#ZANZIBAR
Ойын-сауық
Our news is accompanied by various advertisements. We are not responsible for paying the reader or viewer of such advertisements so it is your optional to visit this site. For comments, business or any complaints, please contact us.
Binagi Media Group
S.L.P 265 Mwanza
Simu: +255 (0) 757 43 26 94
Barua Pepe: binagimediagroup@gmail.com
Tovuti: www.bmgblog.co.tz/
Habari zetu zimeambatana na matangazo mbalimbali. Hatuwajibiki kumlipa msomaji ama mtazamaji wa matangazo hayo hivyo ni hiari yako kutembelea mtandao huu. Kwa maoni, biashara ama malalamiko yoyote, wasiliana nasi tafadhali.
BLOG @BMG BLOG
Facebook @BMG HABARI
Twitter @bmghabari
Instagram @bmghabari
PAMOJA DAIMA BMG
Пікірлер: 32
Muongo mkubwa huyu kamanda unajifanya mcha Mungu kumbe ni mnafiki sana hii ni Dunia tu iko siku utaindoka katika cheo hicho utawataka wenzio watu wanakufa nyinyi munakataa hakuna aliyekufa kumbe munauwa ikisha munakataa
Kiufupi mara hii hakukua na uchaguzi yalikuwa mapinduzi
Tembeeni muone haki za binaadamu zinavo fanya kazi Tanzania ni mauwaji tu viongozi hawajali utu wanajali maslahi yao na kiwafurahisha walio wachache ila juwengu Mungu mdiye muweza wamkilakitu na Kila mtu atahukumiwa kwa aliyo yafanya ma Inshaallah atawazibu wale wote walio shiriki kufanya zulma na wote walio sherehekea zulma hiyo
wameletwa watu kuja kutupiga risasi na watu wamepoteza maisha
waongooooo wakubwa kwel
...Hamna mabomu ya Vita AsanteSana Ila ya Pilipili yapo... Mwandishi anapenda Kokolo iwe. Tanzania. .. mwandishi ametumwa???!?!
Askari mjiandae umoja wa mataifa umeanza kumulika kumanina zenu
Hatusahau huu ni uchaguzi au vita
waongo wakubwa nyinyi
Nini kura ya mapema?lazim liwe zogo.
Wazanzibar acheni kupigania utaifa, piganieni Uislam wenu usimame
@sameramwajdu9029
3 жыл бұрын
Bila ya taifa bora na uislam hausimami máana hao wanaotawala nimakafiri hapo patakuwa na uislam miaka 7 mpaka saivi masheikh walikuwa wakiongoza kwa dini ya kiislam wako ndani apo ww utasema pana uislam
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Weed acgaujinga msenge usojielewa kwani ulisikia watu wanachagua dini apa kafirweuko usikoment Mambo yasio kuhusu khanidhi wakishetani ww
Mtakubaliii..
Wewe muongo police mumeuwa Pemba na mmezalilisha watu kwa kila hali na km unakataa ushahidi upo picha na vedeo maafa mulio yafanya
Kwenye watu wengi hamukuweka kura ya mapema zanzibar hakuna watu wa kuweka kura siku 2
Waongo hao washenzi tu wamekusudia watuue, kusudi na ndo maana wameleta majeshi mwanzo
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
👍 ndio ila hukumu Allah ataipitisha
Zanzibar acheni kuharibu amani yetu ya tanzania msije mkajuta baadae mtajuta kama libya walivyo juta vita ni mbaya sana
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Km unaogopa kufa niwewetu sisi hatuogopi mjinga mmoja tuache watuue bilakisa nakura watuibie kimbia ww ichokifo km unasehemu yakujificha ilass tutagombania hakiyetu malaya makubwa ww kafirweuko achasstufe
Yani huyu mshezn anaongea kama anaongea na mtoto yana anafanya hao wanomuuliza hawajui
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Nakama wanajua kwanini wamuulize mjinga wewe unapewa ww faidabasi
Watu nchi zilizoendelea hawapigwi kwa kuyawasha matairi kwa moto ,wazima.moto wanawarushia maji tu.wacheni ujinga huo africa kazi kuuwana tu kwa ziki .hamna aibu wala ubinaadamu wapumbavu nyinyi. Mutazidi kudidimia chini . Waprnzi nchi wazungu au waarabu muendelee wacheni ujinga
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Niviongozi wasio thamini raiawake pia wamezowea kushinda kwawizi kwaio bilayafanya hivo kuuwa nakujeruhi watu hawatopata kuiba
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Hii niserekali yaharamu nasio yahaki kwawananchiwake
cio kwel ni uongo mtupu
@BMGOnlineTV
3 жыл бұрын
Ukweli ni upi?
@hamiyarsaid5251
3 жыл бұрын
@@BMGOnlineTV ukwel ni watu wamepigwa na kuuliwa huo ndiyo ukwel tena wameuliwa bila ya sababu
Zanzibar wameanza leo kura ya mapema ikiyahusisha makundi maalum ambayo kesho yatakuwa na majukumu kwenye kura itakayohusisha wananchi wote.
@fazilaabdallah9937
3 жыл бұрын
Mbona dsm . Hakuna kura ya mapema.hamjuwi uonevu huo?
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Kwaio mulio ionanyy nihukumu yakuratu yawizi na udhalimu munao ufanya hamuioni mbeleyaki au niseme sikuya mwisho mn nyie hanjuihaki mafiri mulolaaniwa namungu nyie
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Wanzanzibari hajazowea wizi Wala hawajawahi kufikiria kulifanya hilo hiotabia mnayo wabara namiayote hamsindi kihalali bali nikwawizi namauwaji ilamungu atawaali moto unawangojea