shekh kama kama nimemuacha MKE wangu harafu akaendelea kukaa kwangu tuna ruhusiwa kula CHAKULA KWAPAMOJA na kunipikia pia kulala kitanda kimoja?
@user-rk5ct1be8k3 ай бұрын
Hairuhusiwi dear si halali yko
@allymaulid93916 ай бұрын
Je kama mama mkwe kamng'ang'ania mwanae nyumbani kwao
@Muswlih6 ай бұрын
Shukran sanaaaaaaa mpotoshaji wew
@ankaldally2734 Жыл бұрын
Huu mjalada shykh abuu Eid ameukimbia ahhhhhhh ila nyie mliokuwa humu hamfatilii mijadala ya majibizano ahhhhhhh
@user-go3bk6wr8u Жыл бұрын
Virus ni vidudu hatari katik chombo.
@hamzasima Жыл бұрын
Polee ww mzee mtabaki kuwa masufi2 masufi ni wajinga Sana
@hamzasima Жыл бұрын
Ww sheikh Allah akuongoze huna elimu we ni muongo2
@nasirabdullah6227 Жыл бұрын
Ww usalama tulia katafute mbaazi na chapati ule
@abdoulamisi5179 Жыл бұрын
Baarakallahu fiykum
@abuusingano9086 Жыл бұрын
Ninyi mashekhe zetu mnao tuongoza kila mmoja kunionesha mwenziwe nimsomi zaidi ya mwenziwe paspo kutufundisha kuhofu allah paspo kuoneshana nani zaidi ya mwenziwe hii itakuwekeni pabaya kesho inshallah kwaelimu mliyo nayo lakin mmekuwa watu wakutoleana fatua kutuelimisha msiwe kama mnagombea kiti na wadhfa
@saebajoma8419 Жыл бұрын
Shekhe mume wangu kanipa talaka moja bado nampenda mume wangu mm ndiyo niliomba talaka kutokana namatendo ya mume wangu nikajua nikiomba atajilekebisha
@sikukuukombo2398 Жыл бұрын
Ustadh nauliza talaka tatu za kuandikwa Kwa karatasi mmoja ni talaka 3 au n mmoja
@sikukuukombo2398 Жыл бұрын
Assalam alykum nilikuwa naswali ukiandikiwa talaka tatu Kwa pamoja Yani Kwa karatasi Moja lkn ziwe zimeandikwa 3 zinaisabika tatu au n mmoja
@markazalqaim Жыл бұрын
احسنتم
@ramadhaniddi7462 Жыл бұрын
Yatamalizalini haya jamani
@mohamedathman2619 Жыл бұрын
Rudi darasani usomeeeeeeeeeeee...................
@feisal6592 Жыл бұрын
Jee kula ftari mwishoo saa gapi
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Mi nimependa na nafuatilia sn mawaidha yenu na jua lengo ni kuwaelimisha waamini wenu waelewa kwa ufasaha na watimize ibada za waamini wenu ila jambo jema naona ni mutant waadhili wote nguli ili mtoke na jibu moja na muwaeleze waamini wenu wasiojua mimi si muislam ila naheshimu sn Imani za watu wengine wanaomcha MUNGU
@shamimnassoro4971 Жыл бұрын
aww, inakuwaje mume kamtaliki mke kisha akamfukuza na mke akakosa namna na akaondoka afanyeje ili kuitekeleza ibada ya eda
@muslihmohd3685 Жыл бұрын
Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???
@muslihmohd3685 Жыл бұрын
Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???
