Allahu Akbar shekhe mselem nakupenda Sana kwajili ya Allah namawahidha yako nayaelewa sana
@ShemsaKiobya-x8hКүн бұрын
Allah atufanyie wepesi years rabbi
@badrualiy2778Күн бұрын
Allah atuepushe na ndimi mbaya 😢
@IbrahimAli-q9c2 күн бұрын
save
@alisaleh58633 күн бұрын
ALLAH AKUHIFADHI NA HASAAD ZA AINA ZOTE
@anwarabdallah70953 күн бұрын
Maasha Allah shk mselem nakupenda kwa Ajili ya Allah,Allah akuhifadhi Ameen.
@user-ti8is4ss7x3 күн бұрын
Jina la huyu sheikh mpemba n nan
@samoocoolingsystem933 күн бұрын
JTV ZNZ majina ya namba mlizotoa hamjasema yataje majina hili mtu aweze kutuma mchango wake . 🙏
@user-ti8is4ss7x4 күн бұрын
Jina la huyu sheikh
@zainabzanzibar15184 күн бұрын
Allah atupe mwisho mwema
@SalamaBakari-eh1mz4 күн бұрын
Allah tunakuomba upe subra shekhe wetu na umlinde nashari ya wale wasiompenda hakuna anae pedwa na wote nimemkusudia shekhe Mselem bin Ali
@ibruzah0014 күн бұрын
Allahu Akbar ❤
@user-cy1od5xr8x5 күн бұрын
Waislam wanadhalilika kweli tena ndani ya Zanzibar kweli waislam wamevamiwa Dunia nzima
@dashuu52955 күн бұрын
Mskiti wa kinyasin umekuwa mzry mashallaah...
@FatnaAlly-go7yt5 күн бұрын
Oooh Allah jaalia kheri na shari tuepushie
@user-ro3pj6ps7o6 күн бұрын
Kwaajili ya ALLAH
@user-ro3pj6ps7o6 күн бұрын
Mashallah nakupenda sana shekh
@salemaliy19636 күн бұрын
Kweli
@user-vd7tu5te8n6 күн бұрын
Masha Allah ugeni wetu mwema wente kheri na baraka
@muzahimabdillah70446 күн бұрын
Nakupenda shekh mselem bin aliy ❤
@WardaRamadhan-lj5bn7 күн бұрын
Allah akuhifadh mjomb angu kipenz ❤❤❤❤
@samoocoolingsystem937 күн бұрын
Hakika unasema kweli mwalimu binadamu tubadilike acheni mazoea ya bibi babu baba yako mama rafiki demu wako mcheni Mungu basi 🙏
@Director.Mwinyimkuu7 күн бұрын
Masha Allah sheikh mselem nampenda sana kwaajili ya Allah natamani nimuone sikumoja japo nimshike mkono. Allah amuhifadhi sana Maalim huyu.🙏🏼
@samoocoolingsystem937 күн бұрын
Amiiin inshaa Allah 😊
@aliameir72726 күн бұрын
Ma shaa llah, sheikh Allah akuhifadhi na mitihani.
@selemaniselemani5913 күн бұрын
Mimi Nina mpango wa kwenda znz Kwa ajili ya kumuona shekh then nipigi picha nae nirudi kwetu ntwara njini
@Director.Mwinyimkuu2 күн бұрын
@@selemaniselemani591 una ndoto Kama Yangu blood.... Allah atuwezeshe inshallah
@AmanaHussein7 күн бұрын
Subhanallah
@sama-_83688 күн бұрын
Sheikh nakupenda sanaaaaa kwa ajili ya Allah Lakini badilisha basi msimamo wa mwezi msimamo wa mwezi mmoja dunia nzima SIO WA SAWA maana hata umbile la dunia linakataa
@selemaniselemani5918 күн бұрын
Al hamdu Lillah Ila tunatomba darsa ya Aya ya 6 mpaka 11
@hamiduOmar-s2z8 күн бұрын
Jazaka llah khairan
@korogwetanga8108 күн бұрын
Allahumma Aamiin yaa rabbi
@IsaMadaya-y8q8 күн бұрын
Masha,alla
@mussakatawila94089 күн бұрын
Jazaakallah Khairan Sheikh! Allah akuhifadhi Duniani na Akhera na atujaalie mwisho mwema na atupe wasikilizaji mazingatio ya haya mawaidhwa.
