  • @OmarAli-lm9sf
    @OmarAli-lm9sf2 жыл бұрын

    أطال الله بقائك على منهج أهل السنة وحسن الخاتمة عند الموت

  • @seifshamuun1542
    @seifshamuun15422 жыл бұрын

    We kibabu huna hekma, mbn mchechezi badala ya kuwaelekeza watu unawaombea maangamizi

  • @mwinyimohamed9746
    @mwinyimohamed97462 жыл бұрын

    Sasa na wewe pia ni shekhe duuh hii elimu haina wenyewe

  • @amisiiddy6959
    @amisiiddy69592 жыл бұрын

    Hii ndio maneno ya wahenga kumba ukijichamba saaana mwisho utatoka na kinyesi ndio nyingi kujifanya mwajua saana mwisho mwajikama wenyewe kwa wenyewe sisi masudi tumetuliiiia na mimaulidi yetu na ndio kwaaanza yanazidi kushamiri

  • @abrahamansaidi8631

    @abrahamansaidi8631

    2 жыл бұрын

    Na maulidi yenu kweli sio ktk dini

  • @user-yt5ws7fv8v
    @user-yt5ws7fv8v10 ай бұрын

    Wewe Muhammad Bachu una akili lakini barahiyan ni salafi

  • @nasriramadhani3980
    @nasriramadhani39802 жыл бұрын

    Unaakili ww ujielewi

  • @nasriramadhani3980
    @nasriramadhani39802 жыл бұрын

    Untabia zakishoga

  • @AbuFawzaanAlly
    @AbuFawzaanAlly2 жыл бұрын

    Barahiyani huyu dhwaalimu arudishe milioni 200 za watu

  • @abdulkareemseif1892

    @abdulkareemseif1892

    2 жыл бұрын

    Kaiba wapi

  • @AbuFawzaanAlly

    @AbuFawzaanAlly

    2 жыл бұрын

    Kapewa kwaajili ya ujezi wa msikiti hajazifikisha

  • @halidijuma1884
    @halidijuma18842 жыл бұрын

    Kila mtu mwenye akili timam,, hawezi kuwa wahabi,,kwa staili hiii,, ya Vijembe

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Wahabi ni mtu wa SUNNA Kama hutaki SUNNA tutaonana kaburi MUNGU akuongoze ww na mm

  • @Heiswatching.
    @Heiswatching.2 жыл бұрын

    We babu, kisa umepata nafasi ya kupewa meza na spika.. unafanya vurugu kweli kweli.. babu..

  • @aminaali9715
    @aminaali97152 жыл бұрын

    ww ni mjinga nenda ukasome kweli nakunasihi

  • @abuahmad1206

    @abuahmad1206

    2 жыл бұрын

    Asome choni ww unsoma wapi jahil

  • @abdulkareemseif1892

    @abdulkareemseif1892

    2 жыл бұрын

    Akasome kweli

  • @farhathassan7178
    @farhathassan71782 жыл бұрын

    mbona mipasho mingi kama mwanamke

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    2 жыл бұрын

    ShoGa huyu

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    2 жыл бұрын

    @@mpondamedia2416 Shoga babaako

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u2 жыл бұрын

    Mohammed Bichwa. naona Anasimulia Visa.

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif18922 жыл бұрын

    Sasa unaiba pesa za waislam Kisha tukusifie kwa sunna

  • @aminaali9715
    @aminaali97152 жыл бұрын

    ww ni mubtadic na pia ni boyi wa barahiani

  • @Heiswatching.
    @Heiswatching.2 жыл бұрын

    MPOTOFU.. TU WEW..

  • @swalehjamal4867

    @swalehjamal4867

    Жыл бұрын

    Tuelimishe ww basi mjuaji

  • @jumahashim8109
    @jumahashim81092 жыл бұрын

    Jamani haya malumbano yetu sisi waislamu kwa waislamu mpaka lini?

  • @sirqiutaislaammahambe8784

    @sirqiutaislaammahambe8784

    2 жыл бұрын

    Mpaka sisi tuijue vizur kalima tawheed

  • @abuubakarihussein2664
    @abuubakarihussein2664 Жыл бұрын

    Tanga watu wake.tunapenda sn dini kuliko. Mikoa.yote Tanzania Alhamdulillaah watu watanga allha atujalie ikhilaswii. Ila shkheee Mohammad nacho. Hizo Radi zakisalaf Ziacheni shikamaneni kutetea Sunna nasiyo kutetea Taasisi zenu

  • @afrahamohamedi6301

    @afrahamohamedi6301

    Жыл бұрын

    Jamani mpokeeni Hazrat Mirza Ghulam Ahmad (a.s),Mwanzilishi mtukufu wa Jumuiya ya waislamu wa Ahmadiyya.huyu ndiye Imamu Mahdi na Hakimu Kwa zama hizi ,mtu anayekufa bila kujiunga na Imamu huyu amekufa kifo Cha kijinga .

