MAUAJI YA KUTISHA TEMEKE: DC MAPUNDA AFUNGUKA WATOTO WANAVYOBAKWA NA KUUAWA WAMEFIKA WATATU ANAWAJUA
Жүктеу.....
Пікірлер: 67
@noot-oe2mw15 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni poleni sana family
@leokamil628415 күн бұрын
Hao viongozi wanaovamia madanguro hii sasa ndio kazi ya kulifuatilia kwa kina na kutoa majibu ya kueleweka. Kama mnaweza kuzunguka magesti usiku na Polisi tusaidieni haya mambo .Haya ndio sasa uharibifu wa mazingira.
@user-fs7xc2bb5d
15 күн бұрын
Sio kweli watoto walikuwa wanabakwa kabla haujatokea msako wa madada powa msitafute sababu kwahiyo wewe unataka wanawake waendelee kujiuza
@leokamil6284
15 күн бұрын
@@user-fs7xc2bb5d Sijasema sababu ya madada poa usininukuu vibaya.Nimesema haya ya watoto ndio haswa ya kuyatilia mkazo kufuatilia kwa kina na iwekwe adhabu kali na ifutwe dhamana kwa mbakaji na hao viongozi wawadhibiti Polisi kuacha kuharibu kesi ya mbakaji. Hii ndio haswa neno langu
@pendosailo1989
15 күн бұрын
Acha ujinga
@Highviwmotionpictures0915 күн бұрын
Hatari KUBWA sana tuweni makini
@Chakol123-k7s15 күн бұрын
Wakibaka na kuua wanapata faida gani 😢😢 nao wakikutwa wauwawe
@momosaid6193
15 күн бұрын
Hata sijui wanapata faida gan daah roho za kuua sijui wanatoa wap jamn
@Chakol123-k7s
12 күн бұрын
@@momosaid6193 imani za kishirikina labda
@ReginaMussa15 күн бұрын
Jamani tunelekea wapi Dunia ya sasa 😭😭😭😭😭tuwalinde vipi watoto wetu 😭😭😭 hatuna aman hata wakiwepo shuleni, eee, Mungu tuokoe kwa haya majanga
@staminacastory532211 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atusadie sisi wenyewe hatuwezi
@colletatesha526515 күн бұрын
Uchaguzi unakaribia mijitu inatoa kafara tyu
@user-xc5tv9dl5k15 күн бұрын
Shida nikwamba nyie mumewakamata madada poa wakati hao ndo walikuwa wanamaliza ugumu.haya sasa
@jumakapilima7295
15 күн бұрын
Acha kutetea ujinga wewe
@naomijoshua6923
15 күн бұрын
Kwahiyo ugum ndo wachukue viungo vya mwili au
@mtatapharaoh5174
15 күн бұрын
mmbakaji wewe
@maryamtanzania974315 күн бұрын
Mimi ninavyoona ni haya mambo ya ushurikina tu mkibahatika kukamata mmoja akisema ni mashariti kutoka kwa mganga tafadhalini mhakikishe anawapeleka kwa huyo mganga wauawe wote hadharani huenda watu wakaigopa
@angonzamujunangoma877515 күн бұрын
Poleni sana wafiwa.Pumzika kwa amani maraika wa Mungu.Serikali ipo macho
@leokamil628415 күн бұрын
R.I.P poleni sana wafiwa
@dayanamsuya651615 күн бұрын
Lugumi alipewa ela afunge CCTV camera yeye akala hela yote na serikali iko comfortable lakini at least ingesaidia kupata mwanzo hakuna asiyejulikana bhana kila siku hao hao
@hawakiza6067
13 күн бұрын
Lugumi gani
@blessingntuli379615 күн бұрын
Inamaana polisi watashindwa kufanya uchunguzi ??? Kuanzia walipotika watoto wawili hadi zakiemu alipo bakia mmoja haku Mjengo wowote wenye cctv camera Kweli 🤔🤔! Mkifanya hivyo atajulikana tuu
@ZulekhaBaksh-ii4fk15 күн бұрын
Kuna kipindi difenda zilikuwa zinatembea uhalifu umezidi
@Kabwela77615 күн бұрын
Hii nchi mnaongea sana kwa Nini msiweke camera mitaani ?
