"HUYU NAMFUKUZA LEO, NILISHAMUONYA, ANATEMBEA HADI NA WAKE ZA WATU, HAFAI" - MAGUFULI
"HUYU NAMFUKUZA LEO, NILISHAMUONYA, ANATEMBEA HADI NA WAKE ZA WATU, HAFAI" - MAGUFULI
Leo Juni 28, 2020 Rais Magufuli amefanya ziara mkoani Pwani na kuhutubia wananchi baada ya kuzindua miradi mikubwa ya maji mkoani humo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 642
Im a kenyan but i love the way Tanzanian president handles issues... God bless you president
@majiramhesi9093
4 жыл бұрын
Thanks men
@kakawamashariki8978
4 жыл бұрын
Salaam Eveln kwa upendo wako kwetu, Mungu awajalie nanyi pia huko Kenya hata Kama si leo basi siku zijazo.
@nubiasahil2752
4 жыл бұрын
i guess you are not Kenyan
@brayo001
4 жыл бұрын
Haya mambo ya serikali ya Moi
@saadakiyungi6437
4 жыл бұрын
Shukrani ndugu zetu wa kenya
From Kenya,Magufuli napenda sana vile unavyo endesha serikali kupitia kumuamini Mungu..Mungu akubariki JPM 🇹🇿🇰🇪..Ikiwezekana ukimaliza term yako TZ jameni pia kuja Kenya uwanie kiti ya urais
@dhahajongo9049
4 жыл бұрын
This our president we love so much
@nickyfranchesco5611
4 жыл бұрын
@Dhaha Jongo huyu jameni akimaliza term yake aje Kenya apewe kiti ya urais
@roi2554
4 жыл бұрын
watanzania tupo radhi mh.rais magufuli utawale hadi pale mungu atakapochukua nafsi yako amin
Wakenya tuko wangapi hapa tujuane na pia tukiona namna ya kuwa kiongozi bora sio tu bora kiongozi? Big Ho Mangufuli pia sisi tunaona mambadiliko
Magufuli is a real guy. Love him and look after him. Opportunity nocks once. !!!!
I have liked his way of resolving issues there and then. RIP Rais Magufuli
Am watching this vedio from 🇰🇪 but kusema kweli he is a serous president with his responsibility yani tungekua na watu wa 10 tu kama hawa kenya tusingekua hivi leo👏hongera magufuli
@khamisijuma3167
4 жыл бұрын
Mwalim Ali ,uliyosema niukweli kabisaa wakenya nilini tutapata viongozi Kama Dr John pombe magufuli
@jayr1472
4 жыл бұрын
Maze aletwe kenya afagie kina waiguru
@stn4873
3 жыл бұрын
Sisi TZ tunae mmoja, nyie Kenya mnataka muwapate 10?
Hongera kwa kuteuliwa Hakika Allah humpa amtakaye maombi yako Allah ameyajib endelea na sala na kutoa sadaka majib take ndiyo hayo
@zaitunmtinange3453
4 жыл бұрын
Hakika ukimtegemea Allah yote yawezekana
@user-hb8vi9fx6g
4 жыл бұрын
UTADHANI NDOTO KUMBE NDO KWELI ! MANA WAWEZA KUOGOPA HATA KUINGIA OFISINI KWA SABABU HUAMINI AMINI HIVI !
Sio mchezo dakika 0 maisha yanabadilika
@stellastanley630
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-hb8vi9fx6g
4 жыл бұрын
KABISA YANI !!!
@kenybenjiz7850
4 жыл бұрын
Alikuwa cdm akaendaga ccm
@munaahmed8499
4 жыл бұрын
Patrick umeonaeeee
@patrickmgaza9927
4 жыл бұрын
@@munaahmed8499 yan acha tu
Hapo ndipo unapotambua elimu ni funguo ya maisha.!!!
