DUH! BAKHRESA BALAA | ANGALIA ALICHOKIFANYA KATIKA HOTELI ZANZIBAR
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 168
Masha'Allah hongereni sana kwa kuwa na mawazo hayo ya kuwafikiria watoto.
Maisha ni kuishi responsibly, uwezo na mchango wa Bakhresa haulipiki kwa Tanzania. Mungu tayari ameshambariki hatuna budi kumpongeza na kumshukuru kwa mchango wake kwa familia zetu, wageni na muhimu zaidi kwa Tanzania kwa ujumla. Mungu mbariki Bakhresa amin.
Hongera bakhresa Masha Allah, Allah akubarikie... Shukran ktv tz online hakika hii ni fahari yetu 👏 👏 santen
Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu
Masha Allah safi weka na masjid karibu hapa tukileta watoto pawepo na sehemu ya kusalia
@hanifbahajaj9039
4 жыл бұрын
Msikiti wa mfalme upo , msikiti aloacha sultan ,
Mashaallah very nice. Lakini mumeweka utaratibu mzuri na wasimamizi wa kutosha wenye elimu tosha ya first aid na emergency yoyote? Usalama wa watoto ndio bora zaidi. Sio watoto wanajazana ktk sehemu moja halafu wanaumizana au wanaanguka ktk maji hakuna life guard. Lazima wawepo na first aiders just incase of anything. Ni sehemu nzuri sana watoto wata enjoy na wazazi pia wanajua wapi pa kuwapeleka watoto wafurahi. I cant wait to come home with my kids so they will enjoy water park in verde
@bimmassoud6993
4 жыл бұрын
Watoto hawajazani kwa sababu kiingilio ni elf 20000
@bimmassoud6993
4 жыл бұрын
Tena 20000 kwa kichwa kimoja
@adammakoye4198
4 жыл бұрын
Mwambieni Bakhresa akajenge tena Dodoma makao makuu
@rozanyansambo8856
Жыл бұрын
Bei ya usiku mmoja hotel ya Verde ni sh ngapi Kwa bei kubwa na ya chini?
Mashaallah Zanzibar inavutia I love Zanzibar
Coming there soon Inshaa-Allah, can't wait......
MashaAllah! Mumewe mazuri sana kufurahisha wtt nanyie mutafurahika Inshallah
Wazanzibari kwa kuzaa mashallah...sasa mtu anawatoto sita au watano kwa bei hio ya tsh 20,000 nimtihani
Iazima iwepo pia security camera for all location kwasababu huwezi jua kitugani kinaweza kutoke imedietly
Hongera...hukutuelezea wana lunch hapo au buffet...Aunty breakfast include au excluded...fafanua zaidi..from kenya mombasa.
Pamoja sana I'm a train driver like hapa km uliwah kupanda train yangu Verde
Shukran kwa uwezo wa allah km tutukuwa na kingilio tutakuj
Mashllah Umependeza Je
MashaAllah tabarakaAllah
Good aides coming welcome to Zanzibar
Aaaaaaaa elfu ishirini unasema tu bro nyingi sana hizo kwa jamiiiii yetu haina haja ya kuja nishaona hapa kwa mb kidgo tuh si kwa pesa zote
Kwa jinsi hii water park ilivyo nzuri naona bei ziko poa tu, i wish ingekua uku bara, zanz mbali yahee
Masha'allaaaah!!
