MAJIBU YANGU KWA MPOTOSHAJI KASSIM MAFUTA KUHUSU ARAFA _SEHEMU YA KWANZA
Жүктеу.....
Пікірлер: 88
@mahfoudhcalender27473 жыл бұрын
Mtume kakataza masharubu, mbona ww unaenda kinyume na mafundisho ya mtume صلى الله عليه وسلم
@Muswlih6 ай бұрын
Shukran sanaaaaaaa mpotoshaji wew
@swahilitherapytv38463 жыл бұрын
Kama wewe ni mwanaume kweli jibu hoja za sheikh kasimu Allah amuhifadhi kuhusu uwahabi na arafa.., Hauitaji, porojo na matusi, wala ukimbie, jibu hoja kielimu.
@hassan4k72 жыл бұрын
Radd au majubu makali hayo yamefedhe hesha uongo wa ABUU IDD 👇👇
Kama unajiamini kwa nn usikutane na sheikh kassim mafuta ktk madahalo kuhusu arafa,?
@akhitalibsheha24343 жыл бұрын
Baaraka Allahu fiikum yaa shuyuukh
@mtawatawatvonline83933 жыл бұрын
MFUGA MASHARUBU SIJAKUELEWA
@barakathdthekinda37223 жыл бұрын
Shukran sheikh Ahsante Allah akubaarik
@eng.saalim86463 жыл бұрын
Yani mnamtafta shekh wenyeweee halafu akiwatandika mnasema anatukana. Hahahaha. Halafu huna haya wajiita shekhe wakati una ule muonekano wa majusi alietajwa kwenye hadeeth ya mtume swallallahu alayhi wasallam kuwa alikuwa kanyoa ndevu zote akafuga sharubu. Shekh unamuonekano wa kimajusi. Allah akuongoze
@kilimanjaromegaexpeditions85273 жыл бұрын
FUATILIENI MAJIBU YA SHEIKH ABUL FADHIL KWA MUHAMMED IDY
@salimabddala37583 жыл бұрын
SHEKHE UMESOMA MASHAALLAH KWA VITA ULIVYOTUONYESHA DUH KWELI.
@abuunufaysah53283 жыл бұрын
Huyu ni Sheikh Sharubu, Allah amuongoze katika Tawhiid na Sunnah.
@muhammad-Swaabir2 жыл бұрын
Sheikh hujajibu ruduud za sheikh Qassim
@abdallahabdan8352
2 жыл бұрын
Naaam huyuu hajajibu
@omarykissite67663 жыл бұрын
hakuna ulicho jibu hapa
@saadiawarfa34803 жыл бұрын
Asalam Aleykum Sheikh tatizo kubwa ya baadhi ya maulamaa hamna elimu ya jiografia ndio maana mnakosea. Wewe una ilmu ndogo ya fiqi lakini bure kabisa ktk jiorafia. Eti unasema kuna tarekhe mbil
@hasanishafii90792 жыл бұрын
Ume firisika kihoja
@user-ej5uz1pb4f3 жыл бұрын
📜 *MADA:* RADDI KWA ABUU IDDI MUHAMMAD IDDI KUHUSIANA NA FUNGA YA ARAFA ➡️ *_KUBAINISHA TUHUMA JUU YA MAS'ALA ALIYOYAPOTOSHA KUHUSU UWAHABI_* *🎙MUHADHIRI* *SHEIKH ABUL FADHL KAASIM MAFUTA KAASIM حفظه الله تعالى ورعاه* 📆 *TAREHE:-* *17 DHUL HIJJAH 1442H* *27 JULY 2021M*
@user-ej5uz1pb4f
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/q52ImtJsc9apf84.html
@muhsinmoso31783 жыл бұрын
Maa Shaa Allaah
@abuunutsamuonlinetv27033 жыл бұрын
Mbona hueleweki sheikh utapasuka bure una jipapatua kwa nguvu kwel endelea uje upate kisukari bure wa kuwadanganya karne hii utawapata kwenye familia yako tu
@jumanneissa82263 жыл бұрын
Sufi mnatapatapa poleni sana
@ayubukibwana54683 жыл бұрын
Shukrani Sana shekhe kwakumuelewesha huyo mpotoshaji na hao wanaoropoka kukomenti maneno yasiyo kuwemo katka mada tuwachukulie2 kuwa ni masafihu w,salamu alykum
@abuuishaaqa3830
2 жыл бұрын
Hujielewi ww
@mussamsuya85953 жыл бұрын
We ndo hujielewi
@eng.saalim86463 жыл бұрын
Unajidai kama hujui clip ni ya sku nyingi, uliraddiwa siku tangu mwaka juzi ndo wajibu leo, subri simba akupandie tena ufate nyayo za mwenzako othman maalim
@waziriomari68802 жыл бұрын
Babaaa umeshajibiwa sasa twakusubili au aujaziona radd zako?
