Kwanini Haifai kuleta dua ya kunuti katika swala ya Alfajiri? Jawabu la Sheikh Nassor Bachu

Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya.

Пікірлер: 86

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki35013 жыл бұрын

    Shkrn jazakaAllaah khayran ALLAAH AKUPE MALIPO YA JANNA TULL-FIRDAUS NA ALIJALIE KABURI LAKO LIWE MIONGONI MWA BUSTANI ZA PEPONII

  • @hafidhhemed5002
    @hafidhhemed50023 жыл бұрын

    Wallah nikisikia saut yake moyo wang unafurah san ((nampenda ndani ya moyo wng)), allah akurehem na akusameh dhamb zak inshaallah

  • @abk1127

    @abk1127

    3 жыл бұрын

    Aamin

  • @hajjiyasin4255

    @hajjiyasin4255

    3 жыл бұрын

    Amiin tutakusikiliza mpaka siku ya qiyama

  • @ramlamohamed1955

    @ramlamohamed1955

    3 жыл бұрын

    Allahumma aameen

  • @salehjuma935

    @salehjuma935

    10 ай бұрын

    Aamiyn

  • @yasinali4377

    @yasinali4377

    9 ай бұрын

    Amin🤲🏾

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33533 күн бұрын

    Allha akupe pepo siku ya kwnz tu namsikia redio Iman nilitakabr Moja Kwa Moja Kwa Allha.

  • @abutafawa
    @abutafawa3 жыл бұрын

    Allâh Amrehemu sheikh Nassor Bachu... Jazzak Allâhu Khayran akhii Mohammad Bachu nawe Allâh akuhifadhi.

  • @NinoNino-fm8dr
    @NinoNino-fm8dr2 жыл бұрын

    Ooh Allah Msamehe shekh Wetu, Hakika Sisi tunampenda kwaajili yako

  • @nassraissa717
    @nassraissa7172 ай бұрын

    Mashallah Allah akuĺipe kheri

  • @vitalcool9266
    @vitalcool92663 жыл бұрын

    ALLAH amrehemu sheikh Nassor...jazakallahul khayr..

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu72463 жыл бұрын

    Allah Akupe Rehma Zake Ewe Sheikh Nassir

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci3 ай бұрын

    Simba wa Allah ❤️❤️❤️ anangurum na kututowa tongo # Firdaus iwe malipo yako sheikh hakika umefikisha

  • @mudiabdala3406
    @mudiabdala34063 жыл бұрын

    Asante sana shehe wangu mpendwa. Ukweli ndo huo aneechukiya ukweli muache achukiye

  • @yunnusmiraj529
    @yunnusmiraj5293 жыл бұрын

    shukran ustadh allah amhifadh almarhuum sheikh nassir

  • @mrishoshabani2597
    @mrishoshabani25973 жыл бұрын

    Ni role model wangu. Allah amrehem na amsamehe madhambi yake. Aamiin.

  • @yussufmussa8122

    @yussufmussa8122

    11 ай бұрын

    Amiin

  • @warshysaid8564

    @warshysaid8564

    3 ай бұрын

    Amiin

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin30162 жыл бұрын

    allah akulaze pema peponi shekh wetu

  • @suleimankhatibjogoo7236
    @suleimankhatibjogoo72363 жыл бұрын

    Allah amrehemu sheikh wetu sheikh Nassor Bachu

  • @selemanishukrnzakaria2490

    @selemanishukrnzakaria2490

    3 жыл бұрын

    ما له من محيص

  • @khaledrajab3830
    @khaledrajab38303 жыл бұрын

    jazakumu llahu khayr

  • @samirsaid762
    @samirsaid7622 жыл бұрын

    Allah amueke pema peponi shekhe wetu nassor abdallaah Bachu

  • @user-xn2hp4iz6k
    @user-xn2hp4iz6k3 ай бұрын

    Wallah Allah atakulipa kwa kile ulicho tuachia

  • @fadhilimussa5067
    @fadhilimussa50673 жыл бұрын

    Allah maarhamhuu good leader in Islam

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k6 ай бұрын

    Allha amrehemu shekhe Nasoro bacho

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu6 ай бұрын

    اللهم غفرله و رحمه

  • @khalidkhaild208
    @khalidkhaild2083 жыл бұрын

    Allah amrehemu insha allah

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki35013 жыл бұрын

    SHEKHH TUNATAKA ELIMUU JUU YA NAMNA BADA SWALA NINII KINASEMWAA KWAMUJIBU WA SHERIA NA SUNNA YA MTUME WETU MUHAMMAD SWALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid97653 жыл бұрын

