MAJIBU YANGU KWA MPOTOSHAJI KASSIM MAFUTA KUHUSU ARAFA _SEHEMU YA KWANZA

Пікірлер: 88

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    Mtume kakataza masharubu, mbona ww unaenda kinyume na mafundisho ya mtume صلى الله عليه وسلم

  • @Muswlih
    @Muswlih6 ай бұрын

    Shukran sanaaaaaaa mpotoshaji wew

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38463 жыл бұрын

    Kama wewe ni mwanaume kweli jibu hoja za sheikh kasimu Allah amuhifadhi kuhusu uwahabi na arafa.., Hauitaji, porojo na matusi, wala ukimbie, jibu hoja kielimu.

  • @hassan4k7
    @hassan4k72 жыл бұрын

    Radd au majubu makali hayo yamefedhe hesha uongo wa ABUU IDD 👇👇

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour49303 жыл бұрын

    MTUME SAW anasema toeni sharubu fugeni ndevu.sasa wewe sheh mkubwa unafanya kinyume chake..mambo madogo yanakushinda vipi tukuamini fatwa kubwa?haya katika vitabu vyako vyote ulivyosoma wapi mtume kasema fugeni sharubu mtoe ndevu

  • @husseinmgohamwelu1488
    @husseinmgohamwelu14883 жыл бұрын

    Kama unajiamini kwa nn usikutane na sheikh kassim mafuta ktk madahalo kuhusu arafa,?

  • @akhitalibsheha2434
    @akhitalibsheha24343 жыл бұрын

    Baaraka Allahu fiikum yaa shuyuukh

  • @mtawatawatvonline8393
    @mtawatawatvonline83933 жыл бұрын

    MFUGA MASHARUBU SIJAKUELEWA

  • @barakathdthekinda3722
    @barakathdthekinda37223 жыл бұрын

    Shukran sheikh Ahsante Allah akubaarik

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim86463 жыл бұрын

    Yani mnamtafta shekh wenyeweee halafu akiwatandika mnasema anatukana. Hahahaha. Halafu huna haya wajiita shekhe wakati una ule muonekano wa majusi alietajwa kwenye hadeeth ya mtume swallallahu alayhi wasallam kuwa alikuwa kanyoa ndevu zote akafuga sharubu. Shekh unamuonekano wa kimajusi. Allah akuongoze

  • @kilimanjaromegaexpeditions8527
    @kilimanjaromegaexpeditions85273 жыл бұрын

    FUATILIENI MAJIBU YA SHEIKH ABUL FADHIL KWA MUHAMMED IDY

  • @salimabddala3758
    @salimabddala37583 жыл бұрын

    SHEKHE UMESOMA MASHAALLAH KWA VITA ULIVYOTUONYESHA DUH KWELI.

  • @abuunufaysah5328
    @abuunufaysah53283 жыл бұрын

    Huyu ni Sheikh Sharubu, Allah amuongoze katika Tawhiid na Sunnah.

  • @muhammad-Swaabir
    @muhammad-Swaabir2 жыл бұрын

    Sheikh hujajibu ruduud za sheikh Qassim

  • @abdallahabdan8352

    @abdallahabdan8352

    2 жыл бұрын

    Naaam huyuu hajajibu

  • @omarykissite6766
    @omarykissite67663 жыл бұрын

    hakuna ulicho jibu hapa

  • @saadiawarfa3480
    @saadiawarfa34803 жыл бұрын

    Asalam Aleykum Sheikh tatizo kubwa ya baadhi ya maulamaa hamna elimu ya jiografia ndio maana mnakosea. Wewe una ilmu ndogo ya fiqi lakini bure kabisa ktk jiorafia. Eti unasema kuna tarekhe mbil