@khamisrubea50833 жыл бұрын
Safi sana
@salamakhamis80923 жыл бұрын
Al Akkhh
@abdallahabdan83522 жыл бұрын
Sasa waweka vitabu ili uwonekane hii ni riyaa
@abuujuhaima55883 жыл бұрын
Ww ndio mpotoshaji tena umche Allah
@Wastara0013 жыл бұрын
Fuga ndevu kwanza.
@abuunutsamuonlinetv27033 жыл бұрын
Acha kuruka ruka soma ibara zote kama wewe ni mkweli mbona warukaruka kama chura kakosa maji
@khamisrubea50833 жыл бұрын
Umekatakata sana tupe na part 2
@abdullahjuma92063 жыл бұрын
sheikh ubwabwa kama huyu amevimbiwa makande kwenye maulidi et naye anamjibu sheikh ha hahahahaha ha hahahahaha
@salumally64503 жыл бұрын
Wewe babu idi muongo wewe ni abujahar wa sana hizi
@rajabuathuman88252 жыл бұрын
Kidevu kama cha mke wangu ummu juhayfa huna hoja za kupambana na kassim mafuta njoo hapa pongwe tanga uone maktaba sio.unafanya ria alaf unatumalizia bando tu unaongea ujinga kabisa
@mahfoudhcalender27473 жыл бұрын
echo kidevu kimefanana na dada angu, hakina ata ndevu hahahahah.
@atikilunko9991
3 жыл бұрын
Mpe dada ako utamuelewa
@suleimanbilal3327
3 жыл бұрын
@@atikilunko9991 umemjibu vizur sana,
@abuusuleym3676
3 жыл бұрын
kidevu kama cha zuchu
@AsyaShosi-uc2ds
Жыл бұрын
Ndugu zangu achen matsuri abuu idd amenukuu vitabu hashemi maneno ya kichaa chake
@mahfoudhcalender27473 жыл бұрын
dah hili jamaa asa jinga, yaani kajaza matabu teleeee, iyo ni riya, na ata kiarab hujui.
@issamyemen84283 жыл бұрын
Abuu Iddi Sufi. Una shangaa mtu kufananishwa na punda. Hujui Allah ndie kakupigieni mfano ninyi ktk aya hiii. مَثَلُ ٱلَّذِينَ حُمِّلُواْ ٱلتَّوْرَىٰةَ ثُمَّ لَمْ يَحْمِلُوهَا كَمَثَلِ ٱلْحِمَارِ يَحْمِلُ أَسْفَارًۢا. PUNDA KATAJWA HAPOOOO.
@mutomubaya3 жыл бұрын
Sheikh ni vyema hivyo umefahamisha Watu kwamba kuna ugomvi wa Kisiasa ulikuwa baina ya utawala wa waturuki (Uthmania) na la wenyeji Wasaudi wakiongozwa na Sheikh Muhammad bin AbdulWahhab. Je kuna sababu ya sisi huingilia siasa hizo na kukejeli Daawa ya Tawhid aliyokuwa anaitekeleza? Ni vyema pia ufahamu kwamba Daawa ya Tawhid imekuwa ikipata upinzani kutoka kwa baadhi ya Masheikh tangu zamani. Taz. Mtume isa alitumwa kufikisha ujumbe wa Tawhid lakini waliompinga ni Ulamaa wa enzi yake. Na hata walifikia kutaka kumuua msalabani. Na Mtume Wetu Muhammad hadi leo hutungiwa maneno ya kumuudhi. Kuna wanadai kwamba wao ni Waislamu lakini ni wachochezi wa uadui ma baadhi yao wanawapotosha wafuasi wao kiasi cha kuwafanya waabudu maiti. Unadhani watafirahi wanapokatazwa kufanya hivyo? Taz. Muislamu yeyote anapoitwa na wazungu terrorist kwa kuwa tu ni Muislamu, sababu ni nini? Ni upotofu tu. Taz. Wanawake wamesumbuliwa kwa kuvaa hijabu. Basi Muislamu sahihi anaelewa upo uadui wa kuitana majina. Sasa wewe tutolee makosa ya Sheikh Muhammad bin AbdulWahhab katika vitabu vyake ili tutazame kama ni makosa kweli au anakejeliwa tu kwa kufundisha Tawhid.
