Mashaallah Shekhe Muhammad iddy umeongea Vzuri sanaa,Allah akubarik Sana uendelee Kutoa Elim Alla atakulipa... Nlitaka Mashekhe wote wanaokataa utofaut wa Muandamo wangekuja na Hoja Thabit za Kujibu kuhusu Mashekhe hao
@abuuammar4924
3 жыл бұрын
Sikujua kuwa Shekh Muhammad Ayoub alikuwa hakosei
@jamalbahdela5245 жыл бұрын
Al allama sheikh Muhamad Idd uko sahihi kabisa na Allh amekujaalia ilmu na istiqama, Usichoke kuwarudisha ktk mstari wasemaji semaji, Allah baarik.
@parasuminazi44035 жыл бұрын
Asante shekh hatamimi nimeliona hilo Leo nilipomskiliza shekh kilemile nanikatoa maoni yangu nikawaabia wakae watupe jibu moja kwamana wanakhitilifiana
@shosiabdalla6880
4 жыл бұрын
Swadakta parasu minazi jazakallahu khairan
@ibrahimmkoko58505 жыл бұрын
Tatizo lao huwa wanakusikiliza kwaajili ya kukujibu, badala ya kusikiliza kwaajili ya kuelewa. Shukran sana Sheikh, Allah akulipe.
@rehemasalimini54665 жыл бұрын
Shukrani shekh uko sahihi haswa mwenye kuelewa na kaelewa asielewa basi ache afate tv sababu mwezi ni mmoja ila muandamo unatofautiana kwa masaa na mdio tunafuata muandamo wa mwezi nchi tulipo sio kufata ushabiki wa watu furani Shekh Allah akuhifadhi duniani na Akhera
Alafu hoja nyengine Sheikh Muhammad iddi kuhusu awo wanaopinga mwezi mwandamo mm nawauliza jee, dini haikukamilika adi ilipokuja utandawazi maana hapo Zamani watu walikuwa wakihitalifiana kwasababu kulikuwa hakuna mawasiliano ya kujua kama Maka wamesimama arafa?, 2.) Hoja ya pili wao wakisema kama tufunge mwandamo wa kimataifa Sasa Ramadhani inaingia siku Moja na wakati mmoja jee, swali ikiwa unataka kufungua si unaangalia wakati ikiwa jua limepinduka yaani limezana basi kwa kurudia kuangalia wakati Sasa ikiwa adhuhuri imeingia Tanzania, 🇹🇿, Oman, Kenya, Sasa huyu marekani, ambae yupo nyuma kwa masaa 13, na Canada wapi nyuma kwa masaa 8 na china wapo mbele kwa masaa 7 jee wataswali vp adhuhuri mbna ktk swala tunahitilafiana Sasa wao wanashangaa kuhitilafiana kwenye mwandamo wa mwezi
@rwechunguraissa13942 жыл бұрын
Hongera Sana Shekhe, Allah akuhifadhi. Tunapitia fitna kubwa katika Uislamu.
@HamiduMtandika-lc2tp6 ай бұрын
It is not easy to keep somebody in the right track who willingly ignore the truth because of personal interest OR illiteracy.....IN FACTS MUHAMMAD IDDI IS LOGICALLY CORRECT FOR ANYONE WHO UNDERSTANDING LOGICAL STATEMENTS............OOOH ! ALLAH GUIDE US......... OOH ! ALLAH BLESS MUHAMMAD IDDI.......... .......JAZAKA ALLAH KHAIRA YA SHEIKH MUHAMMADI IDDI ; WAKO ONLINE STUDENTS HAMIDU MTANDIKA
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Allah akubarik. wewe na Shekh wako
@kanyasicongo79185 жыл бұрын
Hebu jifikirieni sana mufti waoma kazaliwa Zanzibar na akaja kuwa mfuti waoman hiyo nidalili yaelimuyake kubwa mimi naona allah kampakipaji kikubwa sana chakufahamu mambo allah amuhifadhi amin.
@athumanmohammad50525 жыл бұрын
Usisahau kuhitimisha hoja zako kwa kutathimin kuwa wafuasi wako wanazidi au wanapungua
@hafidhsaleh7878
5 жыл бұрын
Athuman Mohammad hoja cio kuzid au kupungua kw watu, hoja ni kufuata haki tu
@bokerarahaa6533
5 жыл бұрын
Mi niliongezeka inshaallah
@jumakapilima5674
5 жыл бұрын
Ukweli ni kuwa wafuasi wake wanapungua!!!!
@jumasaid87773 жыл бұрын
Mohamed iddy wewe ni mbishi , hauna elimu ya ikhtilafu .adabu ya ikhtilafu , unajifanya wewe jambo hilo unalijua zaidi kuliko maulamaa , kwa sababu hilo ni katika masaili mukhtalafu fihha ., usijifanye wewe ni msomi sana. Wakati ni ikhitlafu ya wanazuoni .
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Ahsante Yaa Sheykh. naamini wako wanaobadilisha misimamo yao kupitia daawa zako. usichoke mzee wangu. Alla akuhifadhi
@muslihmohd3685 Жыл бұрын
Huyu sheikh yupo kimakundi zaidi na sio kutoa elimu, Allah akuongoze uache usufi
@amrihamis54202 жыл бұрын
Wallhay mwenyezi mungu akusamehee na a kuingize peponi shekh ni mkweli sana amini
@abdulhameed-ur9pu5 жыл бұрын
Lamwisho sheikh Mohammad ayyubu na sheikh khamis bin khalfan walikua wachamungu sana Allah awarahamu wazee wetu hawa moja ya tofauti katiyenu na wao nyinyi wengi ni usalama WA taifa Kwaio acheni hyo ni Kazi ya kiyahudi msigeuke kuwa askari wa pelelezi kwani walinganiaji wafundishaji wandishi acheni usalama wa taifa mtaulizwa mbele ya Allah
@captain_kharus47845 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Mohd unajitaahid na huo ndio uadilifu unatoa hoja na dalili na umesimama kwa ushahidi wa masheikh na wanazuoni wakubwa
@bakiryusuph9971
5 жыл бұрын
Izondevu zako tuzinaonesha namna unavyo fata Mila zakiyaudi kwaiyo wasio nafikira ndio utaendelea kuwapoteza
@bakiryusuph9971
5 жыл бұрын
Ndgu yetu we apo umewekwa kwaaajili yawatu sio dini
@hashimfarsy18285 жыл бұрын
Usiifiche haki ukaidhikhirisha baatil ila jitambue hiii dunia tu usione unapta nofu ukaonaa ohook kuna mauti
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Huna sifa ya kusikilizwa yan ndevu zako umeweka wapi unaboa wewe yan hakuelewi ila mtu bariidu katika watu
@kaulimakame94445 жыл бұрын
Hoja siyo kumpinga au kumjenga MTU au kudhalilishana. Toeni hoja za kielimu zisizoonyesha kasoro za elimu ya Jiografia. Hoja za kbezana na za uchonganishi hazitusaidii sisi waumini wenu. Ilindeni Dino msilinde maslahi yenu au kutafuta umaarufu.Allah tulinde na elimu iliyofunikwa na hawaa za nafsi.
@mbossowcb19154 жыл бұрын
Shekhe Muhammad ayub Allah amlipe khery
@ahmadmadaai13573 жыл бұрын
Upo vzr sn Allah akupe umri mrefu mashaa Allah
@hatjjuma61502 жыл бұрын
Tunajua kuna baadhi ya mambo yanamapishano ila yasiweke tofauti baina ya sisi waisilam.Alhamdulilah tupo kwenye haki kwajili ya shahada zetu.
@safinabakari91405 жыл бұрын
Shaikh Muhammad Eid najua utapitia comment zetu. mimi nina maoni yangu kwako kwa maslahi mapana ya dini yetu..... kosa halirekebishwi kwa kosa, wale unaowaona katika mashaikh tunaowahishimu kuwa wamekosea andaeni meza moja ya sulhu haya mambo muyaoongee indoor n sio humu mitandaoni, italeta fitna kubwa. pili nakushauri tena mwalimu wangu, mkubwa hakosei,kama unakiri kuwa shaikh ni kaka yako basi yeye ni mkubwa kwako jishushe msishindane, nachelea zaidi fitna ambayo itaondosha mapenzi baina yenu. Tatu waliokujibu sio hao tu, nimesikia clip z mombasa kutoka kwa salafiy na nyingine ya qasim mafuta markaz pongwe, nae ametoa hoja nzito tu kama ukipata muda zisikilize na kama unaona kuna majibu dhidi ya hoja zake kwa maslahi ya umma basi unaweza kutoa darsa za kuzijibu ili watu wajue mbivu na mbichi. mwisho kabisa mnaweza mkaratibu mdaharo baina yenu na jopo la mashaikh wa msimamo huu na jopo la mashaikh wa msimamo ule na mufti akiwepo na ikiwezekana mwalikeni na mufti wa suudia aje aamue mtafaruku wetu ili tujenge umoja wetu na si kubomoa. Naomba kuwasilisha na Tawfiq inatoka kwa Allah.
@sabraham5308
5 жыл бұрын
Jazakallahu lheir umezungumza kwa busara na hekima,tatizo elimu ndogo,mdahalo utaleta muongozo,lakini kuna wengine wanatengeneza umaarufu.
