KIMEUMANA !!! Msimamo Mkali wa Tundu Lissu Sakata la Wamasai Ngorongoro "Inaingiaje Akilini ...?"

Hotuba ya Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu akizungumza na wakazi wa Ngorongoro leo Septemba 08, 2023.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama

Пікірлер: 54

  • @SonkoMolle-if3tz
    @SonkoMolle-if3tz10 ай бұрын

    Duuh unatisha sana bro mungu anasaidiya kwenye safari yako jamani 💪💪🇹🇿🇹🇿♥️♥️

  • @ChristerShao
    @ChristerShao10 ай бұрын

    Lisu ubarikiwe sana.Jamani ndugu zetu wa masai wasaidiwe kuweka kumbukumbu zao vizuri.

  • @lazarololusu4594
    @lazarololusu459410 ай бұрын

    Mh Rais Samia sikia hiyo historia ya arthi anoishi wamasai kwa ajili ya mifugo yao mnawandoa kwa sababu hawalimi mnaona kama ni mapori wazi,kumbe sivyo wanalinda kwa ajili ya maisha yao na mifugo yao.Waacheni wafugaji waishi mapori yao na wanyama wa kufugwa na wa porini.vyote ni mali ya Mungu.

  • @davidkitindi4096
    @davidkitindi409610 ай бұрын

    Lissu ni mfuatiliaji san wa vitu ikitokea akapata nafas ya uongozi katk nchi yetu hakika tutaona mabadiliko,,,, Inatakiwa ifike mda tuwape wapinzan nao nafas

  • @jumamakuri9176

    @jumamakuri9176

    10 ай бұрын

    Asipofuatilia atapaje hizo kiki za mikutano yake. Hakuna lolote ....

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    10 ай бұрын

    Kweli ccm kwa sasa akili imechoka wanaongoza nchi kwa mazoea ndomana maendeleo hakuna

  • @amerjuma4574

    @amerjuma4574

    10 ай бұрын

    Mungu asijempa hata nafasi ya uongozi hyo

  • @MatayoMollel-vi5ks
    @MatayoMollel-vi5ks10 ай бұрын

    nikweli kabisa mweshimiwa tundulissu

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule501710 ай бұрын

    Ukishindwa kumweelewa Lisu ,hautaelwa Hata wakibomoa kichwa chako ili waingie ndani ya ubongo wakuelimishi napo hautaelwa.

  • @user-rn8es8wl2r
    @user-rn8es8wl2r10 ай бұрын

    Jamani Mimi ni mtu wa Zambian mwaacheni waMmasai kwenye maeneo Yao!!hata Kuna nchi nyingi wanataka hiyo kabila Yani ni watu ambao wanatakiwa kuigwa sababu

  • @davidedson6560
    @davidedson656010 ай бұрын

    Ccm hapo ndipo mnapofeli jibu hoja sio police wawa saidie kuzuia ukweli wapinzani wapo sahihi sana.....

  • @josephsilinu6048
    @josephsilinu604810 ай бұрын

    dah sijui ni kweli anachokizungumza tundu lissu ila kama ni kweli aisee Mungu atusaidie sana Tanzania

  • @SalumBabu-su9fm
    @SalumBabu-su9fm10 ай бұрын

    Serengeti n Moja kati ya shamba la bibi la urithi Kwa Tanzania...we have t be careful Kuna jambo linaendelea

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131910 ай бұрын

    Kwanza napenda kuwasifu.police wa ngorongoro kwa.ujasiri walioutumia kuwaachia wamasai na lisu kufanya mkutano wao km police wangekuwa wanaacha wapiga kura wananchi km hivi mbona tungiweka nchi ya utawala bora sio kuwasaidia ccm kuiba kura Mnafanya km hamjaona kinachoendelea ..km mataifa mengine wananchi waamuzi wa kuchagua kiongozi wanayomtaka

  • @KelvinMtavangu-ow8yo

    @KelvinMtavangu-ow8yo

    10 ай бұрын

    Huu ni wenda wazimu kuuza nchi vipandevipande kisingizio kujenga uchumi? Aibuaibu. Kila anayefanya hili atskumbukwa kwa mabaya aliyowatendea binadamu wenzake. Mungu daima ni mwema.

