"HUYU NAMFUKUZA LEO, NILISHAMUONYA, ANATEMBEA HADI NA WAKE ZA WATU, HAFAI" - MAGUFULI

"HUYU NAMFUKUZA LEO, NILISHAMUONYA, ANATEMBEA HADI NA WAKE ZA WATU, HAFAI" - MAGUFULI
Leo Juni 28, 2020 Rais Magufuli amefanya ziara mkoani Pwani na kuhutubia wananchi baada ya kuzindua miradi mikubwa ya maji mkoani humo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 642

  • @evelynesabina8168
    @evelynesabina81684 жыл бұрын

    Im a kenyan but i love the way Tanzanian president handles issues... God bless you president

  • @majiramhesi9093

    @majiramhesi9093

    4 жыл бұрын

    Thanks men

  • @kakawamashariki8978

    @kakawamashariki8978

    4 жыл бұрын

    Salaam Eveln kwa upendo wako kwetu, Mungu awajalie nanyi pia huko Kenya hata Kama si leo basi siku zijazo.

  • @nubiasahil2752

    @nubiasahil2752

    4 жыл бұрын

    i guess you are not Kenyan

  • @brayo001

    @brayo001

    4 жыл бұрын

    Haya mambo ya serikali ya Moi

  • @saadakiyungi6437

    @saadakiyungi6437

    4 жыл бұрын

    Shukrani ndugu zetu wa kenya

  • @nickyfranchesco5611
    @nickyfranchesco56114 жыл бұрын

    From Kenya,Magufuli napenda sana vile unavyo endesha serikali kupitia kumuamini Mungu..Mungu akubariki JPM 🇹🇿🇰🇪..Ikiwezekana ukimaliza term yako TZ jameni pia kuja Kenya uwanie kiti ya urais

  • @dhahajongo9049

    @dhahajongo9049

    4 жыл бұрын

    This our president we love so much

  • @nickyfranchesco5611

    @nickyfranchesco5611

    4 жыл бұрын

    @Dhaha Jongo huyu jameni akimaliza term yake aje Kenya apewe kiti ya urais

  • @roi2554

    @roi2554

    4 жыл бұрын

    watanzania tupo radhi mh.rais magufuli utawale hadi pale mungu atakapochukua nafsi yako amin

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba26264 жыл бұрын

    Wakenya tuko wangapi hapa tujuane na pia tukiona namna ya kuwa kiongozi bora sio tu bora kiongozi? Big Ho Mangufuli pia sisi tunaona mambadiliko

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha34224 жыл бұрын

    Magufuli is a real guy. Love him and look after him. Opportunity nocks once. !!!!

  • @mosesbabyenda6079
    @mosesbabyenda60793 жыл бұрын

    I have liked his way of resolving issues there and then. RIP Rais Magufuli

  • @mwalimuali6579
    @mwalimuali65794 жыл бұрын

    Am watching this vedio from 🇰🇪 but kusema kweli he is a serous president with his responsibility yani tungekua na watu wa 10 tu kama hawa kenya tusingekua hivi leo👏hongera magufuli

  • @khamisijuma3167

    @khamisijuma3167

    4 жыл бұрын

    Mwalim Ali ,uliyosema niukweli kabisaa wakenya nilini tutapata viongozi Kama Dr John pombe magufuli

  • @jayr1472

    @jayr1472

    4 жыл бұрын

    Maze aletwe kenya afagie kina waiguru

  • @stn4873

    @stn4873

    3 жыл бұрын

    Sisi TZ tunae mmoja, nyie Kenya mnataka muwapate 10?

  • @salummwanjali3207
    @salummwanjali32074 жыл бұрын

    Hongera kwa kuteuliwa Hakika Allah humpa amtakaye maombi yako Allah ameyajib endelea na sala na kutoa sadaka majib take ndiyo hayo

  • @zaitunmtinange3453

    @zaitunmtinange3453

    4 жыл бұрын

    Hakika ukimtegemea Allah yote yawezekana

  • @user-hb8vi9fx6g

    @user-hb8vi9fx6g

    4 жыл бұрын

    UTADHANI NDOTO KUMBE NDO KWELI ! MANA WAWEZA KUOGOPA HATA KUINGIA OFISINI KWA SABABU HUAMINI AMINI HIVI !

