Пікірлер

  • @HidayaZiadi
    @HidayaZiadi7 күн бұрын

    Mi naomba namba yako sheikh

  • @kaulibwanza2180
    @kaulibwanza21803 ай бұрын

    shekh kama kama nimemuacha MKE wangu harafu akaendelea kukaa kwangu tuna ruhusiwa kula CHAKULA KWAPAMOJA na kunipikia pia kulala kitanda kimoja?

  • @user-rk5ct1be8k
    @user-rk5ct1be8k3 ай бұрын

    Hairuhusiwi dear si halali yko

  • @allymaulid9391
    @allymaulid93916 ай бұрын

    Je kama mama mkwe kamng'ang'ania mwanae nyumbani kwao

  • @Muswlih
    @Muswlih6 ай бұрын

    Shukran sanaaaaaaa mpotoshaji wew

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 Жыл бұрын

    Huu mjalada shykh abuu Eid ameukimbia ahhhhhhh ila nyie mliokuwa humu hamfatilii mijadala ya majibizano ahhhhhhh

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u Жыл бұрын

    Virus ni vidudu hatari katik chombo.

  • @hamzasima
    @hamzasima Жыл бұрын

    Polee ww mzee mtabaki kuwa masufi2 masufi ni wajinga Sana

  • @hamzasima
    @hamzasima Жыл бұрын

    Ww sheikh Allah akuongoze huna elimu we ni muongo2

  • @nasirabdullah6227
    @nasirabdullah6227 Жыл бұрын

    Ww usalama tulia katafute mbaazi na chapati ule

  • @abdoulamisi5179
    @abdoulamisi5179 Жыл бұрын

    Baarakallahu fiykum

  • @abuusingano9086
    @abuusingano9086 Жыл бұрын

    Ninyi mashekhe zetu mnao tuongoza kila mmoja kunionesha mwenziwe nimsomi zaidi ya mwenziwe paspo kutufundisha kuhofu allah paspo kuoneshana nani zaidi ya mwenziwe hii itakuwekeni pabaya kesho inshallah kwaelimu mliyo nayo lakin mmekuwa watu wakutoleana fatua kutuelimisha msiwe kama mnagombea kiti na wadhfa

  • @saebajoma8419
    @saebajoma8419 Жыл бұрын

    Shekhe mume wangu kanipa talaka moja bado nampenda mume wangu mm ndiyo niliomba talaka kutokana namatendo ya mume wangu nikajua nikiomba atajilekebisha

  • @sikukuukombo2398
    @sikukuukombo2398 Жыл бұрын

    Ustadh nauliza talaka tatu za kuandikwa Kwa karatasi mmoja ni talaka 3 au n mmoja

  • @sikukuukombo2398
    @sikukuukombo2398 Жыл бұрын

    Assalam alykum nilikuwa naswali ukiandikiwa talaka tatu Kwa pamoja Yani Kwa karatasi Moja lkn ziwe zimeandikwa 3 zinaisabika tatu au n mmoja

  • @markazalqaim
    @markazalqaim Жыл бұрын

    احسنتم

  • @ramadhaniddi7462
    @ramadhaniddi7462 Жыл бұрын

    Yatamalizalini haya jamani

  • @mohamedathman2619
    @mohamedathman2619 Жыл бұрын

    Rudi darasani usomeeeeeeeeeeee...................

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Jee kula ftari mwishoo saa gapi

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Жыл бұрын

    Mi nimependa na nafuatilia sn mawaidha yenu na jua lengo ni kuwaelimisha waamini wenu waelewa kwa ufasaha na watimize ibada za waamini wenu ila jambo jema naona ni mutant waadhili wote nguli ili mtoke na jibu moja na muwaeleze waamini wenu wasiojua mimi si muislam ila naheshimu sn Imani za watu wengine wanaomcha MUNGU

  • @shamimnassoro4971
    @shamimnassoro4971 Жыл бұрын

    aww, inakuwaje mume kamtaliki mke kisha akamfukuza na mke akakosa namna na akaondoka afanyeje ili kuitekeleza ibada ya eda

  • @muslihmohd3685
    @muslihmohd3685 Жыл бұрын

    Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???