  • @amanmalima940
    @amanmalima94010 ай бұрын

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @user-uk3eg3uo7s
    @user-uk3eg3uo7s10 ай бұрын

    Wenye shibe ya hongwa na tishet na kanga na kofia ndo hawamuelewi tundulisu.Sisi tuliolemewa na matozo ya ccm tunamuelewa sana.

  • @user-iv7st2ku5r
    @user-iv7st2ku5r10 ай бұрын

    Sijawai mwelewa huyu jamaa hta cku moja

  • @user-mi4wc9nz5l
    @user-mi4wc9nz5l10 ай бұрын

    🤘🤘🤘🙏🙏

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything10 ай бұрын

    ✌️👍👊.

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo279410 ай бұрын

    naamini asiemuerewa tundu lius ni hao tunyanayasa ila sisi tulio elemewa na matatizo tunamuolewa sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything10 ай бұрын

    👊👍✌.

  • @user-ie3uq7os4p
    @user-ie3uq7os4p10 ай бұрын

    Tunaomba ugombee ubunge 2024 baba

  • @PatrickMasinde
    @PatrickMasinde10 ай бұрын

    Jamani mbona tunatezwa kama watumwa meshimwa.wetu ebu tututete kwenye nchi yetu ya tanzania jamani kwani inamana sisi siyo tanzaina

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright193810 ай бұрын

    Sasa ni wakati kutamka raisi ajiuzulu

  • @salumsaid1545
    @salumsaid154510 ай бұрын

    Nchi ya watanganyika na wazanzibari sio ya wamasai

  • @gabrielmamela2206

    @gabrielmamela2206

    10 ай бұрын

    Kama sio ya wamasai hebu wachukuliwe waletwe kwenye shamba la baba yako kama hutapiga kelele

  • @yussufmussa8122

    @yussufmussa8122

    10 ай бұрын

    ​@@gabrielmamela2206toka maonii mipashooo peleka kwakoo

  • @msabahaali758
    @msabahaali7583 ай бұрын

    lissu amejitoa maisha yake kutetea Watanzania wote tumuunge mkono sote 2025 ccm ni janga la taifa hili

  • @user-bp9rb3id3f
    @user-bp9rb3id3f10 ай бұрын

    Siasa inacheza Sana na maisha yetu Wanasiasa wanatembelea humo humo wakikutana na wakulima wanajifanya wanalia na wakulima wakikutana na wafugaji hivyo hivyo wanavaa magolole wanalia nao😂😂😂 Hii yote ni MATUMBO YETU YAPATE CHOCHOTE

  • @AsajileMbukwa-ii6rc

    @AsajileMbukwa-ii6rc

    10 ай бұрын

    Uwe mstarabu bas hata kidogo

  • @samwelirashidimsafiri3742
    @samwelirashidimsafiri374210 ай бұрын

    Ccm inaenda kudondoka

  • @user-bx3em9jc6m
    @user-bx3em9jc6m9 ай бұрын

    Mapolisi hsmna thamani kabisa kwa serikali msingethulumiwa mafao kwa wastafu

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri114910 ай бұрын

    huyu mnafiki tu alienda zanzibar akajifanya anawatetea mara oooh muungano unawanyonya mara muungano hauna maslahi kwenu juzi sakata kabandari kaja namengine kwaufupi huyu nimnafiki mchohezi tu

  • @othmarluwawilo8308

    @othmarluwawilo8308

    2 ай бұрын

    Kwa kuwa wewe kipofu, mjinga elimu huna , unatatea ujinga, mali zetu zinachukuliwa na wakoloni wa kiarabu. Rais kapofushwa na hongo za Mwarabu. Nyerere, mkapa, kikwete naye tamaa na kulimbikiza mali kwa kuuza mali za nchini hii. Nyoooko.