@yahayaathumani1588
5 жыл бұрын
Hawa masheikh wanatumia hii mitandao kwa maslahi binafsi, wanasubiri likes na subscribers wachukue mshiko KZread, wangekuwa na busara wangeitana na kumalizana wenyewe halafu wangetujuza nini sisi tufanye
@omarymussa48155 жыл бұрын
Miongoni mwa masheikh wa hovyo tena mwenye chuki na answar ni huyu anaona bora mashia kwasababu jalala shia wa kigogo wamesoma kwa sheikh mmoja bin Ayub rh
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
Ansar ya upotoshaji
@alishariffshariff90835 жыл бұрын
Kweli yako Sheikh Mwenyezi mungu ashasema katika surah arrahmaan (mola mashariki mbili na mola magharibi mbili)
@brotherissesu5 жыл бұрын
Mm hoja yangu kwa shekh eid naona uislamu ni dini pana sana sasa tunatakiwa tumfuate Allah na mtume. Mashekh wanaweza kukosea na mwamedi Ayoub ni binadamu pia anaweza kukosea. Mkishindana kwajambo lolote rudini kwa Allah na Mtume.
@hamidharunsaid1666
5 жыл бұрын
Hehee me naunga mkono maneno yako kaka. Lakini hii dini twasomeshwa na kupata ufahamu wa dini kutoka kwa mashekhe hakuna malaika aliyetumwa kwako au mtume kukufundisha. Mashekhe wanachukua nafasi katika dini kaka
@jumasukari8082
5 жыл бұрын
@@hamidharunsaid1666 Shukrani kwa Mwongozo wako unaolinda heshima ya Masheikh.
@rajabujuma4976
5 жыл бұрын
Upo sawa lkn dini yetu tukufu, mafundisho yake yapo kwa lugha ya kiarabu na watu wengi, tunamatatizo ya kuijua lugha hii ya kiarabu kwa ufasaha wake na upana wake bali tunachukua tu tafsiri za juu juu na ndo maana hua tunakua wabishi na hatunufaiki kabisa na elimu yetu tukufu
@rajabujuma4976
5 жыл бұрын
Na hatuwezi kumfuata Allaah na Mtume bila kupitia kwa Mashaykh walosoma vizuri nafasi yao ni kubwa sana ktk hii dini na tukifuata tu kama tutakavyo, ndo utaona tunavyo pingana kwakuto elewa kama sasa
@shariffhabshy67705 жыл бұрын
Sheikh Abu ldd usijupaue moyo kuna watu ni summun bukmun ummyun na wengi wengine siwasomi wao wamjibu Sh. Swaleh Al Utheimin.
@abuualban12
5 жыл бұрын
Wanachuon wanamuheshimu sheikh swaleh al utheimin lakin, amekosea katika hilo Na zipo qauli sambaba na sheikh Alban na ibn baaz wakielezea juu ya kufunga siku ambayo mahujaji wanasimama siku ya 'arafa.
@abuualban12
5 жыл бұрын
firqatunnajia.com
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Abu idi kwanza ndevu zako umeweka wapi msizame kwenye arafa kua kidevu kama .....alafu sharubu umeacha ni mafunzo ya nani ?
@kingwabaonlinetv79145 жыл бұрын
Sheik mi binafsi nakupenda maana unajua kufafanua na unatumia vitabu lkn wengine hawatuoneshi wanatumia vitabu gani endelea ivo ivo waislamu tunakufahamu vizur sana
@yusuphkwaya7843
5 жыл бұрын
Ali Ali nikweli
@kassimmgwami
4 жыл бұрын
Hao akina Kilemile ni masheikh wa kimagharib /wakizungu.
@abdulhameed-ur9pu5 жыл бұрын
Allah amrahamu sheikh wetu sheikh khamis bin khalfan mudiru WA madrasat ihyai mtoni kwa azizi Ally amewafundisha wanafunzi wake taswaufu ya hali ya juu kabisa hutowasikia wakibishana na yoyote kiukweli ni mfano wa kuigwa sana natamani wanazuoni waleo wangefata silsila kama hii wallah wange izza kubwa
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
abdul hameed daaa
@fahadomar61772 жыл бұрын
Mshaallah kwa majibu mazuri Sheikh Muhammad iddi
@user-hb8vi9fx6g5 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKUHIFADHI WANAKUELEWA SANA BALI KUKUBALI HAWATO KUBALI KWA KUTETEA HADHI
@MohamedAli-ip4iq
5 жыл бұрын
Acha upotofu lete dalili ya kuh arafa ni mwez 9
@user-hb8vi9fx6g
5 жыл бұрын
@@MohamedAli-ip4iq LETA KWANZA DALILI YA KUWA SIKU YA ARAFA NI SIKU WANAYO SIMAMA MAHUJAJI KWA MUJIBU WA HADITHI ZA MTUME
@yusuphkwaya7843
5 жыл бұрын
الزغوي الزغوي namu malimu
@rizikisalum9678
4 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
@@MohamedAli-ip4iqfungua vitabu vyote vya fiqhi utaona vinasema siku ya arafa ni mwezi tisa wa dhulhijja wala hakuna kitabu chochote Cha fiqhi kinacho sema siku ya arafa ni siku ambayo mahujaji wamesimama kwenye viwanja vya arafa
@uwesusinde99765 жыл бұрын
Yaani we Mohammed Iddy utaendelea kuwa mjinga kabisa pamoja na wingi wa vitabu vya madhehebi ya kishaafia kutoa maelezo kuwa wazi lakini bado wazidi kubisha na kupotosha watanzania na kua mkaidi tu.
@hafidhsaleh7878
5 жыл бұрын
Uwesu Sinde kw upande wangu mm cjaona upotoshaj wake hapo! Just kasimamia mcmamo wake kw kujenga hoja na cio vyengnevyo! Ktk masheikh wote nliockilza hoja zao wamekubal kua haya mambo yana khilafu tangu zaman lkn jambo nililoligundua na la kushangaza ni kua upande 1 unajiona bora na upo sahihi kulko upande mwengne!
@uwesusinde9976
5 жыл бұрын
@@hafidhsaleh7878 c kazi yetu kumfanye mtu aongoke ni kazi ya Allah hiyo sisi kazi yetu ni kuwabainishia watu haki.
@aishamalaki1165 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie kila lenye kher na wewe tumekuelewa na wanakuelewa na watakuelewa! Wasione haya kurudi kundini
@abdullatwifujuma3745
3 жыл бұрын
Sawa we Sufi unaongeaje HIV , umemwagiwa. Maji ya moto au , lipotoshaji likubwa hilo
@abduliddy96205 жыл бұрын
sheikh wangu abuidd uko vizur sana nimefurai ukwausaili wavitabu nimependa.sana
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Shekhe ndevu mtoto wa kiume wewe umezinyoa umeweka wapi unalinga apo kidevuni umenyoa ndio pambo gani ilo uwoni haya shekhe wangu ?
@swahilitherapytv38465 жыл бұрын
IMAMU AHMAD ALLAH AMRAHAM HAKULAUMIWA KWENDA KINYUME NA KAULI ZA IMAMU SHAFII ALLAH AMRAHAM IWAJE WEWE UWALAZIMISHE MASHEIKH WALAZIMIANE NA KAULI YA SHEIKH WAO.!! KAMA SIO KUKOSA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! RUDI UKASOME BWANA
@yusufwewe86005 жыл бұрын
👍
@m.othman8665 жыл бұрын
Mi binafsi nimekuelewa sana tena sana na zaidi ya saaaaaaaaaaana.
@theworldandcraziestguys2729
5 жыл бұрын
Nieleweshe na mie Maalim mimi sijaelewa badoo la3laa wewe umemuelewa kuliko wengine
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Mimi nasema Abu idi kabla hujausemea uislaam chochote kaondoe sharubu zako katafute ndevu ulizonyoa una hata haya
@shariffhabshy6770
5 жыл бұрын
@@jumamnyage5395 Nini aliekufundisha sheria ndevu ni fardhi ni sunna ilio kokotezwa. Kwahivyo mashia na mabohora wako sawa.
@theworldandcraziestguys2729
5 жыл бұрын
@@jumamnyage5395Ahahahahaahahahaha Linajifananisha na majusii....من الذي أمرك بهذا يا أبى عيد!!!!!!
@swahilitherapytv38465 жыл бұрын
HUNA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! MBABAISHAJI TU
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Ndevu Abu idi ebu achana na misimamo ya kihizbi jifunze upya dini umepoteza njia shekhe wangu Abuu idi ttz njia ushaikosa
@mroojnr.27565 жыл бұрын
Hana chochote cha kujibu zaidi ya yeye kupotosha umma, ye analinda tu tumbo lake.