  • @muslihmohd3685
    @muslihmohd3685 Жыл бұрын

    Abuu idd huzungumza kupitia vitabu,na mashekh wengine hutumia fatwa za maulama ivo ivo Ila yeye huwaita mashekh wenzake wapotoshaji akasahau kuwa wamenukuu maneno ya maulama kina Malik na wengine,kisha yeye akija anamtaja mtu jina anasahau kuwa alikuwa amjibu ulamaa alietoa kitabu... Ikiwa yeye hataki kutajwa jina mbona anataja watu majina hawataji maulama....???

  • @husseinyusuf8997
    @husseinyusuf8997 Жыл бұрын

    بارك الله فيك يا شيخنا لا يفضض الله فاك في نصرك لدين الله الحنفي

  • @omarycheyo5534
    @omarycheyo5534 Жыл бұрын

    Hili lishekhe ubwabwa,muwe na arafa yenu nyie majuha,

  • @maryammaua591
    @maryammaua591 Жыл бұрын

    Maswali shekhe

  • @AjsProSigns
    @AjsProSigns Жыл бұрын

    NA HII NAYO YA SHEIKH MZIWANDA NI YA KUPOTOSHA? kzread.info/dash/bejne/eIx6zLNsj7nemto.html

  • @rashidinjoe8167
    @rashidinjoe8167 Жыл бұрын

    Tunatakiwa kufunga siku ya A'arafa na Kisimamo Cha A'arafa hufanyika Makka.Tanzania na Saudiarabia hatujapishana masaa.'Arafa ni moja sio zaidi ya moja.Usilazimishe majibu ya masheikh yafanane wakati wanatofautiana elimu na ufahamu wa mambo.Ndugu zangu tusomeni.

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Жыл бұрын

    Afu ndgu usicho elewa weww kwan kuna mtu anasema huku tz tunasimama arafa au huku twa funga sku ya arafa ???

  • @ayubukasimu7280
    @ayubukasimu72802 жыл бұрын

    Ww shekh muogope muumba ipo siku itajibu huo upotoshaji wako watafuta umaarufu bila elim

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3k2 ай бұрын

    Upotoshaji Gani unao uzungumzia hapa mche mola wako Lete hoja kama unazo acha chuki zako

  • @harithhemed9920
    @harithhemed99202 жыл бұрын

    Nimeskiliza shekhe na nimesoma commnt baath lakn mbona huyo shekh hatengenezi hoja kwa dalili antumia Sana akili na kuwatuhumu wenzake kwamba hawana mafuhumu

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Жыл бұрын

    Wee umelala aisee kwhy iyo aya inayo zungumzia nyakati nimaneneo yake au na weww ufahamu ni shida

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa13942 жыл бұрын

    Shekhe wangu wewe ni mkweli kielimu na kisayansi. Kwa sisi waislamu watu wazima tunaafikiana na hoja zako zote.Hawa wapotoshaji Ni kweli walizuka hapa mwaka 1985 wakitokea Kenya walikoanzia. Ni msiba mkubwa usio na ufumbuzi tukizingatia pesa nyingi wanazotumia kujenga misikiti mingi ya kishaitwani hata maporini na wanazo shule zao nyingi lakini pia bahati mbaya Sana mtaala wa elimu ya Uislamu shule za sekonari, ni wa kwao MAWAHABI. Mungu atunusuru na ushaitwani HUU.

  • @kwangayahafidh7499
    @kwangayahafidh74992 жыл бұрын

    We mzee unatupotosha

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3k2 ай бұрын

    Anapotosha kivipi hebu tueleze wewe nasi tupate faida

  • @kwangayahafidh7499
    @kwangayahafidh74992 жыл бұрын

    Sasa she kwa Nini iwe ni siku moja tu ndio tukosane jamani mbona mnatuyumbisha nyinyi mashehe

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri23442 жыл бұрын

    Shida ni kwamba Saudia wanapanga tarehe kwa kutumia kalenda, wakati Bakwata wanapanga tarehe kwa kufuata mwandamo wa mwezi,sasa hapo hawawezi kwenda pamoja,ila kuna kipindi Arafa zinakuwa sawa,kutatua tatizo hili tunahitaji kupata kiongozi mkuu wa waislam Duniani,vinginevyo,kila mtu afanye anavyoona inafaa,tunakoelekea viongozi watavunjiana heshma.

