Maandamano ya umma yaanza Zanzibar muda huu

Maandamano yameanza hivi sasa yakiongozwa na viongozi wakuu wa chama cha ACT Wazalendo.

Пікірлер: 456

  • @belkeymmaka7288
    @belkeymmaka72883 жыл бұрын

    Allah atawafanjia Wepes kwa kil.zito yarabi

  • @mohdalkidarasa7888

    @mohdalkidarasa7888

    3 жыл бұрын

    Watu Lkn hawana umoja mbona maandamano yenyewe watu wawili

  • @aldaghariaziyz6420
    @aldaghariaziyz64203 жыл бұрын

    Yaarabbi tupe nguvu na sisi tuwamalize hawa yani mpka kiongoz we2 yko mstari wa mbele

  • @kingstonendawa8671
    @kingstonendawa86713 жыл бұрын

    Mnachokifanya hamkijuwi ndugu zangu watanzania nawahusia Muogope Mungu na mthamini family zenu.kutoka Burundi mimi niyatima kisa vita.wenye njaa watakufa wakitetea walio shiba na maskini watakufa kisa kuteteya matajiri na hakuna atakae tetea family yako bada yaweye kufa ima kuwa mlemavu

  • @namirihamisi3899

    @namirihamisi3899

    3 жыл бұрын

    bora uwaambie huyo anaewashawishi wala hajitokezi kukusaidia ukipatwa na majanga.

  • @sniper93999

    @sniper93999

    3 жыл бұрын

    Mm nakuw nawaangalia tuuh wanavyo chezewa akili zao

  • @jamilambarouk4746

    @jamilambarouk4746

    3 жыл бұрын

    Hawajielew hao wanaendeshwa t wakipigwa wadai wameonea usalama wa taifa letu Una thaman kuliko kikundi Cha Watu na maslah yao

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын

    Yaa Allah walinde wazanzibar na haki yao' uwashinde madhalim 'yarabb usiwache peke yao teremsha jeshi lako' liwasaidie wanyonge wazanzibar

  • @motemohamedmote4935

    @motemohamedmote4935

    3 жыл бұрын

    Allahum'ma Aamiin Ya Rabby

  • @rahimasaid3674

    @rahimasaid3674

    3 жыл бұрын

    Amiin thuma amiin

  • @omanomqn4345

    @omanomqn4345

    3 жыл бұрын

    Amiina, mungu wasaidie Hawa waja wanadhulumiwa haki Yao, mwaka wa ngapi huh

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    3 жыл бұрын

    Allahuma Aamin

  • @alishai4328

    @alishai4328

    3 жыл бұрын

    Allahuma amin

  • @samiramahmud406
    @samiramahmud4063 жыл бұрын

    Ya Allah🤲 walinde Ndugu zetu Wote Zanzibar🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭 Ya Allah🤲 Tunakuomba Uwape Haki Yao Wazanzibari, Yaarabi 🤲🤲🤲😭😭😭😭

  • @zuumasoud5070

    @zuumasoud5070

    3 жыл бұрын

    Ameen yarab

  • @alimuhamed1830

    @alimuhamed1830

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    3 жыл бұрын

    Inshallah

  • @mamysaga1686
    @mamysaga16863 жыл бұрын

    yaarabi tufanyie wepesi ktk maandamano hayo

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын

    Yaarabb hakika madhalim hawaoni aibu hata kudhulumu kwa dhahir 'hakika Allah hushindwi kuwashika mara moja

  • @snsonlinetv8432
    @snsonlinetv84323 жыл бұрын

    Yani miccm hata aibu haina imefanya uchaguzi mara mbili na imeshindwa hawajatosheka wanabadilisha matokeo ya maalim wanampa mwinyi ila in shaa Allah mungu ataisimamisha haki

  • @nanahtalib8843

    @nanahtalib8843

    3 жыл бұрын

    Amiin inshallah

  • @lkshmykomar5472

    @lkshmykomar5472

    3 жыл бұрын

    Amina Yarab alamin

  • @salwasuleiman8943

    @salwasuleiman8943

    3 жыл бұрын

    Una ushahidi katika hilo au unaongea tu kumbuka kama unaloongea huna ushahidi nalo utakuwa mas,uliya utakuwa umezusha

