MAUAJI YA KUTISHA TEMEKE: DC MAPUNDA AFUNGUKA WATOTO WANAVYOBAKWA NA KUUAWA WAMEFIKA WATATU ANAWAJUA

Пікірлер: 67

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw15 күн бұрын

    Inalilah wainalilah rajuuni poleni sana family

  • @leokamil6284
    @leokamil628415 күн бұрын

    Hao viongozi wanaovamia madanguro hii sasa ndio kazi ya kulifuatilia kwa kina na kutoa majibu ya kueleweka. Kama mnaweza kuzunguka magesti usiku na Polisi tusaidieni haya mambo .Haya ndio sasa uharibifu wa mazingira.

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    15 күн бұрын

    Sio kweli watoto walikuwa wanabakwa kabla haujatokea msako wa madada powa msitafute sababu kwahiyo wewe unataka wanawake waendelee kujiuza

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    15 күн бұрын

    @@user-fs7xc2bb5d Sijasema sababu ya madada poa usininukuu vibaya.Nimesema haya ya watoto ndio haswa ya kuyatilia mkazo kufuatilia kwa kina na iwekwe adhabu kali na ifutwe dhamana kwa mbakaji na hao viongozi wawadhibiti Polisi kuacha kuharibu kesi ya mbakaji. Hii ndio haswa neno langu

  • @pendosailo1989

    @pendosailo1989

    15 күн бұрын

    Acha ujinga

  • @Highviwmotionpictures09
    @Highviwmotionpictures0915 күн бұрын

    Hatari KUBWA sana tuweni makini

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s15 күн бұрын

    Wakibaka na kuua wanapata faida gani 😢😢 nao wakikutwa wauwawe

  • @momosaid6193

    @momosaid6193

    15 күн бұрын

    Hata sijui wanapata faida gan daah roho za kuua sijui wanatoa wap jamn

  • @Chakol123-k7s

    @Chakol123-k7s

    12 күн бұрын

    @@momosaid6193 imani za kishirikina labda

  • @ReginaMussa
    @ReginaMussa15 күн бұрын

    Jamani tunelekea wapi Dunia ya sasa 😭😭😭😭😭tuwalinde vipi watoto wetu 😭😭😭 hatuna aman hata wakiwepo shuleni, eee, Mungu tuokoe kwa haya majanga

  • @staminacastory5322
    @staminacastory532211 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu atusadie sisi wenyewe hatuwezi

  • @colletatesha5265
    @colletatesha526515 күн бұрын

    Uchaguzi unakaribia mijitu inatoa kafara tyu

  • @user-xc5tv9dl5k
    @user-xc5tv9dl5k15 күн бұрын

    Shida nikwamba nyie mumewakamata madada poa wakati hao ndo walikuwa wanamaliza ugumu.haya sasa

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    15 күн бұрын

    Acha kutetea ujinga wewe

  • @naomijoshua6923

    @naomijoshua6923

    15 күн бұрын

    Kwahiyo ugum ndo wachukue viungo vya mwili au

  • @mtatapharaoh5174

    @mtatapharaoh5174

    15 күн бұрын

    mmbakaji wewe

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania974315 күн бұрын

    Mimi ninavyoona ni haya mambo ya ushurikina tu mkibahatika kukamata mmoja akisema ni mashariti kutoka kwa mganga tafadhalini mhakikishe anawapeleka kwa huyo mganga wauawe wote hadharani huenda watu wakaigopa

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma877515 күн бұрын

    Poleni sana wafiwa.Pumzika kwa amani maraika wa Mungu.Serikali ipo macho

  • @leokamil6284
    @leokamil628415 күн бұрын

    R.I.P poleni sana wafiwa

  • @dayanamsuya6516
    @dayanamsuya651615 күн бұрын

    Lugumi alipewa ela afunge CCTV camera yeye akala hela yote na serikali iko comfortable lakini at least ingesaidia kupata mwanzo hakuna asiyejulikana bhana kila siku hao hao

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    13 күн бұрын

    Lugumi gani

  • @blessingntuli3796
    @blessingntuli379615 күн бұрын

    Inamaana polisi watashindwa kufanya uchunguzi ??? Kuanzia walipotika watoto wawili hadi zakiemu alipo bakia mmoja haku Mjengo wowote wenye cctv camera Kweli 🤔🤔! Mkifanya hivyo atajulikana tuu

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk15 күн бұрын

    Kuna kipindi difenda zilikuwa zinatembea uhalifu umezidi

  • @Kabwela776
    @Kabwela77615 күн бұрын

    Hii nchi mnaongea sana kwa Nini msiweke camera mitaani ?

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    15 күн бұрын

    Nani anajali ? Wakati fedha zote zaenda kwenye matumbo yao

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    14 күн бұрын

    @@jumakapilima7295 nchi ya laana nchi ya Mavi kunuka!

  • @zeyadazeyada8050
    @zeyadazeyada80507 күн бұрын

    Kwa kweli ni mitihani mzito yarabi atulindie watoto wetu

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk15 күн бұрын

    Huku kwetu yombo machimbo pia kuna balaa la kupigwa mapanga

  • @user-cq1iu7yg4t
    @user-cq1iu7yg4t15 күн бұрын

    Hongereni sanaaa

  • @user-vq6dc4nr5p
    @user-vq6dc4nr5p7 күн бұрын

    Hivi mbona uchaguzi ukianza haya matukio yanazidi?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum727915 күн бұрын

    😢😢

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s15 күн бұрын

    Hili swala samia???