@kaifamstafa98712 жыл бұрын
ABUU MUHAMMAD IDD WEWE NI SUFI UMEPINDA! ALLAH AKUONGOZE KTK SUNNAH .... Wewe ndiye mpotoshaji huna hoja kwa Abul fadhil
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
Huo usufi waingiaje hapo kama una dalili Lete wewe ndio mpotoshaji na mungu akuongoze
@mohamadally57325 жыл бұрын
Sheikh nimekuelewa sana na asiekuelewa hatukuelewa mpka roho yake inatoka
@electronicstechnician939
5 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/iauXrJhtpaiuqs4.html
@harunankusa17055 жыл бұрын
Muhammad idi hadithi ulizo tajiwa na qauli za ulamaa bado hajaelewa tu rudia hadhi hizo na uzitafakari uzuri alivyo taja mtume saumu ya arafa hakusema saumu ya tisa angalia mudhwafu na mudwafu ilayhi angalia haqi na uifuate
@barakasinna8443 жыл бұрын
Dunia inaweza kuwa ndan ya siku Moja Ila tutakua katika vipande tofauti vya siku wengine watakua usiku wengine watakua mchana
@abuyunusmohamed69615 жыл бұрын
jitahidini masheikh mkae pamoja muwelewane
@saidimiraji1903
5 жыл бұрын
hassan mahmud mohamed hapo ndugu yangu ninakuunga mkono
@user-ql2om7qj3v5 жыл бұрын
Sheikh gani wewe una sharubu kama wapishi wajikoni.sheihk ajiweke kama makufar wewe hatukutambuwi kasome mwanzo ujuwe dini yako vizuri alafu uje utupe elmu
Ahsant ya Sheikh Saddaqta.Hao si makosa yao illa ni Uchache wa Elimu...Na waki Elimishwa hawataki Hao watu Hatari Sana.
@abdul-rahmanfakijuma18795 жыл бұрын
Allwahumma aamiyn,
@ibrahimracho42034 жыл бұрын
Mwanzo we mwenyewe umekhalifu hadithi ya mtumeﷺ aliposema khaliful yahuda wa nasara.sasa we we umenyoa ndevu ukaacha masharubu itakuaje sasa.nani mpotoshaji
@allisekondo49515 жыл бұрын
Allah akulipe kila la Kheri kwa kazi kubwa,unayo ifanya.
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Abuu idi shekhe uliopoteza manhaji ndevu zako umezizika wapi ?
@user-pz8cb9cj3i
5 жыл бұрын
wallahi mm namkubali huyu sheikhi coz huku saudia hata iDD inaswaliwa sakumi na mbili na kwetu africa hua ni sambili mda haupo sawa kwahio sheikh apo sawa
@yuzaaseif30405 жыл бұрын
Wew umekubaliwa na Shekh tangu hujazaliwa mashaa Allah mung azidi kukupa elimu
@katalayshemndolwa31465 жыл бұрын
Mashaallah
@HamisiAli-uy3sg2 жыл бұрын
Haki ndo hio lakin Njaa na tumbo linadai Enakuwaje umesomweshwa ukiwa Mtoto Hadi umekuwa..mtu mzima..lakin unakubali vipi na kutojiamini Kujidharau na kumfharau Mwalimu wako wa zamani... Kumkubali haya ya kugeuzwa kwa maslahi Basi pia kubali mlioyaabudu mda huyo pia hayakuwa sawa...anzeni kufanya hoja mlipe mlichokikosea siku zile..
@hassanmohd75412 жыл бұрын
Mimi nitasema mashaalah
@mahmoodyahaya60582 жыл бұрын
Shekh jikite kuwalingania watu waingie ktk Dini na waislam waache madhambi kuliko kuleta ushindani ktk Dini. Unazingua sana
@mariamfaki11665 жыл бұрын
Mimi ninachoshangaa wanaposema masaa yanpishina wanataka America kwani nyie tz mmepishana masaa mangapi na saudia?huko American na ulaya yote siku ya arafa ni moja waote wanafata saudia ni nyie huko Africa ndio wenye mashindano kila shekhe yupo juu subhanallah
@abdulhameed-ur9pu5 жыл бұрын
Sheikh Mohammad ayyubu ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa sana tanzania Allah amrahamu ila kwa usulubi wenu huu nyote mmemukhalifu sheikh wenu moja ya Kazi alizo zifanya ni uandishi wa vitabu Mpaka hata sisi tuishio nje ya nchi twa visomesha sana Kwaio fanyeni dawa pili safisheni nyoyo kwa kusoma vitabu kma vya Kina imam ghali ibnu aatwaillah ssakandary imam haddad alhabibu Ally Mohammad alhabshy Al imam abdallah ba saudani alafu mushughulike na utunzi wa vitabu
@abubakarimwanyuki4963
5 жыл бұрын
Huyu jamaa bado akasome
@mohamedmnjeja705 жыл бұрын
Tarehe yetu na makka ni moja shekh
@dullysavage59392 жыл бұрын
Unganisha waislamu tuwepamoja usitutenganishe na tumche mola duniani tunapita .
@abilahihaule12515 жыл бұрын
Hivi nyinyi amuoni munatuharibia funga zetu hadi tunashindwa kufunga kwasababu ya elimu zenu? USHAURI 1.ufanyike utafiti wa kisayansi dhidi ya mwezi na maeneo yote duniani kisha litolewe jibu sahihi. Kwa sababu tukisema tuwasome na kuwafuata mashekhe kila shekh anaupande wake alioutolea fatuha, hii haitoi jibu sahihi zaidi ya maneno ya vitisho. 2.Turudi ktk Quran na hadithi wakati wa kufanya utafiti huo. 3.Tumwogope Allah tuache kuiharibu dini yake. Inshaallah.
@hafidhsaleh7878
5 жыл бұрын
Abilahi Haule saf sana, umetoa hoja nzuri coz wakituambia tukasome bac hili jambo halitokaa saw mpka wao masheikh waunde jopo LA wasomi wa pande zote 2 walitafutie ufumbuzi hili jambo. Lkn maswali ya kujiuliza ni!! 1) Mbna Oman hawafuat Saudia tangu zaman!? Na hujawahi kuwaskia Oman wakilumbana na saudia kuhsu hayo mambo ilihali wao ndio wana elimu kubwa za dini kulko cc Tanzanian 2) Mbona masheikh wa Makka wanaokuja Tanzania wakiulzwa kuhsu haya masuala ya khitilafu hawasemi kua Tanzania lazma mufuate saudia!?? Na badala yake hua wanasema watu wamfate mufti wao ktk eneo husika!
@abilahihaule1251
5 жыл бұрын
@@hafidhsaleh7878 Amani ya Allah na rahama zake ziwe juu yako. Hata hayo maswali yako yanaonesha kuwa utafiti wa kisayansi unaitajika ili kuliondoa hili.
@mzeewa69994 жыл бұрын
Mtume Muhammad s.a.w. anasema nyoweni mustachi na fugeni ndevu mtofautiane na mayahud
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
Hayo mambo ya ndevu na masharubu yaingia wapi hapa hali mjadala ni kuhusu saum ya arafa Wacha fitina zako hizo zako ni chuki kama una hojja jibu
@princeshurem95755 жыл бұрын
Allah ni mmoja dini ni moja mtume mmoja jua ni moja mwezi mmoja mwezi ulionekanwa saudia ndo mwezi huoo huoo tuliouona huku tofaut yake ni ukubwa tu..... Na siku ya kuona je kma hatujaon kwetu kutokana na mawingi inabd tusifunge
@bongatv3157
4 жыл бұрын
Wapo watu wa astronomy Tanzania lazma utaonekana kwa vyombo hatakue na mawingu vp, tatizo ni tarehe za muandamo wa mwez kila eneo ndio tofaut ya arafa inaanza apo.
@al-bsaidykhalef68975 жыл бұрын
Sheikh Muhammad upo sawa hao mashekhe wanatafuta umaarufu hawana Hekma
@machanochum19692 жыл бұрын
Inasikitisha sana kuona leo masheikh wetu wanasimamia misingi ya kutokupingana lakini wanazidi kudidimiza na kuleta taharuki na sitofahamu kwenye dini ya allah
@zaidumohamed81185 жыл бұрын
HAKUNA SABABU WEWE SHEKH MOHAMED KUMUOMBA RADHI KILEMILE NI MPOTOSHAJI TU NA NI MKOSA RADHI WA SHEKH WAKE MOH AYUUB SALAMA YAKE AJIREKEBISHE
@abdichamshama9460
5 жыл бұрын
Kwa hiyo sheikh hakosei!?amekuwa malaika!!?
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Al marhumu sheikh kilemile alikuwa mwanachuoni mkubwa, huwezi mfananisha na huyu mhuni abuu idd
@user-go3bk6wr8u5 жыл бұрын
Shekh kwani hitilafu zimeanza leo? Mbona unajibu kiubishi ubishi na maneno ya ovyo ivyo? Kwani nikuulize kuna nchi tumeachana (tofauti) masaa 24?
