FULL VIDEO : NDOA YA HAJI MANARA NA ZAIYLISSA / NI BALAA TUPU FULL SHANGWE MATASHITITI NA RAHA TUPU
Ойын-сауық
TAZAMA MWANZO MWISHO FULL VIDEO NDOA YA HAJI MANARA NA ZAIYLISSA / NI BALAA TUPU FULL SHANGWE MATASHITITI NA RAHA TUPU
#manaratv #hajimanara #diamondplatnumz #bugati #dottomagari #zaiylissa
Пікірлер: 478
Hakuna anaeoa au kuolewa akitegemea kuachana huwa inatokea binafs nawaombea kila la heri mdumu daima
@user-sv6zy3hc8o
6 ай бұрын
Allahumma amiin
@BelladonaTz
6 ай бұрын
AMIIN🤲
@user-zl5mt6lk4n
6 ай бұрын
amin nikweli
@maryammohdmussa2269
6 ай бұрын
Aamin
@user-vs7vv7xd2f
6 ай бұрын
Ameen Ameen
Manara sasa unaona unachokifanya huwo ndo utu uzima. Jitaidi sana usimpe ibilisi nafasi kwenye maisha yenu mapya ya ndoa. Wewe ni dume lijali mkingie kifuwa mke wako sio kilajambo lifanywalo ama lisemwalo unalichukulia very serious . Umepata chombo nawewe ndie dereva tunawatakieni maisha mema namafanikio tele ❤
@alawimohd
6 ай бұрын
Hapana mapenzi hapo ni utapeli tu 😂😂
@NajmaHassan792
5 ай бұрын
@@alawimohdNdio nyinyi 😂😂😂
@MakameAbdallah-wn3hc
5 ай бұрын
Kuna clip ya Dudubaya imepewa jina Dudubaya ambomoa Haji Manara. Imenifundisha mambo mengi makubwa na ya maana.
Alla akujalieni vizazi vyema akupeni furaha na mapenzi ya kudumu katika ndowa yenu mpendane msikilizane mpaka mzikane anaewakaliya kwa ubaya umrudi mwenyewe
Ila binaadamu tuna maajabu Sana...haramu mnazichekelea..Ila halali mnazichukia...😅simaanishi ila mnafurahisha..ndokashaowa. Na zai ndokashaolewa
@chibudenga8977
6 ай бұрын
Hawachukii shida ni kwamba wamekutana wote hao show off tu hakuna asiependa Jambo la heri kama ilo ila hao wote historia zao ndio tatizo
MashaAllah 😍 Beautiful 😍 👌🏽 Mwenyezi Mungu aifanye Ndoa ya Kheyr 🙏🏼 Hajji Manara, mtunze vizuri huyo mtoto, achana na Mitandao Please 🙏🏼 All the best 🙏🏼
Bwana Dula nakushauri tafta trending mpya lkn hii sasa ni ndoa uiheshimu sio trending tena so kua na heshima huku tuachie wenyewe kwenye uwanja wa watu wazima usilete utoto wako.
@uwimana6533
6 ай бұрын
Ndoa imemshinda anatafuta vita na watu wenye pesa zao atulie mkao wakula 😂😂😂😂😂
@banguha
6 ай бұрын
Dulla 😂😂😂 alimuacha ili apauke sasa mm najiuliza alitaka asiolewe tenaaa??Yan watu wanamsaport dulla nawashangaa pia ni bora angetoa talaka moja kwanza kama alikuwa bado anamtaka
@uwimana6533
6 ай бұрын
@@banguha ndoapo wanae msapoti niwanafiki kama Dulla, bada ya mwezi subiria atachwa mpaka basi ndo wabongo walivyo ,😀😀😀
@agnesjohn9382
6 ай бұрын
😂😂😂😂 umenichekesha we jamaa 😂😂 tena akae kwa kutulia hana chake tena
mashaa Allah ....Allahumma baarik Mr mnapendeza mkiwa kidini kuliko kidunia Allah awaongoze muendlee kama hv
Kila la khri mungu awape Maisha ya kudumu nmefurahi San jambo la khri ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kaka Manara Ongera..InshaAllah Mujaliwe na vizazi
Amin yarabialamin Kaka haji kanzu imekaa mahala pake.kaka haji VERY SMART KICHWANI NA MWENYEWE Iwe ndoa ya kheri Inshallah mzikane.
MashaaAllah mwenyezi mungu awatangulie kwenye maisha yenu y ndoa inshallah
Mashallah Allah awape kheri jambo jema hilo. Sasa yule bwana chakacha aache utoto wake hapa tena aache ujinga wa kutafta trend ndoa ni kitu cha kuheshimiwa
napendaga mnavyofunga vitambaa kichwan but manala umependeza sana na ikawe heri inshaalaah
Barakallah lakuma wabaraka alaikumma wajamma bainakumma fillkhairy🙏🙏🙏Allah aidumishe ndoa yenu muishi maisha yenye amani na furaha tele.. allah awape kizazi chema yarrab🙏🙏
@habibasungur9375
5 ай бұрын
Allahumma amiiiin yarab
Mabrouk kka manara n daa zay❤ allah awajalie masikilizano mema na kizazi chema ❤
Hii inanikumbusha Abasia, Khairia na Mgaya madrasa! Sheikh Salum nimefurahi kukuona. Hajji hongera. Kaswida Imenikumbusha mbali sana.