  • @mohamednjenje3919
    @mohamednjenje39192 жыл бұрын

    Mimi nakubaliana na sheikh Muhammad idi wakati nipo Japan masaa kule ni tofauti ilipofika ramadhani tulifunga siku ya kufungua tukafungua wakati afrika mashariki ni saa Sita na nusu mchana sisi kule ni saa kumi na mbili na nusu jioni tumefungua sasa hiyo kwa arafa inakuwaje na nilipokuwa baharein tunaondoka kama saa3 mwenyeji wetu alitusindikiza akatuambia kesho tuna funga mwezi umeonekana saudia kwaiyo Kuja bongo kesho yake ndio tukafunga je hii inakaaje

  • @mudybeka6698
    @mudybeka66982 жыл бұрын

    Sheikh ww ndio bichwa lako linafunza ujaelewa ulichokisoma unapotosha watu......ebu tusiende mbali....tanzania na saudi arabia hazijapishana hata sekunde....sasa inakuaje sehem hizo mbili zitafutiane tarehe...chengine ile kauli yako unayosema dunia haina siku moja sio kweli nchi zinatofautiana masaa tu na wala sio siku acha utahira

  • @yusuphmpenja3288
    @yusuphmpenja32882 жыл бұрын

    Shekh mimi nimekuelewa mungu akulindie elimu ulionayo kwa kutufundisha alama ya mambo mema alama ya kuanza jambo na kumaliza jambo muandamo wa mwezi shuklani

  • @idarousomar1
    @idarousomar12 жыл бұрын

    Wewe ndio mpotoshaji kabisa haufai hata kuitwa sheikh labda uitwe shehena

  • @dalalimjinga.144
    @dalalimjinga.1442 жыл бұрын

    Abuidi Mwenyeenzi mungu akueke sana,hawa mabidaaa wanataka kutuvuruka toka kuanzia miaka ya 1980

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross11322 жыл бұрын

    Mwezi wa kuweka bando aminini ni bidaa ni bidaaa

  • @abuufarheenfarid9320
    @abuufarheenfarid93202 жыл бұрын

    Hoja nyepesi

  • @abuufarheenfarid9320
    @abuufarheenfarid93202 жыл бұрын

    Someni dini yenu jamani. Hawa wazee ni wababaishaji

  • @abuufarheenfarid9320
    @abuufarheenfarid93202 жыл бұрын

    Wewe mzee umepotea hakika

  • @abasijuma6989
    @abasijuma69892 жыл бұрын

    Kusema arafa haifungamani na mahujaji kusimama pale arfaati huu ndo upotoshaji na huyu babu ndio msimamo wake lkn atawapotosha msiotaka kusoma dini na kumshabikia huyo mganga wa kienyeji

  • @abasijuma6989
    @abasijuma69892 жыл бұрын

    Mimi naona kama shetani anamnyooshea kidole malaika

  • @salumnuhu9066
    @salumnuhu90662 жыл бұрын

    Umeweka vitabu mbele kama unauwezo wakufanya bahthi

  • @omarhaji751
    @omarhaji7512 жыл бұрын

    وكما قال رسول الله (صومو ا بيومكم

  • @omarhaji751
    @omarhaji7512 жыл бұрын

    Unakubalika shekhe wetu km hawaelewi basii ni ahlu lbidaa aoooo

  • @omarhaji751
    @omarhaji7512 жыл бұрын

    Shekhe nakuelewa waeleweshe woote hao maana imekuwa gumzo lkn mbona hwaleti mijadala kuhusu funga ya muharram mwez 10

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy86662 жыл бұрын

    Wewe ni كمثل الحمار يحمل أسفار yaan huna jipya utakua na laana ya shekh Muhammad ayuob huna jipya mwenzako wote wanajua kua wanootosha watuu ndo man shekh mziwanda kawakisoa nyootee mnao kataa arafa .....wanafunzi kasomeshe makhurafiii wenziiwa shamsia....Wala wingi wa vitabuu sii ilmuu....

  • @aminaomary1404
    @aminaomary14042 жыл бұрын

    Pia tusijifanye wasaf kiss kwambatunaweza kumuangamiza mtu nafasi yakuangamiza ni ya Allaah peke yake anayemiliki ulimwengu na viumbe vyake vyote alivyoviumba tunamachafu mengi nafsini mwetu unatoa hukumu kwamwenzio wewe Nani usiyekamilika ukamilifu niwa Allah pekee tukiwa hatuna elimu yakuhoji tukae pembwni bc ombi Lkn pa naonba mniswamehe nilipowakwaza ndg zang busara utumuke