FURAHA YA SHEKH SHAHRAN KWA SHEKH MSELEM

Пікірлер: 23

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANYАй бұрын

    Maasha Allah baarakallah Masheikh wakiwa pamoja. Waumini tunafurrahi

  • @allyshafi4391
    @allyshafi4391 Жыл бұрын

    Dunia ina mitihani sana hii Allah atupe husnul hatma ktk maisha yetu yote

  • @saidisungi3894
    @saidisungi38942 жыл бұрын

    Laailaaha illallaahu Allah awatangulie. polen sana mashekhe we2 kwa mitihan mizito

  • @muhammedkhamis1407
    @muhammedkhamis14072 жыл бұрын

    Masha Allah Mukika Mashekhe Wawili Pamoja Hapo Munapendeza Kwelikweli Poleni Sana Na Mitihani Ya Kidunia Mashekhe Wangu😭😭🤲🤲

  • @saidissa3039

    @saidissa3039

    5 ай бұрын

    .

  • @salumshaibu2473
    @salumshaibu24732 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi na akuepushe kutokana na sharri hiyo nanyenginezo

  • @abdulhalim3840
    @abdulhalim38402 жыл бұрын

    Mashaallah poln san mashekh wetu tupo pamoj

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd6 ай бұрын

    allahw atawalipia huku huku duniya wahisabuhu allalahi

  • @maalimjaffar5563
    @maalimjaffar55632 жыл бұрын

    Pole sana sheikh wangu,lkn hayo uliyosema nimiongoni mwa ushahidi unaothibitisha ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu,,,unaoendeshwa pindi mtu anapokua chini ya mikono ya serikali zetu,,,tofauti na vile wanavyozitangaza na jinsi waliowengi wanavyoaminishwa.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50832 жыл бұрын

    Hongera shekh shahraan kwa upendo usiwe kama baadhi ya masalafi wasojielewa

  • @adammuhidin3016

    @adammuhidin3016

    Жыл бұрын

    masalafi wameingiaje apo?

  • @khamisrubea5083

    @khamisrubea5083

    Жыл бұрын

    @@adammuhidin3016 nimesema baadhi au unataka kunambia masalafi wote ndo wanajielewa

  • @adammuhidin3016

    @adammuhidin3016

    Жыл бұрын

    kama masalafi baazi hawajielewi masufi ni wote wendawazimu

  • @khamisrubea5083

    @khamisrubea5083

    Жыл бұрын

    @@adammuhidin3016 ww kama unaona ivo sawa kila mmoja na mtazamo wake huwezi kulaumiwa ila mm sisemi kwa masalafi wote

  • @salumkhatib7551
    @salumkhatib75513 жыл бұрын

    SASA JTV ZNZ INAKULETEA ZIARA ZA MASHEHE WALIOKAA KIZUIZINI KWA MIAKA TISA

  • @samwelbunzali1914
    @samwelbunzali19143 жыл бұрын

    Maneno yako ni busara tupu

  • @user-xi8tb5zq1p
    @user-xi8tb5zq1p Жыл бұрын

    Mashallah

  • @twahaabrahman5725
    @twahaabrahman5725 Жыл бұрын

    UAMSHO ni uhizbi

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    Жыл бұрын

    Unatafuta mume au

  • @twahaabrahman5725

    @twahaabrahman5725

    Жыл бұрын

    @@mohamedhaji2200 waume waliwapata akina mselem gerezani na sasa wameufyata, chezea jelajela na ww Gaidi ichezee dola ukashugulikiwe kama walivyoshugulikiwa Masheikh zako.

  • @abdulijuma1769

    @abdulijuma1769

    Жыл бұрын

    @@twahaabrahman5725 ndo mnajiita masalafi ,Wala hakuna salaf mchafu wa maneno kama yako Allaah yu pamoja na wenye kuamiani

  • @solomonadams6337

    @solomonadams6337

    Жыл бұрын

    kwasababu Wazinjibar hatutaki Muun'gano na Watu wasiofanana na sisi ndio tumekua Hizbi¿Hakuna Mzinjibar anaetaka muungano na Watanganyika tokea mwaka 1964 watanganyika walipoanza kututawala.

  • @abdukhan4718

    @abdukhan4718

    3 ай бұрын

    @Muhamedhaji. Muogobe Allah, Muogope Allah. HAKUNA ANETAKA JAMFIKE MATATIZO... Muislamu akipatwa na msiba au matatizo Ni kumuombea dua na suo kutoa maneno ya kejeli.. Ww bado upo Duniani hujui ni Mtihani upi....

Келесі