HII NDIO MITAMBO ITAKAYO TUMIKA KATIKA BANDARI MPYA HUKO FUMBA "IMEZINDULIWA"
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 11
Mwinyi utakacho kitenda chema ndicho utakacho kuja kukivuna mbeleni na kujiwekea historia ya heshima kubwa zanzibar 😊😊😊😊
Hongera rais kusema na kutenda kwa kweli umepiga hatuwa ahadi za mdomo tu kwa kweli zinaudhi ahidi na utende rais mola akufifadh akulipe kher pence niya .........
@Awatee
5 ай бұрын
🤲🤲🤲😊
Hongereni sana zanzibar yetu
My Opinion eneo lote liwe bandari hilo dr mwinyi hakuna mfanyaji tusifanye mara mbili tukawie tufike piga kazi
@mohdmohd8428
5 ай бұрын
Sawa sawa na afanye haraka haraka mana uvamizi utakuja coz kuna fursa ya chajio
Mambo tuliyo kua tukiyatarajia yatokee ndio kama haya yanayofanyika tumeamini yajayo yanafurahisha na uchumi wa blue
Nice 😊 😊
😂😂😂 tutaa tutaaaa tutaaaaaa
Fedha za kodi sasa tunaziona
Dakika 15 tuu dar 😂