LULU AJIBU HABARI ZA KUMFUMANIA MAJIZZO

Mitandao ya kijamii imewapa wengi uhuru wa kuandika mengi, mengine ni kweli mengine sio kweli, leo Mwigizaji Elizaberth Michael (Lulu) ametumia muda wake kujibu maswali ya wengi kuhusu habari za kumfumania Mume wake ambae ni Majizzo.

Пікірлер: 76

  • @devotaminga9352
    @devotaminga93522 жыл бұрын

    Nakupenda sanaaaa lulu kwa kua unajielewa sanaaa Mungu azidi kuwatunza wewe na mumeo na watoto wenu🙏

  • @elizabethebambo9475
    @elizabethebambo94752 жыл бұрын

    Elizabeth Mama uko vizuri uwe na matashi mema nakupenda jinsi ulivyo Mwenyezi Mungu akusimamie acha nao hao wanafuatilia maisha ya watu pambana kivyako Mama

  • @MaureenPeter-pv4ev
    @MaureenPeter-pv4ev9 ай бұрын

    Very courageous lady,,,I just recall her during the advertisement of the film ,,,'Ripple of Tears '

  • @odethamathayo8468
    @odethamathayo84682 жыл бұрын

    Safu sana lulu kama hayo unayoongea unayaishi utadumu kwenye ndoa yako kila mwanamke anadream awe na mume ambaye hajazaa nje ila hata wanaume naamini wanapenda wawe na watoto wote na mama mmoja ila yote hutokea ktk harakati za maisha na inapotokea huna budi kulikabiri kwa moyo thabiti maana hakuna binadamu aliye kamilika

  • @minmaxc485
    @minmaxc4852 жыл бұрын

    Umekua kiakili sasa good, matured enough watu hubadilika

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @zuu741
    @zuu7412 жыл бұрын

    Napenda Sana unavyoweza kujieleza uko vizur wamfanya mtu akueleww

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory28922 жыл бұрын

    Wooooww hongera sana

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima38472 жыл бұрын

    Very true dear

  • @christineobunde4665
    @christineobunde46652 жыл бұрын

    Elizabeth you so brave!!!!!!!

  • @sacg9783
    @sacg9783 Жыл бұрын

    Hongera zAko mdg wangu na wajina wangu pia

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13082 жыл бұрын

    Kweli ume mature.hongera sana dada yetu.endelea kujifunza vitu vizuri na hatimaye utafika mbali sana.

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @sweetluc2660

    @sweetluc2660

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi Sana Lulu

  • @erickchitumbi1308

    @erickchitumbi1308

    2 жыл бұрын

    @@sweetluc2660 sana

  • @jeniphachristian2131
    @jeniphachristian21312 жыл бұрын

    Mdogo mwenye upeo mkubwa😘

  • @fideaojuku
    @fideaojuku Жыл бұрын

    Safi sana Lulu upo vizur,hakuna mkamilifu kwa kweli

  • @glorygodwin8044
    @glorygodwin80442 жыл бұрын

    Nakupenda

  • @sesiliamwambepo7136
    @sesiliamwambepo71362 жыл бұрын

    Nice i love you

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse99262 жыл бұрын

    Bilashaka umetisha kwamajibu 👌🏿👏🏾👏🏾👏🏾🙌🏾💕💕💕

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @ladymoretaboraprincess6190
    @ladymoretaboraprincess61902 жыл бұрын

    Unaakili Lulu I love you mdgoangu.

  • @sporahsende4187
    @sporahsende41872 жыл бұрын

    Kama hujui kua anamadem wengne jitahd ucjue maana ukijua2 utakua umelipua bomu moyon mwako

  • @nurumaugila3795
    @nurumaugila37952 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @dosianasimon312
    @dosianasimon3122 жыл бұрын

    Kuwa na akiba ya maneno mdogo wangu

  • @joetemba6376
    @joetemba63762 жыл бұрын

    Point

  • @carenalphonce5013
    @carenalphonce50132 жыл бұрын

    Sema huyu dada anaakili sana

  • @dorahwillson1807
    @dorahwillson18072 жыл бұрын

    Mungu azidi kukpatia hekima

  • @mwanah3643
    @mwanah36432 жыл бұрын

    Nikweli kabisa

  • @jeniphermushy627
    @jeniphermushy6272 жыл бұрын

    kwel kabisa lulu

  • @evaemmanuel524
    @evaemmanuel5242 жыл бұрын

    Lulu usichokijua ni kama usku wa ngiza eee mungu nifundishe kunyamaza

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @sintyasswayne9695

    @sintyasswayne9695

    2 жыл бұрын

    Wivu mbay jamen🤣🤣🤣 wat wanatesek huk lulu songa mbele wanyooshe🤣🤣🤣

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb2 жыл бұрын

    *NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🇹🇿🇹🇿🇰🇪🔥*

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @magechuwa804
    @magechuwa8042 жыл бұрын