  • @patrickmgaza9927
    @patrickmgaza99274 жыл бұрын

    Sio mchezo dakika 0 maisha yanabadilika

  • @stellastanley630

    @stellastanley630

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @user-hb8vi9fx6g

    @user-hb8vi9fx6g

    4 жыл бұрын

    KABISA YANI !!!

  • @kenybenjiz7850

    @kenybenjiz7850

    4 жыл бұрын

    Alikuwa cdm akaendaga ccm

  • @munaahmed8499

    @munaahmed8499

    4 жыл бұрын

    Patrick umeonaeeee

  • @patrickmgaza9927

    @patrickmgaza9927

    4 жыл бұрын

    @@munaahmed8499 yan acha tu

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba31743 жыл бұрын

    Hapo ndipo unapotambua elimu ni funguo ya maisha.!!!

  • @malihaa5158
    @malihaa51584 жыл бұрын

    Rais Magufuli...Mimi hapa nakuomba ukimaliza miaka ya kuhudumu TZ Basi uje Kenya tukuchague uwe President. Hoyeeee

  • @bonifacerobert2934

    @bonifacerobert2934

    4 жыл бұрын

    Hakika

  • @jacksonmalolage9476

    @jacksonmalolage9476

    4 жыл бұрын

    Daaah Mungu awakumbke

  • @nickyfranchesco5611

    @nickyfranchesco5611

    4 жыл бұрын

    @Maliha A kabisa Magufuli akija Kenya kura 100% ni zake..Magufuli hoyee

  • @halimamusa2797

    @halimamusa2797

    4 жыл бұрын

    😁😁

  • @paurosiabaylon8369
    @paurosiabaylon83694 жыл бұрын

    Kiukweli huyu ni Rais wa miujiza kabisa....! Be Blessed uzidi kumtegemea Mungu

  • @jabilishekusa2202

    @jabilishekusa2202

    4 жыл бұрын

    Ndugu raisi naomba uje Jimbo letu la Bumbuli Kuna kijiji chetu Cha magila bado hakija pata umeme walikuja kupima nKueka alama za nguzo Hadi leo hatuioni kinachoendelea halafu Kuna kitobgoji Cha mtimule hawakufika hata kueka hizo alama sisi wote niwatanzani naomba waziri jafo aliangalie hili tatizo.asante

  • @ismailothman2917

    @ismailothman2917

    4 жыл бұрын

    Ndomana kaitwa yesu nilicheka yani JPM jembe

  • @madiyaahmad7453
    @madiyaahmad74534 жыл бұрын

    Magufuli sifa zako zinaenea ulimwengu mzima Mungu akubariki best president ever in afrika

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g4 жыл бұрын

    KWELI RIZKI ANAEPANGA NI MWENYEZI MUNGU ! DAH HII NIME IPENDA

  • @kindolek9257

    @kindolek9257

    4 жыл бұрын

    Kileizer laizer

  • @kababaeabdallah4110

    @kababaeabdallah4110

    3 жыл бұрын

    Jilanyangu

  • @GATHATWADAVID
    @GATHATWADAVID3 жыл бұрын

    "Hakuna kuhamisha,ukiharibu nawe unaharibikia hapo"Kenya kweli tuna safari ndefu kabla tupate kiongozi kama JPM.

