Je Anashid Ni Halali au Haramu?||DR Islam Muhammad Salim

Пікірлер: 78

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Masha Allah, Allah akubarik sheikh Muhammad Nassor Bachu hapa umeiweka maudhui ktk maandishi mazuri sn, nakunasihi uende na kule ukabadlishe ile uloandika "raddi kw Yussuf Abdi" maana inaleta uchonganishi na c vzr kabisa, sheikh Islam anajua kuelewesha wala hamkejeli nakumdhihaki mtu Masha Allah..

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/o56BwaiCn62nYag.html

  • @muhaabdallah2010

    @muhaabdallah2010

    2 жыл бұрын

    Ni duktur islam Muhammad bro jina lake

  • @akbarosman3892
    @akbarosman3892 Жыл бұрын

    Allah amhifadhi sheikh wetu kijana❤

  • @sharifuabdul2585
    @sharifuabdul25853 жыл бұрын

    Manshaallah Allah akuhifadhi sheikh watekusema sna. Ukweli siku zote una umma

  • @fatmaismail13
    @fatmaismail133 жыл бұрын

    Masha'Allah sheikh, ana bihebak fii lilah barakallah

  • @farajafarijali7318

    @farajafarijali7318

    3 жыл бұрын

    sasa ibun jauzi wakati shaitwal alipokuwa akifikiria hayo yeye ibun jauzi alikuwa ndani ya akili ya huyo sheitwan . hayo nimawazo tu hakuna dalili .

  • @mustayoo
    @mustayoo3 жыл бұрын

    Mashallah brother dr.islam allah ukuhifadhi

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest97923 жыл бұрын

    Thanks you so much 🙏nimejifunza Masha Allah.Allah akulipe Inshaallah

  • @halimasaid4977
    @halimasaid49773 жыл бұрын

    Mwalimu mzuri sana Huyu masha allah

  • @tigersterling5417
    @tigersterling54173 жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu wa kjheri na baraka na akuzidishie ilmu na hikma. Allah kuhifadhi sheikh wetu uzidi kutuilimisha

  • @kudrawanguvu5923
    @kudrawanguvu59233 жыл бұрын

    Mashallah Shekh Allah Subhana Wataalla atuongoze ktk kher

  • @MohamedAhmed-ud3kq
    @MohamedAhmed-ud3kq2 жыл бұрын

    Mashaallah 🤗🤗🤗🤗🥰🥰🥰

  • @sowhatsowhat2442
    @sowhatsowhat24423 жыл бұрын

    mashallah waambiye ukweli wasanii wa ikulu

  • @halimasaid4977
    @halimasaid49773 жыл бұрын

    Allah amhifadhi

  • @jumamsonga9015
    @jumamsonga90153 жыл бұрын

    Ma sha Allah...kwa wenye akili ndio wataoielewa hii video nzurii ya sheikh wetu mbora,Allah amlipe kheri In sha Allah. #No nasheed #No Music #No Music at all.

  • @neemafatu7885
    @neemafatu78853 жыл бұрын

    Maneno yako mafundisho yako yanaeleweka sana tena mno.isipokuwa watu wanaendekeza nafsi zao kwa yale wanayoyapenda,. Ndio maana wanaziba masikio na kuyatafutia na kuyapambia maneno mazuri na kusingizia aty maswahiba walifanya.Bora mjiunge na kina diamond mtaeleweka.

  • @thureyazuheir293

    @thureyazuheir293

    Жыл бұрын

    mashaallah

  • @saiditara7235
    @saiditara72353 жыл бұрын

    يبين الحق {ليهلك من هلك عن بينة ويحيى من حي عن بينة}.

  • @farajafarijali7318

    @farajafarijali7318

    3 жыл бұрын

    tatizo sheikh huyu anazungumza mawazo ila hajaonesha dalili ya kuharamisha anashidi . anatowa mawazo tu .

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Жыл бұрын

    Huyu bwana yaan noma. Amenisaidia pakubwa sana, Anaongeaga tu haqi ,Masheikh wengine ni sarakasi tu

  • @buizo40
    @buizo403 жыл бұрын

    Na nyinyi munao ona kuwa shekhe hana kitu simutufanyie darsa zenu ili tupate faida au darsa zenu ni hizi comment zenu hapa

  • @ismailowino2866

    @ismailowino2866

    3 жыл бұрын

    Ni mizuka tu wallaahi hii.Hawana hoja ila mataminio ya nafsi zao.

  • @abdulwahabbakar8677

    @abdulwahabbakar8677

    3 жыл бұрын

    Kwa kweli wao wanaelimu za shetani sheikh ana elimu ya Allah hapo ndio tofauti iliyopo

  • @oss_oss151

    @oss_oss151

    6 ай бұрын

    Ni kweli kabc.