@husseinyusuf8997 Жыл бұрын
بارك الله فيك يا شيخنا لا يفضض الله فاك في نصرك لدين الله الحنفي
@omarycheyo5534 Жыл бұрын
Hili lishekhe ubwabwa,muwe na arafa yenu nyie majuha,
@maryammaua591 Жыл бұрын
Maswali shekhe
@AjsProSigns Жыл бұрын
NA HII NAYO YA SHEIKH MZIWANDA NI YA KUPOTOSHA? kzread.info/dash/bejne/eIx6zLNsj7nemto.html
@rashidinjoe8167 Жыл бұрын
Tunatakiwa kufunga siku ya A'arafa na Kisimamo Cha A'arafa hufanyika Makka.Tanzania na Saudiarabia hatujapishana masaa.'Arafa ni moja sio zaidi ya moja.Usilazimishe majibu ya masheikh yafanane wakati wanatofautiana elimu na ufahamu wa mambo.Ndugu zangu tusomeni.
@abubakarymaulidy5681 Жыл бұрын
Afu ndgu usicho elewa weww kwan kuna mtu anasema huku tz tunasimama arafa au huku twa funga sku ya arafa ???
@ayubukasimu72802 жыл бұрын
Ww shekh muogope muumba ipo siku itajibu huo upotoshaji wako watafuta umaarufu bila elim
@user-qm2of7vd3k2 ай бұрын
Upotoshaji Gani unao uzungumzia hapa mche mola wako Lete hoja kama unazo acha chuki zako
@harithhemed99202 жыл бұрын
Nimeskiliza shekhe na nimesoma commnt baath lakn mbona huyo shekh hatengenezi hoja kwa dalili antumia Sana akili na kuwatuhumu wenzake kwamba hawana mafuhumu
@abubakarymaulidy5681 Жыл бұрын
Wee umelala aisee kwhy iyo aya inayo zungumzia nyakati nimaneneo yake au na weww ufahamu ni shida
@rwechunguraissa13942 жыл бұрын
Shekhe wangu wewe ni mkweli kielimu na kisayansi. Kwa sisi waislamu watu wazima tunaafikiana na hoja zako zote.Hawa wapotoshaji Ni kweli walizuka hapa mwaka 1985 wakitokea Kenya walikoanzia. Ni msiba mkubwa usio na ufumbuzi tukizingatia pesa nyingi wanazotumia kujenga misikiti mingi ya kishaitwani hata maporini na wanazo shule zao nyingi lakini pia bahati mbaya Sana mtaala wa elimu ya Uislamu shule za sekonari, ni wa kwao MAWAHABI. Mungu atunusuru na ushaitwani HUU.
Sasa she kwa Nini iwe ni siku moja tu ndio tukosane jamani mbona mnatuyumbisha nyinyi mashehe
@samsonkatigiri23442 жыл бұрын
Shida ni kwamba Saudia wanapanga tarehe kwa kutumia kalenda, wakati Bakwata wanapanga tarehe kwa kufuata mwandamo wa mwezi,sasa hapo hawawezi kwenda pamoja,ila kuna kipindi Arafa zinakuwa sawa,kutatua tatizo hili tunahitaji kupata kiongozi mkuu wa waislam Duniani,vinginevyo,kila mtu afanye anavyoona inafaa,tunakoelekea viongozi watavunjiana heshma.