Rais Magufuli...Mimi hapa nakuomba ukimaliza miaka ya kuhudumu TZ Basi uje Kenya tukuchague uwe President. Hoyeeee
@bonifacerobert2934
4 жыл бұрын
Hakika
@jacksonmalolage9476
4 жыл бұрын
Daaah Mungu awakumbke
@nickyfranchesco5611
4 жыл бұрын
@Maliha A kabisa Magufuli akija Kenya kura 100% ni zake..Magufuli hoyee
@halimamusa2797
4 жыл бұрын
😁😁
Kiukweli huyu ni Rais wa miujiza kabisa....! Be Blessed uzidi kumtegemea Mungu
@jabilishekusa2202
4 жыл бұрын
Ndugu raisi naomba uje Jimbo letu la Bumbuli Kuna kijiji chetu Cha magila bado hakija pata umeme walikuja kupima nKueka alama za nguzo Hadi leo hatuioni kinachoendelea halafu Kuna kitobgoji Cha mtimule hawakufika hata kueka hizo alama sisi wote niwatanzani naomba waziri jafo aliangalie hili tatizo.asante
@ismailothman2917
4 жыл бұрын
Ndomana kaitwa yesu nilicheka yani JPM jembe
Magufuli sifa zako zinaenea ulimwengu mzima Mungu akubariki best president ever in afrika
KWELI RIZKI ANAEPANGA NI MWENYEZI MUNGU ! DAH HII NIME IPENDA
@kindolek9257
4 жыл бұрын
Kileizer laizer
@kababaeabdallah4110
3 жыл бұрын
Jilanyangu
"Hakuna kuhamisha,ukiharibu nawe unaharibikia hapo"Kenya kweli tuna safari ndefu kabla tupate kiongozi kama JPM.
Hata tokea rais kama hili Jembe JPM KIRUUUUU rest in peace my HERO 😥
@masudimohamed4650
3 жыл бұрын
kweli kabisa Jembe la Nguvu
Mke wa das sasa anasema "unaona umalaya wako ulipokupeleka"
@josephinekimaro761
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@bluebeamkennel9266
4 жыл бұрын
Hahahahaha
@juliethhouseofdesigns147
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mpaka dunia imeujua yaani
@fatmalyego2531
4 жыл бұрын
🤣😂🤣😂🤣😂
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
julieth house of designs umeona ehh alikuwa anapenda chini
Jamani ukipewa shavu piga Kazi, hacheni kuzengua kama enzi zileee za unanijua mie ni Nani , hizo enzi zimeishaaa bongo , ni mwendo wa rula..kunyoosha mistari ..
@juliethhouseofdesigns147
4 жыл бұрын
Watu bado wako kwenye usingizi wa unanijua mi nani wakati sikuizi ni heshim kazi yako kwani wananchi ndio waliokuajiri.
@emmanuelbonifase1114
4 жыл бұрын
Mwendo wa kunyooshwa kama nguoo
@childofgod4412
4 жыл бұрын
Mwendo wa rula🤣🤣yaani huyu nampenda hadi nasikia kuzimia🤣🤣
@shebaminde7656
4 жыл бұрын
@@childofgod4412 M nampenda mpk nataka kuchizika hanaga muda wa kupoteza ukiharibu na yy anakuharibu
MAGUFULI BABA LAO;kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿
@lovemyselflovemyself954
4 жыл бұрын
😂😂😂
@frarobby3958
3 жыл бұрын
Magufuli nakupenda adi nachukia
Watanzania mshukuruni Mungu kwakuwapa kiongozi anayejali maisha yaraiya wake namchapa kazi Hana utani nakazi yake
Yes thats Mr President 👍
Am from Kenya 🇰🇪 and this is my president Pombe.👏👏👏👏👏
Mzee baba nakukubali sana huwa hupepesi macho
hakika mwanaume yeyote ili aimudu familia lazima awe na mahamuzi kama haya ya mh rais wetu
@hisanmwakijungu10
4 жыл бұрын
Mmmmmm
@user-hb8vi9fx6g
4 жыл бұрын
NI KWELI
@saitotisaitoti6734
4 жыл бұрын
"MAHAMUZI❌ MAAMUZI✅ Jua kutofautisha hayo maneno mawili.
@grecioussilas9885
4 жыл бұрын
asnte saitoti
@prettyh7509
4 жыл бұрын
Hakika
Watanzania muna bahati sana kenya kwetu viongozi wanaongea kuhusu siasa maendeleo akuna
Magufuli Mungu akutunze. Tunahitaji watendaji wenye nidhamu
@mohamedmariano5699
4 жыл бұрын
Mmh
@mlugujoel7939
3 жыл бұрын
Sijui
Haha haha hii ndio TZ nliokua naitaka
Asante sana baba wa taifa kwa kazi unao fanya tunge penda kuwa namarais kama wewe
@Mandugudigitalify
4 жыл бұрын
AFRICA inahitaji kuungana na kumpa huyu hata angaa miaka ishirini anyooshe hadi Lybia!
