Daah hii ya msafara ulivyo pambana machozi yame nilenga lenga Mungu akufanyie wepesi kijana Ubarikiwe sanaaaa 😍
@Masterkhantz13 күн бұрын
Leo mimi wa kwanza msisahau kunipa likes mukishindwa na warogaa😂😂😂😂😂😂😂
@mvullamanase13 күн бұрын
NDIVYO INAVYO KUA, LEO Matunda anakula BILNASS
@salumabdallah299013 күн бұрын
yaaani wasafi mada zao sio za msingi sijui huyu kamfanya ivi sijui huyu ana lile ukhanis ukhaniss 😂
@ReginaErnest-cf6ji13 күн бұрын
Jmn watu wakumbuke waliko toka da mshikaj moyo Safi yani
@sir_ENOCKMACHA13 күн бұрын
Safi sana mwana....umempambania mno
@ukhutfatumah115412 күн бұрын
Daaaaaaa Allah azid kukupa moyo uwo uwo kijana wangu
@SalamaBwanamoya-zv8tb13 күн бұрын
Leo mimi wa pili jamani like zangu ya zawadi 😅
@WahidaHilaly12 күн бұрын
Mungu atakulipa Zaidi 🙏🙏una moyo mnoo
@WahidaHilaly12 күн бұрын
❤❤
@aairraahseif564811 күн бұрын
Muandaa shamba na mpandani mungine'na mvunaji mungine!tujifunze kurudisha fadhila na kumuheshimisha mtu alie kushika mkono na kukusafishia njia,binadamu tunasahau haraka watu walio nyuma ya mafanikio yetu!ubinadamu kazi!kaka amechoka uvumilivu baada ya kufunikwa hali akiwa hai!mbaya zaidi kutupwa kapuni!kila akiomba nafasi Nandy anamtolea nje,aibu kwa Nandy, mtu huyu si wa kumsahau kwenye mafanikio yako
Пікірлер: 13
Daah hii ya msafara ulivyo pambana machozi yame nilenga lenga Mungu akufanyie wepesi kijana Ubarikiwe sanaaaa 😍
Leo mimi wa kwanza msisahau kunipa likes mukishindwa na warogaa😂😂😂😂😂😂😂
NDIVYO INAVYO KUA, LEO Matunda anakula BILNASS
yaaani wasafi mada zao sio za msingi sijui huyu kamfanya ivi sijui huyu ana lile ukhanis ukhaniss 😂
Jmn watu wakumbuke waliko toka da mshikaj moyo Safi yani
Safi sana mwana....umempambania mno
Daaaaaaa Allah azid kukupa moyo uwo uwo kijana wangu
Leo mimi wa pili jamani like zangu ya zawadi 😅
Mungu atakulipa Zaidi 🙏🙏una moyo mnoo
❤❤
Muandaa shamba na mpandani mungine'na mvunaji mungine!tujifunze kurudisha fadhila na kumuheshimisha mtu alie kushika mkono na kukusafishia njia,binadamu tunasahau haraka watu walio nyuma ya mafanikio yetu!ubinadamu kazi!kaka amechoka uvumilivu baada ya kufunikwa hali akiwa hai!mbaya zaidi kutupwa kapuni!kila akiomba nafasi Nandy anamtolea nje,aibu kwa Nandy, mtu huyu si wa kumsahau kwenye mafanikio yako
STOP she s owner man 👨 stop 🛑 ❌❌❌❌
@fahadfaraj6474
12 күн бұрын
Mind ur English