@mohamednjenje39192 жыл бұрын
Mimi nakubaliana na sheikh Muhammad idi wakati nipo Japan masaa kule ni tofauti ilipofika ramadhani tulifunga siku ya kufungua tukafungua wakati afrika mashariki ni saa Sita na nusu mchana sisi kule ni saa kumi na mbili na nusu jioni tumefungua sasa hiyo kwa arafa inakuwaje na nilipokuwa baharein tunaondoka kama saa3 mwenyeji wetu alitusindikiza akatuambia kesho tuna funga mwezi umeonekana saudia kwaiyo Kuja bongo kesho yake ndio tukafunga je hii inakaaje
@mudybeka66982 жыл бұрын
Sheikh ww ndio bichwa lako linafunza ujaelewa ulichokisoma unapotosha watu......ebu tusiende mbali....tanzania na saudi arabia hazijapishana hata sekunde....sasa inakuaje sehem hizo mbili zitafutiane tarehe...chengine ile kauli yako unayosema dunia haina siku moja sio kweli nchi zinatofautiana masaa tu na wala sio siku acha utahira
@yusuphmpenja32882 жыл бұрын
Shekh mimi nimekuelewa mungu akulindie elimu ulionayo kwa kutufundisha alama ya mambo mema alama ya kuanza jambo na kumaliza jambo muandamo wa mwezi shuklani
@idarousomar12 жыл бұрын
Wewe ndio mpotoshaji kabisa haufai hata kuitwa sheikh labda uitwe shehena
@dalalimjinga.1442 жыл бұрын
Abuidi Mwenyeenzi mungu akueke sana,hawa mabidaaa wanataka kutuvuruka toka kuanzia miaka ya 1980
@crescentvscross11322 жыл бұрын
Mwezi wa kuweka bando aminini ni bidaa ni bidaaa
@abuufarheenfarid93202 жыл бұрын
Hoja nyepesi
@abuufarheenfarid93202 жыл бұрын
Someni dini yenu jamani. Hawa wazee ni wababaishaji
@abuufarheenfarid93202 жыл бұрын
Wewe mzee umepotea hakika
@abasijuma69892 жыл бұрын
Kusema arafa haifungamani na mahujaji kusimama pale arfaati huu ndo upotoshaji na huyu babu ndio msimamo wake lkn atawapotosha msiotaka kusoma dini na kumshabikia huyo mganga wa kienyeji
@abasijuma69892 жыл бұрын
Mimi naona kama shetani anamnyooshea kidole malaika
@salumnuhu90662 жыл бұрын
Umeweka vitabu mbele kama unauwezo wakufanya bahthi
@omarhaji7512 жыл бұрын
وكما قال رسول الله (صومو ا بيومكم
@omarhaji7512 жыл бұрын
Unakubalika shekhe wetu km hawaelewi basii ni ahlu lbidaa aoooo
@omarhaji7512 жыл бұрын
Shekhe nakuelewa waeleweshe woote hao maana imekuwa gumzo lkn mbona hwaleti mijadala kuhusu funga ya muharram mwez 10
@abuushakiraddausiy86662 жыл бұрын
Wewe ni كمثل الحمار يحمل أسفار yaan huna jipya utakua na laana ya shekh Muhammad ayuob huna jipya mwenzako wote wanajua kua wanootosha watuu ndo man shekh mziwanda kawakisoa nyootee mnao kataa arafa .....wanafunzi kasomeshe makhurafiii wenziiwa shamsia....Wala wingi wa vitabuu sii ilmuu....
@aminaomary14042 жыл бұрын
Pia tusijifanye wasaf kiss kwambatunaweza kumuangamiza mtu nafasi yakuangamiza ni ya Allaah peke yake anayemiliki ulimwengu na viumbe vyake vyote alivyoviumba tunamachafu mengi nafsini mwetu unatoa hukumu kwamwenzio wewe Nani usiyekamilika ukamilifu niwa Allah pekee tukiwa hatuna elimu yakuhoji tukae pembwni bc ombi Lkn pa naonba mniswamehe nilipowakwaza ndg zang busara utumuke
Пікірлер
Mi naomba namba yako sheikh
shekh kama kama nimemuacha MKE wangu harafu akaendelea kukaa kwangu tuna ruhusiwa kula CHAKULA KWAPAMOJA na kunipikia pia kulala kitanda kimoja?
Hairuhusiwi dear si halali yko
Je kama mama mkwe kamng'ang'ania mwanae nyumbani kwao
Shukran sanaaaaaaa mpotoshaji wew
Huu mjalada shykh abuu Eid ameukimbia ahhhhhhh ila nyie mliokuwa humu hamfatilii mijadala ya majibizano ahhhhhhh
Virus ni vidudu hatari katik chombo.