3:25 waziri katoa jicho haamini kinachotokea 😂😂😂 kufumba na kufumbua huna kazi aise... Kama yesu atavorudi
@kwzjkwz3532
4 жыл бұрын
😆😆😆😆
@omikajanja1134
4 жыл бұрын
Yaan acha tu
@danielhumble4292
4 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaa ...... Kama yesu atakavorudi nakunyakua
Magufuli I just love the way u deal with issues on the sport not tomorrow wao
Wasichana tunaweza au sio 💪💪💪💪
Am a kenyan but I loved you honoured you the way you handled tanzanian matters indeed you were people's president let God find a perfect place to get you laid 😭😭😭😭😭😭rest in peace my president
Aiseee natamani Mh..MAGUFULI hata awe ni Mrithi wa Baba wa Taifa abaki na hicho cheo hadi mungu atakapo muhitaji mwenyew Yaani sijui nimfananishe na nani katika Uchapa kazi hongera sana Rais wetu CCM OYEEEEEEE
hahahahhaha magu amenifurahisha sana,ndo kawaida yetu wana sayansi hatuna complication,bali tuna action
Tanzanian is blessed to have u,I wish all African leader should be like you
Hakika Magufuli ni Rais kweli kweli Asante Yesu kwa zawadi nzuri. Tanzania itasimama imara milele!
YANI WW MAGUFURI BONGE LA JITU LENYE MIAKILI MINGI SANA NDIO MAANA SIACHI KUKUTETEA HATA HUKU MTAANI KWA WANAO KUPONDA NA KUKUCHUKIA
@kingcosta2460
3 жыл бұрын
unatafta misifa wala hakuoni😂😂
Nakubari Muze Makufuri
Kapambane Dada yetu
@georgemashauri4657
4 жыл бұрын
Huyo mama ni sawa na masai alie okota neema bilion 7
@simonkasya6500
4 жыл бұрын
Mungu akisema ndio hakuna wakusema hapana
@mtweveandrew1861
4 жыл бұрын
@@simonkasya6500 kwer kabsa
We need makufuli in Kenya. 🤣🤣🤣
@mrmangetown4323
4 жыл бұрын
We have only one magufu my dear .
@yusrahb4461
4 жыл бұрын
@@mrmangetown4323 we can share au vipi?
Hongera uncle maguu. Mie rais wangu pumbavu hajielewi kuiba ndio anajua
@Mandugudigitalify
4 жыл бұрын
...yaani yule ana njaa za kidinasour!! Hadi mpagavu anaufanya mchongo eti!!??
Style ya uongozi Mheshimiwa Rais ni ya aina yake😅
@neydenyo6786
3 жыл бұрын
Yaan hakuna hata balaza kukaa duh!!!
Like this magufuli Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
That's my President ☝️❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@kaburashindika5617
4 жыл бұрын
Duuuuuuu pambeee
That's the quality of leadership Africa lacks.. The short time the almighty gave us Maghufuli we have learnt a lot... RIP JPJM..
Uncle mangufuli sio muchezo
I like this Tz Prezzo if only Kenya can follow suit corruption will be history.
@marywanjiru2303
3 жыл бұрын
Magufuli juu...Kenya haki ni kwa mwenye ako na pesa pekee anaeza Fanya chochote very corrupt
Hongera Rais wetu kwa kuweka nidhamu ya utumishi. Pia ni ujumbe tosha kwa jamii ambayo inatuzuunguuka. Kiukweli mke wa mtu anatakiwa aogopwe kama ukoma.