@mirajiissa46035 жыл бұрын
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh... Alhamdulillah nimefuatilia hii mada toka kwa masheikh zangu. Kama sote yaani makundi yote mawili wanaofuata Arafa kwa kufuata Saudia na wale ambao wanaona funga kwa kufuata tarehe za muandamo toka nchini mwao. Kama sote tunalikuabali hili na tunakiri kuwa kuna ikhitilafu za wanazuoni kwa nini basi masheikh zetu , wanazuoni wetu tunaowategemea kwa nini ninyi kwanza kwa elim mlizojaaliwa msilikubali hilo kwa vitendo? Kwa nini msiwaige wanazuoni wwliotangulia pindi walipokhitilafiana walishikamana vip ili kutokuuvunja ummah huu? Pia Sheikh Muhammed suala la kumpinga sheikh wako si dhambi mradi tu waamini kuwa hii njia ndo sahihi kwa sababu hata maimam wetu wakubwa , imam Shafii na imam Hambari walikhitilifiana , ila hawakuchafuana na kuona huyu yuko sawa ila hata nawe sheikh wangu unaposema hawa masheikh hawa niwapotoshaji mithali unakiri kuwa ni jambo lenye ikhitilafu bado nawe unakosema kwa sababu nao wanadalili wanazoziamini toka kwa wanazuoni wakubwa. Binafsi ninatamani kama masheikh wetu muwe na kauri zenye umoja kauri ambazo ktk jambo lenye ikhitilafu hazitofanya kujiona mimi ndo niko sawa na flani hayuko sawa kwani nyote ni wasomi , msirushiane maneno. Hakika mnadhima mbele ya mwenyez mungu kuhakikisha hamuugawi ummah allah atuongoze ummat Muhammad ikhitilafu hizi kama wanazuoni kama masheikh zetu msirushiane maneno kwenye vyombo vya habari kaeni shura mjadili kisha rudini kwa waumini mkiwa na jibu moja.
@hamidharunsaid1666
5 жыл бұрын
Yani hii ndio kauli iliyoenda shule kabisa. Upo sawa
Umekosea hojja sasa waingilia masala ya ndevu ukweli unaumma toa dalili zako wa ngonjera
@elikambembela3063 жыл бұрын
Tuludi katika quran na sunna shekh allah atatuongoza
@bxgdhydydh65055 жыл бұрын
Shekhe msengenyaji
@hilalalhabsi2047
4 жыл бұрын
Kusengenya ni kusema akiwa mwenyewe hajui. Hem kasome clazma useme
@machedajanka6695 жыл бұрын
Umeeleweka vizuri sana
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Hakika hii elim ni dini tazameni kutoka kwa nani mnachukua dini yenu ? maneno ya ibn siriin Shekhe wangu Abu idi umepoteza sifa ya kuchukuliwa elim yako wewe ni hizbi , Yan umenyoa ndevu umeacha sharubu Allahu akbar .
@bakarikalama60995 жыл бұрын
Mmeshindwa kuunganisha waislam na kusimamisha hukmullah mnachapana mwenyewe. Masheikh pesa bhana
@manenohassan95375 жыл бұрын
Jazakallaahu Khayr, Sheikh Abuu 'Iddi Mohammed.
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Hivi angekuja mtu apo yupo uchi atoa fatwa mungemsikiliza ? jawabu la sababu mwajua kakhalifu utaratibu . pia nataka mufaham kukaa kwake apo akiwa anenyoa ndevu katuwekea visharubu vyake hafai kusikilizwa kwanza akaondoe sharubu zake
@jumajafari72063 жыл бұрын
elimu hunna acha bidaa zako ww huna hoja za msing nakushaur Taft kitabu Cha fiqh us Sunnah upte SoMo kwanz pia naona huelew kuhusu dini pia ptia vzur fatwa inb uthayeemen uelewe vzur we co shekhe we ni jahiri ebu uache porojo prove your words with correct words as akhar Sunnah waljamaa do asalaf Saleh cjw tukuite jna gan we kwanz ndev unenyoa na tumekatazwa kuwasikilza nyiny watu wa bidaaaaa dah subhanallah
@kassimmohammed49495 жыл бұрын
Wewe Ndio mpotoshaji
@Suleimansalum
4 жыл бұрын
amepotosha nini?
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
@@Suleimansalum kasome!!
@Suleimansalum
4 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 ivi hadi hii leo mnaenda kufukua hizi video kwa lengo gani, ivi nimimi au weee nani ambae anayetakiwa akasome hapa?
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Allahumma baarik yaa sheykh
@duniaileile55225 жыл бұрын
MAASHALLAH MAASHALLAH SHEIKH WAWEKE SAWA !!!!!!!! WATAKUELEWA TU ONE DAY!!! Yaani kwa ubishi wao wanataka ulimwengu mzima wafunge pindi watu wako arafa 😇😇 Wanawaambieje wale amabao kwao inakua ni usiku pindi watu wako arafa???? Ni masuala ambayo wanabaki kutumbua macho 😬😬😬😂😂 Iko siku watarudi tu kwenye haki..
@issaisandeko62172 жыл бұрын
Kwa hiyo kama ulifundishwa na mwalimu mpotoshaji au hakua na elimu flani hata ukiujua ukweli unatakiwa uendelea kubaki na msimamo wa mwalimu wako. Kweli huu ndo upotoshaji sasa
@salumalabry96275 жыл бұрын
Allah akuhifadhi inshaallah. Unaeleweka vizur tu
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Yan ungejua nikikutana na mtu amenyoa ndevu ameweka sharubu naona kama nimekutana na mmajusi na nikumuona mtu ameacha ndevu ameondoa sharubu naona kama nimekutana na swahaba wa mtume .
@jumamagoma1743Ай бұрын
Mufti.sio.mpango.wa .mungu.mpango.wa.ccma
@AbuuHaneef5 жыл бұрын
La kunyoa ndevu na kufuga sharubu mbona lenyewe liko wazi zaidi, inakuwa vipi hujalielewa? Unaweza kutunukulia fatwaa ya Ibn Uthaymin kuhusu kunyoa ndevu pia, au unahitaji fatwaa yake unapotaka kufitinisha?
@alishariffshariff9083
5 жыл бұрын
Abū Hanīf Utheymin is one the moat notorious sheikh our time calling Muslims to the gates of hellfire
@user-ql2om7qj3v
5 жыл бұрын
Yes umemjibu
@zakirkatabwa4501
4 жыл бұрын
Kwanza nyoa sharubu zako
@feisalfaraj442 жыл бұрын
jirekebishe
@khamisrubea50835 жыл бұрын
Shukran sheikh umetutoa wasi wasi
@jumahussein75795 жыл бұрын
Shekh hakki unaijuwa ktka nafs yako bali njaa 2 na kujipendkeza kwa mayahudi
@officialkamdudu
5 жыл бұрын
kina Kishki ndio wa njaa kwa kujipendekeza kwa mfalme Sudi wala hawana lolote ...
@jumahussein7579
5 жыл бұрын
@@officialkamdudu umemuona kishk m2 wa sunnah yule ibadh
@officialkamdudu
5 жыл бұрын
Juma Hussein wamjibu Sheikh kwa hoja sisi wasikilizaji tutachambua ila kama wako kimya wanabakia kwenye hoja ya Arafa ni moja dunia nzima bila kujibu hoja tayar sisi tunakua na maswali juu yao
@rizikisalum9678
4 жыл бұрын
Juma Hussein oa vibaraka wa Saudia. Wanaujuwa ukweli maslahi tu yanawaponza wanapotosha wati
@ismailmansour80135 жыл бұрын
Kwani kuna aibu gani kwa Sheikh kuteleza?!! Mbona Maimam walipingana,ijapokuwa wao kwa wao wamefunzana?!! Hakuna ubaya,ikiwa ww ni Mwanafunzi ambae ni مفيد,kushika njia unayoiona ipo sawa
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Mimi nipo hapo kwenye sharubu zako hizo kama wamajusi ndio nini sasa unaona sifa au ndio inadi ? kama ndio unaamini sunna kufanya hivyo je kuwakhalifu wamajusi uwoni jambo jema tena mtume kalihimiza umekwama wapi shekhe wangu ?
@abdukadiliissa80764 жыл бұрын
Unaacha mustachi Duh huyu kwelii mjinga wa ilmu ya Dini
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Ww ndomjinga
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Ww ndomjinga
@mbagatamohamedmohamed8715 жыл бұрын
Wewe bwanaeujitambui
@saidsuleiman17535 жыл бұрын
Sheikh Idi hujamueleea Sheikh Waleed kwani amewacha wazi msimamo wake na kwa kuthibitisha msimsmo wake amesema tangu amekuwa imam Mwaka 1993 hajawahi kufuata tarehe za Makka
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
hivyo kwann saumu ya alafa imewekwa??
@mooking79134 жыл бұрын
Umoja wa waislam Tz ulikufa baada ya kuanzishwa bakwata sheikh sema ukweli na muogope mungu wako.
@mshuzashshuza45775 жыл бұрын
Uso tu unajua huyu Taahira mashekhe wapo kisiasa zaid ili kuepusha ugomvi tu ila haki wanajua ipo wapi
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Abu idi huna la kusema hujui mtume kasema tuwakhalifu washirikina tupunguze sharubu tuziache ndevu
@muhidinali81805 жыл бұрын
Aaaa kumbe sheikh kannena! sheikhe yoyote atapingwa ikiwa hakusibu
@sheikhsheikh12915 жыл бұрын
Sheikh Muhammed Iddi ni mwalimu 'ulamaa mzuri tuu ila ananishangaza ninapomuona anapuuza sunna ya kufuga ndevu na kuacha sharubu pekee...kuna siku moja nikaribia kugombana na rafiki yangu aliponitania kwa kuniambia "wewe unamkubali sana sheikh wako Muhamed Iddi ila nadhani hujui kuwa is a man of system kwa kivuli cha dini" yani nilikuwa mkali na tulikaribia wiki hatusemeshani kwa kumsema vibaya sheikh wangu huyu.