@ibradibango47449 күн бұрын
Allah ajaliye yote unayofundisha ikae moyoni mwetu sote tunayekusikiliza na atujaliye tuifanyie kazi
@ummymuya.20609 күн бұрын
Ameen
@innocentndikumana89289 күн бұрын
mashallah sheikh napenda darasa zako sana Allah akupe heri nyingi ❤️❤️
@ummymuya.20609 күн бұрын
Ameen
@alisaleh58639 күн бұрын
ALLAH AKUONGEZEE ELIMU NA HEKMA, ILI TUZIZIDI KUNUFAIKA NA WW, ALLAH AKULINDE NA KILA AINA YA HASAD.
@SultanVilla-hi9os9 күн бұрын
Shukuran nimesikiliza nikiwa kimbiji Dar es salaam Ahsante 15/7/24
@anwarabdallah70959 күн бұрын
Maasha Allah shk mselem twabaan twaiib Allah Akujalie umri mrefu Ameen
@imsimk.khamis5749 күн бұрын
Shukran jazakallah kheiri shekhe wetu Mselemu. Hakika darsa lako ni fundisho kubwa kwa jamii yetu ya Kizanzibari iliokwisha potea. Kwa Siasa Chafu, Dhulma, ugumu wa maisha na kukosa misingi mizuri ya kidini kama tulivokulia cc ktk miaka ya 70s na 80s. Lkn nakunasihi Shekhe wetu kama utasoma msg. Usiwe Mkali sana au Kubeza beza watu wanaotaka kujuwa zaidi au kuuliza masuala. Wahu wanaokuja kuku sikiliza wanataka kuelewa. Kwassbabu ndio wanajifunza. Kuna wakati watu huuliza masuali kama unavosema ya Ajabu ajabu. Lkn ndio uwezo wake huyo mtu wa kutunga hilo suali na kuuliza hivo kiajabu ajabu. Sasa wewe wape majibu ya upole usiwabeze. Mbona mashekhe wetu munakosea kwenye Elmu ya Psycology 🤔🤔🤔
@SimbandumweAmissi-hd3vv9 күн бұрын
Asww nikweli
@ummymuya.20609 күн бұрын
Masha Allah Sheikh, Allah akuongezee uzidi kutupatia na sisi. Ameen!🤲
@bakariweko39589 күн бұрын
Ameen
@bakariweko39589 күн бұрын
Ameen
@Abdallahsbora-so2yg10 күн бұрын
Ninapomsikiliza shekh mselem na nikifutilia maneno anayowafahamisha watu namazingira yanavyoonesha wengi hawamuelewi mbona hayaonekani mabadiliko wakati maneno haya yanataka tuwena dira
@anwarabdallah709510 күн бұрын
Maasha Allah shk mselem Allah akujazi umri Ameen
@jumagora346210 күн бұрын
Inshaallah tutapata wepes
@halimamfaume192510 күн бұрын
MashaAllah
@ummukamillah11 күн бұрын
Amiin Yaa Rabb
@baderal_ofi180411 күн бұрын
🕌🤲🤲🤲🤝
@mussakatawila940811 күн бұрын
Allah akuhifadhi Duniani na Akhera na ukupe Afya njema na umri wenye baraka tele na atujaalie waislam mazingatio ktk maarisho ya na makatazo ni atupe Hidaya Aamin.
Пікірлер
Allah akulipe kher maalim msellem ally
ALLAH tunusuru waja wako.
ALLAH AKULINDE NA HASAD ZA AINA ZOTE
Kwel kabisa umeongea
Aminaaa
Allahu Akbar shekhe mselem nakupenda Sana kwajili ya Allah namawahidha yako nayaelewa sana
Allah atufanyie wepesi years rabbi
Allah atuepushe na ndimi mbaya 😢
save
ALLAH AKUHIFADHI NA HASAAD ZA AINA ZOTE
Maasha Allah shk mselem nakupenda kwa Ajili ya Allah,Allah akuhifadhi Ameen.
Jina la huyu sheikh mpemba n nan
JTV ZNZ majina ya namba mlizotoa hamjasema yataje majina hili mtu aweze kutuma mchango wake . 🙏
Jina la huyu sheikh
Allah atupe mwisho mwema
Allah tunakuomba upe subra shekhe wetu na umlinde nashari ya wale wasiompenda hakuna anae pedwa na wote nimemkusudia shekhe Mselem bin Ali
Allahu Akbar ❤
Waislam wanadhalilika kweli tena ndani ya Zanzibar kweli waislam wamevamiwa Dunia nzima
Mskiti wa kinyasin umekuwa mzry mashallaah...