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis81882 жыл бұрын

    Ss si munasema duwa haram nyinyi ss amin ya nn

  • @matanohassan9667
    @matanohassan96672 жыл бұрын

    Masufi ni waovu kwa imani yako na wanachuoni wengi wanawakubali wacha mdomo mchafu mdomo wako hauna twahara katika kulinganisha waislamu wahabi

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Wahabi ni mwanachuoni si unaona unavumsema vibaya halafu msiambiwe iv kweli

  • @abuibra
    @abuibra2 жыл бұрын

    Kwanini umichagua ALLAH awavunjie nguvu za kiume ?!!!

  • @bahashachembea6922

    @bahashachembea6922

    2 жыл бұрын

    Swali zuri sana?

  • @hassanmussa7433

    @hassanmussa7433

    2 жыл бұрын

    Na ataanzwa yeye kwsababu yeye ndio aliemtwaani

  • @user-gg1zh6oe2w
    @user-gg1zh6oe2w10 ай бұрын

    Wewe kwisha wewe

  • @fadhilimussa5067
    @fadhilimussa50672 жыл бұрын

    Kweli Muhammad. Nacho leo umejikanyaga .Kuna siku niliikuskiaa unamsema vibyaa shekh rabiii..kwamba ana kisuu cha kukata watu .akijiskiaa kumtoaa mtu kweny sunnah anakata .na kumtoa .tena leo unasema hivo mbona unajikanyaga shekh ???

  • @ABC-ls7jg
    @ABC-ls7jg2 жыл бұрын

    Kama ni uongo hajachukua hizo pesa na hajadai riba alkuwa aseme mwenyewe, maana kaambiwa aseme kama uongo utatolewa ushahidi. Lakini mbona kanyamaza kimya?? Kwanini hajatoka kujitakasa na yaliyosemwa???

  • @banihashim5347
    @banihashim53472 жыл бұрын

    Tatizo lako upo Tofauti Sana na Almarhum baba yako Allah Amraham, Baba yako Alipata umaarufu kwasababu ya Dawah, ila wewe Unataka umaarufu kupitia kusema watu tuuuu na kiki

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Ametoa ushahid kwaiyo ww uko tayar wanachuoni wasemwe vbaya au na ww ni ktk wanaowasema wanachuoni vibaya mm binafsi kwa hili naunga mkono mfa Muhammad bin Abdulwahab anasemwa vinaya sana na watu wa bidaa Hadi wanaofuata SUNNA wanaitwa mawahabi au ww hujui

  • @banihashim5347

    @banihashim5347

    2 жыл бұрын

    @@medimisi6930 laa abdan sipo tayari wana wachuoni wasemwe, ila mgogoro upo hapa, nani mwana wachuoni sasa hapo?

  • @abuahmad1206

    @abuahmad1206

    2 жыл бұрын

    Weye ni mgonjwa

  • @banihashim5347

    @banihashim5347

    2 жыл бұрын

    @@abuahmad1206 nawewe mwehu muhuni chizi mukhaffaf

  • @abuahmad1206

    @abuahmad1206

    2 жыл бұрын

    Wew msenge rui

  • @abrahamansaidi8631
    @abrahamansaidi86312 жыл бұрын

    Mada imekushinda wewe mpuuzi wewe

  • @jumanneissa7118
    @jumanneissa71182 жыл бұрын

    Hili zombi la kihizb ukiwa umesoma huhangaiki

  • @ekishaschool163

    @ekishaschool163

    2 жыл бұрын

    Samahani al -akhiy tumia lugha nzuri utaeleweka ..

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif18922 жыл бұрын

    Ushawataja wangapi wewe mpuuzi

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff89032 жыл бұрын

    Na wewe unayewakosoa wakina barzanji na mashekhe wengine uombewe dua gani

  • @jumamahmoud9271

    @jumamahmoud9271

    2 жыл бұрын

    Hiki kipande kifupi,ipo ndefu yake itafute kwasababu amelizungumzia jambo ili ulilosema

  • @deathrow8004

    @deathrow8004

    2 жыл бұрын

    Maulid ni bid'aa & barzanji inamakosa mengi

  • @suleymansalim5732

    @suleymansalim5732

    2 жыл бұрын

    @@jumamahmoud9271 tuma link basi tuone

  • @jumamahmoud9271

    @jumamahmoud9271

    2 жыл бұрын

    @@suleymansalim5732 nitazituma mbili musikie kwa sauti zenu kua sheikh muhamed yupo sahihi kabisa tena maneno yake yanaendana na maulamaa.

  • @abdulkareemseif1892

    @abdulkareemseif1892

    2 жыл бұрын

    Mm huyu sheikh simuelewi mn si salafi ila barzanji Hana faida kwa wanaotafuta elmu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52412 жыл бұрын

    Kasima mafuta na genge lako Mbona kinyaaa

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff89032 жыл бұрын

    Kuwakufurisha watu ambao walikuwa ni maulamaa

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Жыл бұрын

    😄😄😄eti ndio dini hii😄😄😄hakuna dini hapa ni upuuz mtupu huu

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee18482 жыл бұрын

    We Muhamad Bacho ukapimwe Akili....

  • @abdulkareemseif1892

    @abdulkareemseif1892

    2 жыл бұрын

    Kabisa