  • @kundaellyimo7523
    @kundaellyimo75233 жыл бұрын

    Hata tokea rais kama hili Jembe JPM KIRUUUUU rest in peace my HERO 😥

  • @masudimohamed4650

    @masudimohamed4650

    3 жыл бұрын

    kweli kabisa Jembe la Nguvu

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid53604 жыл бұрын

    Mke wa das sasa anasema "unaona umalaya wako ulipokupeleka"

  • @josephinekimaro761

    @josephinekimaro761

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @bluebeamkennel9266

    @bluebeamkennel9266

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣mpaka dunia imeujua yaani

  • @fatmalyego2531

    @fatmalyego2531

    4 жыл бұрын

    🤣😂🤣😂🤣😂

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    4 жыл бұрын

    julieth house of designs umeona ehh alikuwa anapenda chini

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын

    Jamani ukipewa shavu piga Kazi, hacheni kuzengua kama enzi zileee za unanijua mie ni Nani , hizo enzi zimeishaaa bongo , ni mwendo wa rula..kunyoosha mistari ..

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    4 жыл бұрын

    Watu bado wako kwenye usingizi wa unanijua mi nani wakati sikuizi ni heshim kazi yako kwani wananchi ndio waliokuajiri.

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    Mwendo wa kunyooshwa kama nguoo

  • @childofgod4412

    @childofgod4412

    4 жыл бұрын

    Mwendo wa rula🤣🤣yaani huyu nampenda hadi nasikia kuzimia🤣🤣

  • @shebaminde7656

    @shebaminde7656

    4 жыл бұрын

    @@childofgod4412 M nampenda mpk nataka kuchizika hanaga muda wa kupoteza ukiharibu na yy anakuharibu

  • @henryndosi1114
    @henryndosi11144 жыл бұрын

    MAGUFULI BABA LAO;kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿

  • @lovemyselflovemyself954

    @lovemyselflovemyself954

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @frarobby3958

    @frarobby3958

    3 жыл бұрын

    Magufuli nakupenda adi nachukia

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma31674 жыл бұрын

    Watanzania mshukuruni Mungu kwakuwapa kiongozi anayejali maisha yaraiya wake namchapa kazi Hana utani nakazi yake

  • @victorsimundwe2518
    @victorsimundwe25184 жыл бұрын

    Yes thats Mr President 👍

  • @angiewamuchomba8106
    @angiewamuchomba81064 жыл бұрын

    Am from Kenya 🇰🇪 and this is my president Pombe.👏👏👏👏👏

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu67984 жыл бұрын

    Mzee baba nakukubali sana huwa hupepesi macho

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas98854 жыл бұрын

    hakika mwanaume yeyote ili aimudu familia lazima awe na mahamuzi kama haya ya mh rais wetu

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    4 жыл бұрын

    Mmmmmm

  • @user-hb8vi9fx6g

    @user-hb8vi9fx6g

    4 жыл бұрын

    NI KWELI

  • @saitotisaitoti6734

    @saitotisaitoti6734

    4 жыл бұрын

    "MAHAMUZI❌ MAAMUZI✅ Jua kutofautisha hayo maneno mawili.

  • @grecioussilas9885

    @grecioussilas9885

    4 жыл бұрын

    asnte saitoti

  • @prettyh7509

    @prettyh7509

    4 жыл бұрын

    Hakika

  • @shaloboy3861
    @shaloboy38614 жыл бұрын

    Watanzania muna bahati sana kenya kwetu viongozi wanaongea kuhusu siasa maendeleo akuna

  • @aikandelema4349
    @aikandelema43494 жыл бұрын

    Magufuli Mungu akutunze. Tunahitaji watendaji wenye nidhamu

  • @mohamedmariano5699

    @mohamedmariano5699

    4 жыл бұрын

    Mmh

  • @mlugujoel7939

    @mlugujoel7939

    3 жыл бұрын

    Sijui

  • @athumanimngumi9983
    @athumanimngumi99834 жыл бұрын

    Haha haha hii ndio TZ nliokua naitaka

  • @jamessonofafrica4515
    @jamessonofafrica45154 жыл бұрын

    Asante sana baba wa taifa kwa kazi unao fanya tunge penda kuwa namarais kama wewe

  • @Mandugudigitalify

    @Mandugudigitalify

    4 жыл бұрын

    AFRICA inahitaji kuungana na kumpa huyu hata angaa miaka ishirini anyooshe hadi Lybia!