Oooh Allah jaalia kheri na shari tuepushie
Kwaajili ya ALLAH
Mashallah nakupenda sana shekh
Kweli
Masha Allah ugeni wetu mwema wente kheri na baraka
Nakupenda shekh mselem bin aliy ❤
Allah akuhifadh mjomb angu kipenz ❤❤❤❤
Hakika unasema kweli mwalimu binadamu tubadilike acheni mazoea ya bibi babu baba yako mama rafiki demu wako mcheni Mungu basi 🙏
Masha Allah sheikh mselem nampenda sana kwaajili ya Allah natamani nimuone sikumoja japo nimshike mkono. Allah amuhifadhi sana Maalim huyu.🙏🏼
Amiiin inshaa Allah 😊
Ma shaa llah, sheikh Allah akuhifadhi na mitihani.
Mimi Nina mpango wa kwenda znz Kwa ajili ya kumuona shekh then nipigi picha nae nirudi kwetu ntwara njini
@@selemaniselemani591 una ndoto Kama Yangu blood.... Allah atuwezeshe inshallah
Subhanallah
Sheikh nakupenda sanaaaaa kwa ajili ya Allah Lakini badilisha basi msimamo wa mwezi msimamo wa mwezi mmoja dunia nzima SIO WA SAWA maana hata umbile la dunia linakataa
Al hamdu Lillah Ila tunatomba darsa ya Aya ya 6 mpaka 11
Jazaka llah khairan
Allahumma Aamiin yaa rabbi
Masha,alla
Jazaakallah Khairan Sheikh! Allah akuhifadhi Duniani na Akhera na atujaalie mwisho mwema na atupe wasikilizaji mazingatio ya haya mawaidhwa.
Allah ajaliye yote unayofundisha ikae moyoni mwetu sote tunayekusikiliza na atujaliye tuifanyie kazi
Ameen
mashallah sheikh napenda darasa zako sana Allah akupe heri nyingi ❤️❤️
Ameen
ALLAH AKUONGEZEE ELIMU NA HEKMA, ILI TUZIZIDI KUNUFAIKA NA WW, ALLAH AKULINDE NA KILA AINA YA HASAD.
Shukuran nimesikiliza nikiwa kimbiji Dar es salaam Ahsante 15/7/24
Maasha Allah shk mselem twabaan twaiib Allah Akujalie umri mrefu Ameen
Shukran jazakallah kheiri shekhe wetu Mselemu. Hakika darsa lako ni fundisho kubwa kwa jamii yetu ya Kizanzibari iliokwisha potea. Kwa Siasa Chafu, Dhulma, ugumu wa maisha na kukosa misingi mizuri ya kidini kama tulivokulia cc ktk miaka ya 70s na 80s. Lkn nakunasihi Shekhe wetu kama utasoma msg. Usiwe Mkali sana au Kubeza beza watu wanaotaka kujuwa zaidi au kuuliza masuala. Wahu wanaokuja kuku sikiliza wanataka kuelewa. Kwassbabu ndio wanajifunza. Kuna wakati watu huuliza masuali kama unavosema ya Ajabu ajabu. Lkn ndio uwezo wake huyo mtu wa kutunga hilo suali na kuuliza hivo kiajabu ajabu. Sasa wewe wape majibu ya upole usiwabeze. Mbona mashekhe wetu munakosea kwenye Elmu ya Psycology 🤔🤔🤔
Asww nikweli
Masha Allah Sheikh, Allah akuongezee uzidi kutupatia na sisi. Ameen!🤲
Ameen
Ameen
Ninapomsikiliza shekh mselem na nikifutilia maneno anayowafahamisha watu namazingira yanavyoonesha wengi hawamuelewi mbona hayaonekani mabadiliko wakati maneno haya yanataka tuwena dira
Maasha Allah shk mselem Allah akujazi umri Ameen
Inshaallah tutapata wepes
MashaAllah
Amiin Yaa Rabb
🕌🤲🤲🤲🤝
Allah akuhifadhi Duniani na Akhera na ukupe Afya njema na umri wenye baraka tele na atujaalie waislam mazingatio ktk maarisho ya na makatazo ni atupe Hidaya Aamin.