@hashimnjaid9511
5 жыл бұрын
Umeshasema sunna
@suleimanmwalimu30185 жыл бұрын
hongera shekhe umeongea vizuri sana tunahitaji mashekhe kama wewe mweledi
@ahmadsaid2983 ай бұрын
Nonsence projo tupu hakuna kitu umeongea hapo😢
@khamisijuma31673 жыл бұрын
Waisilamu tuweni mankini kwadini yetu yale yasawa tuyafate ili tufaulu mbele ya Allah tusieke ushabiki katka dini
@bilalabas75674 жыл бұрын
Sheikh uko sahihi maelezo yako yapo wazi wanayaelewa ila hawataki tu kuyakubali hao.allah atawaongoza
@hajimgwami52245 жыл бұрын
Video ya Ward Imam wa Magomeni kichangani kweli ilikatwakatwa, na nia ilikua kupotosha mimi ni Editor na nakubaliana na Ward....
@saidimiraji1903
5 жыл бұрын
Haji Mgwami ndugu yangu hawa jamaa lazma wakate kwakua wanahitaji kiki
@salamakhamis72455 жыл бұрын
iko siku watakuelewa tu
@madinkeymadinkeymcn16813 жыл бұрын
Sheikh uko sawa
@abdulhafidhkilimbi39393 жыл бұрын
Muhammad iddi keshaelewa somo ila anamuogopa kiumbe ambae ni shekhe weke
Пікірлер: 849
Mashaallah Shekhe Muhammad iddy umeongea Vzuri sanaa,Allah akubarik Sana uendelee Kutoa Elim Alla atakulipa... Nlitaka Mashekhe wote wanaokataa utofaut wa Muandamo wangekuja na Hoja Thabit za Kujibu kuhusu Mashekhe hao
@abuuammar4924
3 жыл бұрын
Sikujua kuwa Shekh Muhammad Ayoub alikuwa hakosei
Al allama sheikh Muhamad Idd uko sahihi kabisa na Allh amekujaalia ilmu na istiqama, Usichoke kuwarudisha ktk mstari wasemaji semaji, Allah baarik.
Asante shekh hatamimi nimeliona hilo Leo nilipomskiliza shekh kilemile nanikatoa maoni yangu nikawaabia wakae watupe jibu moja kwamana wanakhitilifiana
@shosiabdalla6880
4 жыл бұрын
Swadakta parasu minazi jazakallahu khairan
Tatizo lao huwa wanakusikiliza kwaajili ya kukujibu, badala ya kusikiliza kwaajili ya kuelewa. Shukran sana Sheikh, Allah akulipe.
Shukrani shekh uko sahihi haswa mwenye kuelewa na kaelewa asielewa basi ache afate tv sababu mwezi ni mmoja ila muandamo unatofautiana kwa masaa na mdio tunafuata muandamo wa mwezi nchi tulipo sio kufata ushabiki wa watu furani Shekh Allah akuhifadhi duniani na Akhera
@saidhoki6502
5 жыл бұрын
Ivi shekhe nikulize ujasiri wakushambulina mitandaoni mmepatawapi ndivo Shekh wenu muham madi ayubu ndivo alivo wafundisha
Alafu hoja nyengine Sheikh Muhammad iddi kuhusu awo wanaopinga mwezi mwandamo mm nawauliza jee, dini haikukamilika adi ilipokuja utandawazi maana hapo Zamani watu walikuwa wakihitalifiana kwasababu kulikuwa hakuna mawasiliano ya kujua kama Maka wamesimama arafa?, 2.) Hoja ya pili wao wakisema kama tufunge mwandamo wa kimataifa Sasa Ramadhani inaingia siku Moja na wakati mmoja jee, swali ikiwa unataka kufungua si unaangalia wakati ikiwa jua limepinduka yaani limezana basi kwa kurudia kuangalia wakati Sasa ikiwa adhuhuri imeingia Tanzania, 🇹🇿, Oman, Kenya, Sasa huyu marekani, ambae yupo nyuma kwa masaa 13, na Canada wapi nyuma kwa masaa 8 na china wapo mbele kwa masaa 7 jee wataswali vp adhuhuri mbna ktk swala tunahitilafiana Sasa wao wanashangaa kuhitilafiana kwenye mwandamo wa mwezi
Hongera Sana Shekhe, Allah akuhifadhi. Tunapitia fitna kubwa katika Uislamu.
It is not easy to keep somebody in the right track who willingly ignore the truth because of personal interest OR illiteracy.....IN FACTS MUHAMMAD IDDI IS LOGICALLY CORRECT FOR ANYONE WHO UNDERSTANDING LOGICAL STATEMENTS............OOOH ! ALLAH GUIDE US......... OOH ! ALLAH BLESS MUHAMMAD IDDI.......... .......JAZAKA ALLAH KHAIRA YA SHEIKH MUHAMMADI IDDI ; WAKO ONLINE STUDENTS HAMIDU MTANDIKA
Allah akubarik. wewe na Shekh wako
Hebu jifikirieni sana mufti waoma kazaliwa Zanzibar na akaja kuwa mfuti waoman hiyo nidalili yaelimuyake kubwa mimi naona allah kampakipaji kikubwa sana chakufahamu mambo allah amuhifadhi amin.
Usisahau kuhitimisha hoja zako kwa kutathimin kuwa wafuasi wako wanazidi au wanapungua
@hafidhsaleh7878
5 жыл бұрын
Athuman Mohammad hoja cio kuzid au kupungua kw watu, hoja ni kufuata haki tu
@bokerarahaa6533
5 жыл бұрын
Mi niliongezeka inshaallah
@jumakapilima5674
5 жыл бұрын
Ukweli ni kuwa wafuasi wake wanapungua!!!!
Mohamed iddy wewe ni mbishi , hauna elimu ya ikhtilafu .adabu ya ikhtilafu , unajifanya wewe jambo hilo unalijua zaidi kuliko maulamaa , kwa sababu hilo ni katika masaili mukhtalafu fihha ., usijifanye wewe ni msomi sana. Wakati ni ikhitlafu ya wanazuoni .
Ahsante Yaa Sheykh. naamini wako wanaobadilisha misimamo yao kupitia daawa zako. usichoke mzee wangu. Alla akuhifadhi
Huyu sheikh yupo kimakundi zaidi na sio kutoa elimu, Allah akuongoze uache usufi
Wallhay mwenyezi mungu akusamehee na a kuingize peponi shekh ni mkweli sana amini
Lamwisho sheikh Mohammad ayyubu na sheikh khamis bin khalfan walikua wachamungu sana Allah awarahamu wazee wetu hawa moja ya tofauti katiyenu na wao nyinyi wengi ni usalama WA taifa Kwaio acheni hyo ni Kazi ya kiyahudi msigeuke kuwa askari wa pelelezi kwani walinganiaji wafundishaji wandishi acheni usalama wa taifa mtaulizwa mbele ya Allah
Masha Allah sheikh Mohd unajitaahid na huo ndio uadilifu unatoa hoja na dalili na umesimama kwa ushahidi wa masheikh na wanazuoni wakubwa
@bakiryusuph9971
5 жыл бұрын
Izondevu zako tuzinaonesha namna unavyo fata Mila zakiyaudi kwaiyo wasio nafikira ndio utaendelea kuwapoteza
@bakiryusuph9971
5 жыл бұрын
Ndgu yetu we apo umewekwa kwaaajili yawatu sio dini
Usiifiche haki ukaidhikhirisha baatil ila jitambue hiii dunia tu usione unapta nofu ukaonaa ohook kuna mauti
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Huna sifa ya kusikilizwa yan ndevu zako umeweka wapi unaboa wewe yan hakuelewi ila mtu bariidu katika watu
Hoja siyo kumpinga au kumjenga MTU au kudhalilishana. Toeni hoja za kielimu zisizoonyesha kasoro za elimu ya Jiografia. Hoja za kbezana na za uchonganishi hazitusaidii sisi waumini wenu. Ilindeni Dino msilinde maslahi yenu au kutafuta umaarufu.Allah tulinde na elimu iliyofunikwa na hawaa za nafsi.
Shekhe Muhammad ayub Allah amlipe khery
Upo vzr sn Allah akupe umri mrefu mashaa Allah
Tunajua kuna baadhi ya mambo yanamapishano ila yasiweke tofauti baina ya sisi waisilam.Alhamdulilah tupo kwenye haki kwajili ya shahada zetu.