Polee ww mzee mtabaki kuwa masufi2 masufi ni wajinga Sana
Ww sheikh Allah akuongoze huna elimu we ni muongo2
Ww usalama tulia katafute mbaazi na chapati ule
Baarakallahu fiykum
Ninyi mashekhe zetu mnao tuongoza kila mmoja kunionesha mwenziwe nimsomi zaidi ya mwenziwe paspo kutufundisha kuhofu allah paspo kuoneshana nani zaidi ya mwenziwe hii itakuwekeni pabaya kesho inshallah kwaelimu mliyo nayo lakin mmekuwa watu wakutoleana fatua kutuelimisha msiwe kama mnagombea kiti na wadhfa
Shekhe mume wangu kanipa talaka moja bado nampenda mume wangu mm ndiyo niliomba talaka kutokana namatendo ya mume wangu nikajua nikiomba atajilekebisha
Ustadh nauliza talaka tatu za kuandikwa Kwa karatasi mmoja ni talaka 3 au n mmoja
Assalam alykum nilikuwa naswali ukiandikiwa talaka tatu Kwa pamoja Yani Kwa karatasi Moja lkn ziwe zimeandikwa 3 zinaisabika tatu au n mmoja
احسنتم
Yatamalizalini haya jamani
Rudi darasani usomeeeeeeeeeeee...................
Jee kula ftari mwishoo saa gapi
Mi nimependa na nafuatilia sn mawaidha yenu na jua lengo ni kuwaelimisha waamini wenu waelewa kwa ufasaha na watimize ibada za waamini wenu ila jambo jema naona ni mutant waadhili wote nguli ili mtoke na jibu moja na muwaeleze waamini wenu wasiojua mimi si muislam ila naheshimu sn Imani za watu wengine wanaomcha MUNGU
aww, inakuwaje mume kamtaliki mke kisha akamfukuza na mke akakosa namna na akaondoka afanyeje ili kuitekeleza ibada ya eda
Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???
Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???
بارك الله فيك يا شيخنا لا يفضض الله فاك في نصرك لدين الله الحنفي
Hili lishekhe ubwabwa,muwe na arafa yenu nyie majuha,
Maswali shekhe
NA HII NAYO YA SHEIKH MZIWANDA NI YA KUPOTOSHA? kzread.info/dash/bejne/eIx6zLNsj7nemto.html
Tunatakiwa kufunga siku ya A'arafa na Kisimamo Cha A'arafa hufanyika Makka.Tanzania na Saudiarabia hatujapishana masaa.'Arafa ni moja sio zaidi ya moja.Usilazimishe majibu ya masheikh yafanane wakati wanatofautiana elimu na ufahamu wa mambo.Ndugu zangu tusomeni.
Afu ndgu usicho elewa weww kwan kuna mtu anasema huku tz tunasimama arafa au huku twa funga sku ya arafa ???
Ww shekh muogope muumba ipo siku itajibu huo upotoshaji wako watafuta umaarufu bila elim
Upotoshaji Gani unao uzungumzia hapa mche mola wako Lete hoja kama unazo acha chuki zako
Nimeskiliza shekhe na nimesoma commnt baath lakn mbona huyo shekh hatengenezi hoja kwa dalili antumia Sana akili na kuwatuhumu wenzake kwamba hawana mafuhumu
Wee umelala aisee kwhy iyo aya inayo zungumzia nyakati nimaneneo yake au na weww ufahamu ni shida
Shekhe wangu wewe ni mkweli kielimu na kisayansi. Kwa sisi waislamu watu wazima tunaafikiana na hoja zako zote.Hawa wapotoshaji Ni kweli walizuka hapa mwaka 1985 wakitokea Kenya walikoanzia. Ni msiba mkubwa usio na ufumbuzi tukizingatia pesa nyingi wanazotumia kujenga misikiti mingi ya kishaitwani hata maporini na wanazo shule zao nyingi lakini pia bahati mbaya Sana mtaala wa elimu ya Uislamu shule za sekonari, ni wa kwao MAWAHABI. Mungu atunusuru na ushaitwani HUU.
