LULU AFUNGUA DUKA KUBWA LA NGUO ZA KIFAHARI/ANGALIA ALIVYOONYESHA BIDHAA
Ойын-сауық
Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
LULU AFUNGUA DUKA KUBWA LA NGUO ZA KIFAHARI/ANGALIA ALIVYOONYESHA BIDHAA
#Bonatv #Exclusive #ElizabethMichael
Пікірлер: 83
Una hekima sana. Age yako na maneno yako shows that you are a responsible decent young lady. I'm proud of you.
Ila lulu nakapendaga sana💟HONGERA LULU #mdgo akili kubwa@she is very charming 😂
Safi sana lulu umeelezea vzr mama Genesis na mm ninasomo linaitwa genesis disign nitakuja lielezea
Nakupenda Sana lulu Zaid ya Sana,na umejielezea vizur Sana Mungu aitunze ndoa yako mpka uzee
Good girl Lulu.. Together we can do something❤❤❤❤
Mungu akuwezeshe wateja wawe wengi.
Hongera sanaaa, my dear! 👏👍❤you are so Cute.. 😍
Congratulations 👏
Mashaallah
Hongera sana lulu👏
Hongera
hongera my
Uko vizuri sana
Hongera sana kwamaneno uliyo yasema kuhusu mtoto
Hongera mpendwa, Mwanamke kujiamini .........
Hongera Sana mdogo wangu
Mama G tunaomba kazi dukan kwako 🙏
I love u" hupo vema sana kichwani dear so sweet.lulu ufike.mbali.ma
Hongera sana Lulu
Good girl
Hongera sana mama G
Hongeraaa
Tunaomba kazi
Well said.
Lulu naiona hekima yako
Napenda unajiamini sana
lulu unaakili sanaa
Hongera sanaaa Mama G
@k.ayubutv5146
2 жыл бұрын
Gblbblbbb
Hongeraaa mamy!!!
@nahoomosha1190
2 жыл бұрын
Pambana mama , mwanamke kazii
Ni mwendo wa kufosi Mambo, Ni kufungua tu maduka
Hongera sanaaaa liko sehemu gani
@zainabuyohanabishee2886
2 жыл бұрын
Sinza
@marymgimwa9461
2 жыл бұрын
Uko vizuri Sana baby majizo,afu unaongeaaa vizuri
Duka lipo wapi lulu?
Kwa Lulu hakuna njaa mpaka ampost mtoto wake hao wanaopost watoto wao mapema ni kwa sababu ya njaa wanafikiri wakiwapost watoto wao watapata ubalozi lakini wapi
Kama haja zaa vile
Hongera sana
Duka liko wapi
Office iko pande zp lulu
Jamn Lulu nakupenda pka naumwa korona
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Chanjo hujaziona
@mariamselemani5208
2 жыл бұрын
@@hadijamagufuli2661 😅😅😅😅
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
@@mariamselemani5208 😂😂hatare yani
@mariamselemani5208
2 жыл бұрын
@@hadijamagufuli2661 ujue umenichekesha sana😅😅
Duka liko wapi?
duka lipo wapi
Sasa si anamtoto ungine kabla ya uyo.vipi kawa wa kwanza uyo.kama sijaelewa
@cipladapretty8617
2 жыл бұрын
hana mtoto tofaut na huyu wa juzi
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Ndowakwanza uyo mtt wa sasaivi
@beaugosseadam6831
2 жыл бұрын
INAKUHUSU NINI ? WABONGO MTAACHA UJINGA LINI ? ULELEWE, MAISHA YAKE YAKUHUSU NINI ?
@faizafaiza9822
2 жыл бұрын
Asanteni nilikuwa sifahamu
Penda kuongea kiswahili utakuwa 100℅
China razima wape warushe mutima
Kama wewe ni mama na mke uwe unavaa nguo za heshima siyo kuachia mwili wako uchi na hyo mumeo sijui anakubalije mkewe kuvaa nguo zinazomuacha wazi mkewe maumbile yake kama hapo sijui unamwonyesha nani hayo malapa yako
@ashurahaji9115
2 жыл бұрын
Roho mbaya Kama mwanga
@shedy_marie
2 жыл бұрын
Wasaniii hawa
@sukariyao6537
2 жыл бұрын
Una asira za maumbile shoga angu sio kosa lako 😏 ww kaa na shepu yako kma mnazi
@yusuphkassimu227
2 жыл бұрын
@@shedy_marie Kwa hiyo wasanii ndio wake uchi hata kwenye mambo ya njee ya usanii.
@shedy_marie
2 жыл бұрын
@@yusuphkassimu227 mmmh mm cjamaanisha ivo lkn ndo walivyo tunawaona tuu yan
Mm naona hili duka ni la majizo
@haithamhassan4139
2 жыл бұрын
Why are you soo jaleousyyy😂
@ceciliaombela7159
2 жыл бұрын
Kama Ni la majizo linakuumanini .Lulu na majizo Ni mwili mmoja .
@kitwaribetisheba1295
2 жыл бұрын
@@ceciliaombela7159 🤣🤣 dada nimeongea kama nionavyo mm na c kwa ubaya sasa wewe unaropoka unaumia na hoja yangu ukiwa wap mpenzi
@shedy_marie
2 жыл бұрын
@@ceciliaombela7159 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ceciliaombela7159
2 жыл бұрын
@@kitwaribetisheba1295 wew unataka niwe wapi
Diamond platnumz kazimia kwenye show 😢😢😢kzread.info/dash/bejne/pKpmwcmJada6pJs.html
Hongera
@gracepius9762
2 жыл бұрын
Hongera Sana mwanetu Hakika Mungu nimwaminifu sanaaa