Shaikh Muhammad Eid najua utapitia comment zetu. mimi nina maoni yangu kwako kwa maslahi mapana ya dini yetu..... kosa halirekebishwi kwa kosa, wale unaowaona katika mashaikh tunaowahishimu kuwa wamekosea andaeni meza moja ya sulhu haya mambo muyaoongee indoor n sio humu mitandaoni, italeta fitna kubwa. pili nakushauri tena mwalimu wangu, mkubwa hakosei,kama unakiri kuwa shaikh ni kaka yako basi yeye ni mkubwa kwako jishushe msishindane, nachelea zaidi fitna ambayo itaondosha mapenzi baina yenu. Tatu waliokujibu sio hao tu, nimesikia clip z mombasa kutoka kwa salafiy na nyingine ya qasim mafuta markaz pongwe, nae ametoa hoja nzito tu kama ukipata muda zisikilize na kama unaona kuna majibu dhidi ya hoja zake kwa maslahi ya umma basi unaweza kutoa darsa za kuzijibu ili watu wajue mbivu na mbichi. mwisho kabisa mnaweza mkaratibu mdaharo baina yenu na jopo la mashaikh wa msimamo huu na jopo la mashaikh wa msimamo ule na mufti akiwepo na ikiwezekana mwalikeni na mufti wa suudia aje aamue mtafaruku wetu ili tujenge umoja wetu na si kubomoa. Naomba kuwasilisha na Tawfiq inatoka kwa Allah.
@sabraham5308
5 жыл бұрын
Jazakallahu lheir umezungumza kwa busara na hekima,tatizo elimu ndogo,mdahalo utaleta muongozo,lakini kuna wengine wanatengeneza umaarufu.
@yahayaathumani1588
5 жыл бұрын
Hawa masheikh wanatumia hii mitandao kwa maslahi binafsi, wanasubiri likes na subscribers wachukue mshiko KZread, wangekuwa na busara wangeitana na kumalizana wenyewe halafu wangetujuza nini sisi tufanye
Miongoni mwa masheikh wa hovyo tena mwenye chuki na answar ni huyu anaona bora mashia kwasababu jalala shia wa kigogo wamesoma kwa sheikh mmoja bin Ayub rh
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
Ansar ya upotoshaji
Kweli yako Sheikh Mwenyezi mungu ashasema katika surah arrahmaan (mola mashariki mbili na mola magharibi mbili)
Mm hoja yangu kwa shekh eid naona uislamu ni dini pana sana sasa tunatakiwa tumfuate Allah na mtume. Mashekh wanaweza kukosea na mwamedi Ayoub ni binadamu pia anaweza kukosea. Mkishindana kwajambo lolote rudini kwa Allah na Mtume.
@hamidharunsaid1666
5 жыл бұрын
Hehee me naunga mkono maneno yako kaka. Lakini hii dini twasomeshwa na kupata ufahamu wa dini kutoka kwa mashekhe hakuna malaika aliyetumwa kwako au mtume kukufundisha. Mashekhe wanachukua nafasi katika dini kaka
@jumasukari8082
5 жыл бұрын
@@hamidharunsaid1666 Shukrani kwa Mwongozo wako unaolinda heshima ya Masheikh.
@rajabujuma4976
5 жыл бұрын
Upo sawa lkn dini yetu tukufu, mafundisho yake yapo kwa lugha ya kiarabu na watu wengi, tunamatatizo ya kuijua lugha hii ya kiarabu kwa ufasaha wake na upana wake bali tunachukua tu tafsiri za juu juu na ndo maana hua tunakua wabishi na hatunufaiki kabisa na elimu yetu tukufu
@rajabujuma4976
5 жыл бұрын
Na hatuwezi kumfuata Allaah na Mtume bila kupitia kwa Mashaykh walosoma vizuri nafasi yao ni kubwa sana ktk hii dini na tukifuata tu kama tutakavyo, ndo utaona tunavyo pingana kwakuto elewa kama sasa
Sheikh Abu ldd usijupaue moyo kuna watu ni summun bukmun ummyun na wengi wengine siwasomi wao wamjibu Sh. Swaleh Al Utheimin.
@abuualban12
5 жыл бұрын
Wanachuon wanamuheshimu sheikh swaleh al utheimin lakin, amekosea katika hilo Na zipo qauli sambaba na sheikh Alban na ibn baaz wakielezea juu ya kufunga siku ambayo mahujaji wanasimama siku ya 'arafa.
@abuualban12
5 жыл бұрын
firqatunnajia.com
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Abu idi kwanza ndevu zako umeweka wapi msizame kwenye arafa kua kidevu kama .....alafu sharubu umeacha ni mafunzo ya nani ?
Sheik mi binafsi nakupenda maana unajua kufafanua na unatumia vitabu lkn wengine hawatuoneshi wanatumia vitabu gani endelea ivo ivo waislamu tunakufahamu vizur sana
@yusuphkwaya7843
5 жыл бұрын
Ali Ali nikweli
@kassimmgwami
4 жыл бұрын
Hao akina Kilemile ni masheikh wa kimagharib /wakizungu.
Allah amrahamu sheikh wetu sheikh khamis bin khalfan mudiru WA madrasat ihyai mtoni kwa azizi Ally amewafundisha wanafunzi wake taswaufu ya hali ya juu kabisa hutowasikia wakibishana na yoyote kiukweli ni mfano wa kuigwa sana natamani wanazuoni waleo wangefata silsila kama hii wallah wange izza kubwa
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
abdul hameed daaa
Mshaallah kwa majibu mazuri Sheikh Muhammad iddi
MWENYEZI MUNGU AKUHIFADHI WANAKUELEWA SANA BALI KUKUBALI HAWATO KUBALI KWA KUTETEA HADHI
@MohamedAli-ip4iq
5 жыл бұрын
Acha upotofu lete dalili ya kuh arafa ni mwez 9
@user-hb8vi9fx6g
5 жыл бұрын
@@MohamedAli-ip4iq LETA KWANZA DALILI YA KUWA SIKU YA ARAFA NI SIKU WANAYO SIMAMA MAHUJAJI KWA MUJIBU WA HADITHI ZA MTUME
@yusuphkwaya7843
5 жыл бұрын
الزغوي الزغوي namu malimu
@rizikisalum9678
4 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
@@MohamedAli-ip4iqfungua vitabu vyote vya fiqhi utaona vinasema siku ya arafa ni mwezi tisa wa dhulhijja wala hakuna kitabu chochote Cha fiqhi kinacho sema siku ya arafa ni siku ambayo mahujaji wamesimama kwenye viwanja vya arafa
Yaani we Mohammed Iddy utaendelea kuwa mjinga kabisa pamoja na wingi wa vitabu vya madhehebi ya kishaafia kutoa maelezo kuwa wazi lakini bado wazidi kubisha na kupotosha watanzania na kua mkaidi tu.
@hafidhsaleh7878
5 жыл бұрын
Uwesu Sinde kw upande wangu mm cjaona upotoshaj wake hapo! Just kasimamia mcmamo wake kw kujenga hoja na cio vyengnevyo! Ktk masheikh wote nliockilza hoja zao wamekubal kua haya mambo yana khilafu tangu zaman lkn jambo nililoligundua na la kushangaza ni kua upande 1 unajiona bora na upo sahihi kulko upande mwengne!
@uwesusinde9976
5 жыл бұрын
@@hafidhsaleh7878 c kazi yetu kumfanye mtu aongoke ni kazi ya Allah hiyo sisi kazi yetu ni kuwabainishia watu haki.
ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie kila lenye kher na wewe tumekuelewa na wanakuelewa na watakuelewa! Wasione haya kurudi kundini
@abdullatwifujuma3745
3 жыл бұрын
Sawa we Sufi unaongeaje HIV , umemwagiwa. Maji ya moto au , lipotoshaji likubwa hilo
sheikh wangu abuidd uko vizur sana nimefurai ukwausaili wavitabu nimependa.sana
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Shekhe ndevu mtoto wa kiume wewe umezinyoa umeweka wapi unalinga apo kidevuni umenyoa ndio pambo gani ilo uwoni haya shekhe wangu ?
IMAMU AHMAD ALLAH AMRAHAM HAKULAUMIWA KWENDA KINYUME NA KAULI ZA IMAMU SHAFII ALLAH AMRAHAM IWAJE WEWE UWALAZIMISHE MASHEIKH WALAZIMIANE NA KAULI YA SHEIKH WAO.!! KAMA SIO KUKOSA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! RUDI UKASOME BWANA
👍
Mi binafsi nimekuelewa sana tena sana na zaidi ya saaaaaaaaaaana.
@theworldandcraziestguys2729
5 жыл бұрын
Nieleweshe na mie Maalim mimi sijaelewa badoo la3laa wewe umemuelewa kuliko wengine
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Mimi nasema Abu idi kabla hujausemea uislaam chochote kaondoe sharubu zako katafute ndevu ulizonyoa una hata haya
@shariffhabshy6770
5 жыл бұрын
@@jumamnyage5395 Nini aliekufundisha sheria ndevu ni fardhi ni sunna ilio kokotezwa. Kwahivyo mashia na mabohora wako sawa.
@theworldandcraziestguys2729
5 жыл бұрын
@@jumamnyage5395Ahahahahaahahahaha Linajifananisha na majusii....من الذي أمرك بهذا يا أبى عيد!!!!!!
HUNA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! MBABAISHAJI TU
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Ndevu Abu idi ebu achana na misimamo ya kihizbi jifunze upya dini umepoteza njia shekhe wangu Abuu idi ttz njia ushaikosa
Hana chochote cha kujibu zaidi ya yeye kupotosha umma, ye analinda tu tumbo lake.