    Wanaume ndivyowalivyo mama yao mmoja

  • @daslamonline4665
    @daslamonline46652 жыл бұрын

    Safi

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @longinemuhumba3804
    @longinemuhumba38042 жыл бұрын

    Salute ✌✌❤

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic26772 жыл бұрын

    👏👏👏👏🙏

  • @elionorahkiwale7159

    @elionorahkiwale7159

    2 жыл бұрын

    Q

  • @mikaelndimila4013
    @mikaelndimila4013 Жыл бұрын

    Mvalishe basi na mumeo awe ana pendeza kila siku Mashat meusi

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54002 жыл бұрын

    hakuna tajiri asiye chepuka nawambia wote wana mchepuko

  • @mereyamhomesmariamhomes3464

    @mereyamhomesmariamhomes3464

    2 жыл бұрын

    Sio tajir tuu ata maskini wapo wengi wao wanaheshim wakezao

  • @prettyh7509

    @prettyh7509

    2 жыл бұрын

    😅😅😅 kuchepuka hakuna jinsia wala uwezo ni akili ya mtu Zaid kumuomba Mungu hifadh maana wanawake muda woote tuko uchi eti twaenda na wakat unategemea nn hapo

  • @faithjonathan3845

    @faithjonathan3845

    2 жыл бұрын

    Kuchepuka sio utajiri ni tabia. Na wapo matajiri wasiochepuka Sema wewe kwakuwa hujawa tajiri unasema nikiwa tajiri lazima nichepuke. So unalazimisha kila mtu awe kama unavowaza wewe

  • @jescajulius8023

    @jescajulius8023

    2 жыл бұрын

    Exactly hiyo lazima

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    Sio tajir tuu hata maskin pia

  • @joycesichone4121
    @joycesichone41212 жыл бұрын

    Umefanana na Hamisa Mobeto.....hivi nyinyi in mapacha

  • @nyamkamawanjara29

    @nyamkamawanjara29

    2 жыл бұрын

    wali share mboo

  • @abbynyagawa9692
    @abbynyagawa9692 Жыл бұрын

    Lulu ni dhahabu ndo maan anakumban nameng kwasababu ana karam yaoekee

  • @lida457
    @lida4572 жыл бұрын

    Angalia pens lakichaa KZread ni tamthilia mpya bongo

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @annkim2690
    @annkim26902 жыл бұрын

    Umenifunza kitu

  • @safianurdin3060
    @safianurdin30602 жыл бұрын

    Nimekuelewa mdg nitavaa viatu hivyo

  • @fredymwengela6763
    @fredymwengela67632 жыл бұрын

    Msela wako amepata mke una akili sana mdogo wangu

  • @thomastemu9938

    @thomastemu9938

    2 жыл бұрын

    Jela ndio imemfundisha sio yye

  • @kabulamhembe1024
    @kabulamhembe10242 жыл бұрын

    Sisi wanawake hatuna watoto wa Nje sababu tunauwezo wa kutoa mimba,lkn kiuhalisia tungekuwa nao kama utitiri kuliko wanaume hivyo kuolewa na mwanaume mwenye watoto ni sawa

  • @beautycaren7257

    @beautycaren7257

    2 жыл бұрын

    Kweli

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @sweetluc2660

    @sweetluc2660

    2 жыл бұрын

    Haswa wala siyo kosa Mi mladi a niambie tu kabla ya kuanza Mahusiano

  • @kabulamhembe1024

    @kabulamhembe1024

    2 жыл бұрын

    @@sweetluc2660 binafsi nlijua ukweli nkiwa na ujauzito wa miezi miwili nkavumilia tu

  • @ashamohamed5031
    @ashamohamed50312 жыл бұрын

    Kingereza hujui lulu embu hyo mambo ya lugha muachie hamisa

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @esabelfadhili8432

    @esabelfadhili8432

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @faudhiasalum7279

    @faudhiasalum7279

    2 жыл бұрын

    Hamisa ana juwa 😂😂😂💦😂💦

  • @ruuh5149

    @ruuh5149

    2 жыл бұрын

    @@faudhiasalum7279 hy hamis yy mwenyew ht ajui kt kbx yn

  • @edinawilliam2943

    @edinawilliam2943

    2 жыл бұрын

    Jamani wote ni wabongo tuwa spt chuki za bure

  • @patrickclavery4799
    @patrickclavery47992 жыл бұрын

    Fungua ujioneee aiseee kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @joycesichone4121
    @joycesichone41212 жыл бұрын

    Umefanana na Hamisa Mobeto.....hivi nyinyi in mapacha