  • @hasanishafii9079
    @hasanishafii90792 жыл бұрын

    Ume firisika kihoja

  • @user-ej5uz1pb4f
    @user-ej5uz1pb4f3 жыл бұрын

    📜 *MADA:* RADDI KWA ABUU IDDI MUHAMMAD IDDI KUHUSIANA NA FUNGA YA ARAFA ➡️ *_KUBAINISHA TUHUMA JUU YA MAS'ALA ALIYOYAPOTOSHA KUHUSU UWAHABI_* *🎙MUHADHIRI* *SHEIKH ABUL FADHL KAASIM MAFUTA KAASIM حفظه الله تعالى ورعاه* 📆 *TAREHE:-* *17 DHUL HIJJAH 1442H* *27 JULY 2021M*

  • @user-ej5uz1pb4f

    @user-ej5uz1pb4f

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/q52ImtJsc9apf84.html

  • @muhsinmoso3178
    @muhsinmoso31783 жыл бұрын

    Maa Shaa Allaah

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv27033 жыл бұрын

    Mbona hueleweki sheikh utapasuka bure una jipapatua kwa nguvu kwel endelea uje upate kisukari bure wa kuwadanganya karne hii utawapata kwenye familia yako tu

  • @jumanneissa8226
    @jumanneissa82263 жыл бұрын

    Sufi mnatapatapa poleni sana

  • @ayubukibwana5468
    @ayubukibwana54683 жыл бұрын

    Shukrani Sana shekhe kwakumuelewesha huyo mpotoshaji na hao wanaoropoka kukomenti maneno yasiyo kuwemo katka mada tuwachukulie2 kuwa ni masafihu w,salamu alykum

  • @abuuishaaqa3830

    @abuuishaaqa3830

    2 жыл бұрын

    Hujielewi ww

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya85953 жыл бұрын

    We ndo hujielewi

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim86463 жыл бұрын

    Unajidai kama hujui clip ni ya sku nyingi, uliraddiwa siku tangu mwaka juzi ndo wajibu leo, subri simba akupandie tena ufate nyayo za mwenzako othman maalim

  • @waziriomari6880
    @waziriomari68802 жыл бұрын

    Babaaa umeshajibiwa sasa twakusubili au aujaziona radd zako?

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50833 жыл бұрын

    Safi sana

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis80923 жыл бұрын

    Al Akkhh

  • @abdallahabdan8352
    @abdallahabdan83522 жыл бұрын

    Sasa waweka vitabu ili uwonekane hii ni riyaa

  • @abuujuhaima5588
    @abuujuhaima55883 жыл бұрын

    Ww ndio mpotoshaji tena umche Allah

  • @Wastara001
    @Wastara0013 жыл бұрын

    Fuga ndevu kwanza.

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv27033 жыл бұрын

    Acha kuruka ruka soma ibara zote kama wewe ni mkweli mbona warukaruka kama chura kakosa maji

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50833 жыл бұрын

    Umekatakata sana tupe na part 2

  • @abdullahjuma9206
    @abdullahjuma92063 жыл бұрын

    sheikh ubwabwa kama huyu amevimbiwa makande kwenye maulidi et naye anamjibu sheikh ha hahahahaha ha hahahahaha

  • @salumally6450
    @salumally64503 жыл бұрын

    Wewe babu idi muongo wewe ni abujahar wa sana hizi

  • @rajabuathuman8825
    @rajabuathuman88252 жыл бұрын

    Kidevu kama cha mke wangu ummu juhayfa huna hoja za kupambana na kassim mafuta njoo hapa pongwe tanga uone maktaba sio.unafanya ria alaf unatumalizia bando tu unaongea ujinga kabisa

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    echo kidevu kimefanana na dada angu, hakina ata ndevu hahahahah.

  • @atikilunko9991

    @atikilunko9991

    3 жыл бұрын

    Mpe dada ako utamuelewa

  • @suleimanbilal3327

    @suleimanbilal3327

    3 жыл бұрын

    @@atikilunko9991 umemjibu vizur sana,

  • @abuusuleym3676

    @abuusuleym3676

    3 жыл бұрын

    kidevu kama cha zuchu

  • @AsyaShosi-uc2ds

    @AsyaShosi-uc2ds

    Жыл бұрын

    Ndugu zangu achen matsuri abuu idd amenukuu vitabu hashemi maneno ya kichaa chake

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    dah hili jamaa asa jinga, yaani kajaza matabu teleeee, iyo ni riya, na ata kiarab hujui.

