MWIGIZAJI CAREEN AMZAWADIA MWANAE GARI YA MILIONI 35 BAADA YA KUWA WA KWANZA SHULENI

Пікірлер: 34

  • @bongodata
    @bongodata14 күн бұрын

    Jamani Njooni Tuangalie Bongo Data...kwa taarifa zote za bongo na nje ya bongo

  • @swahiliuniverse

    @swahiliuniverse

    14 күн бұрын

    jamaa unafanya kazi nzuri

  • @universe5g-q6x

    @universe5g-q6x

    14 күн бұрын

    safiii nimesha subsribe

  • @Maddison-fp3nu

    @Maddison-fp3nu

    14 күн бұрын

    data ziko poa

  • @hectorfunny

    @hectorfunny

    14 күн бұрын

    bigup

  • @kinghuojlund-un2nb

    @kinghuojlund-un2nb

    14 күн бұрын

    safi sana video nzuri na data ziko poa

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS14 күн бұрын

    Anajua kuliendesha?? 😂😂😂😂bora MTUNZIE SCHOOL FEES ILI ASOME HADI CHUO....

  • @johasaeed391
    @johasaeed39114 күн бұрын

    😂😂😂yaani watanzania nimewavulia kofia aunt zekiel alianzisha sasa wanafuaata nimewavulia kofia

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743814 күн бұрын

    Toeni maigizo yenu ya mitandaoni ujinga mtupu

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t14 күн бұрын

    Hongera

  • @donathamwangobe2776
    @donathamwangobe277614 күн бұрын

    Muongo huyu mnaiga wasanii mnazik sana wengi wao

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu112814 күн бұрын

    Uongo ni drama hana lolote

  • @JullyShio
    @JullyShio14 күн бұрын

    Haya mambo ya magari tumeyazoea

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi14 күн бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn14 күн бұрын

    Uyu nae anatafuta umaarufu kwa Nguvu 😏

  • @itanzaniaAS

    @itanzaniaAS

    14 күн бұрын

    😂😂😂😂haswa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv44739 күн бұрын

    Yasni bongo movie wanaigana .wanalaliana mabwana eanafungua bishara kwa kuigana bongo mobie ni bonho nyodo

  • @AngelinaPaulo-bf1vw
    @AngelinaPaulo-bf1vw14 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @dulieone9374
    @dulieone937414 күн бұрын

    Kazi kwelii mwenyewee anauza mishakki ya jerojero ndo amnunulie mwanae gari la 35M😅😅

  • @johasaeed391

    @johasaeed391

    14 күн бұрын

    Umewasahau washamba wa Tanzania

  • @Leysonvisuals
    @Leysonvisuals11 күн бұрын

    Wasanii wanazingua hapoo tu, showoff ambayo inawaletea effects watoto wao,nimesoma na watoto magenius balaa na kwao wana pesa kinoma lakini zawadi ya juu wao kupewa ni kupelekwa nje akaatafute maisha hapo baba/mama ni mtu mzito sasa huyu😅😅😅 dah ila bongo bana😂😂😂😊

  • @Elizakilisipinilikolika1996

    @Elizakilisipinilikolika1996

    10 күн бұрын

    Niwashamba awa wasanii nawakija kuumwa wana aza kuomba msaada

  • @renatusjeremiah
    @renatusjeremiah14 күн бұрын

    Hilo gari au chombo Cha usafiri

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda314614 күн бұрын

    Asa veryfire ml.35

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk14 күн бұрын

    Hilo gari lake jipya asitupange thamani yake ni 26M kama la mwijaku

  • @user-ly9us4db3m
    @user-ly9us4db3m14 күн бұрын

    Wanatabia za kuiga kwamba huyu kafanya hivi bas na mm razima nifanye hivo sikubali kushindwa ndio hivo ushamba mwingi

  • @SarahshemaAndrew
    @SarahshemaAndrew14 күн бұрын

    Sifanyi huo u...😏😏

  • @user-fi4md4np3h

    @user-fi4md4np3h

    14 күн бұрын

    😅

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m13 күн бұрын

    Ushamba tu unawasumbua

  • @lucykebacho3446
    @lucykebacho344614 күн бұрын

    Jenga na nyumba

Келесі