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Жыл бұрын

    Hapa mwatuchanganya . Kivipi. Wewe wanukuu kwamba anaashidi nimbinu za ibilisi Lkn hapohapo BARAHIYANI nimtetezi WA anaashidi na nimtu wako wakaribu vipi hapa???

  • @user-fj3dp2xe4q
    @user-fj3dp2xe4q11 ай бұрын

    Huyo daudi umemuona wapi akiimba kuna hadithi gani bwana mtume ametusimulia

  • @amanichanzi1824
    @amanichanzi18243 жыл бұрын

    Kaeni chini msome kusikiliza pekee haitoshi nyinyi waislam mbona mpo nyuma saana

  • @buizo40
    @buizo403 жыл бұрын

    Yaani shkhe atakapo ongea kuhusu palestine ndio watu hawato kufa masjid al haram makka masjid al haram madina masjid al aqsa yenyewe wanako swali maelfu ya waumini na dua miaka na miaka zina ombwa lakini faraja ya allah haija fika

  • @ismailowino2866

    @ismailowino2866

    3 жыл бұрын

    Ndo nawashangaa hawa mashabiki wa nasheed.Matamanio ya nafsi zao ndo wanafata tu na kusingizia Palestina.Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun!☹️

  • @buizo40

    @buizo40

    3 жыл бұрын

    @@abdullahalbalushi3856 wahabi wa aftakhir

  • @hamzayusuf2999

    @hamzayusuf2999

    3 жыл бұрын

    mawahabi hupinga kila kitu hata mungu hina lake haWamtaji

  • @galbasalim2164

    @galbasalim2164

    3 жыл бұрын

    @@abdullahalbalushi3856 Alwahabu ni jina la Allah kuna shida gani

  • @binrashid3242
    @binrashid32423 жыл бұрын

    Iyo mitazo tu na cyo ijmai ya wanachuoni

  • @sultansalehe4494
    @sultansalehe44943 жыл бұрын

    Watu wa bida'a wanaamini maneno ya mashekh zao kuliko Qur~an na hadithi na wakiamini maneno ya mashekh zao huwaambii kitu kitu kutoka kweny Qur~an na hadith wakakuelewaa.... Allah awaongoze waweze kufuata Quran na sunnah na cyo mamb ya uzushi...

  • @yaziduhamisi4096

    @yaziduhamisi4096

    3 жыл бұрын

    Acha uongo umefunga

  • @sultansalehe4494

    @sultansalehe4494

    3 жыл бұрын

    Sasa nkuongopee nn wakati tunajionea cc wenyew kwa macho yetu Mf: mtu anaambiwa mamb ya tawassul kupitia viumbe ni haram lakini watu wa bida'aa utackia mbn mashekh zetu walikuwa wanafany..sasa hao mashekh ndo dalili tunajiuliza hatupat majibu.

  • @yaziduhamisi4096

    @yaziduhamisi4096

    3 жыл бұрын

    @@sultansalehe4494 Kwan yy alivyomtaja huyo mwanachuoni yy ndo dalili ya kuacha anashid yy sio mtume swahaba tunamwamini lakini hizo ni fikra zake wa sio dalili mteme S W S alipokelewa kwa dufu na watu wanaimba wakicheza wake kwa waume mtume S W S alikuwa akimbiwa mashairi na hajakataza we unae kataza Kama nani ktk hii dini au ndo nyie mnaojiita masalaf haliyakua humna sifa ya kuitwa salaf

  • @sultansalehe4494

    @sultansalehe4494

    3 жыл бұрын

    Naona ndugu yang upo kiubishani zaidi lakini cyo kutafuta haqq... cha muhimu sote ni waislam kaz yetu moja kuamrisha mema na kukataza mabaya Allah atuwafikishe ktk kulifanyia kaz hilo

  • @yaziduhamisi4096

    @yaziduhamisi4096

    3 жыл бұрын

    @@sultansalehe4494 hapo nakuunga mkono mm na wewe hatujamuona mtume S W S tunafuata hao maulamaa huwezi kusema huyu ndie sahihi kuliko huyu wote ni wanachuoni wetu

  • @abdulazizshadau7869
    @abdulazizshadau78693 жыл бұрын

    Sheikh ulisema tufwate mwezi wa kwetu, ikifika arafa pia tuambie tufwate calendar ya kwetu

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/o56BwaiCn62nYag.html

  • @mikekhalifaali7510

    @mikekhalifaali7510

    Жыл бұрын

    Kwani Arafa haimo katika calendar

  • @midoozil9242
    @midoozil92423 жыл бұрын

    Sound effect unaijua maana yake kwani hutumii simu shekhe wetu wewe au sim yako yaita muito wa qur an si inalia hiyo sound effect