  • @issamyemen8428
    @issamyemen84283 жыл бұрын

    Abuu Iddi Sufi. Una shangaa mtu kufananishwa na punda. Hujui Allah ndie kakupigieni mfano ninyi ktk aya hiii. مَثَلُ ٱلَّذِينَ حُمِّلُواْ ٱلتَّوْرَىٰةَ ثُمَّ لَمْ يَحْمِلُوهَا كَمَثَلِ ٱلْحِمَارِ يَحْمِلُ أَسْفَارًۢا. PUNDA KATAJWA HAPOOOO.

  • @mutomubaya
    @mutomubaya3 жыл бұрын

    Sheikh ni vyema hivyo umefahamisha Watu kwamba kuna ugomvi wa Kisiasa ulikuwa baina ya utawala wa waturuki (Uthmania) na la wenyeji Wasaudi wakiongozwa na Sheikh Muhammad bin AbdulWahhab. Je kuna sababu ya sisi huingilia siasa hizo na kukejeli Daawa ya Tawhid aliyokuwa anaitekeleza? Ni vyema pia ufahamu kwamba Daawa ya Tawhid imekuwa ikipata upinzani kutoka kwa baadhi ya Masheikh tangu zamani. Taz. Mtume isa alitumwa kufikisha ujumbe wa Tawhid lakini waliompinga ni Ulamaa wa enzi yake. Na hata walifikia kutaka kumuua msalabani. Na Mtume Wetu Muhammad hadi leo hutungiwa maneno ya kumuudhi. Kuna wanadai kwamba wao ni Waislamu lakini ni wachochezi wa uadui ma baadhi yao wanawapotosha wafuasi wao kiasi cha kuwafanya waabudu maiti. Unadhani watafirahi wanapokatazwa kufanya hivyo? Taz. Muislamu yeyote anapoitwa na wazungu terrorist kwa kuwa tu ni Muislamu, sababu ni nini? Ni upotofu tu. Taz. Wanawake wamesumbuliwa kwa kuvaa hijabu. Basi Muislamu sahihi anaelewa upo uadui wa kuitana majina. Sasa wewe tutolee makosa ya Sheikh Muhammad bin AbdulWahhab katika vitabu vyake ili tutazame kama ni makosa kweli au anakejeliwa tu kwa kufundisha Tawhid.

  • @hafidhsalum9149
    @hafidhsalum91493 жыл бұрын

    Tatizo mnaongea sana afu shekhe akija kujibu yeye mnaanza kuona kama mnaonewa vile mnasema shekh qaasim analeta fujo kwa waislamu Chungeni sana ndimi zenu nyie wapotoshaji

  • @alhashimy2625
    @alhashimy26253 жыл бұрын

    Yaani wewe abu idi ndio umo ndani ya haki, na wengime woote wapotefu na wapotoshaji, na wewe tu ndio mwenye hoja, na wengine hawana hoja😂😂🤣🤣

  • @abuushaakir9582
    @abuushaakir95823 жыл бұрын

    Wewe jaaahili murakkabu waHadae wenzako ..Kama swaumu ya arafa yaitwa mfunguo tatu dhlhijjat mwenyeakili ajiulize kwanini isifungwe tareh kumi au kumi namojaa?? Wee nimtu mjingatuu

  • @kherimkose3669

    @kherimkose3669

    3 жыл бұрын

    Msenge

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    3 жыл бұрын

    Wewe mpumbavu sana .. Khabithi wewe

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    3 жыл бұрын

    Wewe Abuu Shaakir ni mwehu ww

  • @ramangadu6451

    @ramangadu6451

    3 жыл бұрын

    @@kherimkose3669 Matusi. Hapana

  • @imash04tv20

    @imash04tv20

    3 жыл бұрын

    ndo anajiona kaja na point hapo wakati kichwani hamna kitu zaidi hio kanzu anayovaa Abuu shaakir

  • @salehali5638
    @salehali56383 жыл бұрын

    Mupendane kweli ili Jamii tuelimike

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    sasa iyo picha apo pembeni ina mnasaba gani na kumjibu sheikh kassim?, yaani hili ni jahil, tena جاهل المركب

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv89733 жыл бұрын

    Baaraqallahu fiiq.. Qacimu mafuta ni Mrongo sana wallah

  • @mutomubaya

    @mutomubaya

    3 жыл бұрын

    Hebu taja uwongo wake ikiwa unasema ukweli.