Mashallahu.Allah awadumishe na atie barka na mufuate mifumo sahihi ya Qur-ani na sunna katika ndoa yenu na muepamoja peponi.Amiin.Mafanikio yenu musiyaoneshe mitandaoni wala mikwaruzano musiitangaze mitandaoni pelekeni kwa mashekhe hao pamoja na wazazi wenu.hii itasaidia mahasidi kupata la kuongea na kufitinisha.
Iwe ndoa ya kher ya allah waish milele jmni❤❤
@twiseghekisilu8845
6 ай бұрын
Amina!!
@user-sv6zy3hc8o
6 ай бұрын
Amiin inshaallah tumuombee bugati😂😂😂😂😂
@salmasaid1521
6 ай бұрын
Amiin
Bwana hana tatizo ana mpz ya kweli. Tatizo wanawake wakisha ekwa mjini basi. Bi harusi kaa vizuri na bwana huyo. Maana katumia hela nyingi kwa ajili yako. Allah ibariki ndoa hii amin.. hadi naona imani kwa huyu kaka Haji.
Kwa ninavyoona manara anakupenda sana kipenzi nakuomba umpende na umvumilie na msikilizane Mungu awe mbele yenu daima
Ndoa ni mkataba, baina yenu wenyewe na baina yenu na Allah SWT. Muamrishane mena, mkatazane mabaya. Allah akufanyieni wepesi.
Masha Allah bwanaharusi humependeza in sha Allah ndowa hiwe ya baraka
Mashaallah mabrook 🎉manara ameozeshwa na baba wawatu Sasa Kaz kwako ukadumu na zai ,nae zai adumu asiwatie nongwa kwao,iwe kher InshaaAllah 🤲🙏
Yanabii ya nabii salaam alaika taibu WA moyo wangu....❤❤❤Allah aibarik ndoa yako kakangu akulinde na kila Shari na mahasidi....kila ajaye na Shari aijua yake Siri Allah akulinde kakangu na Aidimishe ndoa yako insha'Allah na Rajab hii🙏
Mashaalla❤❤❤❤❤❤ let her be the first one and last one. Inshallah ya Allah❤
Mashaka Mashaallah Mwenyeezimungu awaongoze kwenye safari mulioichukua na mudumu kwenye ndoa yenu
Tuliozaliwa January tunaupendo sana tukiacha atungeuki nyuma,wish you the best my twin ❤❤
Ndoa iwe ya kheir mwenyezimungu awajalie masikilizano na maelewano inshallah
Manshallah 🎉🎉🎉🎉❤
Mashaallah. Alf mabrukini. Muishi mpaka mmoja amzike mwenziwe
Maashallah mzee bugatiii iweyakheriii
Mashaallh thabrk allh Hannah minnah allh wanema wakili
Ndoa iwe ya kheri muachane na mambo ya dunia. Mwanamke heshimu IJABU
MASHALAH USTADH MANARA HATIMAYE AFUNGA NDOWA ALLAH AWAJAALIYE NDOWA NNJEMA NA YENYE KHERI NA WAKIJAALIWA KIZAZI KIWE KIZAZI CHEMA AMIN
Kila la kheri mimi nawapenda na ninawaombea kwa imani yangu ya kikristo ndoayenu ikawe ya amani na upend na mdumu milele Ameen
Ifike mahali tuache wivu na makasiriko ndoa yenu idumu mzikane manshallah
Ndoa ni jambo la kheri Mungu awabariki
Nakupenda ❤ sana dada zai sema ndoivyo sina bahati ya kuonana na wewe mungu akuzidishiye shufaa ktk ndoa yaku I love sana
Hongera naira wa jua Kar Ila kwa dini yko inavosema huyakiwi kushikwa shikwa Tena na Mr kaka
❤❤❤ألف مبروك والف سلامه عليكم ياااااااارب ❤
MABRUK ALF MABRUK NAIWE YA KHEIR IN SHAA ALLAH
Ma shaa Allaah Tabarak Allaah.....Allaah ajalie kila la kheir
Masha Allah and Mabr0uq ❤❤
Mashallah Allah awajalie ndoa ya kheri awaondoshee husda na hasad awape kizaz amiin yarab
anamtesa tu mzee wetu Talimba
Mashaallah
Mashaallah Mashaallah
mashaallah hongera san
Awa watu jaman wana pendana. Trending couple number one in Tz❤❤
Mashaallah beautiful brai khanifa fom🇿🇦
Ongera sana muwe na ndoa yenye mafanikio makubwa
Mashallah kaka Angu Hajji
Mashaallh tabaaraka Allha ikawe kheri inshaallah ❤
Mashaallah Allah ailnde ndoa yao ❤❤❤🤲😘🇹🇿🙏🏽
MaashaAllah Maalim Haji M.mungu awasimamie muishi pamoja mpaka kuzikana.
