KIJANA ASHAMBULIWA NA WATU NA KUULIWA KWA MAPANGA ZANZIBAR "MATUKIO YA WIKI"
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 28
Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu
Shukran kamanda kwa taarifa sahihi na maelekezo uliotupa tutayafata 🙏
Mungu asaidie nduguzagu wa zanzibar
Ua kabisa wezi wemetuchosha
Daa hakina kiumbe kibaya jama si mwizi na jambazi gani we acha Allah atusamehe ila dawa ya mwizi kuliwa tu sheria itafata badaye Mimi nilibiwa nikapeleka kesi police ila badaye mtu humiwa kachiliwa halafu ananambia kwa Zanzibar hii Mimi sifungwi umesikia limenichoma nado mana bora tuwa uwe tu maisha gumu kwa sote
Mtihani kuchukua hatua mikononi
Wallah ni kheri kuchukuliwa sheria mikononi ndipo watakapopata fundisho maana wakipelekwa polisi siku mbili anarudi mtaani ata kesi hujui imeendaje
@yussufmohd5281
4 жыл бұрын
MW/mke ww hunahuma kumbeee
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
Huruma anayo ila chanzo ni jeshi la polisi.ikiwa asemalo kesi hazijulikani zinaishaje.mtuhumiwa siku tatu yupo mtaani anadunda? Raia wanakosa imani na jeshi la polisi japo kisheria siyo sahihi ujichukulie sheria mkononi.kurudisha imani polisi wafanye kazi sahihi kuondoa kujuana
Mhhh mitihan watu wabaya
Zenj km zenj sasa inanuka damu din haikusema tuuuwe sema wiz sometimes wanatia hasira
Jamani kafanyaje jamani kaka huyo
Mkisikia maende leo ndio hayo mapinduzi oyee
Tatizo mnawaachia ndo mana watu wanawauwa ingukuwa mnawafunga wasingeuwawa
Kazi ni kumaliza tu polisi wengi wanajuana na wahalifu, rahisi yao nikushika wasio na hatia, sasa dawa ya mwizi nikuua
Sheria zenu z kifirauni sheria z Mungu hamzitaki ndio mana munafanya dhulma na kupokea rushwa mtu akatwe mkono mumfungulie kesi y mauwaji wakati nyinyi munaua raiya hamufungumui kesi
Watu lazima wajichukulie sheria mikononi.kwa sababu muhalifu akiletwa hapa nyie polisi kazi yenu ni kuchukua rushwa na kuwaachia.jeahi la polisi mnanuka kwa rushwa na wizi
@mtitimtiti376
4 жыл бұрын
Usiseme hivyo Nchi yetu ina sheria na kila kosa lina azabu yake
@irenebeatus9481
4 жыл бұрын
Yani ni kwel hasa zanzibar mm nilidhulumiwa cm yangu lakini hakuna kilicho fanyika nipewe cm yangu na uyo mtu alikuwepo hapo..poor zanzibar haki hakuna huko kabisaaa
@mwakahassan8742
4 жыл бұрын
@@irenebeatus9481 umeongea ukwel kbs
We police unabastola ukiona mwizi anakimbia unatakiwa umpije shaba ya mguu sasa leo anakuja mwizi na panga nimkamate nikapeleka police maana biharusi lamsingi kujiami ata acid tumwagiehalafu tumlete police
Hata tukipeleka kesi kituoni hamchukuwi hatuwa yoyote tumeamua kumchukua hukmu mkononi mwetu
mwizi akiletwa kituoni asubuhi, jioni yuko mtaani, karibia alfajiri anakuja kukuibia tena. Sasa kwanini watu wasijichukulie sheria mkononi?
@muhammedsaid1565
4 жыл бұрын
Mwizi kituoni tunawapeleka sna..wamekaa sna uko kituoni masaa6 washatoka..dawa yao kama kawaida tukiwakamata kama hamuwashuhulikii..sisi hatujashindwa tutawashuhulikia..
@mwakahassan8742
4 жыл бұрын
@@muhammedsaid1565 Mm Naona vzr asa na wabakaji wanao harib watoto bs akatwe ilo guruzi lake
@muhammedsaid1565
4 жыл бұрын
@@mwakahassan8742 wao kuna sheria yao..hao kama kaowa .apikwe mawe mpk afe kama hajaowa waje wa2 walioshiba wampige pakora za nguvu mia..apo kdg itakuwa vzr
Dawa ipo kwa farooq kareem..hahaha just joke lol
Musituwekee picha za matukio ambazo hazipo katika video husika huo ni ulaghai na uongo