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz4 жыл бұрын

    3:25 waziri katoa jicho haamini kinachotokea 😂😂😂 kufumba na kufumbua huna kazi aise... Kama yesu atavorudi

  • @kwzjkwz3532

    @kwzjkwz3532

    4 жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @omikajanja1134

    @omikajanja1134

    4 жыл бұрын

    Yaan acha tu

  • @danielhumble4292

    @danielhumble4292

    4 жыл бұрын

    Hahahahahahahaaaaa ...... Kama yesu atakavorudi nakunyakua

  • @amashbaibe8361
    @amashbaibe83614 жыл бұрын

    Magufuli I just love the way u deal with issues on the sport not tomorrow wao

  • @esperancenathali
    @esperancenathali4 жыл бұрын

    Wasichana tunaweza au sio 💪💪💪💪

  • @isaacsasamoah4318
    @isaacsasamoah43183 жыл бұрын

    Am a kenyan but I loved you honoured you the way you handled tanzanian matters indeed you were people's president let God find a perfect place to get you laid 😭😭😭😭😭😭rest in peace my president

  • @IssaMHaji
    @IssaMHaji4 жыл бұрын

    Aiseee natamani Mh..MAGUFULI hata awe ni Mrithi wa Baba wa Taifa abaki na hicho cheo hadi mungu atakapo muhitaji mwenyew Yaani sijui nimfananishe na nani katika Uchapa kazi hongera sana Rais wetu CCM OYEEEEEEE

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba12044 жыл бұрын

    hahahahhaha magu amenifurahisha sana,ndo kawaida yetu wana sayansi hatuna complication,bali tuna action

  • @denisehaguma535
    @denisehaguma5354 жыл бұрын

    Tanzanian is blessed to have u,I wish all African leader should be like you

  • @linkreuben5804
    @linkreuben58044 жыл бұрын

    Hakika Magufuli ni Rais kweli kweli Asante Yesu kwa zawadi nzuri. Tanzania itasimama imara milele!

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi48284 жыл бұрын

    YANI WW MAGUFURI BONGE LA JITU LENYE MIAKILI MINGI SANA NDIO MAANA SIACHI KUKUTETEA HATA HUKU MTAANI KWA WANAO KUPONDA NA KUKUCHUKIA

  • @kingcosta2460

    @kingcosta2460

    3 жыл бұрын

    unatafta misifa wala hakuoni😂😂

  • @jeandamascenenyiridandi2208
    @jeandamascenenyiridandi22084 жыл бұрын

    Nakubari Muze Makufuri

  • @mgotemgote3993
    @mgotemgote39934 жыл бұрын

    Kapambane Dada yetu

  • @georgemashauri4657

    @georgemashauri4657

    4 жыл бұрын

    Huyo mama ni sawa na masai alie okota neema bilion 7

  • @simonkasya6500

    @simonkasya6500

    4 жыл бұрын

    Mungu akisema ndio hakuna wakusema hapana

  • @mtweveandrew1861

    @mtweveandrew1861

    4 жыл бұрын

    @@simonkasya6500 kwer kabsa

  • @shakiEntmtTv
    @shakiEntmtTv4 жыл бұрын

    We need makufuli in Kenya. 🤣🤣🤣

  • @mrmangetown4323

    @mrmangetown4323

    4 жыл бұрын

    We have only one magufu my dear .

  • @yusrahb4461

    @yusrahb4461

    4 жыл бұрын

    @@mrmangetown4323 we can share au vipi?

  • @mohamedadam5987
    @mohamedadam59874 жыл бұрын

    Hongera uncle maguu. Mie rais wangu pumbavu hajielewi kuiba ndio anajua

  • @Mandugudigitalify

    @Mandugudigitalify

    4 жыл бұрын

    ...yaani yule ana njaa za kidinasour!! Hadi mpagavu anaufanya mchongo eti!!??