@hafidhsalum91493 жыл бұрын
Tatizo mnaongea sana afu shekhe akija kujibu yeye mnaanza kuona kama mnaonewa vile mnasema shekh qaasim analeta fujo kwa waislamu Chungeni sana ndimi zenu nyie wapotoshaji
@alhashimy26253 жыл бұрын
Yaani wewe abu idi ndio umo ndani ya haki, na wengime woote wapotefu na wapotoshaji, na wewe tu ndio mwenye hoja, na wengine hawana hoja😂😂🤣🤣
@abuushaakir95823 жыл бұрын
Wewe jaaahili murakkabu waHadae wenzako ..Kama swaumu ya arafa yaitwa mfunguo tatu dhlhijjat mwenyeakili ajiulize kwanini isifungwe tareh kumi au kumi namojaa?? Wee nimtu mjingatuu
@kherimkose3669
3 жыл бұрын
Msenge
@noorululaatv8973
3 жыл бұрын
Wewe mpumbavu sana .. Khabithi wewe
@noorululaatv8973
3 жыл бұрын
Wewe Abuu Shaakir ni mwehu ww
@ramangadu6451
3 жыл бұрын
@@kherimkose3669 Matusi. Hapana
@imash04tv20
3 жыл бұрын
ndo anajiona kaja na point hapo wakati kichwani hamna kitu zaidi hio kanzu anayovaa Abuu shaakir
@salehali56383 жыл бұрын
Mupendane kweli ili Jamii tuelimike
@mahfoudhcalender27473 жыл бұрын
sasa iyo picha apo pembeni ina mnasaba gani na kumjibu sheikh kassim?, yaani hili ni jahil, tena جاهل المركب
@noorululaatv89733 жыл бұрын
Baaraqallahu fiiq.. Qacimu mafuta ni Mrongo sana wallah
@mutomubaya
3 жыл бұрын
Hebu taja uwongo wake ikiwa unasema ukweli.
@hamisisaidi5608
3 жыл бұрын
tuletee uwongo wake bila ya kuleta ushabik
@farhannurkey
3 жыл бұрын
tuletee ushahidi..mdomo bila hoja hatutaki
@wazirihamisi6484
3 жыл бұрын
CHUKI TU
@ratiphadaudi8698
2 жыл бұрын
Muogope Allah ndugu, uamzushia shekhe muongo! Lol! Ulishawahi kumsikiliza lkn?
@fizzmuyugumbi75843 жыл бұрын
Pitia coment basi mwehu wewe
@z.nalnabhani71943 жыл бұрын
Bachu yuko sahihi,huyu sijui mimituu simwelewi
@notwextv4635
3 жыл бұрын
ni ww tu ndio umuelewi ila sisi wengine tunamuelewa
@alhashimy26253 жыл бұрын
Wewe si mkosoa wenzangu wewe ni mshambuliaji, na mtukanaji
@ahmadoigu7689
3 жыл бұрын
Ndiyo kitu unayojuwa
@alhashimy2625
3 жыл бұрын
Tunaomba Al,allaama abu iddi Uwachambue na mashia pia
@farhannurkey3 жыл бұрын
😂😂😂 ati endelea kunikosoa ..ndio upate umaarufu. chizi wewe hakuna mtu atakae shugulika na wewe
@suleimanbilal3327
3 жыл бұрын
assalaam alaykum,kumuita muislam mwenzio chiz n kosa na hususan sheikh mkubwa kama huyu....mche Allaah
@farhannurkey
3 жыл бұрын
@@suleimanbilal3327 shehe kwako..kwetu sisi ni chizi tu..mbona anamuita shehe wetu mpoteshaji.mbona sijakuona ukimwambia amche Allah
@abuusuleym3676
3 жыл бұрын
@@suleimanbilal3327 huyu ushekhe wake hatuoni
@farhannurkey
2 жыл бұрын
@Yphware HCo nani?