Raisi wote wa Africa wange kuwa Kama wewe basi watu wa singe tegemea wazungu. Wewe ni raisi wakipekee Mungu akulinde wengine wajifunze kupitia ww 🙏🙏
Huyu mwamba namkubali sana
Weldone muheshimiwa Jafo na Rais
Asante Mungu kwa kutupatia kiongozi mzuri hongera sana JPM
Safiiii
_MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA_ 😂😂😂😂
@sijalikifunyo912
4 жыл бұрын
Mwana kulifind mwana kulifound. 😁😁😁😁
@frankkashner
4 жыл бұрын
Hahaha
@fatmakigada3829
4 жыл бұрын
Jaman mmenichekesha adi machozi nyie Mwana kulifind na kulifound
@thebigdeal4480
4 жыл бұрын
Mwana kuli find mwana kuli get
Brown Isalano form Kenya I love President magufuli
Salute magufuli hapa kazi tu na uaminifu wengine jina tu sio waaminifu kwenye kazi kazi yao kukuangusha lakini tatizo hawajielwi ukweli ni kweli MTU ameshindwa kazi pia chini this is answear
Sina cha kukupa Baba zaidi ya kuzidi kukuombea kwa Mwenyezi Mungu,muumba wa mbingu na dunia ,kweli wewe ni mfano wa kuigwa,safi sana ,nakupenda sana.
Wow hua nafurahi kuona mwanamke ana fanikiwa na kutuwakilisha vema💪🏿
Amekula mboga ya watu
@geofreymsengi9971
4 жыл бұрын
Ndio ivyo amekula Mboga ivyo atajutia
@macmassau1994
4 жыл бұрын
Ukila vya wakub........ yatakukuta
No one like you my president Jpm
From the bottom now top yeaa
Hapo wapinzani hatuna hoja, kwa kweli mzee anafanya kazi inayofaa kwa kila mwananchi
@hassanimwakatika9822
4 жыл бұрын
tunajua ni malaya wake wivu kuriko mama janet
@hamisimussa2228
4 жыл бұрын
@@hassanimwakatika9822 na wew pia si Malaya wake Ndio maana unatoa povu
@setholivier4862
4 жыл бұрын
@@hassanimwakatika9822 jinga sana
Raisi wetu anatembelea ukweli just why we love ya ❤️
I just love your president Tz.. Mmebarikiwa na rais mwenye maarifa.. Mungu amlinde na amjalie neema maishani
I see!!!. Jamani, Hadi leo hii, Rais Magufuli hamjamwelewa tu?!. Nawashangaa sana. Magufuli hoyeeee. Hataki janja janja na vurugu vurugu, kiburi kiburi nk.
@godrickngoda9961
4 жыл бұрын
Anakula mke wa mtu katumbuliwa kweli mke wa mtu sumu wanazengo wanasemq
@godrickngoda9961
4 жыл бұрын
Wanazengo wanasema
@benobuyoya8675
4 жыл бұрын
@@godrickngoda9961 @ shida in pale maonyo alipewa,so sad!!
Huyu ndiye Baba. Mungu ampe Maisha marefu Raisi wetu. Hana ubaguzi. Ukifanya kazi hana shida na wewe.
Vitabu vya Dini vinasema usitamani cha mwenzio na kama kweli basi jutia na utubu ulicho kifanya
Tuna maliza hapa hapa,daaah uncle maguuuuu🎉🎉🎉🎉
He should rule 20 years ur country has never seen a ruler like him
@kessyselemanirajab5310
4 жыл бұрын
He is not ruling, he is leading
@zawadix9574
4 жыл бұрын
Term limits are there to be respected he will go when his time is up we are not a dictorship
@ngwanafabian7532
4 жыл бұрын
@@kessyselemanirajab5310 any way
That was our beloved president...😭😭😭
Safi sana bb mungu akubariki sana baba yngu 😍🙏🤲
From Kenya, Love Magu sana
Tumbua watu km hao wanatesa mpaka wake zao sababu awara anaishi kwa raha kuliko mke alafu anajiona mwamba pumbavu kabisa tumbua hiyoooo
Ndoa na iheshimiwe na watu woteeee
Jamn Tanzania tumebahatika kupata president km huyu 😘😘😘😘 hadi raha long life our president
Mungu akupumzishe salama baba.
Magufuli Nakupenda bure Baba wa Tanzania. Ina mfano mzuri. 254 love you
Duh,,Mjomba MAGU ,,sio poah,,
"Na nyinyi mkagombee wanaume mutaondoka wote..." Hahaaaaaaa😂😂😂😂😂, yaani huyu baba kanichekesha haswaaa!!!
@paskalmasake3342
4 жыл бұрын
Wenye akili tumeelewa
@eddacharles6573
4 жыл бұрын
Yaani huyu baba akiwa ana address public huwa napenda kusikiliza nicheke stress ziishe. Magu is one of a kind 😅😅. Yaani yeye ni tit for tat no complications!!