  • @Itarusii
    @Itarusii4 жыл бұрын

    Style ya uongozi Mheshimiwa Rais ni ya aina yake😅

  • @neydenyo6786

    @neydenyo6786

    3 жыл бұрын

    Yaan hakuna hata balaza kukaa duh!!!

  • @Emmanuelbahatiartist
    @Emmanuelbahatiartist4 жыл бұрын

    Like this magufuli Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha75474 жыл бұрын

    That's my President ☝️❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kaburashindika5617

    @kaburashindika5617

    4 жыл бұрын

    Duuuuuuu pambeee

  • @rabbithare381
    @rabbithare3813 жыл бұрын

    That's the quality of leadership Africa lacks.. The short time the almighty gave us Maghufuli we have learnt a lot... RIP JPJM..

  • @vero57
    @vero574 жыл бұрын

    Uncle mangufuli sio muchezo

  • @mauricemunyongiro8631
    @mauricemunyongiro86314 жыл бұрын

    I like this Tz Prezzo if only Kenya can follow suit corruption will be history.

  • @marywanjiru2303

    @marywanjiru2303

    3 жыл бұрын

    Magufuli juu...Kenya haki ni kwa mwenye ako na pesa pekee anaeza Fanya chochote very corrupt

  • @ramadhanisaidi4586
    @ramadhanisaidi45864 жыл бұрын

    Hongera Rais wetu kwa kuweka nidhamu ya utumishi. Pia ni ujumbe tosha kwa jamii ambayo inatuzuunguuka. Kiukweli mke wa mtu anatakiwa aogopwe kama ukoma.

  • @lovemyselflovemyself954
    @lovemyselflovemyself9544 жыл бұрын

    Raisi wote wa Africa wange kuwa Kama wewe basi watu wa singe tegemea wazungu. Wewe ni raisi wakipekee Mungu akulinde wengine wajifunze kupitia ww 🙏🙏

  • @tz7976
    @tz79764 жыл бұрын

    Huyu mwamba namkubali sana

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa78824 жыл бұрын

    Weldone muheshimiwa Jafo na Rais

  • @frowinimwinuka9736
    @frowinimwinuka97364 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa kutupatia kiongozi mzuri hongera sana JPM

  • @eliamwamengo8119
    @eliamwamengo81194 жыл бұрын

    Safiiii

  • @amani2555
    @amani25554 жыл бұрын

    _MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA_ 😂😂😂😂

  • @sijalikifunyo912

    @sijalikifunyo912

    4 жыл бұрын

    Mwana kulifind mwana kulifound. 😁😁😁😁

  • @frankkashner

    @frankkashner

    4 жыл бұрын

    Hahaha

  • @fatmakigada3829

    @fatmakigada3829

    4 жыл бұрын

    Jaman mmenichekesha adi machozi nyie Mwana kulifind na kulifound

  • @thebigdeal4480

    @thebigdeal4480

    4 жыл бұрын

    Mwana kuli find mwana kuli get

  • @brownisalano4590
    @brownisalano45903 жыл бұрын

    Brown Isalano form Kenya I love President magufuli

  • @yassersaid8233
    @yassersaid82334 жыл бұрын

    Salute magufuli hapa kazi tu na uaminifu wengine jina tu sio waaminifu kwenye kazi kazi yao kukuangusha lakini tatizo hawajielwi ukweli ni kweli MTU ameshindwa kazi pia chini this is answear

  • @christinaonyango6085
    @christinaonyango60854 жыл бұрын

    Sina cha kukupa Baba zaidi ya kuzidi kukuombea kwa Mwenyezi Mungu,muumba wa mbingu na dunia ,kweli wewe ni mfano wa kuigwa,safi sana ,nakupenda sana.