Asallam maalequ Maashalla Maashalla Allah hjelp you Familie Ishaala Ishaala Allahadulilah 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Masha'Allah Umependeza Sanaa Bro' Manara👍🙏
Mashallah barakallahu fik alf❤❤❤❤u mabrouk
Zai nakuombea dua ukadumu kwa mmeo mana kushikwa kichwa kila siku ni nuksi mungu akutangulie
Mashaallah ALLAH Baariq
Tunaiombea ikawe khery ❤
❤❤❤kila la heri Zai ukawe mke mwema kwa kaka Yetu Haji na mke mcha Mungu❤❤❤
ALFU MABROOQ !!!!! INSHAA-AIIAH !.. MUGANDANE ZAIDI YA GUNDI..🙏🙏🙏👋👋👋👋👋🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Fatma-to6rq
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Mashaallah bi harusi umependeza sana kwa vazi la heshima pia umezidi uzuri❤
Mashallah hadji wetu from Rwanda❤❤❤
Manshallah n ikawe kheri❤
Mola awajaalie kher baraka upendo muishi miaka mingi muhitimishane amin yarab laalamin inshaalla
Mashallah barakallahu fik...alfu mabrouk ❤❤❤
@ashamahadi5281
6 ай бұрын
Naam jambo letu limetimia Mwanangu Manara we na Alhaula zake mguuni
Masha Allah tabaraka llah. Hikawe yenye kheri kwenu🙏💕💕
Mashallah Mashallah inshaallah iwe ya kheri
Mingu awajaze kheri inshaallah ❤❤❤
Mashallah 😍
Mungu awabarikie Ndoa Yenu Milele Ameen🙏🤲
Mashaa'Allah 🥰 ikawe ya kheri innsha'Allah 🤲🙏
@latyabdymsuya6432
6 ай бұрын
Mashalaa mwenyezi mungu aijalie ndoa yenu ikawe yakheri nabaraka tele
Maashaallah.....nawatakia kila la heri katika maisha yenu ya ndoa........Baarakallahu kahairaat...💫🌟🌙
Mungu awapiganie kwa kila hatua, hongeren sana mr&mrs Haji manara
Mashallah,,wamependeza sana
Mashallah..hongereni sana ila bwana harusi umetisha mahari milion mbili
Nakutakieni baraka ktk ndoa yenu na Allah ailinde insha Allah ushauri shekhe manara mke huyu usimuhusishe kabisa ktk mitandao.Na umsimanlmie awe mwenye kufanya ibada insha Allah Hasada za waja ziwaepuke insha Allah.
Mabrouk manara Allah ajalie ndoa yako iwe ya kheri
Mashallah mashallah mashallah ndoa idumu daima dawamu madogomalize wenyewe ndani yakotokeya makubwa yakitokeya yamekushindeni rudini kwa wazee watengeneze
Ndoa iwe ya kheri Allah awakinge na mahasidi
Mashaallah 🙏🙏🙏🙏
Masha,allah🎉🎉
Mashaallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashaalah ndoa yenu ikawe yakheri nabaraka mungu akawajaalie muishi mile
Mashaallah iwe ya kher
Masha Allah
بارك الله لكما وبارك عليكما وجمع بينكما في خير
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
❤❤ماشاءالله تبارك الله الرحمن ❤❤
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
اللهم احفظهم ياااااااارب من كل شر واجعلهم خير في حياتهم ❤❤
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
اللهم آمين يارب، آآمين يارب العالمين
@user-xh7xf2ki3r
5 ай бұрын
اللهم امين
MashaAllah 🥰
Mashaalah ..namimi yangu soon japo bwana harusi simjui 😊
@aboubakarkipalanga1632
6 ай бұрын
mimi hapa😁
@hassanjecha5069
6 ай бұрын
𝑺𝒆𝒎𝒂 𝒖𝒌𝒐 𝒘𝒂𝒑𝒊
@ngulathfundikira4205
6 ай бұрын
Njoo hapa
@Jifunzenami
5 ай бұрын
😂😂
Mwenyezi awajalie congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Baraqallah
MashaAllah 🎉
Masha Allah tabarAka Allah
Mashallah 🎉iwe ya kheri inshaallah
Mmependeza sana inshaallah ikawe her kwenu na baraka tele
Makabila tulia maneno mbna mengi Sana.ulimpa talaka ya nini.
Mashallah❤
Masha Allah Allah awalinde na vijemba❤