  • @mossmoss8794

    @mossmoss8794

    3 жыл бұрын

    Sio uzushi kila kitu kipo waz wala usijidanganye

  • @rahmaabdulla4949

    @rahmaabdulla4949

    3 жыл бұрын

    Waanaenda kuyatafuta wenywe wakipigwa wanaona wanaonewa . Walivokuwa hawanaakilia sasa wanacha familia zao roho juu mwenzao yuko kwake na familia yake habari hana anakuacheni nyie wapuuzi mkauliwe uko

  • @rudahhakem2668
    @rudahhakem26683 жыл бұрын

    Hii ccm mijibwa mikubwa mungu atawalani inshallah Allah mungu tufanyie wepesi Amiin 🤲

  • @mshanimsasu5764

    @mshanimsasu5764

    3 жыл бұрын

    Atakulaani wewe mvivu wa fikra

  • @mshanimsasu5764

    @mshanimsasu5764

    3 жыл бұрын

    Msimshilikishe mwenyezi Mungu kwa tamaa zenu wenyewe

  • @jamilambarouk4746

    @jamilambarouk4746

    3 жыл бұрын

    Unaonekana huko Sawa

  • @mtufulan9997
    @mtufulan99973 жыл бұрын

    Nomaaa!! Heh! CCM kweli wabaya sana! Allah wapeleke wote wa CCM motoni.. Hapana haiwezekani hii!

  • @znz9083

    @znz9083

    3 жыл бұрын

    Wewe pepon sio

  • @hamedbikelife8769

    @hamedbikelife8769

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @mtufulan9997

    @mtufulan9997

    3 жыл бұрын

    @@znz9083 ndio watu wanawasapoti CCM na ukoloni wao na mambo zote mabaya ni wajinga sanaa! CCM ni watu mabaya sanaa!

  • @farhatomar7495

    @farhatomar7495

    3 жыл бұрын

    Naww pia utapelekwa 💥💥💥

  • @mtufulan9997

    @mtufulan9997

    3 жыл бұрын

    @@farhatomar7495 maskini wewe.. Huna akili kabisa.. U don't care for future..

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38993 жыл бұрын

    Madhali uchaguzi umeshapita wangeachwa wafanye hayo maandamano yao mjue nn wanachokitaka sababu kosa lao wenyewe hawakwenda kupiga kula maana idadi ya watu wa zaznbar na upigaji kura ni mdogo sana inaelekea wengi walikuwa bendere kufuwata upepo.

  • @kautharsalim5025
    @kautharsalim50253 жыл бұрын

    Yaa rabby tukinge waja wako na uwalinde wote waliopo kwenye maandamano yaa rabby shusha jeshi lako

  • @jamilaalrawahi2773

    @jamilaalrawahi2773

    3 жыл бұрын

    Amiyn Yaa Allah 🙏

  • @nanahtalib8843

    @nanahtalib8843

    3 жыл бұрын

    Amiin inshallah

  • @nawalfauzabdulrahman8690
    @nawalfauzabdulrahman86903 жыл бұрын

    Nakukubali ....keep up the good work

  • @mulhatmohamed1246
    @mulhatmohamed12463 жыл бұрын

    Yaarabi tushushie jeshi lako liwaangamize wote waliochangia utudhulumu

  • @ayoubbilatuka7012

    @ayoubbilatuka7012

    3 жыл бұрын

    Mungu awatie nguvu wapendwa haki lazima itendeke

  • @zuumasoud5070

    @zuumasoud5070

    3 жыл бұрын

    Ameen yarab🇰🇪

  • @zaytunhijja6771

    @zaytunhijja6771

    3 жыл бұрын

    Mungu hashush jeshi kw watu wapuuz

  • @zuumasoud5070
    @zuumasoud50703 жыл бұрын

    Yarab waangamize madhalim wanao wanyanyasa ndugu zetu wazanzibar yarab wewe ndio muweza wasaidie ndugu zetu Ameen yarab🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salmaseif1070
    @salmaseif10703 жыл бұрын

