Abuuiddi Tv online Email :Sheikhmohamediddi1@gmail.com / abuuiddi-tv-. . kzread.info/dron/UhF.html...
Жүктеу.....
Пікірлер: 39
@jabirhussein41805 жыл бұрын
Allah akulipe kila la kheri shekhe wetu kwa somo zuri ila bado kitu kimoja hujatuelezea ambacho ni MAMBO YANAYO BATILISHA EDA,yaani ni mambo gani mwanamke akiyafanya eda yake huharibika?
@zaitunbisher52613 жыл бұрын
Shukran kwa funzo lako ya kukaa eda
@sauhatmoses54143 жыл бұрын
Asant
@tumtumkhan31152 жыл бұрын
Shukran sana shekh kwa mawaidha yako. Likuwa nna swali shekh wangu kama mume amekuacha na hukalii eddah kwake sababu kuanzia mwanzo Likuwa twaishi kwangu i na yyj ee mke akiwa ni mgonjwa inamlazimu kumpeleka siptali au kumgharamia pesa za matibabu. Shekh naomba jibu tafadhali
@abdoulamisi5179 Жыл бұрын
Baarakallahu fiykum
@rajabukasim38725 жыл бұрын
Jazaaka llwaahu khayran
@swabriali45834 жыл бұрын
MashaAllah maelezo fasaha
@abubakaryusuph65555 жыл бұрын
maa shaa llaah mungu akupe kila lakheri sheykh wetu abuu idi kwa darsa zako hizi
@abdalahtwahil52024 жыл бұрын
Sheikh mwanaume ambae hamuudumii mtarak wake inakuaje
@allymaulid93916 ай бұрын
Je kama mama mkwe kamng'ang'ania mwanae nyumbani kwao
@ashakhator17775 жыл бұрын
shukran tumepata elimu kubwa sana .
@shufaakhamis26433 жыл бұрын
Kwa mke alie achwa talaka ya Tatu. Mwanamme anaweza kumhudumia ndani ya kipindi cha eda?
@hutisaleh23204 жыл бұрын
Maaxhaallaah allaah akuweke shekh wetu akupe umri mrefu wenye barka ili 2endlee kustafid na mawaidha yko..
@shamimnassoro4971 Жыл бұрын
aww, inakuwaje mume kamtaliki mke kisha akamfukuza na mke akakosa namna na akaondoka afanyeje ili kuitekeleza ibada ya eda
@maryammaua591 Жыл бұрын
Maswali shekhe
@innocentjay58445 жыл бұрын
Sheikh mbona wasichana wakiislamu hawana subra mukikosana kidogo adai TALAKA.tena Kwa vishindo
@Akram-safwan3 жыл бұрын
naomba
@HidayaZiadi7 күн бұрын
Mi naomba namba yako sheikh
@sahimtv47422 жыл бұрын
Mke amejivua katika ndoa hakurejesha mahari, kwa kutokujua Mume akampa talaka bila kurejeshewa mahari baada ya mke kudai talaka hiyo (Kujivua) baada ya myezi 8 Mume anataka kumrejea je! atamposa upya ?? na vipi kuhusu ile mahari ambayo haikurejeshwa baada ya Mke kujivua!
@msabahkhamis94382 жыл бұрын
Je shkh nini hukmu ya kumuacha mke na mimba? Na je nn hukmu ya kumuacha mke bila kumpa taarifa? Allah akuzidishie kheri
@faridamohammed1823 жыл бұрын
Je mtu akipewa talaka 1 anatakiwa akae muda gan ili kupewa zote talaka?
@jacoboalphaxard34504 жыл бұрын
Nashkuru sheikh Kwa darsa zuli Sana,
@mwanamisitenga1158
4 жыл бұрын
Shukrani sheikh kwa kutuelimisha
@hassangogola1261
4 жыл бұрын
Sheikh assalam walaykum naomba namba ya sim ya wttsp mm nipo congo
@fatmamohammedali43062 жыл бұрын
Sheikh naomba namba ya simu mimi maongezi yangu ni siri
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
Assalam Aleykum, sheikh abuu idd ni maarufu sana Allah amekunyanyua ila ninasikitika daawah zako hazitilii manani sunnah ndio misemo yenu ukifanya unapata thawabu ukiacha hupati dhambi kutokana na neema uliyonayo dawah yako ingekamilika kama ungenyoa masharubu na uweke ndevu mbona unafanya kinyume na mafundisho sheikh ?
@msabahkhamis9438
2 жыл бұрын
Naam
@msabahkhamis94382 жыл бұрын
Shekhe naomba darsa ya biashara kiislam wengi tunafanya tu na mashekh wengi hii maada hawaizungumzi cjuwi kwa nn?
@kaulibwanza21803 ай бұрын
shekh kama kama nimemuacha MKE wangu harafu akaendelea kukaa kwangu tuna ruhusiwa kula CHAKULA KWAPAMOJA na kunipikia pia kulala kitanda kimoja?
@user-rk5ct1be8k
3 ай бұрын
Hairuhusiwi dear si halali yko
@ayxhertwaalib54793 жыл бұрын
Assalam aleykmu shekh naitwa aysher iv mfano umeachwa na mume taraka moja baada ya cku kazaa mukakutana kimwili kabla ya eda kuisha apo inakuaje?
@asiamussa4054
2 жыл бұрын
Waaleykum msalaam hapo itakuwa mmerudiana na hakuna eda bali mtakuwa tena mke namumu kukutana kimwili maana yake ni mmesameheyana
@sabraame1916
2 жыл бұрын
Na mie nilikuwa nasubir nijuwe
@aishaabubakar67594 жыл бұрын
jee mwanamke alieachwa ananyonyesha na akinyonyesha huwa haingii katika siku zake mpaka amalize kunyonyesha jee eda yake ni miezi mitatu au khurui tatu?
