Assalam alaykum Dr.Islam. Naomba kufahamu, JE,Inakubalika katika gari yangu kuchora maneno yenye kutoa UJUMBE kama:1.Swali kabla hujaswaliwa. 2.Ishi na watu vizuri. 3.Wacha zinaa. 4.Swallallahu alayhi wasallam. 5.Mswalie Mtume Muhammad. 6.Mwisho wa ubaya aibu. 7.Mche Mola wako. 8.Mungu anakuona. 9.Mengineyo yenye kutoa ujumbe.
Пікірлер: 28
Allah akuhifadhee ya shekhe katka dini yake . Amiin allah huma amin
Mashaallah Mungu akuhifadhi shekhe Islam Mungu akujazi kheri inshaallah akuwepushe najicho lahasadi inshaallah
Mashallah shukran sana sheik wangu jazaaka Allah kheir
Allah akuzidishie hekima
Jazzakallah khairaa
Maa shaa Allah
mashallah mashalla Allah akulipe sheikh wetu nasi Allah atuongoze njia njema inshallah
Allah yahfadhka yaa sheekh Allah akuzidishie hikmah
Allah akuongezee umuri murefuu umetuokoa ya Rabbi
حفظه الله
Shukran shekh kwa darsa Allah barakat fiih
Baaraka llahu ya sheikh
Jaza kaallah khairah
DARSA ZAKO NI ZENYE FAIDA MNO ALLAH AKUHIFADHW
Mashallah
Shukrn jazaka Allaah khayrn
Shukran jazila Ustadh
Jazzaka Allah khaira
@HassanHassan-he5tq
2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie ilmu
MashaAllah sheikh wetu,Mwenyezi Mungu akuhifadhi na kila baya na akujaliye umri mrefu ili tuzidi kupata ilmu yenye manufaa tuzidi kuongoka
Assalaam alaykum warahmatuLLAAHI wabarakatu Baraka llahu
Sami'ihnaa waa twaana...
Masha Allah
@mwashumkigoda
Жыл бұрын
Sheikhs wetu naomba namba nna maswali nikuulize
Assalam alaykum Dr.Islam. Naomba kufahamu, JE,Inakubalika katika gari yangu kuchora maneno yenye kutoa UJUMBE kama:1.Swali kabla hujaswaliwa. 2.Ishi na watu vizuri. 3.Wacha zinaa. 4.Swallallahu alayhi wasallam. 5.Mswalie Mtume Muhammad. 6.Mwisho wa ubaya aibu. 7.Mche Mola wako. 8.Mungu anakuona. 9.Mengineyo yenye kutoa ujumbe.
Vipi Hali yako shekhe,,,
Maa shaa Allah
@hamzamuhyidinabuhaji1458
2 жыл бұрын
Mashaa allah nuhibuka fillah yaa sheekhanaa