  • @n7428
    @n74284 жыл бұрын

    Wow hua nafurahi kuona mwanamke ana fanikiwa na kutuwakilisha vema💪🏿

  • @raymondmollel2028
    @raymondmollel20284 жыл бұрын

    Amekula mboga ya watu

  • @geofreymsengi9971

    @geofreymsengi9971

    4 жыл бұрын

    Ndio ivyo amekula Mboga ivyo atajutia

  • @macmassau1994

    @macmassau1994

    4 жыл бұрын

    Ukila vya wakub........ yatakukuta

  • @christopherryoba4068
    @christopherryoba40684 жыл бұрын

    No one like you my president Jpm

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz73114 жыл бұрын

    From the bottom now top yeaa

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98984 жыл бұрын

    Hapo wapinzani hatuna hoja, kwa kweli mzee anafanya kazi inayofaa kwa kila mwananchi

  • @hassanimwakatika9822

    @hassanimwakatika9822

    4 жыл бұрын

    tunajua ni malaya wake wivu kuriko mama janet

  • @hamisimussa2228

    @hamisimussa2228

    4 жыл бұрын

    @@hassanimwakatika9822 na wew pia si Malaya wake Ndio maana unatoa povu

  • @setholivier4862

    @setholivier4862

    4 жыл бұрын

    @@hassanimwakatika9822 jinga sana

  • @esterabonga7947
    @esterabonga79474 жыл бұрын

    Raisi wetu anatembelea ukweli just why we love ya ❤️

  • @eriqo0495
    @eriqo04954 жыл бұрын

    I just love your president Tz.. Mmebarikiwa na rais mwenye maarifa.. Mungu amlinde na amjalie neema maishani

  • @fnnyanda5993
    @fnnyanda59934 жыл бұрын

    I see!!!. Jamani, Hadi leo hii, Rais Magufuli hamjamwelewa tu?!. Nawashangaa sana. Magufuli hoyeeee. Hataki janja janja na vurugu vurugu, kiburi kiburi nk.

  • @godrickngoda9961

    @godrickngoda9961

    4 жыл бұрын

    Anakula mke wa mtu katumbuliwa kweli mke wa mtu sumu wanazengo wanasemq

  • @godrickngoda9961

    @godrickngoda9961

    4 жыл бұрын

    Wanazengo wanasema

  • @benobuyoya8675

    @benobuyoya8675

    4 жыл бұрын

    @@godrickngoda9961 @ shida in pale maonyo alipewa,so sad!!

  • @vumipeter9404
    @vumipeter94044 жыл бұрын

    Huyu ndiye Baba. Mungu ampe Maisha marefu Raisi wetu. Hana ubaguzi. Ukifanya kazi hana shida na wewe.

  • @salummwanjali3207
    @salummwanjali32074 жыл бұрын

    Vitabu vya Dini vinasema usitamani cha mwenzio na kama kweli basi jutia na utubu ulicho kifanya

  • @user-qm3pi7vx9u
    @user-qm3pi7vx9u5 ай бұрын

    Tuna maliza hapa hapa,daaah uncle maguuuuu🎉🎉🎉🎉

  • @rutembesashabikumi2282
    @rutembesashabikumi22824 жыл бұрын

    He should rule 20 years ur country has never seen a ruler like him

  • @kessyselemanirajab5310

    @kessyselemanirajab5310

    4 жыл бұрын

    He is not ruling, he is leading

  • @zawadix9574

    @zawadix9574

    4 жыл бұрын

    Term limits are there to be respected he will go when his time is up we are not a dictorship

  • @ngwanafabian7532

    @ngwanafabian7532

    4 жыл бұрын

    @@kessyselemanirajab5310 any way

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah31403 жыл бұрын

    That was our beloved president...😭😭😭

  • @fetysaidsaid708
    @fetysaidsaid7084 жыл бұрын

    Safi sana bb mungu akubariki sana baba yngu 😍🙏🤲

  • @carolinekeli1088
    @carolinekeli10884 жыл бұрын

    From Kenya, Love Magu sana

  • @neemamwanga4910
    @neemamwanga49104 жыл бұрын

    Tumbua watu km hao wanatesa mpaka wake zao sababu awara anaishi kwa raha kuliko mke alafu anajiona mwamba pumbavu kabisa tumbua hiyoooo