  • @abdulwahabbakar8677

    @abdulwahabbakar8677

    3 жыл бұрын

    Kutumia simu haijakupa nafasi ya kusikiliza music sheikh kama hajui sound effects anajua elimu ya Allah sasa wewe unaejua sound effects itakupelekea kuijua dini yako na ndio utakayoulizwa nayo siku ya siku si unamkejeli kwamba haijui . Allah akuongoze

  • @sheikhsharifkondo4745

    @sheikhsharifkondo4745

    3 жыл бұрын

    HAAAAAH.....haaaaah

  • @midoozil9242

    @midoozil9242

    3 жыл бұрын

    Sim yako inatumia muito gani,yani nyie mashekhe mnaharamisha vitu kisha nyie ndio mnafanya icho mlichokataza,utaskia tv haram lkn youtub channel wanazo na mpira wanangali ao picha haram lkn sim wanazo na pesa inapicha lkn wanatumia wallah ikiwa nyie mnotufundisha hamufanyi bas ndio wakwanza kwenda chomwa tatizo saiv nyie mnakosoana kwa kejeli na kujionesha jishushe mungu akupandishe e

  • @midoozil9242

    @midoozil9242

    3 жыл бұрын

    Sim yako inatumia muito gani,yani nyie mashekhe mnaharamisha vitu kisha nyie ndio mnafanya icho mlichokataza,utaskia tv haram lkn youtub channel wanazo na mpira wanangali ao picha haram lkn sim wanazo na pesa inapicha lkn wanatumia wallah ikiwa nyie mnotufundisha hamufanyi bas ndio wakwanza kwenda chomwa tatizo saiv nyie mnakosoana kwa kejeli na kujionesha jishushe mungu akupandishe e

  • @midoozil9242
    @midoozil92423 жыл бұрын

    Mbona nabii daudi alikua akiimba na alikua na sauti nzuri je nae ni mfuasi wa shetani?

  • @abdulwahabbakar8677

    @abdulwahabbakar8677

    3 жыл бұрын

    Kwa dalili zipi unaweza kuleta kua nabii daud aliimba

  • @abdulrahmanmussa4479

    @abdulrahmanmussa4479

    3 жыл бұрын

    Hahaha wewe bwana hujui kitu nyamaza kama hutaki kuyasikia haya usifuate hakuna kulazimishana kwenye dini tunakumbushana sheikh Islam hapa anatupa elimu tulia habishani na mtu

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab91543 жыл бұрын

    Hujatwambia kuwa ni halali au haramu.Umezunguka zunguka Tu.

  • @mustayoo

    @mustayoo

    3 жыл бұрын

    Inshallah allah atusamehe sisi sote.sikiza tena utapata jibu.haki inauma

  • @saiditara7235
    @saiditara72353 жыл бұрын

    يبين الحق {ليهلك من هلك عن بينة ويحيى من حي عن بينة}.

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/o56BwaiCn62nYag.html

  • @binmohammedbin4053
    @binmohammedbin40533 жыл бұрын

    Ajiib Wallah watu wanakufa ongeen kuhus Palestina unaongea khtilaf ya nashid Ajiib Ajiib Ajiib Waislam wnakufa mmekaa kwa khitilaf na Raddi tu

  • @ismailowino2866

    @ismailowino2866

    3 жыл бұрын

    Haqq ni haqq!

  • @binmohammedbin4053

    @binmohammedbin4053

    3 жыл бұрын

    @@ismailowino2866 hatujaelewa nn umeksudia

  • @swaleheally9814

    @swaleheally9814

    3 жыл бұрын

    WEW HUJIELEWI KWANI DINI NI KUZUNGUMZIA FALESTINA ANAE ZUNGUMZIA MENGINE HAYUPO KWENYE DINI? UNAFIKIRI MTU AKIWA MCHAWI AU MWIZI NK ATAKUWA NI MZURI IKIWA ANAZUNGUMZIA FALESTINA

  • @binmohammedbin4053

    @binmohammedbin4053

    3 жыл бұрын

    @@swaleheally9814 Dni kupiga Raddi au? mnashangaza sana ety mtu akiwa mwiz akiongelea Palestina watu wanakufa ety ww hujielewi ha ww hvyo ndio kujielewa au mmekaa radd tu haqq ni haqq nan anajua haqq ww hujui kuimba nashid nymaza ama haqq ni haqq msikae ktk mitandao mkiutia dosar uislam na kuja na kauli za bidaa wakat mnafnya tele ya bidaa

  • @swaleheally9814

    @swaleheally9814

    3 жыл бұрын

    @@binmohammedbin4053 RADD NI SEHEM KTK DINI .unaposema mnashangaza. unamaanisha kumshangaza nani?

Келесі