  • @hamisisaidi5608

    @hamisisaidi5608

    3 жыл бұрын

    tuletee uwongo wake bila ya kuleta ushabik

  • @farhannurkey

    @farhannurkey

    3 жыл бұрын

    tuletee ushahidi..mdomo bila hoja hatutaki

  • @wazirihamisi6484

    @wazirihamisi6484

    3 жыл бұрын

    CHUKI TU

  • @ratiphadaudi8698

    @ratiphadaudi8698

    2 жыл бұрын

    Muogope Allah ndugu, uamzushia shekhe muongo! Lol! Ulishawahi kumsikiliza lkn?

  • @fizzmuyugumbi7584
    @fizzmuyugumbi75843 жыл бұрын

    Pitia coment basi mwehu wewe

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani71943 жыл бұрын

    Bachu yuko sahihi,huyu sijui mimituu simwelewi

  • @notwextv4635

    @notwextv4635

    3 жыл бұрын

    ni ww tu ndio umuelewi ila sisi wengine tunamuelewa

  • @alhashimy2625
    @alhashimy26253 жыл бұрын

    Wewe si mkosoa wenzangu wewe ni mshambuliaji, na mtukanaji

  • @ahmadoigu7689

    @ahmadoigu7689

    3 жыл бұрын

    Ndiyo kitu unayojuwa

  • @alhashimy2625

    @alhashimy2625

    3 жыл бұрын

    Tunaomba Al,allaama abu iddi Uwachambue na mashia pia

  • @farhannurkey
    @farhannurkey3 жыл бұрын

    😂😂😂 ati endelea kunikosoa ..ndio upate umaarufu. chizi wewe hakuna mtu atakae shugulika na wewe

  • @suleimanbilal3327

    @suleimanbilal3327

    3 жыл бұрын

    assalaam alaykum,kumuita muislam mwenzio chiz n kosa na hususan sheikh mkubwa kama huyu....mche Allaah

  • @farhannurkey

    @farhannurkey

    3 жыл бұрын

    @@suleimanbilal3327 shehe kwako..kwetu sisi ni chizi tu..mbona anamuita shehe wetu mpoteshaji.mbona sijakuona ukimwambia amche Allah

  • @abuusuleym3676

    @abuusuleym3676

    3 жыл бұрын

    @@suleimanbilal3327 huyu ushekhe wake hatuoni

  • @farhannurkey

    @farhannurkey

    2 жыл бұрын

    @Yphware HCo nani?

  • @abubakariselemani487
    @abubakariselemani4873 жыл бұрын

    Tuna subir rad na ya mtoto wa bachu

  • @imash04tv20
    @imash04tv203 жыл бұрын

    yani unaeleweka unakuja na dalili nyingi tu tena sio katika mashekhe wa madhehebu yako bali yao na stili wanakataa wanaokubali watakubali tu wanaokataa na kuendelea kujibu basi nijuu yao wanawapinga masheikh yao

  • @farhannurkey
    @farhannurkey3 жыл бұрын

    yaani hadi machizi wanatafuta umaarufu kwa kupitia mashekhe..huyu kweli ni chizi mkubwa..waislamu kaeni mbali na huyu wazimu

  • @mutomubaya
    @mutomubaya3 жыл бұрын

    Sasa unahimiza Waislamu kutukanana au unawakataza? Kama yaliwahikutokea hayafai kuhuishwa.

  • @daudmharami4722
    @daudmharami47223 жыл бұрын

    maa shaa Allah