ABUU MUHAMMAD IDD WEWE NI SUFI UMEPINDA! ALLAH AKUONGOZE KTK SUNNAH .... Wewe ndiye mpotoshaji huna hoja kwa Abul fadhil
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
Huo usufi waingiaje hapo kama una dalili Lete wewe ndio mpotoshaji na mungu akuongoze
Sheikh nimekuelewa sana na asiekuelewa hatukuelewa mpka roho yake inatoka
@electronicstechnician939
5 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/iauXrJhtpaiuqs4.html
Muhammad idi hadithi ulizo tajiwa na qauli za ulamaa bado hajaelewa tu rudia hadhi hizo na uzitafakari uzuri alivyo taja mtume saumu ya arafa hakusema saumu ya tisa angalia mudhwafu na mudwafu ilayhi angalia haqi na uifuate
Dunia inaweza kuwa ndan ya siku Moja Ila tutakua katika vipande tofauti vya siku wengine watakua usiku wengine watakua mchana
jitahidini masheikh mkae pamoja muwelewane
@saidimiraji1903
5 жыл бұрын
hassan mahmud mohamed hapo ndugu yangu ninakuunga mkono
Sheikh gani wewe una sharubu kama wapishi wajikoni.sheihk ajiweke kama makufar wewe hatukutambuwi kasome mwanzo ujuwe dini yako vizuri alafu uje utupe elmu
@sefosaide7014
5 жыл бұрын
Wewe unamtukana shehe kisa ndevu tubia uchungu sio midevu
@ahmedkhamis2567
5 жыл бұрын
Hana maneno
@allyhassan7522
5 жыл бұрын
Hata mi namshangaa kujifananisha na makafiri kufuga masharubu haliyakuwa tumeambiwa kuzipunguza.May Almighty Allah guide him to the right path.
@allyhassan7522
5 жыл бұрын
@@mustafajumah3102 Sasa hayo ni meneno au au povu?
@user-ql2om7qj3v
5 жыл бұрын
@@mustafajumah3102 mazuzu muko wingi sana.hata wewe zuzu mwengine
Ahsant ya Sheikh Saddaqta.Hao si makosa yao illa ni Uchache wa Elimu...Na waki Elimishwa hawataki Hao watu Hatari Sana.
Allwahumma aamiyn,
Mwanzo we mwenyewe umekhalifu hadithi ya mtumeﷺ aliposema khaliful yahuda wa nasara.sasa we we umenyoa ndevu ukaacha masharubu itakuaje sasa.nani mpotoshaji
Allah akulipe kila la Kheri kwa kazi kubwa,unayo ifanya.
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Abuu idi shekhe uliopoteza manhaji ndevu zako umezizika wapi ?
@user-pz8cb9cj3i
5 жыл бұрын
wallahi mm namkubali huyu sheikhi coz huku saudia hata iDD inaswaliwa sakumi na mbili na kwetu africa hua ni sambili mda haupo sawa kwahio sheikh apo sawa
Wew umekubaliwa na Shekh tangu hujazaliwa mashaa Allah mung azidi kukupa elimu
Mashaallah
Haki ndo hio lakin Njaa na tumbo linadai Enakuwaje umesomweshwa ukiwa Mtoto Hadi umekuwa..mtu mzima..lakin unakubali vipi na kutojiamini Kujidharau na kumfharau Mwalimu wako wa zamani... Kumkubali haya ya kugeuzwa kwa maslahi Basi pia kubali mlioyaabudu mda huyo pia hayakuwa sawa...anzeni kufanya hoja mlipe mlichokikosea siku zile..
Mimi nitasema mashaalah
Shekh jikite kuwalingania watu waingie ktk Dini na waislam waache madhambi kuliko kuleta ushindani ktk Dini. Unazingua sana
Mimi ninachoshangaa wanaposema masaa yanpishina wanataka America kwani nyie tz mmepishana masaa mangapi na saudia?huko American na ulaya yote siku ya arafa ni moja waote wanafata saudia ni nyie huko Africa ndio wenye mashindano kila shekhe yupo juu subhanallah
Sheikh Mohammad ayyubu ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa sana tanzania Allah amrahamu ila kwa usulubi wenu huu nyote mmemukhalifu sheikh wenu moja ya Kazi alizo zifanya ni uandishi wa vitabu Mpaka hata sisi tuishio nje ya nchi twa visomesha sana Kwaio fanyeni dawa pili safisheni nyoyo kwa kusoma vitabu kma vya Kina imam ghali ibnu aatwaillah ssakandary imam haddad alhabibu Ally Mohammad alhabshy Al imam abdallah ba saudani alafu mushughulike na utunzi wa vitabu
@abubakarimwanyuki4963
5 жыл бұрын
Huyu jamaa bado akasome
Tarehe yetu na makka ni moja shekh
Unganisha waislamu tuwepamoja usitutenganishe na tumche mola duniani tunapita .
Hivi nyinyi amuoni munatuharibia funga zetu hadi tunashindwa kufunga kwasababu ya elimu zenu? USHAURI 1.ufanyike utafiti wa kisayansi dhidi ya mwezi na maeneo yote duniani kisha litolewe jibu sahihi. Kwa sababu tukisema tuwasome na kuwafuata mashekhe kila shekh anaupande wake alioutolea fatuha, hii haitoi jibu sahihi zaidi ya maneno ya vitisho. 2.Turudi ktk Quran na hadithi wakati wa kufanya utafiti huo. 3.Tumwogope Allah tuache kuiharibu dini yake. Inshaallah.
@hafidhsaleh7878
5 жыл бұрын
Abilahi Haule saf sana, umetoa hoja nzuri coz wakituambia tukasome bac hili jambo halitokaa saw mpka wao masheikh waunde jopo LA wasomi wa pande zote 2 walitafutie ufumbuzi hili jambo. Lkn maswali ya kujiuliza ni!! 1) Mbna Oman hawafuat Saudia tangu zaman!? Na hujawahi kuwaskia Oman wakilumbana na saudia kuhsu hayo mambo ilihali wao ndio wana elimu kubwa za dini kulko cc Tanzanian 2) Mbona masheikh wa Makka wanaokuja Tanzania wakiulzwa kuhsu haya masuala ya khitilafu hawasemi kua Tanzania lazma mufuate saudia!?? Na badala yake hua wanasema watu wamfate mufti wao ktk eneo husika!
@abilahihaule1251
5 жыл бұрын
@@hafidhsaleh7878 Amani ya Allah na rahama zake ziwe juu yako. Hata hayo maswali yako yanaonesha kuwa utafiti wa kisayansi unaitajika ili kuliondoa hili.
Mtume Muhammad s.a.w. anasema nyoweni mustachi na fugeni ndevu mtofautiane na mayahud
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
Hayo mambo ya ndevu na masharubu yaingia wapi hapa hali mjadala ni kuhusu saum ya arafa Wacha fitina zako hizo zako ni chuki kama una hojja jibu
Allah ni mmoja dini ni moja mtume mmoja jua ni moja mwezi mmoja mwezi ulionekanwa saudia ndo mwezi huoo huoo tuliouona huku tofaut yake ni ukubwa tu..... Na siku ya kuona je kma hatujaon kwetu kutokana na mawingi inabd tusifunge
@bongatv3157
4 жыл бұрын
Wapo watu wa astronomy Tanzania lazma utaonekana kwa vyombo hatakue na mawingu vp, tatizo ni tarehe za muandamo wa mwez kila eneo ndio tofaut ya arafa inaanza apo.
Sheikh Muhammad upo sawa hao mashekhe wanatafuta umaarufu hawana Hekma
Inasikitisha sana kuona leo masheikh wetu wanasimamia misingi ya kutokupingana lakini wanazidi kudidimiza na kuleta taharuki na sitofahamu kwenye dini ya allah
HAKUNA SABABU WEWE SHEKH MOHAMED KUMUOMBA RADHI KILEMILE NI MPOTOSHAJI TU NA NI MKOSA RADHI WA SHEKH WAKE MOH AYUUB SALAMA YAKE AJIREKEBISHE
@abdichamshama9460
5 жыл бұрын
Kwa hiyo sheikh hakosei!?amekuwa malaika!!?
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Al marhumu sheikh kilemile alikuwa mwanachuoni mkubwa, huwezi mfananisha na huyu mhuni abuu idd
Shekh kwani hitilafu zimeanza leo? Mbona unajibu kiubishi ubishi na maneno ya ovyo ivyo? Kwani nikuulize kuna nchi tumeachana (tofauti) masaa 24?
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh... Alhamdulillah nimefuatilia hii mada toka kwa masheikh zangu. Kama sote yaani makundi yote mawili wanaofuata Arafa kwa kufuata Saudia na wale ambao wanaona funga kwa kufuata tarehe za muandamo toka nchini mwao. Kama sote tunalikuabali hili na tunakiri kuwa kuna ikhitilafu za wanazuoni kwa nini basi masheikh zetu , wanazuoni wetu tunaowategemea kwa nini ninyi kwanza kwa elim mlizojaaliwa msilikubali hilo kwa vitendo? Kwa nini msiwaige wanazuoni wwliotangulia pindi walipokhitilafiana walishikamana vip ili kutokuuvunja ummah huu? Pia Sheikh Muhammed suala la kumpinga sheikh wako si dhambi mradi tu waamini kuwa hii njia ndo sahihi kwa sababu hata maimam wetu wakubwa , imam Shafii na imam Hambari walikhitilifiana , ila hawakuchafuana na kuona huyu yuko sawa ila hata nawe sheikh wangu unaposema hawa masheikh hawa niwapotoshaji mithali unakiri kuwa ni jambo lenye ikhitilafu bado nawe unakosema kwa sababu nao wanadalili wanazoziamini toka kwa wanazuoni wakubwa. Binafsi ninatamani kama masheikh wetu muwe na kauri zenye umoja kauri ambazo ktk jambo lenye ikhitilafu hazitofanya kujiona mimi ndo niko sawa na flani hayuko sawa kwani nyote ni wasomi , msirushiane maneno. Hakika mnadhima mbele ya mwenyez mungu kuhakikisha hamuugawi ummah allah atuongoze ummat Muhammad ikhitilafu hizi kama wanazuoni kama masheikh zetu msirushiane maneno kwenye vyombo vya habari kaeni shura mjadili kisha rudini kwa waumini mkiwa na jibu moja.
