KIMEUMANA !!! Msimamo Mkali wa Tundu Lissu Sakata la Wamasai Ngorongoro "Inaingiaje Akilini ...?"
Hotuba ya Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu akizungumza na wakazi wa Ngorongoro leo Septemba 08, 2023.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama
Пікірлер: 54
Duuh unatisha sana bro mungu anasaidiya kwenye safari yako jamani 💪💪🇹🇿🇹🇿♥️♥️
Lisu ubarikiwe sana.Jamani ndugu zetu wa masai wasaidiwe kuweka kumbukumbu zao vizuri.
Mh Rais Samia sikia hiyo historia ya arthi anoishi wamasai kwa ajili ya mifugo yao mnawandoa kwa sababu hawalimi mnaona kama ni mapori wazi,kumbe sivyo wanalinda kwa ajili ya maisha yao na mifugo yao.Waacheni wafugaji waishi mapori yao na wanyama wa kufugwa na wa porini.vyote ni mali ya Mungu.
Lissu ni mfuatiliaji san wa vitu ikitokea akapata nafas ya uongozi katk nchi yetu hakika tutaona mabadiliko,,,, Inatakiwa ifike mda tuwape wapinzan nao nafas
@jumamakuri9176
10 ай бұрын
Asipofuatilia atapaje hizo kiki za mikutano yake. Hakuna lolote ....
@ramadhanmahongole9293
10 ай бұрын
Kweli ccm kwa sasa akili imechoka wanaongoza nchi kwa mazoea ndomana maendeleo hakuna
@amerjuma4574
10 ай бұрын
Mungu asijempa hata nafasi ya uongozi hyo
nikweli kabisa mweshimiwa tundulissu
Ukishindwa kumweelewa Lisu ,hautaelwa Hata wakibomoa kichwa chako ili waingie ndani ya ubongo wakuelimishi napo hautaelwa.
Jamani Mimi ni mtu wa Zambian mwaacheni waMmasai kwenye maeneo Yao!!hata Kuna nchi nyingi wanataka hiyo kabila Yani ni watu ambao wanatakiwa kuigwa sababu
Ccm hapo ndipo mnapofeli jibu hoja sio police wawa saidie kuzuia ukweli wapinzani wapo sahihi sana.....
dah sijui ni kweli anachokizungumza tundu lissu ila kama ni kweli aisee Mungu atusaidie sana Tanzania
Serengeti n Moja kati ya shamba la bibi la urithi Kwa Tanzania...we have t be careful Kuna jambo linaendelea
Kwanza napenda kuwasifu.police wa ngorongoro kwa.ujasiri walioutumia kuwaachia wamasai na lisu kufanya mkutano wao km police wangekuwa wanaacha wapiga kura wananchi km hivi mbona tungiweka nchi ya utawala bora sio kuwasaidia ccm kuiba kura Mnafanya km hamjaona kinachoendelea ..km mataifa mengine wananchi waamuzi wa kuchagua kiongozi wanayomtaka
@KelvinMtavangu-ow8yo
10 ай бұрын
Huu ni wenda wazimu kuuza nchi vipandevipande kisingizio kujenga uchumi? Aibuaibu. Kila anayefanya hili atskumbukwa kwa mabaya aliyowatendea binadamu wenzake. Mungu daima ni mwema.
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Wenye shibe ya hongwa na tishet na kanga na kofia ndo hawamuelewi tundulisu.Sisi tuliolemewa na matozo ya ccm tunamuelewa sana.
Sijawai mwelewa huyu jamaa hta cku moja
🤘🤘🤘🙏🙏
✌️👍👊.
naamini asiemuerewa tundu lius ni hao tunyanayasa ila sisi tulio elemewa na matatizo tunamuolewa sana
👊👍✌.