Mashaallah Allah
MashaAllah
hapo splashers na lazy river lazima wakuwepo life guard on position for safety
Mashallah
Lazy River sio lazy Liver... watanzania bwana wanashindwa kutofautisha kati ya "r" na "l"
@ramaally9873
4 жыл бұрын
Niwatanganyika wa la sio watanzania kwa ujumla
Mashallah 👌👏👍💃❤💯❣💖😘🥰
Mashaallah
Good wacha wazanzibar nasi tusongeshe maisha mbele kiujanja
Huyo ndie mfanya biashara sio wengine kutuletea mamba na kuwaachia waingie mwituni ili wawauwe wazanzibar
Safi
Bado kiwango ni kikubwa Sana ukilinganisha na pato la mtu kwa Sasa mtu mmoja Ana watoto sita imagine mwenyewe
Mashaallah znz yetu ishakuwa ulaya
@masoudmasoud8138
4 жыл бұрын
hhhh si ulaya ni Dubai
@samsungjsevenprime5717
4 жыл бұрын
@@masoudmasoud8138 bc haya 😄😄😄ndio maendeleo na ukandamizaji kiuchumi kila siku zikienda mbele nchi inazidi kufa
Safi sana lkn bei sio rafiki kwa sie wanyonge vitoto vyetu vitabaki kuchungulia tu kwa nje kma watapata hta hiyo fursa ya kuchungulia maana 20 elfu uwe mwanaume kweli hapo kma unavitoto 4 hapo 80 inakuhusu
@tphj2913
4 жыл бұрын
mohammed abdallah 😂😂😂asnt
@mwakahassan8742
4 жыл бұрын
Mohammed Abdul umenifurahish na ayo maneno yko ila umeongea ukweli mtupu
@mohammedabdallah6390
4 жыл бұрын
@@mwakahassan8742 wallah ndgu yngu viko vitu vifanyika nchini lkn walengwa wanajulikana we mtu una toto 6 au 5 utawatia humo na kipato chenyewe chakuungaunga hapo polo la mchele linakungoja thubutuuuuuu ndo nliposema watoto wetu sie wengine wataishia kusikia tu
@mohammedabdallah6390
4 жыл бұрын
@@mwakahassan8742 mfano mdogo hapo kariakoo tu si pesa nyingi lkn ndo unaona watoto wanavochungulia nje pale
Maashalla
Wekeni reasonable price kwa kuanzia. Bei iko juu kwa wenye uwezo mdogo na watoto zaidi ya wawili. Ekeni angalau mwenye watoto 3 basi atalipa elfu 20 kwa mtoto mmoja na elfu 10 kwa watakaofuata ili aweze ku afford.
Mashaallah mashaallah mashaallah
@masoudyrashidy9041
4 жыл бұрын
Lkn ttzo bei kubwa kutokana na uchumi wetu angalau wangeeka elfu 10
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@masoudyrashidy9041 unajua anayo ifanya zenji ivutie ni Bakharesa
@masoudyrashidy9041
4 жыл бұрын
Dah sorry si imefutika bad luck
@masoudyrashidy9041
4 жыл бұрын
Nitafute tena in sha Allah
Nice
Mimi yangu ni macho ila hiyo bakharesa amuogope pia Allah bora ajenge uislaam kwa nguvu zake zaid kuliko mambo ya mapumbao kama hayo ama atusaidie watu maskini kama mimi niliye kosa hata laki 1 ya mtaji wa biashara
@lutfyamlenge4220
4 жыл бұрын
Rashid Busanya hahah shda kumbee ndio maana kumbe huna pesa
@hussainomar1849
4 жыл бұрын
Mimi nadhani hata Hilo Ni zuri kwa watoto wetu
@suleimanally9399
4 жыл бұрын
Hakuna tatizo kwenye haya na mara nyingi anachofanya ni kusaidia jamii kufurahi hakujakatwazwa pia huduma zote kama maeneo yavkuswalia yanapatikana ni mtu mwenyewe binafsi
@mwakahassan8742
4 жыл бұрын
Rashid busanya umenisababisha nicheke kwa sauti peke yngu km taira apa
@ismaillalmohammed4001
4 жыл бұрын
Haina haja kumcheka kama vipi tumchangie apate mtaji,lakini kumcheka sio solution.
good
Wazanzibari ni watu magumu sana.hawaridhiki kwa lolote. Lazima watalitoa kasoro. Huyu aliyeandika "BALAA" anajua maana yake au kajiandikia tuu.akajifunze kiswahili kabla hajakurupuka kuandika
@zaynahassan2036
4 жыл бұрын
YAHYA AL SAQRY nikweli kabisa akiwezaka andike hongera baada ya balaa
@111dudi
4 жыл бұрын
@@zaynahassan2036 kiswahili kinavurugwa na waandishi wa magazeti na watangazaji
Leo umependeza zaidi ndugu mtangazaji
Elfu 20 pembea peke yake basi hata chipsi kidogo au soda hamna
zenj home ni balaa..
MAJID KHAMIS hakuwa namakosa uhalisia ya mambo lakin nyote mulomfokea bado dunia imewavaa busara inahitaji usikanya maoni ya mwenzio
Kwa hoyo ukija na watoto pia kila mtoto pia unamlipia 20 yake na ww mzazi pia 20 au sjaelewa vizuri
Mmi naomba kazi. mkuu
Mtangaji. Jitahidi sana muoneko wako uwe vyengine. Allah atustiri. Amin .