  • @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm
    @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm10 ай бұрын

    Serengeti ni Nchi ya wamasai 😂😂😂 siasa nyookoooo

  • @user-cr9ou5fn4t
    @user-cr9ou5fn4t10 ай бұрын

    Huyu jamaa hatumii akilli

  • @bminawandu

    @bminawandu

    10 ай бұрын

    Wwe ndio Una akili watu wanafukuzwa kwenye makazi ya wwe umekalia ushabiki Tu

  • @amerjuma4574
    @amerjuma457410 ай бұрын

    Wapizan hawana jipya, yan chma tawala hakina jema lakufanya mukalipongeza yani nyinyi upizani2

  • @joshpraisebuzaniye2958

    @joshpraisebuzaniye2958

    10 ай бұрын

    Baba atapongezwa kulea watoto na kuwa somesha!!? No ni wajibu wake ila asipo fanya hivyo tutamsema hafai

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri114910 ай бұрын

    ndio maana hata hapa amevaa shuka lakimasai huyu mnafiki tu

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura428410 ай бұрын

    Lissu unadanganya wamasai,acha uongo

  • @tumsifumunuo2602

    @tumsifumunuo2602

    10 ай бұрын

    Sema ukweli wako!

  • @PatrickMasinde

    @PatrickMasinde

    10 ай бұрын

    Kwani ww ni mojawapo wa nynyazaji wa maasi utakufa tu na utacha ardhi

  • @frankdmushi
    @frankdmushi10 ай бұрын

    Anataka hifadhi zife?

  • @omarypetro3207

    @omarypetro3207

    10 ай бұрын

    Mtoto mdogo kaa kimyaaa tena ikibidi kakojoe ukalale😡

  • @bminawandu

    @bminawandu

    10 ай бұрын

    Akili Una kwaiyo Bora WA nyama kuliko binadamu mwenzia chizi wwe

  • @frankdmushi

    @frankdmushi

    10 ай бұрын

    @@bminawandu kuna binadamu (mtanzania( aliyekosa eneo la kuishi?? Mbona nchi ina maeneo ya kutosha, kwanini watu waendelee kung'ang'ania kukaa kwenye maeneo ya hifadhi??

  • @frankdmushi

    @frankdmushi

    10 ай бұрын

    @@omarypetro3207 Serengeti shall NEVER DIE, Tarangire SHALL NEVER DIE, Lake Manyara NP SHALL NEVER DIE, Ngorongoro SHALL NEVER DIE, Pololeti GR SHALL NEVER DIE, Mkomazi SHALL NEVER DIE, Mkungunero SHALL NEVER DIE,,,Tanzania National parks, the pride of our nations, our generation.

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl10 ай бұрын

    Huyu mnafiki nomber 1 Tanzania haijawahi kutokea!

  • @leverimlaki5667

    @leverimlaki5667

    10 ай бұрын

    Ila mengi aliyowahi shauri ndiyo yametokea vilevile. Sasa sijui hapo nani mnafiki? Cha msingi kile anachosema kwa lengo la kusaidia nchi kipokelewe vizuri.

  • @user-vr9id8qt5y

    @user-vr9id8qt5y

    10 ай бұрын

    Nkwel mbna viongoz wako wapo vzr ila jarbu kuangalia unayoongea nyie ikifka 2025 nyie ndowakuwafungia tu ndan

  • @bminawandu
    @bminawandu10 ай бұрын

    Binadamu tuna mambo ya ovyo sana leo binadamu wanaona bora wanyama kuliko binadamu mwenzake dah

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe22210 ай бұрын

    Nchi yetu ikiendekeza siasa na wana siasa nadhani baada ya muda wananchi tukubali kuwa hatutakua na hifadhi,wala mapori tengefu,bado sielewi kabisa namna wanasiasa wanavyotaka nchi ipelekwe.uharibifu wa mazingira ni hatari mno kwa nchi yetu kwa sasa na baadae. Wanasiasa ni kama ngedere tukizubaa tutavuna mabua na raha yao tu ni madaraka

Келесі