    الله يرحمك رحمة واسعة

  • @abk1127

    @abk1127

    3 жыл бұрын

    امین‌

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    3 жыл бұрын

    اللهم أ مين يا رب العالمين

  • @akramomar3273
    @akramomar327311 ай бұрын

    Masha Allah

  • @alisimba4089
    @alisimba40892 жыл бұрын

    جزاه الله خيرا

  • @suleimanissa9316
    @suleimanissa93163 жыл бұрын

    Jazaka llah

  • @rashidmsita6588
    @rashidmsita65884 ай бұрын

    Allah ampe kher kubwa kubwa kipenzi cha wengi,hakika Darsa zako hazina mfano,sikupata kukuona ila nikikusikoa ni kama nakuona bayana kabisa

  • @fatumamwantumu4081
    @fatumamwantumu40813 жыл бұрын

    Mashalla Allah

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re3 жыл бұрын

    Usiibezee elimu, Elimu ni bahari chukua kama ukiona haikufai achaa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Жыл бұрын

    اللهم رحمه وسكن فلجن

  • @yussufjumaomar5903
    @yussufjumaomar59033 жыл бұрын

    Asant sheikh

  • @daudijuma5914
    @daudijuma59143 жыл бұрын

    shukraaan

  • @ismailnamtuma1830
    @ismailnamtuma18302 жыл бұрын

    rabbana ghfirlahu warhamhu

  • @ibrahimmwilo1586
    @ibrahimmwilo15863 жыл бұрын

    🙏

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili2 жыл бұрын

    Alhdullah

  • @ummually1918
    @ummually1918 Жыл бұрын

    Shekhe mohammed fuwata mokoba ya mzee allah amsamehe makosa yake

  • @fatmamohdmuhidini7663
    @fatmamohdmuhidini76633 жыл бұрын

    Allah amrehem

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin30168 ай бұрын

    Simba uyoo Allah amlipe kheri

  • @YassirmohdAli
    @YassirmohdAli4 ай бұрын

    Mung akup pepo na sis sot waislam

  • @asriyaaljabry27
    @asriyaaljabry273 жыл бұрын

    Kweli kabisa hiyo ni dua baada ya swala

  • @husein202
    @husein202 Жыл бұрын

    ماذا الله

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga7897 ай бұрын

    Kunut ipo ktk suna mtume alikua akikutut mpaka anaingia kaburini ktk swala ya alfajir lete hadithi inayo pinga hii hadithi sio maelezo

  • @huseninchasi
    @huseninchasi4 ай бұрын

    Imamu shafi tunamfuata ww kama huleti kunuti kaa kimya usimtukane mwenzako

  • @Mwadaba
    @Mwadaba3 жыл бұрын

    Asalam alykum brother nakuomba siku moja uelimishe watu au umma kuusu uwahabi na madhehebu mbalimbali

  • @saidmakame8867

    @saidmakame8867

    3 жыл бұрын

    Uwahabi ni nini kwani brother...

  • @maryamshuraim4163

    @maryamshuraim4163

    3 жыл бұрын

    Ashafariki zamani huyu shekhe

  • @cideboy4676

    @cideboy4676

    3 жыл бұрын

    Sheikh nasoro bacho mwenyewe watu wanambeza kwa kumuita wahabi 😥

  • @kkutanzania5386

    @kkutanzania5386

    2 жыл бұрын

    @@cideboy4676 Wahabi ni ni kwan

  • @wakwetu2444
    @wakwetu24442 ай бұрын

    Sasa wanaoleta kunuti sala Yao haikubaliki?