@abubakariselemani4873 жыл бұрын
Tuna subir rad na ya mtoto wa bachu
@imash04tv203 жыл бұрын
yani unaeleweka unakuja na dalili nyingi tu tena sio katika mashekhe wa madhehebu yako bali yao na stili wanakataa wanaokubali watakubali tu wanaokataa na kuendelea kujibu basi nijuu yao wanawapinga masheikh yao
@farhannurkey3 жыл бұрын
yaani hadi machizi wanatafuta umaarufu kwa kupitia mashekhe..huyu kweli ni chizi mkubwa..waislamu kaeni mbali na huyu wazimu
@mutomubaya3 жыл бұрын
Sasa unahimiza Waislamu kutukanana au unawakataza? Kama yaliwahikutokea hayafai kuhuishwa.
Пікірлер: 88
Mtume kakataza masharubu, mbona ww unaenda kinyume na mafundisho ya mtume صلى الله عليه وسلم
Shukran sanaaaaaaa mpotoshaji wew
Kama wewe ni mwanaume kweli jibu hoja za sheikh kasimu Allah amuhifadhi kuhusu uwahabi na arafa.., Hauitaji, porojo na matusi, wala ukimbie, jibu hoja kielimu.
Radd au majubu makali hayo yamefedhe hesha uongo wa ABUU IDD 👇👇
MTUME SAW anasema toeni sharubu fugeni ndevu.sasa wewe sheh mkubwa unafanya kinyume chake..mambo madogo yanakushinda vipi tukuamini fatwa kubwa?haya katika vitabu vyako vyote ulivyosoma wapi mtume kasema fugeni sharubu mtoe ndevu
Kama unajiamini kwa nn usikutane na sheikh kassim mafuta ktk madahalo kuhusu arafa,?
Baaraka Allahu fiikum yaa shuyuukh
MFUGA MASHARUBU SIJAKUELEWA
Shukran sheikh Ahsante Allah akubaarik
Yani mnamtafta shekh wenyeweee halafu akiwatandika mnasema anatukana. Hahahaha. Halafu huna haya wajiita shekhe wakati una ule muonekano wa majusi alietajwa kwenye hadeeth ya mtume swallallahu alayhi wasallam kuwa alikuwa kanyoa ndevu zote akafuga sharubu. Shekh unamuonekano wa kimajusi. Allah akuongoze
FUATILIENI MAJIBU YA SHEIKH ABUL FADHIL KWA MUHAMMED IDY
SHEKHE UMESOMA MASHAALLAH KWA VITA ULIVYOTUONYESHA DUH KWELI.
Huyu ni Sheikh Sharubu, Allah amuongoze katika Tawhiid na Sunnah.
Sheikh hujajibu ruduud za sheikh Qassim
@abdallahabdan8352
2 жыл бұрын
Naaam huyuu hajajibu
hakuna ulicho jibu hapa
Asalam Aleykum Sheikh tatizo kubwa ya baadhi ya maulamaa hamna elimu ya jiografia ndio maana mnakosea. Wewe una ilmu ndogo ya fiqi lakini bure kabisa ktk jiorafia. Eti unasema kuna tarekhe mbil
Ume firisika kihoja
📜 *MADA:* RADDI KWA ABUU IDDI MUHAMMAD IDDI KUHUSIANA NA FUNGA YA ARAFA ➡️ *_KUBAINISHA TUHUMA JUU YA MAS'ALA ALIYOYAPOTOSHA KUHUSU UWAHABI_* *🎙MUHADHIRI* *SHEIKH ABUL FADHL KAASIM MAFUTA KAASIM حفظه الله تعالى ورعاه* 📆 *TAREHE:-* *17 DHUL HIJJAH 1442H* *27 JULY 2021M*
@user-ej5uz1pb4f
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/q52ImtJsc9apf84.html
Maa Shaa Allaah
Mbona hueleweki sheikh utapasuka bure una jipapatua kwa nguvu kwel endelea uje upate kisukari bure wa kuwadanganya karne hii utawapata kwenye familia yako tu
Sufi mnatapatapa poleni sana
Shukrani Sana shekhe kwakumuelewesha huyo mpotoshaji na hao wanaoropoka kukomenti maneno yasiyo kuwemo katka mada tuwachukulie2 kuwa ni masafihu w,salamu alykum
@abuuishaaqa3830
2 жыл бұрын
Hujielewi ww
We ndo hujielewi
Unajidai kama hujui clip ni ya sku nyingi, uliraddiwa siku tangu mwaka juzi ndo wajibu leo, subri simba akupandie tena ufate nyayo za mwenzako othman maalim
Babaaa umeshajibiwa sasa twakusubili au aujaziona radd zako?