Tunaomba ugombee ubunge 2024 baba
Jamani mbona tunatezwa kama watumwa meshimwa.wetu ebu tututete kwenye nchi yetu ya tanzania jamani kwani inamana sisi siyo tanzaina
Sasa ni wakati kutamka raisi ajiuzulu
Nchi ya watanganyika na wazanzibari sio ya wamasai
@gabrielmamela2206
10 ай бұрын
Kama sio ya wamasai hebu wachukuliwe waletwe kwenye shamba la baba yako kama hutapiga kelele
@yussufmussa8122
10 ай бұрын
@@gabrielmamela2206toka maonii mipashooo peleka kwakoo
lissu amejitoa maisha yake kutetea Watanzania wote tumuunge mkono sote 2025 ccm ni janga la taifa hili
Siasa inacheza Sana na maisha yetu Wanasiasa wanatembelea humo humo wakikutana na wakulima wanajifanya wanalia na wakulima wakikutana na wafugaji hivyo hivyo wanavaa magolole wanalia nao😂😂😂 Hii yote ni MATUMBO YETU YAPATE CHOCHOTE
@AsajileMbukwa-ii6rc
10 ай бұрын
Uwe mstarabu bas hata kidogo
Ccm inaenda kudondoka
Mapolisi hsmna thamani kabisa kwa serikali msingethulumiwa mafao kwa wastafu
huyu mnafiki tu alienda zanzibar akajifanya anawatetea mara oooh muungano unawanyonya mara muungano hauna maslahi kwenu juzi sakata kabandari kaja namengine kwaufupi huyu nimnafiki mchohezi tu
@othmarluwawilo8308
2 ай бұрын
Kwa kuwa wewe kipofu, mjinga elimu huna , unatatea ujinga, mali zetu zinachukuliwa na wakoloni wa kiarabu. Rais kapofushwa na hongo za Mwarabu. Nyerere, mkapa, kikwete naye tamaa na kulimbikiza mali kwa kuuza mali za nchini hii. Nyoooko.
Serengeti ni Nchi ya wamasai 😂😂😂 siasa nyookoooo
Huyu jamaa hatumii akilli
@bminawandu
10 ай бұрын
Wwe ndio Una akili watu wanafukuzwa kwenye makazi ya wwe umekalia ushabiki Tu
Wapizan hawana jipya, yan chma tawala hakina jema lakufanya mukalipongeza yani nyinyi upizani2
@joshpraisebuzaniye2958
10 ай бұрын
Baba atapongezwa kulea watoto na kuwa somesha!!? No ni wajibu wake ila asipo fanya hivyo tutamsema hafai
ndio maana hata hapa amevaa shuka lakimasai huyu mnafiki tu
Lissu unadanganya wamasai,acha uongo
@tumsifumunuo2602
10 ай бұрын
Sema ukweli wako!
@PatrickMasinde
10 ай бұрын
Kwani ww ni mojawapo wa nynyazaji wa maasi utakufa tu na utacha ardhi
Anataka hifadhi zife?
@omarypetro3207
10 ай бұрын
Mtoto mdogo kaa kimyaaa tena ikibidi kakojoe ukalale😡
@bminawandu
10 ай бұрын
Akili Una kwaiyo Bora WA nyama kuliko binadamu mwenzia chizi wwe
@frankdmushi
10 ай бұрын
@@bminawandu kuna binadamu (mtanzania( aliyekosa eneo la kuishi?? Mbona nchi ina maeneo ya kutosha, kwanini watu waendelee kung'ang'ania kukaa kwenye maeneo ya hifadhi??
@frankdmushi
10 ай бұрын
@@omarypetro3207 Serengeti shall NEVER DIE, Tarangire SHALL NEVER DIE, Lake Manyara NP SHALL NEVER DIE, Ngorongoro SHALL NEVER DIE, Pololeti GR SHALL NEVER DIE, Mkomazi SHALL NEVER DIE, Mkungunero SHALL NEVER DIE,,,Tanzania National parks, the pride of our nations, our generation.
Huyu mnafiki nomber 1 Tanzania haijawahi kutokea!
@leverimlaki5667
10 ай бұрын
Ila mengi aliyowahi shauri ndiyo yametokea vilevile. Sasa sijui hapo nani mnafiki? Cha msingi kile anachosema kwa lengo la kusaidia nchi kipokelewe vizuri.
@user-vr9id8qt5y
10 ай бұрын
Nkwel mbna viongoz wako wapo vzr ila jarbu kuangalia unayoongea nyie ikifka 2025 nyie ndowakuwafungia tu ndan
Binadamu tuna mambo ya ovyo sana leo binadamu wanaona bora wanyama kuliko binadamu mwenzake dah
Nchi yetu ikiendekeza siasa na wana siasa nadhani baada ya muda wananchi tukubali kuwa hatutakua na hifadhi,wala mapori tengefu,bado sielewi kabisa namna wanasiasa wanavyotaka nchi ipelekwe.uharibifu wa mazingira ni hatari mno kwa nchi yetu kwa sasa na baadae. Wanasiasa ni kama ngedere tukizubaa tutavuna mabua na raha yao tu ni madaraka