@jumakapilima7295
15 күн бұрын
Nani anajali ? Wakati fedha zote zaenda kwenye matumbo yao
@Kabwela776
14 күн бұрын
@@jumakapilima7295 nchi ya laana nchi ya Mavi kunuka!
@zeyadazeyada80507 күн бұрын
Kwa kweli ni mitihani mzito yarabi atulindie watoto wetu
@ZulekhaBaksh-ii4fk15 күн бұрын
Huku kwetu yombo machimbo pia kuna balaa la kupigwa mapanga
@user-cq1iu7yg4t15 күн бұрын
Hongereni sanaaa
@user-vq6dc4nr5p7 күн бұрын
Hivi mbona uchaguzi ukianza haya matukio yanazidi?
@faudhiasalum727915 күн бұрын
😢😢
@Chakol123-k7s15 күн бұрын
Hili swala samia???
@chikujuma1815 күн бұрын
Inalilaahi wainalilah rajighun polen wazazi pamoja na jamaa zenu
@FatmaLyego15 күн бұрын
😢😢😢😢
@meshackthomas134115 күн бұрын
Tatizo nimalezi. Kwa wazazi. Au family. Hayapo sawa matokeo yake uvutaji Bangi na pombe chafu. Umezidi sana. Kisha kuwa na makundi ya vijana wasema hovyo nawenye tatizo la Afya ya Akiri kipo. Kitu chakufanya endapo tutasimamia wajbu. wetu viongozi sasa
@kesterkanyala771815 күн бұрын
Mauaji yanakithiri SANA...UTEKAJI,UBAKAJI...Kila kukicha akina mama wanalia.
@DanieliMzirai15 күн бұрын
Sixtus mapunda ulikuw mbunge wa kwetu mbinga mjini 2015
@ummiissaabdulissaabdul811715 күн бұрын
Alafu nsikie ati tz tuna amani amani ipi hapa nchi hii kila leo mauaji ya kutisha mara albino kutolewa viungo sasa wengine hoo tanzania tuko na amani nchi zote nikuombs mungu tu
@epema63215 күн бұрын
So sad😢
@user-ur8cq1ye3b15 күн бұрын
Nyie wauwaji kwan huko majumban kwenu hakuna watoto adi muue watoto wawenzenu
@jurdanforwardersltd146015 күн бұрын
hapa atuwasiki hata kidogo wanahojita haki za minadamu,sasa sijui wanatetea mambo gani?maana yangekua matukio mengine tungehona press aharaka sana.
@namelockmaasailady800215 күн бұрын
😢😢😢
@mwanakhamisimwinyimatano118515 күн бұрын
Inna lilah waina ilah rajiuun
@emanuelmaraki975815 күн бұрын
Duu tatizo lanchii hii mtuakibaka anyonywe serekali aitaki kufanya hivoo wanyonywee sio kumfunga jela akale ugali waburee watu wamekuwa suguuu watoto wetu wataisha jamani Sheria iwe kali
@tedyalifons92415 күн бұрын
Acheni maneno
@SKY-fk3fz15 күн бұрын
😭😭😭😭😭wauliwe
@user-il5pk2dr5n15 күн бұрын
Inaumiza zaid ya sana..
@ZulfaJevejeve4 күн бұрын
😭😭😭😭
@shabanipanya103315 күн бұрын
Eti sio mambo ya serikali na mambo yenu nyie wazazi mshirikiane ,,,sijui kama mmesikia hii kauli au
@user-yv1dw6cu9k15 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢daaa aisee
@angelanaftael796515 күн бұрын
Kuna shida kwenye malezi ya watoto... wengi wanajilea wenyewe... familia zimesambaratika sana... Mungu tusaidie sana
@ziggertv3185
15 күн бұрын
Kabisa huu usingle mother na usingle father
@user-ur8cq1ye3b
15 күн бұрын
Wala sio kulea muombe tuu mungu yasikukute
@ramadhanhassan930815 күн бұрын
Familia Linda watoto wako hao Ni rasilimali
@aboudasilver654115 күн бұрын
Sasa panaitajika C CT V camera inatisha kabisa hii Hali
@hamishassan678415 күн бұрын
Mh Serikali haiwezi kushindwa najua hilo na sina shaka na serikali yangu lakini wazazi wazazi wazazi watoto hawa ni wetu sote sio eti kwa kuwa sio wako yaani si vibaya kumhoji mtu anayeongozana na binti ambaye wewe unaona kuna mashaka jamani mabinti zetu ni wadogo hawawezi pembua mambo, lakini pia kwa serikali yetu kwa maaendeleo haya ya sayansi na teknolojia hebu tutumie hizi changamoto kuwa wabunifu wa namna ya kutambua matukio ya kiarifu kama haya tuache kuhisi hisi au kushuku CCTV Canera zinashida gani kuwekwa kwenye maeneo yote hatarishi?