Safi sana
Al Akkhh
Sasa waweka vitabu ili uwonekane hii ni riyaa
Ww ndio mpotoshaji tena umche Allah
Fuga ndevu kwanza.
Acha kuruka ruka soma ibara zote kama wewe ni mkweli mbona warukaruka kama chura kakosa maji
Umekatakata sana tupe na part 2
sheikh ubwabwa kama huyu amevimbiwa makande kwenye maulidi et naye anamjibu sheikh ha hahahahaha ha hahahahaha
Wewe babu idi muongo wewe ni abujahar wa sana hizi
Kidevu kama cha mke wangu ummu juhayfa huna hoja za kupambana na kassim mafuta njoo hapa pongwe tanga uone maktaba sio.unafanya ria alaf unatumalizia bando tu unaongea ujinga kabisa
echo kidevu kimefanana na dada angu, hakina ata ndevu hahahahah.
@atikilunko9991
3 жыл бұрын
Mpe dada ako utamuelewa
@suleimanbilal3327
3 жыл бұрын
@@atikilunko9991 umemjibu vizur sana,
@abuusuleym3676
3 жыл бұрын
kidevu kama cha zuchu
@AsyaShosi-uc2ds
Жыл бұрын
Ndugu zangu achen matsuri abuu idd amenukuu vitabu hashemi maneno ya kichaa chake
dah hili jamaa asa jinga, yaani kajaza matabu teleeee, iyo ni riya, na ata kiarab hujui.
Abuu Iddi Sufi. Una shangaa mtu kufananishwa na punda. Hujui Allah ndie kakupigieni mfano ninyi ktk aya hiii. مَثَلُ ٱلَّذِينَ حُمِّلُواْ ٱلتَّوْرَىٰةَ ثُمَّ لَمْ يَحْمِلُوهَا كَمَثَلِ ٱلْحِمَارِ يَحْمِلُ أَسْفَارًۢا. PUNDA KATAJWA HAPOOOO.
Sheikh ni vyema hivyo umefahamisha Watu kwamba kuna ugomvi wa Kisiasa ulikuwa baina ya utawala wa waturuki (Uthmania) na la wenyeji Wasaudi wakiongozwa na Sheikh Muhammad bin AbdulWahhab. Je kuna sababu ya sisi huingilia siasa hizo na kukejeli Daawa ya Tawhid aliyokuwa anaitekeleza? Ni vyema pia ufahamu kwamba Daawa ya Tawhid imekuwa ikipata upinzani kutoka kwa baadhi ya Masheikh tangu zamani. Taz. Mtume isa alitumwa kufikisha ujumbe wa Tawhid lakini waliompinga ni Ulamaa wa enzi yake. Na hata walifikia kutaka kumuua msalabani. Na Mtume Wetu Muhammad hadi leo hutungiwa maneno ya kumuudhi. Kuna wanadai kwamba wao ni Waislamu lakini ni wachochezi wa uadui ma baadhi yao wanawapotosha wafuasi wao kiasi cha kuwafanya waabudu maiti. Unadhani watafirahi wanapokatazwa kufanya hivyo? Taz. Muislamu yeyote anapoitwa na wazungu terrorist kwa kuwa tu ni Muislamu, sababu ni nini? Ni upotofu tu. Taz. Wanawake wamesumbuliwa kwa kuvaa hijabu. Basi Muislamu sahihi anaelewa upo uadui wa kuitana majina. Sasa wewe tutolee makosa ya Sheikh Muhammad bin AbdulWahhab katika vitabu vyake ili tutazame kama ni makosa kweli au anakejeliwa tu kwa kufundisha Tawhid.