Mungu akuwezeshe Baba MAGUFULI. Mimi sio mtanzania. Ila viongozi wa Afrika kwa ngazi zote wangekuiga wewe, Afrika ingeheshimika ulimwenguni kote. Mungu akuongezee siku za kuishi na aruhusu viongozi wengine wakakuiga wewe.
Kenya needs servant leadership like this.
Who is Dasi in English...from Kenya 🇰🇪 RIP Dkt. Magu...
Huyu ndio kamanda tulikuwa siku zote tuna muitaji 💪🏿💪🏿💪🏿
Vyeo nje nje kwa magu
Such kind of roadside declarations have advantages and a fair share of disadvantages. A lot of consultations and deliberations should be made upfront.
@robertj.4484
2 жыл бұрын
When will the common mwananchi be served if these endless consultations continue?
Huyu mzee ni kiboko, wish we had this kind of Leaders in East Africa 🙌
Assante raisi wangu mpaka unalinda ndoa mashaallah mungu akuongoze Ktk kazi zako
If Africa could get ten presidents like this man , then we can consider the continent saved . Because I believe even the rest will follow the lead. Long live Magufuli ✊🏾
Asante
May you live long African king
Thats good your execelency.pongezi
Samahani wakubwa siko katika vyama vya siasa, lakini huyu bwana hunigusa sana yuko Kiafrika kabisa sio Kibeberu yaani USTAARABU MWINGI! Huyu Rais hana huo utamaduni wa ng'ambo hata kidogo! RAHA SANA, MICHAKATO IMEKOSA NAFASI KATIKA UTAWALA HUU!
Mhe bwana nampenda hapo hapo kaunganisha hadhari kama mmeisoma, kawaonya na hawa wawili wasije wakafanya udasi wao maana mhe mkuu wa mkoa kamchague mmama Afsa Tawala hafla. Inshallah kheri Tupige kazi Watanzania.
Rais wetu tunakuomba ufike Lushoto Tanga
@gadielshedaffa3333
4 жыл бұрын
Kuna mbwai uko waume?
@kimwerionlinetv5574
4 жыл бұрын
@@gadielshedaffa3333 😂😂😂😂osie wan koma na usheko iweee ekadu eite akategheeze wandughu wetu hambu kaya hechikosa vyaonga😂😂😂😂
@reginasoki5025
4 жыл бұрын
Kuna nn tena
@allyhussein9024
4 жыл бұрын
Kuna majipu mengi
🤣🤣Magu oyeeee et nenden mkagombanie wanaume na mkuu wa wilaya kisarawe 🤣🤣🤣magu baba mungu akuweke milele na milele amiin
Ha ha Magu nimeipenda hiyo fasta fasta watu wakizingua toa hapo hapo panga wengine
tumbua tumbua mzee
Hongera sana rais wetu kipenzi mungu akulinde kwa yote maana wapinzaniwako hawapendi haya maendeleo ya nchi yetu sikuzote wanaombea mabaya tanzania kama wawo wazungu.lisu mbowe zitto kabwe hawo wengine kama kina lema na wenzake bendera hufata upepo two.
Hakika hiki combo tuazimeni huku Bdi mwaka mumoja tu tutarejesha wallah..
@fredrickkagwa8853
4 жыл бұрын
Hahaha mukinogewa?
@dianamkita6571
4 жыл бұрын
Hahaha,,Sisi waswahili husema,",kiendacho kwa mganga hakirudi"..Tunampenda Rais wetu jamani...
@paskalmasake3342
4 жыл бұрын
Acheni kujidharau,,,kwan nyinyi hamuwezi?
@Emma-zi9mw
4 жыл бұрын
@@dianamkita6571 iyo ni kweli but huyo jama anastahil urais wa inci yeyote apa duniani n mfano muzuli kwa sisi vijana hongereni saana
@Emma-zi9mw
4 жыл бұрын
@@paskalmasake3342 sasa ww nduguyangu kama nimufatiriaji muzuri wa siasa na mimi na kuuliza ww kwa muono wako unaona tunaeza??
why white people killed this guy
Haaahaaa Magu ulikua unanifurahisha hasa Mungu akiweke pahali Panapostahiki