@alawyyussuf2598
4 жыл бұрын
Unataka muonekano wake uwe vipi ? Avae uchi au? Hayo alovaa mtangazaji ndio vazi la mtoto wa kizanzibari. Kaangalie wasafi TV ya Diamond utapata wanaokaa uchi
@salimharrasy7047
4 жыл бұрын
@@alawyyussuf2598 Sikutaja vazi hapa. Nimezungumza figer of speach. Ili muhusika atumie akili aweze kujua madhumuni hasa.
Punguzeni bei ukiwa na mtt 1 sasa ukiwa na wtt zaid ya watatu jee punguzeni na sie tu enjoy na wanetu
Hiyo bei sio mchezo. Bakhresa naona ame target wenyewe pesa tu ndio wakacheze hapo. Nakumbuka wet n World au Water World ilikiwa 7500 hivi kama sikosei na zilikuwa nzuri sana kuliko za Azam.
@ally1702
4 жыл бұрын
Mh Kaka umenikumbusha mbali Sana Mimi nilikuwa nikiingia kwa elfu mbili tu yaani mpaka Jana amini mungu naongea na mama watoto Basi tumekuongelea nikija tz in Sha Allah nikaingie
Na haswa tunaowahofia ni ndugu zetu na watoto wetu wakiinukia kuona ghururi hapo itakua hakuna kusoma kur an tena wala hawatoathirika tena na allah kwahio ww itakua umebeba dhimma Mzee
@yusufismail3116
4 жыл бұрын
Si kweli, labda kiingilio kingekuwa 500/= nasi ishirini ,thubutu hakuna mtoto atakayeshinda huko kila siku.
@shamsahaji6202
4 жыл бұрын
Huku kwa wenzetu izo ghururi kibao lkn quran msatari wa mbele kuliko ata uko nyumbani kusiko ghururi na io bei hapo unadhani mtu atapeleka wtt kila siku?km si mwaka mara moja hehehe umewaza hilo maisha yenyewe mazito si jambo la kila siku ilo mtu km kadhibiti familia yake ktk kusoma basi watasoma tu unless walezi wenyewe wawe wazembe.
Kila tukiletewa mambo kama haya ndo tunazidi kumsahau allah MM nahisi Mzee kama kunajambo muhimu sana lakufanya ili kuwasaidia watu na kutaka radhi za allah ungali fanya kuliko hizi ghururi za kidunia huo ni ushauri tu
@yusufismail3116
4 жыл бұрын
Unavyojuwa wewe muislam hapaswi kuburudika, kuna shida hapo kwenye elimu.
@IbrahimMohamed-fk5cc
4 жыл бұрын
Jitu lisilo kuwa na Shukhuran utalijuwa 2 yaani rohoo imemuuma we unataka watoto wakacheze wapi wacha rohoo kama yule anaezuia ndege za ATC
@shamsahaji6202
4 жыл бұрын
@@IbrahimMohamed-fk5cc na hio dislike moja sijui km siyake heheehe ukosefu wa shukran ni mtihani
@aliy3303
4 жыл бұрын
@@IbrahimMohamed-fk5cc tumfikishie Kwa hekma ataelewa Broo.
@famitoissanawanda6295
4 жыл бұрын
Acha roho mbaya fala wewe wivu tu!!!! Nyoooo
Raha wallah ila bei juu
Watoto wanao takiwa kulipa kuanzia umrigan maana naeza kuja na mtt ila ana miezi au mwaka VIP anatakiwa kulipa
Bei IkO juu wasonazo wataishia nje
Wazazibar tujuane hii Hotel iko maeneo gani?? Pls nipeni location
@munawwarabeid8634
4 жыл бұрын
Ilokua mtoni marine holet
@niaanthony9588
4 жыл бұрын
@@munawwarabeid8634 ahaaa OK shukran
@husnahhhahahausys7810
4 жыл бұрын
Fumba
@khamisjkrushdiy3193
4 жыл бұрын
ipo mtoni mwanzo ilikuwa inaitwa mtoni marine kabla ya kunuliwa na bakhresa
@hassanomarhassan4734
4 жыл бұрын
Ipo mtoni marine
Fanya jema upate mema hizi hotel tujue sio maendeleo kwetu bali ndio chanzo cha maovu ktk nchi yetu saiv zanzibar imeshaingiliwa na mambo tele
@suleimanally9399
4 жыл бұрын
Hapa kiukweli wanazingatia sana maadili na mambo mengi
😭
Lkn pia kuna watu hawana madrasa zakusomea Quruani na wanahitaji kujrngewa madrasa na msikiti pia sio kujenga mujenge sehemu zakustarehe za dunia tunataka tusaidiwe sehemu zakusomea
Mtu analalamika Bei utasema vile hiyo water park imejenfwa na kijiji Km Huna subir kuangalia km hv tuu WENYE nazo muende tuuuu
Munatoza pesa nyingi,uwezo wa alfu 20 kwa mtu mmoja poleni xn.