  • @milcankwabi3676
    @milcankwabi36764 жыл бұрын

    Ndoa na iheshimiwe na watu woteeee

  • @swafaasaleh1425
    @swafaasaleh14254 жыл бұрын

    Jamn Tanzania tumebahatika kupata president km huyu 😘😘😘😘 hadi raha long life our president

  • @user-bc5kt8hh6n
    @user-bc5kt8hh6n6 ай бұрын

    Mungu akupumzishe salama baba.

  • @annikhaoya470
    @annikhaoya4704 жыл бұрын

    Magufuli Nakupenda bure Baba wa Tanzania. Ina mfano mzuri. 254 love you

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed51334 жыл бұрын

    Duh,,Mjomba MAGU ,,sio poah,,

  • @hyungtae318
    @hyungtae3184 жыл бұрын

    "Na nyinyi mkagombee wanaume mutaondoka wote..." Hahaaaaaaa😂😂😂😂😂, yaani huyu baba kanichekesha haswaaa!!!

  • @paskalmasake3342

    @paskalmasake3342

    4 жыл бұрын

    Wenye akili tumeelewa

  • @eddacharles6573

    @eddacharles6573

    4 жыл бұрын

    Yaani huyu baba akiwa ana address public huwa napenda kusikiliza nicheke stress ziishe. Magu is one of a kind 😅😅. Yaani yeye ni tit for tat no complications!!

  • @patrickissakalenga589
    @patrickissakalenga5894 жыл бұрын

    Mungu akuwezeshe Baba MAGUFULI. Mimi sio mtanzania. Ila viongozi wa Afrika kwa ngazi zote wangekuiga wewe, Afrika ingeheshimika ulimwenguni kote. Mungu akuongezee siku za kuishi na aruhusu viongozi wengine wakakuiga wewe.

  • @stevemwakalama1295
    @stevemwakalama12954 жыл бұрын

    Kenya needs servant leadership like this.

  • @janeshigami8769
    @janeshigami87692 жыл бұрын

    Who is Dasi in English...from Kenya 🇰🇪 RIP Dkt. Magu...

  • @isayamgaya6755
    @isayamgaya67554 жыл бұрын

    Huyu ndio kamanda tulikuwa siku zote tuna muitaji 💪🏿💪🏿💪🏿

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar12714 жыл бұрын

    Vyeo nje nje kwa magu

  • @paulnjeule2510
    @paulnjeule25104 жыл бұрын

    Such kind of roadside declarations have advantages and a fair share of disadvantages. A lot of consultations and deliberations should be made upfront.

  • @robertj.4484

    @robertj.4484

    2 жыл бұрын

    When will the common mwananchi be served if these endless consultations continue?

  • @IssaMRajab-su5lh
    @IssaMRajab-su5lh4 жыл бұрын

    Huyu mzee ni kiboko, wish we had this kind of Leaders in East Africa 🙌

  • @aminahamisi2837
    @aminahamisi28374 жыл бұрын

    Assante raisi wangu mpaka unalinda ndoa mashaallah mungu akuongoze Ktk kazi zako

  • @marieelias8947
    @marieelias89474 жыл бұрын

    If Africa could get ten presidents like this man , then we can consider the continent saved . Because I believe even the rest will follow the lead. Long live Magufuli ✊🏾

  • @mkulasmwanza1297
    @mkulasmwanza12974 жыл бұрын

    Asante

  • @mundiakinyuakarue1151
    @mundiakinyuakarue11513 жыл бұрын

    May you live long African king

  • @jnrhassan4629
    @jnrhassan46294 жыл бұрын

    Thats good your execelency.pongezi

  • @mkushiandikayakoachananaya7944
    @mkushiandikayakoachananaya79444 жыл бұрын

    Samahani wakubwa siko katika vyama vya siasa, lakini huyu bwana hunigusa sana yuko Kiafrika kabisa sio Kibeberu yaani USTAARABU MWINGI! Huyu Rais hana huo utamaduni wa ng'ambo hata kidogo! RAHA SANA, MICHAKATO IMEKOSA NAFASI KATIKA UTAWALA HUU!

