KIJANA ASHAMBULIWA NA WATU NA KUULIWA KWA MAPANGA ZANZIBAR "MATUKIO YA WIKI"

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 28

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90304 жыл бұрын

    Shukran kamanda kwa taarifa sahihi na maelekezo uliotupa tutayafata 🙏

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50464 жыл бұрын

    Mungu asaidie nduguzagu wa zanzibar

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas6434 Жыл бұрын

    Ua kabisa wezi wemetuchosha

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo50324 жыл бұрын

    Daa hakina kiumbe kibaya jama si mwizi na jambazi gani we acha Allah atusamehe ila dawa ya mwizi kuliwa tu sheria itafata badaye Mimi nilibiwa nikapeleka kesi police ila badaye mtu humiwa kachiliwa halafu ananambia kwa Zanzibar hii Mimi sifungwi umesikia limenichoma nado mana bora tuwa uwe tu maisha gumu kwa sote

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Mtihani kuchukua hatua mikononi

  • @khadijamajojo7123
    @khadijamajojo71234 жыл бұрын

    Wallah ni kheri kuchukuliwa sheria mikononi ndipo watakapopata fundisho maana wakipelekwa polisi siku mbili anarudi mtaani ata kesi hujui imeendaje

  • @yussufmohd5281

    @yussufmohd5281

    4 жыл бұрын

    MW/mke ww hunahuma kumbeee

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    4 жыл бұрын

    Huruma anayo ila chanzo ni jeshi la polisi.ikiwa asemalo kesi hazijulikani zinaishaje.mtuhumiwa siku tatu yupo mtaani anadunda? Raia wanakosa imani na jeshi la polisi japo kisheria siyo sahihi ujichukulie sheria mkononi.kurudisha imani polisi wafanye kazi sahihi kuondoa kujuana

  • @salummzee9739
    @salummzee97392 жыл бұрын

    Mhhh mitihan watu wabaya

  • @ramilialiy3725
    @ramilialiy37254 жыл бұрын

    Zenj km zenj sasa inanuka damu din haikusema tuuuwe sema wiz sometimes wanatia hasira

  • @claudiangowi9585
    @claudiangowi95854 жыл бұрын

    Jamani kafanyaje jamani kaka huyo

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g4 жыл бұрын

    Mkisikia maende leo ndio hayo mapinduzi oyee

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu37654 жыл бұрын

    Tatizo mnawaachia ndo mana watu wanawauwa ingukuwa mnawafunga wasingeuwawa

  • @mwazongawashe5721
    @mwazongawashe57214 жыл бұрын

    Kazi ni kumaliza tu polisi wengi wanajuana na wahalifu, rahisi yao nikushika wasio na hatia, sasa dawa ya mwizi nikuua

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Sheria zenu z kifirauni sheria z Mungu hamzitaki ndio mana munafanya dhulma na kupokea rushwa mtu akatwe mkono mumfungulie kesi y mauwaji wakati nyinyi munaua raiya hamufungumui kesi

  • @alijuma1189
    @alijuma11894 жыл бұрын

    Watu lazima wajichukulie sheria mikononi.kwa sababu muhalifu akiletwa hapa nyie polisi kazi yenu ni kuchukua rushwa na kuwaachia.jeahi la polisi mnanuka kwa rushwa na wizi

  • @mtitimtiti376

    @mtitimtiti376

    4 жыл бұрын

    Usiseme hivyo Nchi yetu ina sheria na kila kosa lina azabu yake

  • @irenebeatus9481

    @irenebeatus9481

    4 жыл бұрын

    Yani ni kwel hasa zanzibar mm nilidhulumiwa cm yangu lakini hakuna kilicho fanyika nipewe cm yangu na uyo mtu alikuwepo hapo..poor zanzibar haki hakuna huko kabisaaa

  • @mwakahassan8742

    @mwakahassan8742

    4 жыл бұрын

    @@irenebeatus9481 umeongea ukwel kbs

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo50324 жыл бұрын

    We police unabastola ukiona mwizi anakimbia unatakiwa umpije shaba ya mguu sasa leo anakuja mwizi na panga nimkamate nikapeleka police maana biharusi lamsingi kujiami ata acid tumwagiehalafu tumlete police

  • @moosala5702
    @moosala57024 жыл бұрын

    Hata tukipeleka kesi kituoni hamchukuwi hatuwa yoyote tumeamua kumchukua hukmu mkononi mwetu

  • @el_chilubi7458
    @el_chilubi74584 жыл бұрын

    mwizi akiletwa kituoni asubuhi, jioni yuko mtaani, karibia alfajiri anakuja kukuibia tena. Sasa kwanini watu wasijichukulie sheria mkononi?

  • @muhammedsaid1565

    @muhammedsaid1565

    4 жыл бұрын

    Mwizi kituoni tunawapeleka sna..wamekaa sna uko kituoni masaa6 washatoka..dawa yao kama kawaida tukiwakamata kama hamuwashuhulikii..sisi hatujashindwa tutawashuhulikia..

  • @mwakahassan8742

    @mwakahassan8742

    4 жыл бұрын

    @@muhammedsaid1565 Mm Naona vzr asa na wabakaji wanao harib watoto bs akatwe ilo guruzi lake

  • @muhammedsaid1565

    @muhammedsaid1565

    4 жыл бұрын

    @@mwakahassan8742 wao kuna sheria yao..hao kama kaowa .apikwe mawe mpk afe kama hajaowa waje wa2 walioshiba wampige pakora za nguvu mia..apo kdg itakuwa vzr

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62024 жыл бұрын

    Dawa ipo kwa farooq kareem..hahaha just joke lol

  • @suleimanali8110
    @suleimanali81104 жыл бұрын

    Musituwekee picha za matukio ambazo hazipo katika video husika huo ni ulaghai na uongo

Келесі