  • @chikujuma18
    @chikujuma1815 күн бұрын

    Inalilaahi wainalilah rajighun polen wazazi pamoja na jamaa zenu

  • @FatmaLyego
    @FatmaLyego15 күн бұрын

    😢😢😢😢

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas134115 күн бұрын

    Tatizo nimalezi. Kwa wazazi. Au family. Hayapo sawa matokeo yake uvutaji Bangi na pombe chafu. Umezidi sana. Kisha kuwa na makundi ya vijana wasema hovyo nawenye tatizo la Afya ya Akiri kipo. Kitu chakufanya endapo tutasimamia wajbu. wetu viongozi sasa

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala771815 күн бұрын

    Mauaji yanakithiri SANA...UTEKAJI,UBAKAJI...Kila kukicha akina mama wanalia.

  • @DanieliMzirai
    @DanieliMzirai15 күн бұрын

    Sixtus mapunda ulikuw mbunge wa kwetu mbinga mjini 2015

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul811715 күн бұрын

    Alafu nsikie ati tz tuna amani amani ipi hapa nchi hii kila leo mauaji ya kutisha mara albino kutolewa viungo sasa wengine hoo tanzania tuko na amani nchi zote nikuombs mungu tu

  • @epema632
    @epema63215 күн бұрын

    So sad😢

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b15 күн бұрын

    Nyie wauwaji kwan huko majumban kwenu hakuna watoto adi muue watoto wawenzenu

  • @jurdanforwardersltd1460
    @jurdanforwardersltd146015 күн бұрын

    hapa atuwasiki hata kidogo wanahojita haki za minadamu,sasa sijui wanatetea mambo gani?maana yangekua matukio mengine tungehona press aharaka sana.

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady800215 күн бұрын

    😢😢😢

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185
    @mwanakhamisimwinyimatano118515 күн бұрын

    Inna lilah waina ilah rajiuun

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki975815 күн бұрын

    Duu tatizo lanchii hii mtuakibaka anyonywe serekali aitaki kufanya hivoo wanyonywee sio kumfunga jela akale ugali waburee watu wamekuwa suguuu watoto wetu wataisha jamani Sheria iwe kali

  • @tedyalifons924
    @tedyalifons92415 күн бұрын

    Acheni maneno

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz15 күн бұрын

    😭😭😭😭😭wauliwe

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n15 күн бұрын

    Inaumiza zaid ya sana..

  • @ZulfaJevejeve
    @ZulfaJevejeve4 күн бұрын

    😭😭😭😭

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya103315 күн бұрын

    Eti sio mambo ya serikali na mambo yenu nyie wazazi mshirikiane ,,,sijui kama mmesikia hii kauli au

  • @user-yv1dw6cu9k
    @user-yv1dw6cu9k15 күн бұрын

    😢😢😢😢😢😢daaa aisee

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael796515 күн бұрын

    Kuna shida kwenye malezi ya watoto... wengi wanajilea wenyewe... familia zimesambaratika sana... Mungu tusaidie sana

  • @ziggertv3185

    @ziggertv3185

    15 күн бұрын

    Kabisa huu usingle mother na usingle father

  • @user-ur8cq1ye3b

    @user-ur8cq1ye3b

    15 күн бұрын

    Wala sio kulea muombe tuu mungu yasikukute

  • @ramadhanhassan9308
    @ramadhanhassan930815 күн бұрын

    Familia Linda watoto wako hao Ni rasilimali

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654115 күн бұрын

    Sasa panaitajika C CT V camera inatisha kabisa hii Hali

  • @hamishassan6784
    @hamishassan678415 күн бұрын

    Mh Serikali haiwezi kushindwa najua hilo na sina shaka na serikali yangu lakini wazazi wazazi wazazi watoto hawa ni wetu sote sio eti kwa kuwa sio wako yaani si vibaya kumhoji mtu anayeongozana na binti ambaye wewe unaona kuna mashaka jamani mabinti zetu ni wadogo hawawezi pembua mambo, lakini pia kwa serikali yetu kwa maaendeleo haya ya sayansi na teknolojia hebu tutumie hizi changamoto kuwa wabunifu wa namna ya kutambua matukio ya kiarifu kama haya tuache kuhisi hisi au kushuku CCTV Canera zinashida gani kuwekwa kwenye maeneo yote hatarishi?

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani513415 күн бұрын

    Temeke Kuna Nini?

  • @SalumMsafiri20
    @SalumMsafiri2015 күн бұрын

    Wazazi pamoja na walezi tuongeze umakini kwa vijana wetu. Matamanio ya utajiri yanapelekea binadam tunakuwa zaidi ya wanyama.

  • @timothbenard8213
    @timothbenard821315 күн бұрын

    Bac nchi haina ulinz

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    15 күн бұрын

    Ujue kuna ile hali serikali inatakiwa iwe kali mpaka mtu aogope kufanya uhalifu sa Hivi kuna kucheka cheka sana matukio yapo mengi na inakua kama kawaida tu

  • @Aishaynah_innah
    @Aishaynah_innah15 күн бұрын

    😢😢

  • @hamisamajoka3284
    @hamisamajoka32848 күн бұрын

    😢😢😢😢

Келесі