  • @lauraabass1077
    @lauraabass10774 жыл бұрын

    Mhe bwana nampenda hapo hapo kaunganisha hadhari kama mmeisoma, kawaonya na hawa wawili wasije wakafanya udasi wao maana mhe mkuu wa mkoa kamchague mmama Afsa Tawala hafla. Inshallah kheri Tupige kazi Watanzania.

  • @allyhussein9024
    @allyhussein90244 жыл бұрын

    Rais wetu tunakuomba ufike Lushoto Tanga

  • @gadielshedaffa3333

    @gadielshedaffa3333

    4 жыл бұрын

    Kuna mbwai uko waume?

  • @kimwerionlinetv5574

    @kimwerionlinetv5574

    4 жыл бұрын

    @@gadielshedaffa3333 😂😂😂😂osie wan koma na usheko iweee ekadu eite akategheeze wandughu wetu hambu kaya hechikosa vyaonga😂😂😂😂

  • @reginasoki5025

    @reginasoki5025

    4 жыл бұрын

    Kuna nn tena

  • @allyhussein9024

    @allyhussein9024

    4 жыл бұрын

    Kuna majipu mengi

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed50314 жыл бұрын

    🤣🤣Magu oyeeee et nenden mkagombanie wanaume na mkuu wa wilaya kisarawe 🤣🤣🤣magu baba mungu akuweke milele na milele amiin

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo41014 жыл бұрын

    Ha ha Magu nimeipenda hiyo fasta fasta watu wakizingua toa hapo hapo panga wengine

  • @violetcarroll4930
    @violetcarroll49304 жыл бұрын

    tumbua tumbua mzee

  • @mussajuma1736
    @mussajuma17364 жыл бұрын

    Hongera sana rais wetu kipenzi mungu akulinde kwa yote maana wapinzaniwako hawapendi haya maendeleo ya nchi yetu sikuzote wanaombea mabaya tanzania kama wawo wazungu.lisu mbowe zitto kabwe hawo wengine kama kina lema na wenzake bendera hufata upepo two.

  • @Emma-zi9mw
    @Emma-zi9mw4 жыл бұрын

    Hakika hiki combo tuazimeni huku Bdi mwaka mumoja tu tutarejesha wallah..

  • @fredrickkagwa8853

    @fredrickkagwa8853

    4 жыл бұрын

    Hahaha mukinogewa?

  • @dianamkita6571

    @dianamkita6571

    4 жыл бұрын

    Hahaha,,Sisi waswahili husema,",kiendacho kwa mganga hakirudi"..Tunampenda Rais wetu jamani...

  • @paskalmasake3342

    @paskalmasake3342

    4 жыл бұрын

    Acheni kujidharau,,,kwan nyinyi hamuwezi?

  • @Emma-zi9mw

    @Emma-zi9mw

    4 жыл бұрын

    @@dianamkita6571 iyo ni kweli but huyo jama anastahil urais wa inci yeyote apa duniani n mfano muzuli kwa sisi vijana hongereni saana

  • @Emma-zi9mw

    @Emma-zi9mw

    4 жыл бұрын

    @@paskalmasake3342 sasa ww nduguyangu kama nimufatiriaji muzuri wa siasa na mimi na kuuliza ww kwa muono wako unaona tunaeza??

  • @hassanussein1817
    @hassanussein18173 жыл бұрын

    why white people killed this guy

  • @aishahaji3128
    @aishahaji31283 жыл бұрын

    Haaahaaa Magu ulikua unanifurahisha hasa Mungu akiweke pahali Panapostahiki

Келесі