Tatizo mnaongea sana afu shekhe akija kujibu yeye mnaanza kuona kama mnaonewa vile mnasema shekh qaasim analeta fujo kwa waislamu Chungeni sana ndimi zenu nyie wapotoshaji
Yaani wewe abu idi ndio umo ndani ya haki, na wengime woote wapotefu na wapotoshaji, na wewe tu ndio mwenye hoja, na wengine hawana hoja😂😂🤣🤣
Wewe jaaahili murakkabu waHadae wenzako ..Kama swaumu ya arafa yaitwa mfunguo tatu dhlhijjat mwenyeakili ajiulize kwanini isifungwe tareh kumi au kumi namojaa?? Wee nimtu mjingatuu
@kherimkose3669
3 жыл бұрын
Msenge
@noorululaatv8973
3 жыл бұрын
Wewe mpumbavu sana .. Khabithi wewe
@noorululaatv8973
3 жыл бұрын
Wewe Abuu Shaakir ni mwehu ww
@ramangadu6451
3 жыл бұрын
@@kherimkose3669 Matusi. Hapana
@imash04tv20
3 жыл бұрын
ndo anajiona kaja na point hapo wakati kichwani hamna kitu zaidi hio kanzu anayovaa Abuu shaakir
Mupendane kweli ili Jamii tuelimike
sasa iyo picha apo pembeni ina mnasaba gani na kumjibu sheikh kassim?, yaani hili ni jahil, tena جاهل المركب
Baaraqallahu fiiq.. Qacimu mafuta ni Mrongo sana wallah
@mutomubaya
3 жыл бұрын
Hebu taja uwongo wake ikiwa unasema ukweli.
@hamisisaidi5608
3 жыл бұрын
tuletee uwongo wake bila ya kuleta ushabik
@farhannurkey
3 жыл бұрын
tuletee ushahidi..mdomo bila hoja hatutaki
@wazirihamisi6484
3 жыл бұрын
CHUKI TU
@ratiphadaudi8698
2 жыл бұрын
Muogope Allah ndugu, uamzushia shekhe muongo! Lol! Ulishawahi kumsikiliza lkn?
Pitia coment basi mwehu wewe
Bachu yuko sahihi,huyu sijui mimituu simwelewi
@notwextv4635
3 жыл бұрын
ni ww tu ndio umuelewi ila sisi wengine tunamuelewa
Wewe si mkosoa wenzangu wewe ni mshambuliaji, na mtukanaji
@ahmadoigu7689
3 жыл бұрын
Ndiyo kitu unayojuwa
@alhashimy2625
3 жыл бұрын
Tunaomba Al,allaama abu iddi Uwachambue na mashia pia
😂😂😂 ati endelea kunikosoa ..ndio upate umaarufu. chizi wewe hakuna mtu atakae shugulika na wewe
@suleimanbilal3327
3 жыл бұрын
assalaam alaykum,kumuita muislam mwenzio chiz n kosa na hususan sheikh mkubwa kama huyu....mche Allaah
@farhannurkey
3 жыл бұрын
@@suleimanbilal3327 shehe kwako..kwetu sisi ni chizi tu..mbona anamuita shehe wetu mpoteshaji.mbona sijakuona ukimwambia amche Allah
@abuusuleym3676
3 жыл бұрын
@@suleimanbilal3327 huyu ushekhe wake hatuoni
@farhannurkey
2 жыл бұрын
@Yphware HCo nani?
Tuna subir rad na ya mtoto wa bachu
yani unaeleweka unakuja na dalili nyingi tu tena sio katika mashekhe wa madhehebu yako bali yao na stili wanakataa wanaokubali watakubali tu wanaokataa na kuendelea kujibu basi nijuu yao wanawapinga masheikh yao
yaani hadi machizi wanatafuta umaarufu kwa kupitia mashekhe..huyu kweli ni chizi mkubwa..waislamu kaeni mbali na huyu wazimu
Sasa unahimiza Waislamu kutukanana au unawakataza? Kama yaliwahikutokea hayafai kuhuishwa.
maa shaa Allah