@temuramadhani513415 күн бұрын
Temeke Kuna Nini?
@SalumMsafiri2015 күн бұрын
Wazazi pamoja na walezi tuongeze umakini kwa vijana wetu. Matamanio ya utajiri yanapelekea binadam tunakuwa zaidi ya wanyama.
@timothbenard821315 күн бұрын
Bac nchi haina ulinz
@fahadfaraj6474
15 күн бұрын
Ujue kuna ile hali serikali inatakiwa iwe kali mpaka mtu aogope kufanya uhalifu sa Hivi kuna kucheka cheka sana matukio yapo mengi na inakua kama kawaida tu
Пікірлер: 67
Inalilah wainalilah rajuuni poleni sana family
Hao viongozi wanaovamia madanguro hii sasa ndio kazi ya kulifuatilia kwa kina na kutoa majibu ya kueleweka. Kama mnaweza kuzunguka magesti usiku na Polisi tusaidieni haya mambo .Haya ndio sasa uharibifu wa mazingira.
@user-fs7xc2bb5d
15 күн бұрын
Sio kweli watoto walikuwa wanabakwa kabla haujatokea msako wa madada powa msitafute sababu kwahiyo wewe unataka wanawake waendelee kujiuza
@leokamil6284
15 күн бұрын
@@user-fs7xc2bb5d Sijasema sababu ya madada poa usininukuu vibaya.Nimesema haya ya watoto ndio haswa ya kuyatilia mkazo kufuatilia kwa kina na iwekwe adhabu kali na ifutwe dhamana kwa mbakaji na hao viongozi wawadhibiti Polisi kuacha kuharibu kesi ya mbakaji. Hii ndio haswa neno langu
@pendosailo1989
15 күн бұрын
Acha ujinga
Hatari KUBWA sana tuweni makini
Wakibaka na kuua wanapata faida gani 😢😢 nao wakikutwa wauwawe
@momosaid6193
15 күн бұрын
Hata sijui wanapata faida gan daah roho za kuua sijui wanatoa wap jamn
@Chakol123-k7s
12 күн бұрын
@@momosaid6193 imani za kishirikina labda
Jamani tunelekea wapi Dunia ya sasa 😭😭😭😭😭tuwalinde vipi watoto wetu 😭😭😭 hatuna aman hata wakiwepo shuleni, eee, Mungu tuokoe kwa haya majanga
Mwenyezi Mungu atusadie sisi wenyewe hatuwezi
Uchaguzi unakaribia mijitu inatoa kafara tyu
Shida nikwamba nyie mumewakamata madada poa wakati hao ndo walikuwa wanamaliza ugumu.haya sasa
@jumakapilima7295
15 күн бұрын
Acha kutetea ujinga wewe
@naomijoshua6923
15 күн бұрын
Kwahiyo ugum ndo wachukue viungo vya mwili au
@mtatapharaoh5174
15 күн бұрын
mmbakaji wewe
Mimi ninavyoona ni haya mambo ya ushurikina tu mkibahatika kukamata mmoja akisema ni mashariti kutoka kwa mganga tafadhalini mhakikishe anawapeleka kwa huyo mganga wauawe wote hadharani huenda watu wakaigopa
Poleni sana wafiwa.Pumzika kwa amani maraika wa Mungu.Serikali ipo macho
R.I.P poleni sana wafiwa
Lugumi alipewa ela afunge CCTV camera yeye akala hela yote na serikali iko comfortable lakini at least ingesaidia kupata mwanzo hakuna asiyejulikana bhana kila siku hao hao
@hawakiza6067
13 күн бұрын
Lugumi gani
Inamaana polisi watashindwa kufanya uchunguzi ??? Kuanzia walipotika watoto wawili hadi zakiemu alipo bakia mmoja haku Mjengo wowote wenye cctv camera Kweli 🤔🤔! Mkifanya hivyo atajulikana tuu
Kuna kipindi difenda zilikuwa zinatembea uhalifu umezidi
Hii nchi mnaongea sana kwa Nini msiweke camera mitaani ?