@asiamussa4054
2 жыл бұрын
Ni miezi mitatu
@user-lv9cu1hn1q2 жыл бұрын
Hukum ya talaka tatu kzread.info/dash/bejne/lqustJuucqesoZs.html
@fatmaahmedbashirfatmabashi3644 жыл бұрын
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh........sheikh niko na swali mwanamke aliyeachwa na yumo ndani ya eda jee anafaaa kuongea na mwanaume mwengine ata kama ni maneno ya kawaida tu??????
@asiamussa4054
2 жыл бұрын
Waaleykum msalaam mandhali munaongea kawaida na hamna matarajio ya kuoana basi hakuna shida
Пікірлер: 39
Allah akulipe kila la kheri shekhe wetu kwa somo zuri ila bado kitu kimoja hujatuelezea ambacho ni MAMBO YANAYO BATILISHA EDA,yaani ni mambo gani mwanamke akiyafanya eda yake huharibika?
Shukran kwa funzo lako ya kukaa eda
Asant
Shukran sana shekh kwa mawaidha yako. Likuwa nna swali shekh wangu kama mume amekuacha na hukalii eddah kwake sababu kuanzia mwanzo Likuwa twaishi kwangu i na yyj ee mke akiwa ni mgonjwa inamlazimu kumpeleka siptali au kumgharamia pesa za matibabu. Shekh naomba jibu tafadhali
Baarakallahu fiykum
Jazaaka llwaahu khayran
MashaAllah maelezo fasaha
maa shaa llaah mungu akupe kila lakheri sheykh wetu abuu idi kwa darsa zako hizi
Sheikh mwanaume ambae hamuudumii mtarak wake inakuaje
Je kama mama mkwe kamng'ang'ania mwanae nyumbani kwao
shukran tumepata elimu kubwa sana .
Kwa mke alie achwa talaka ya Tatu. Mwanamme anaweza kumhudumia ndani ya kipindi cha eda?
Maaxhaallaah allaah akuweke shekh wetu akupe umri mrefu wenye barka ili 2endlee kustafid na mawaidha yko..
aww, inakuwaje mume kamtaliki mke kisha akamfukuza na mke akakosa namna na akaondoka afanyeje ili kuitekeleza ibada ya eda
Maswali shekhe
Sheikh mbona wasichana wakiislamu hawana subra mukikosana kidogo adai TALAKA.tena Kwa vishindo
naomba
Mi naomba namba yako sheikh
Mke amejivua katika ndoa hakurejesha mahari, kwa kutokujua Mume akampa talaka bila kurejeshewa mahari baada ya mke kudai talaka hiyo (Kujivua) baada ya myezi 8 Mume anataka kumrejea je! atamposa upya ?? na vipi kuhusu ile mahari ambayo haikurejeshwa baada ya Mke kujivua!
Je shkh nini hukmu ya kumuacha mke na mimba? Na je nn hukmu ya kumuacha mke bila kumpa taarifa? Allah akuzidishie kheri
Je mtu akipewa talaka 1 anatakiwa akae muda gan ili kupewa zote talaka?
Nashkuru sheikh Kwa darsa zuli Sana,
@mwanamisitenga1158
4 жыл бұрын
Shukrani sheikh kwa kutuelimisha
@hassangogola1261
4 жыл бұрын
Sheikh assalam walaykum naomba namba ya sim ya wttsp mm nipo congo
Sheikh naomba namba ya simu mimi maongezi yangu ni siri
Assalam Aleykum, sheikh abuu idd ni maarufu sana Allah amekunyanyua ila ninasikitika daawah zako hazitilii manani sunnah ndio misemo yenu ukifanya unapata thawabu ukiacha hupati dhambi kutokana na neema uliyonayo dawah yako ingekamilika kama ungenyoa masharubu na uweke ndevu mbona unafanya kinyume na mafundisho sheikh ?
@msabahkhamis9438
2 жыл бұрын
Naam
Shekhe naomba darsa ya biashara kiislam wengi tunafanya tu na mashekh wengi hii maada hawaizungumzi cjuwi kwa nn?
shekh kama kama nimemuacha MKE wangu harafu akaendelea kukaa kwangu tuna ruhusiwa kula CHAKULA KWAPAMOJA na kunipikia pia kulala kitanda kimoja?
@user-rk5ct1be8k
3 ай бұрын
Hairuhusiwi dear si halali yko
Assalam aleykmu shekh naitwa aysher iv mfano umeachwa na mume taraka moja baada ya cku kazaa mukakutana kimwili kabla ya eda kuisha apo inakuaje?
@asiamussa4054
2 жыл бұрын
Waaleykum msalaam hapo itakuwa mmerudiana na hakuna eda bali mtakuwa tena mke namumu kukutana kimwili maana yake ni mmesameheyana
@sabraame1916
2 жыл бұрын
Na mie nilikuwa nasubir nijuwe
jee mwanamke alieachwa ananyonyesha na akinyonyesha huwa haingii katika siku zake mpaka amalize kunyonyesha jee eda yake ni miezi mitatu au khurui tatu?
@asiamussa4054
2 жыл бұрын
Ni miezi mitatu
Hukum ya talaka tatu kzread.info/dash/bejne/lqustJuucqesoZs.html
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh........sheikh niko na swali mwanamke aliyeachwa na yumo ndani ya eda jee anafaaa kuongea na mwanaume mwengine ata kama ni maneno ya kawaida tu??????
@asiamussa4054
2 жыл бұрын
Waaleykum msalaam mandhali munaongea kawaida na hamna matarajio ya kuoana basi hakuna shida