safi sana lkn bei kubwa
KTV vichwa vya habari zenu havipo Rasmi mnatumia lugha za mtaani na mara nyengine haviendani na tukio lenyewe
kwa bei hiyo noumah kweli kweli
Raisi wa zanzibar amefanya yake safiii
@mwakahassan8742
4 жыл бұрын
Kvipi apo mbon cjaelewa
@salimmohamedsalim4448
4 жыл бұрын
@@mwakahassan8742 baharesa naye pia ni raisi au mfalme
Maisha magumu kama munajali watu waje punguzeni bei kwa kila mtoto 5 mkubwa 10
Kwakwel bakhres yp vizur
Assalam alaikum MM kubwa lakusema ni innalillahi wainna ilaihiri rajiuni sisi tunaonakama ni starehe ila huu ni mtihani kwasababu tunaingia kwenye ghururi
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
🚑
@majidhassankhamis9501
4 жыл бұрын
Ndio wajna
utunzaji muhimu
Hii😅
Bei kubwa angalu elfu 10 kutokana na uchumi wetu
@hamzakombo2347
4 жыл бұрын
Elfu 10 mtajazana hahahaha
@al-bsaidykhalef6897
4 жыл бұрын
Kweli kabisa elfu kumi sio kubwa
@adammakoye4198
4 жыл бұрын
Hta mboga huwa zinaliwa kutokana na uchumi wa mtu. Pia vitafunwa hivyo hivyo huwezi kula sambusa kula bagia huwezi bagia kula mihogo au kiporo.
@endruwguzula5993
4 жыл бұрын
nikweli ila starehe sio ugali kama hauwez kaa nyumbani unahisi garama zilizotumika hapo 20 nayo nihela
@mohdsalum3832
4 жыл бұрын
@@endruwguzula5993 linawezekana kuwa wapo wanamudu ila tuwaangalie walio chini yetu kuwa na waoo pia wanahitaaji nakumbuka mungu katuumba madataja yafauti ya kiuwezo
kwaiyo wasikua wazazibari wasije
@nadhifomar9984
4 жыл бұрын
Kiswahili hujii kaka amesema hususani wazazibari ila km sio mzazibari hujakatazwa
Siku zote uvae hivyo
Mhusika mbona hajajitambulisha jina
Kaleta bala nibalaa kweli
Bei punguzeni
Nikija nitayatesa tuuu ayo madude
PEMBA VP
@jakayamati3510
4 жыл бұрын
Hahahaa bora ulize
Ila ukifanya vitu ambavyo itakua ni anasa tu itakuja kukukosti siku ya kiama kwan ww huwezi jua yawezekana ww ndo umeamsha hisia za watu kuingia kwenye starehe
Hawa ndio matajiri, hawaongei Sana ila vitendo vinajitoshelesha
@tabumussa9406
4 жыл бұрын
Rahill Hamidu mashaalah.M/MUNGU akutirie wepesi.
@tabumussa9406
4 жыл бұрын
Rahill Hamidu kabisaaa
Jumla 25000,nauli y kwenda dar
@twahiramour8892
4 жыл бұрын
Pasuka wewe
@yussufdjroo1446
4 жыл бұрын
Ss Kwenda hko Dar hyo PSA hujaitumiya
@mabrukinalhumaimi331
4 жыл бұрын
Kweli inafaa afikirie tozo aangalie na umri wa mtoto lkn kwa kweli Safi sana maa shaa Allah
@tphj2913
4 жыл бұрын
Hahaha😂 asnt
@stonetown578
4 жыл бұрын
Mwenye pesa ende asokuwa nazo na abakie nyumbani
ktv mukopoa
Mzee jitahid kufkiria vitu vya kufanya kabla hujafanya ili utakapo ondoka ulimwenguni iwe umeacha kitu ambacho kitakusaidia huko unakokwenda
@othmanhamad6991
4 жыл бұрын
Hapo hapana ghurur wala nini, sema kama ingekuwa 1000 ghurur ingekuwepo kubwa tu. Maanake hiyo foleni tu ingefika hadi darajani
Mashallah
Bei ndio shda kwa sis i wenye watoto 5 kwahyo niandae 100000 sio mchezo
@mwakahassan8742
4 жыл бұрын
Hahaha nacheka km madhuliiii