We mzee unatupotosha
Anapotosha kivipi hebu tueleze wewe nasi tupate faida
Sasa she kwa Nini iwe ni siku moja tu ndio tukosane jamani mbona mnatuyumbisha nyinyi mashehe
Shida ni kwamba Saudia wanapanga tarehe kwa kutumia kalenda, wakati Bakwata wanapanga tarehe kwa kufuata mwandamo wa mwezi,sasa hapo hawawezi kwenda pamoja,ila kuna kipindi Arafa zinakuwa sawa,kutatua tatizo hili tunahitaji kupata kiongozi mkuu wa waislam Duniani,vinginevyo,kila mtu afanye anavyoona inafaa,tunakoelekea viongozi watavunjiana heshma.
Mimi nakubaliana na sheikh Muhammad idi wakati nipo Japan masaa kule ni tofauti ilipofika ramadhani tulifunga siku ya kufungua tukafungua wakati afrika mashariki ni saa Sita na nusu mchana sisi kule ni saa kumi na mbili na nusu jioni tumefungua sasa hiyo kwa arafa inakuwaje na nilipokuwa baharein tunaondoka kama saa3 mwenyeji wetu alitusindikiza akatuambia kesho tuna funga mwezi umeonekana saudia kwaiyo Kuja bongo kesho yake ndio tukafunga je hii inakaaje
Sheikh ww ndio bichwa lako linafunza ujaelewa ulichokisoma unapotosha watu......ebu tusiende mbali....tanzania na saudi arabia hazijapishana hata sekunde....sasa inakuaje sehem hizo mbili zitafutiane tarehe...chengine ile kauli yako unayosema dunia haina siku moja sio kweli nchi zinatofautiana masaa tu na wala sio siku acha utahira
Shekh mimi nimekuelewa mungu akulindie elimu ulionayo kwa kutufundisha alama ya mambo mema alama ya kuanza jambo na kumaliza jambo muandamo wa mwezi shuklani
Wewe ndio mpotoshaji kabisa haufai hata kuitwa sheikh labda uitwe shehena
Abuidi Mwenyeenzi mungu akueke sana,hawa mabidaaa wanataka kutuvuruka toka kuanzia miaka ya 1980
Mwezi wa kuweka bando aminini ni bidaa ni bidaaa
Hoja nyepesi
Someni dini yenu jamani. Hawa wazee ni wababaishaji
Wewe mzee umepotea hakika
Kusema arafa haifungamani na mahujaji kusimama pale arfaati huu ndo upotoshaji na huyu babu ndio msimamo wake lkn atawapotosha msiotaka kusoma dini na kumshabikia huyo mganga wa kienyeji
Mimi naona kama shetani anamnyooshea kidole malaika
Umeweka vitabu mbele kama unauwezo wakufanya bahthi
وكما قال رسول الله (صومو ا بيومكم
Unakubalika shekhe wetu km hawaelewi basii ni ahlu lbidaa aoooo
Shekhe nakuelewa waeleweshe woote hao maana imekuwa gumzo lkn mbona hwaleti mijadala kuhusu funga ya muharram mwez 10
Wewe ni كمثل الحمار يحمل أسفار yaan huna jipya utakua na laana ya shekh Muhammad ayuob huna jipya mwenzako wote wanajua kua wanootosha watuu ndo man shekh mziwanda kawakisoa nyootee mnao kataa arafa .....wanafunzi kasomeshe makhurafiii wenziiwa shamsia....Wala wingi wa vitabuu sii ilmuu....
Pia tusijifanye wasaf kiss kwambatunaweza kumuangamiza mtu nafasi yakuangamiza ni ya Allaah peke yake anayemiliki ulimwengu na viumbe vyake vyote alivyoviumba tunamachafu mengi nafsini mwetu unatoa hukumu kwamwenzio wewe Nani usiyekamilika ukamilifu niwa Allah pekee tukiwa hatuna elimu yakuhoji tukae pembwni bc ombi Lkn pa naonba mniswamehe nilipowakwaza ndg zang busara utumuke