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp3 жыл бұрын

    Hakika tumempeteza mtu muhmu ktk uislam, ww ulikuwa mkwel wala sio mbabaifu hakika bado tunakuombea dua

  • @aliomar612

    @aliomar612

    3 жыл бұрын

    @Yahya tulitarajia mwanawe Muhammad bachu atarithi ilimu ya Marhum babake kule htaa yeye ameshika mambo ya Radi tuu....yasiyo nifaisha dini bali kuleta chuki na husma na kugawanya waislamu

  • @Mwadaba

    @Mwadaba

    3 жыл бұрын

    @@aliomar612 hujamfatilia marehemu Allah amuifadh. Maana brother haleti chuki bali anasema ukweli na uzur haneni maneno take yeye ananukuu kutoka kwa mtume Muhammad S.A.W na wanzuoni sasa kosalake lipi kuelez umma kuusu itikadi potovu

  • @aliomar612

    @aliomar612

    3 жыл бұрын

    @@Mwadaba naongelea mtoto wake Mohammed bachu sio Marhum mwenyewe

  • @aliomar612

    @aliomar612

    3 жыл бұрын

    @@Mwadaba bro kurekebisha na kukosowa kma mtu amekosea nisawa kabisaa wala halina mjadala hilo....tatizo yeye anakosea kwenye kurekebisha kwake hatumia njia ya sawa na busara wala hikma yeye anakejeli na kudharau wakati kila mmoja ana ufahamu wake ulivyo fahamu wewe sivyo nilivyo fahamu kwahio inatakuwa hikma na busara katika kurekebisha pasi na hivyo inaweza kuwa chuki na husma kama ilivyo sasa inasababishwa na watu kma sheikh Muhammad bachu

  • @tandalesse4544

    @tandalesse4544

    3 жыл бұрын

    Kuna hawa wanaojinasibisha na #Usalafy wakati mwingine huitafsiri QUR'AN kwa matakwa ya nafsi zao na si kwa kuwafuata #mufasirina katika #wajawema_walotangulia mfano kuna #Sheikh mashuhuri huko #Mombasa_Kenya ambaye aliitafsiri visivyo AYA ya 03 ya SURA ya 05(QUR'AN 05:03),yule na wengineo mfano wake,wanastahiri kufanyiwa ruduud ili wajirekebishe. Na hakuna lugha mbaya aloitumia Sheikh @Muhammad_Nassor_Bachu(الله amuhifadhi) katika kuwanasihi wanaokosea.

  • @daressalaamtanzania2736
    @daressalaamtanzania27363 жыл бұрын

    Na haijathibiti ktk kitabu chochote cha shafiy ninachosema qunut ni laazima

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp3 жыл бұрын

    Simba huyo m/mungu amrehem

  • @nooroman2535

    @nooroman2535

    3 жыл бұрын

    MashaAllah Mungu hakusamei makosa yako shelkh wetu shukra

  • @ahmadiibrahimahmadi3513

    @ahmadiibrahimahmadi3513

    3 жыл бұрын

    Proffesor Sheikh Nossour Bachu Allah amrehem

  • @khamismbarouk9014

    @khamismbarouk9014

    3 жыл бұрын

    Huo ndi ukweli ukweli usemwe2 at a w2 wkinuna

  • @damondhamonaizbadowangu4559
    @damondhamonaizbadowangu4559 Жыл бұрын

    kwa iyo tumfuate nan kati u ya imam shafii na said swadik

  • @hilalskanda3567
    @hilalskanda35672 жыл бұрын

    Vipi lei twaswali taraweh kwa jamaa na iwe sawa hilo na kuleta dua baada ya swala kwa jamaa isiwe sawa??? Yote haya hayakufanywa na mtume bali mawahabi wakubali tarawehe.!!

  • @adammuhidin3016

    @adammuhidin3016

    8 ай бұрын

    mamb yanaend kielimu nasiyo kiakili tutafute sehem tusome

  • @khamikhan9998
    @khamikhan99983 жыл бұрын

    Mtume ﷺ alisali vipi sala ya Alfajir je! alikunuti? na kama alikunuti lete ushahidi wa hadithi sahihi.Na tufahamu tu mtume ﷺ amesema kuwaambia masahaba wasali kama walivyomuona yeye anasali maana yake na sisi tufanye hivyohivyo.Tunapokosea sisi ni kutaka kulazimisha kuweka majambo mahala ambapo si pake yawezeana kuwa jambo ni zuri lakini linafanywa wakati sahihi na mahala pake. Sharti za kukubaliwa Amal (matendo); 1.Mfanyaji awe Muislamu 2.Afanye kwaajili ya Allah 3.Afanye kama alivyofundisha Mtume ﷺ mwenye kufanya kinyume na hivyo hana ujira atakaoupata. Na Allah ndiye mjuzi zaid.

  • @EtihadBega

    @EtihadBega

    4 ай бұрын

    Kamsome Anaa ibn maalik

  • @khaledrajab3830
    @khaledrajab38303 жыл бұрын

    jazakumu llahu khayr