@hamidharunsaid1666
5 жыл бұрын
Yani hii ndio kauli iliyoenda shule kabisa. Upo sawa
Assalam alykum. Sheikh kutoweka ndevu ndo upotovu.weka ndevu kama alivyotuusia mtume
@user-qm2of7vd3k
3 ай бұрын
Umekosea hojja sasa waingilia masala ya ndevu ukweli unaumma toa dalili zako wa ngonjera
Tuludi katika quran na sunna shekh allah atatuongoza
Shekhe msengenyaji
@hilalalhabsi2047
4 жыл бұрын
Kusengenya ni kusema akiwa mwenyewe hajui. Hem kasome clazma useme
Umeeleweka vizuri sana
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Hakika hii elim ni dini tazameni kutoka kwa nani mnachukua dini yenu ? maneno ya ibn siriin Shekhe wangu Abu idi umepoteza sifa ya kuchukuliwa elim yako wewe ni hizbi , Yan umenyoa ndevu umeacha sharubu Allahu akbar .
Mmeshindwa kuunganisha waislam na kusimamisha hukmullah mnachapana mwenyewe. Masheikh pesa bhana
Jazakallaahu Khayr, Sheikh Abuu 'Iddi Mohammed.
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Hivi angekuja mtu apo yupo uchi atoa fatwa mungemsikiliza ? jawabu la sababu mwajua kakhalifu utaratibu . pia nataka mufaham kukaa kwake apo akiwa anenyoa ndevu katuwekea visharubu vyake hafai kusikilizwa kwanza akaondoe sharubu zake
elimu hunna acha bidaa zako ww huna hoja za msing nakushaur Taft kitabu Cha fiqh us Sunnah upte SoMo kwanz pia naona huelew kuhusu dini pia ptia vzur fatwa inb uthayeemen uelewe vzur we co shekhe we ni jahiri ebu uache porojo prove your words with correct words as akhar Sunnah waljamaa do asalaf Saleh cjw tukuite jna gan we kwanz ndev unenyoa na tumekatazwa kuwasikilza nyiny watu wa bidaaaaa dah subhanallah
Wewe Ndio mpotoshaji
@Suleimansalum
4 жыл бұрын
amepotosha nini?
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
@@Suleimansalum kasome!!
@Suleimansalum
4 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 ivi hadi hii leo mnaenda kufukua hizi video kwa lengo gani, ivi nimimi au weee nani ambae anayetakiwa akasome hapa?
Allahumma baarik yaa sheykh
MAASHALLAH MAASHALLAH SHEIKH WAWEKE SAWA !!!!!!!! WATAKUELEWA TU ONE DAY!!! Yaani kwa ubishi wao wanataka ulimwengu mzima wafunge pindi watu wako arafa 😇😇 Wanawaambieje wale amabao kwao inakua ni usiku pindi watu wako arafa???? Ni masuala ambayo wanabaki kutumbua macho 😬😬😬😂😂 Iko siku watarudi tu kwenye haki..
Kwa hiyo kama ulifundishwa na mwalimu mpotoshaji au hakua na elimu flani hata ukiujua ukweli unatakiwa uendelea kubaki na msimamo wa mwalimu wako. Kweli huu ndo upotoshaji sasa
Allah akuhifadhi inshaallah. Unaeleweka vizur tu
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Yan ungejua nikikutana na mtu amenyoa ndevu ameweka sharubu naona kama nimekutana na mmajusi na nikumuona mtu ameacha ndevu ameondoa sharubu naona kama nimekutana na swahaba wa mtume .
Mufti.sio.mpango.wa .mungu.mpango.wa.ccma
La kunyoa ndevu na kufuga sharubu mbona lenyewe liko wazi zaidi, inakuwa vipi hujalielewa? Unaweza kutunukulia fatwaa ya Ibn Uthaymin kuhusu kunyoa ndevu pia, au unahitaji fatwaa yake unapotaka kufitinisha?
@alishariffshariff9083
5 жыл бұрын
Abū Hanīf Utheymin is one the moat notorious sheikh our time calling Muslims to the gates of hellfire
@user-ql2om7qj3v
5 жыл бұрын
Yes umemjibu
@zakirkatabwa4501
4 жыл бұрын
Kwanza nyoa sharubu zako
jirekebishe
Shukran sheikh umetutoa wasi wasi
Shekh hakki unaijuwa ktka nafs yako bali njaa 2 na kujipendkeza kwa mayahudi
@officialkamdudu
5 жыл бұрын
kina Kishki ndio wa njaa kwa kujipendekeza kwa mfalme Sudi wala hawana lolote ...
@jumahussein7579
5 жыл бұрын
@@officialkamdudu umemuona kishk m2 wa sunnah yule ibadh
@officialkamdudu
5 жыл бұрын
Juma Hussein wamjibu Sheikh kwa hoja sisi wasikilizaji tutachambua ila kama wako kimya wanabakia kwenye hoja ya Arafa ni moja dunia nzima bila kujibu hoja tayar sisi tunakua na maswali juu yao
@rizikisalum9678
4 жыл бұрын
Juma Hussein oa vibaraka wa Saudia. Wanaujuwa ukweli maslahi tu yanawaponza wanapotosha wati
Kwani kuna aibu gani kwa Sheikh kuteleza?!! Mbona Maimam walipingana,ijapokuwa wao kwa wao wamefunzana?!! Hakuna ubaya,ikiwa ww ni Mwanafunzi ambae ni مفيد,kushika njia unayoiona ipo sawa
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Mimi nipo hapo kwenye sharubu zako hizo kama wamajusi ndio nini sasa unaona sifa au ndio inadi ? kama ndio unaamini sunna kufanya hivyo je kuwakhalifu wamajusi uwoni jambo jema tena mtume kalihimiza umekwama wapi shekhe wangu ?
Unaacha mustachi Duh huyu kwelii mjinga wa ilmu ya Dini
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Ww ndomjinga
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Ww ndomjinga
Wewe bwanaeujitambui
Sheikh Idi hujamueleea Sheikh Waleed kwani amewacha wazi msimamo wake na kwa kuthibitisha msimsmo wake amesema tangu amekuwa imam Mwaka 1993 hajawahi kufuata tarehe za Makka
hivyo kwann saumu ya alafa imewekwa??
Umoja wa waislam Tz ulikufa baada ya kuanzishwa bakwata sheikh sema ukweli na muogope mungu wako.
Uso tu unajua huyu Taahira mashekhe wapo kisiasa zaid ili kuepusha ugomvi tu ila haki wanajua ipo wapi
@jumamnyage5395
5 жыл бұрын
Abu idi huna la kusema hujui mtume kasema tuwakhalifu washirikina tupunguze sharubu tuziache ndevu
Aaaa kumbe sheikh kannena! sheikhe yoyote atapingwa ikiwa hakusibu
Sheikh Muhammed Iddi ni mwalimu 'ulamaa mzuri tuu ila ananishangaza ninapomuona anapuuza sunna ya kufuga ndevu na kuacha sharubu pekee...kuna siku moja nikaribia kugombana na rafiki yangu aliponitania kwa kuniambia "wewe unamkubali sana sheikh wako Muhamed Iddi ila nadhani hujui kuwa is a man of system kwa kivuli cha dini" yani nilikuwa mkali na tulikaribia wiki hatusemeshani kwa kumsema vibaya sheikh wangu huyu.
@hashimnjaid9511
5 жыл бұрын
Umeshasema sunna
hongera shekhe umeongea vizuri sana tunahitaji mashekhe kama wewe mweledi
Nonsence projo tupu hakuna kitu umeongea hapo😢
Waisilamu tuweni mankini kwadini yetu yale yasawa tuyafate ili tufaulu mbele ya Allah tusieke ushabiki katka dini
Sheikh uko sahihi maelezo yako yapo wazi wanayaelewa ila hawataki tu kuyakubali hao.allah atawaongoza
Video ya Ward Imam wa Magomeni kichangani kweli ilikatwakatwa, na nia ilikua kupotosha mimi ni Editor na nakubaliana na Ward....
@saidimiraji1903
5 жыл бұрын
Haji Mgwami ndugu yangu hawa jamaa lazma wakate kwakua wanahitaji kiki
iko siku watakuelewa tu
Sheikh uko sawa
Muhammad iddi keshaelewa somo ila anamuogopa kiumbe ambae ni shekhe weke