@jumakapilima7295
15 күн бұрын
Nani anajali ? Wakati fedha zote zaenda kwenye matumbo yao
@Kabwela776
14 күн бұрын
@@jumakapilima7295 nchi ya laana nchi ya Mavi kunuka!
Kwa kweli ni mitihani mzito yarabi atulindie watoto wetu
Huku kwetu yombo machimbo pia kuna balaa la kupigwa mapanga
Hongereni sanaaa
Hivi mbona uchaguzi ukianza haya matukio yanazidi?
😢😢
Hili swala samia???
Inalilaahi wainalilah rajighun polen wazazi pamoja na jamaa zenu
😢😢😢😢
Tatizo nimalezi. Kwa wazazi. Au family. Hayapo sawa matokeo yake uvutaji Bangi na pombe chafu. Umezidi sana. Kisha kuwa na makundi ya vijana wasema hovyo nawenye tatizo la Afya ya Akiri kipo. Kitu chakufanya endapo tutasimamia wajbu. wetu viongozi sasa
Mauaji yanakithiri SANA...UTEKAJI,UBAKAJI...Kila kukicha akina mama wanalia.
Sixtus mapunda ulikuw mbunge wa kwetu mbinga mjini 2015
Alafu nsikie ati tz tuna amani amani ipi hapa nchi hii kila leo mauaji ya kutisha mara albino kutolewa viungo sasa wengine hoo tanzania tuko na amani nchi zote nikuombs mungu tu
So sad😢
Nyie wauwaji kwan huko majumban kwenu hakuna watoto adi muue watoto wawenzenu
hapa atuwasiki hata kidogo wanahojita haki za minadamu,sasa sijui wanatetea mambo gani?maana yangekua matukio mengine tungehona press aharaka sana.
😢😢😢
Inna lilah waina ilah rajiuun
Duu tatizo lanchii hii mtuakibaka anyonywe serekali aitaki kufanya hivoo wanyonywee sio kumfunga jela akale ugali waburee watu wamekuwa suguuu watoto wetu wataisha jamani Sheria iwe kali
Acheni maneno
😭😭😭😭😭wauliwe
Inaumiza zaid ya sana..
😭😭😭😭
Eti sio mambo ya serikali na mambo yenu nyie wazazi mshirikiane ,,,sijui kama mmesikia hii kauli au
😢😢😢😢😢😢daaa aisee
Kuna shida kwenye malezi ya watoto... wengi wanajilea wenyewe... familia zimesambaratika sana... Mungu tusaidie sana
@ziggertv3185
15 күн бұрын
Kabisa huu usingle mother na usingle father
@user-ur8cq1ye3b
15 күн бұрын
Wala sio kulea muombe tuu mungu yasikukute
Familia Linda watoto wako hao Ni rasilimali
Sasa panaitajika C CT V camera inatisha kabisa hii Hali
Mh Serikali haiwezi kushindwa najua hilo na sina shaka na serikali yangu lakini wazazi wazazi wazazi watoto hawa ni wetu sote sio eti kwa kuwa sio wako yaani si vibaya kumhoji mtu anayeongozana na binti ambaye wewe unaona kuna mashaka jamani mabinti zetu ni wadogo hawawezi pembua mambo, lakini pia kwa serikali yetu kwa maaendeleo haya ya sayansi na teknolojia hebu tutumie hizi changamoto kuwa wabunifu wa namna ya kutambua matukio ya kiarifu kama haya tuache kuhisi hisi au kushuku CCTV Canera zinashida gani kuwekwa kwenye maeneo yote hatarishi?
Temeke Kuna Nini?
Wazazi pamoja na walezi tuongeze umakini kwa vijana wetu. Matamanio ya utajiri yanapelekea binadam tunakuwa zaidi ya wanyama.
Bac nchi haina ulinz
@fahadfaraj6474
15 күн бұрын
Ujue kuna ile hali serikali inatakiwa iwe kali mpaka mtu aogope kufanya uhalifu sa Hivi kuna kucheka cheka sana matukio yapo mengi na inakua kama kawaida tu
😢😢
😢😢😢😢