    Mungu awaangamize ccm na vikoc vyake wakiigusa tu hio team

  • @aminayussuf1826

    @aminayussuf1826

    3 жыл бұрын

    Amin Amin Amin

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Ameen yarrab

  • @mrfamous5741

    @mrfamous5741

    3 жыл бұрын

    Mungu aingamize ACT ihamie pemba

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    @@mrfamous5741 km atakavyo kuangamiza weye na ukoo wako kutoka tanganyika mpaka motoni swain

  • @jamilambarouk4746

    @jamilambarouk4746

    3 жыл бұрын

    Mungu ni mjuzi wa Siri na dhahiri hvo hawez kumhukumu mja wake vle unavotaka Ww Elewa hilo

  • @yussufjuma9166
    @yussufjuma91663 жыл бұрын

    Ya rabbi teremsha jeshi lako la mbinguni na ardhini uwasaidie wanyonge wa zanzibar amiiin amiin

  • @supumoto6819
    @supumoto68193 жыл бұрын

    Pole sana maalim seif ALLAH awahifadhi kutokamana na dhulma

  • @yusrabebito7686

    @yusrabebito7686

    3 жыл бұрын

    Jaman napenda kuliza yashatangazwa ayo matokeo nan rais naona mm npo tuu

  • @supumoto6819

    @supumoto6819

    3 жыл бұрын

    @@yusrabebito7686 tayar

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany53403 жыл бұрын

    Allah awahifadh nakola naya yaarab👐👐👐👐👐😢😢😢

  • @rayasaid4099
    @rayasaid40993 жыл бұрын

    Wamakarumakran kubara wallah khairu makriiiikn😭😭😭😭🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻😭😭😭😭😭🤲🏻🤲🏻🤲🏻

  • @jumanasoro8903

    @jumanasoro8903

    3 жыл бұрын

    Wallah mtiahani sana

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50463 жыл бұрын

    Wa zanzibar nduguzagu together front

  • @minormine4417

    @minormine4417

    3 жыл бұрын

    Naunga mkono, huu ni ushenzi mkubwa kupiga watu wakati walikuwa wanaandamana kwa Amani wakidai haki zao

  • @dieudonnebigirimana8083
    @dieudonnebigirimana80833 жыл бұрын

    Tetea haki yenu insha allah mtashinda madhalim

  • @saidvoali6586
    @saidvoali65863 жыл бұрын

    Mwenyezimungu tunakuomba utusaidie kuwatoa hawa mazalim ktk Zanzibar yetu

  • @sihabasihaba9366

    @sihabasihaba9366

    3 жыл бұрын

    Amiin amiin

  • @maryamtan682

    @maryamtan682

    3 жыл бұрын

    Elewa hata huyo huseni mwinyi ni mzanzbari pia amezaliwa huko na baadae kuamia dar baada ya bb yk Mzee mwinyi kupata kz akiwa na miaka 4 km ulikua ujui ndo ujue ss akuna mwizi hp.

  • @sihabasihaba9366

    @sihabasihaba9366

    3 жыл бұрын

    @@maryamtan682 nawalilia jamaazangu waliouliwa mimi tafadhali usinizowee sikujui hunijui sijaeahi hata kutoa matusi mimi tuheshimiane

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    @@maryamtan682 ni mwizi tena kaiba wazi wazi' lkn pia dhwalim anafurahia mauaji ya watu wasio na hatia na yeye ni muislam anajua kuua nafsi dini hairuhusu' illa nafsi binafsi' hasbiya Allah wanighma lwakil

  • @jamesmwenge5920

    @jamesmwenge5920

    3 жыл бұрын

    Shida ya wapemba wanajama yao

  • @snsonlinetv8432
    @snsonlinetv84323 жыл бұрын

    In shaa Allah haki yetu itapatikana

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын

    Wamakaru makara Allah walwahu khair lmakirin

  • @mohdalwaili5289
    @mohdalwaili52893 жыл бұрын

    Tanganyika majambazi wakubwa, wanadhulumu wazanzibar

  • @godfreymwamalumbili7372
    @godfreymwamalumbili73723 жыл бұрын

    AMANI, AMANI, AMANI Ndugu zanguni wazanzibari, Haki ukiipoteza utaipiganiya mahakamani, Amani ikitoweka utaipigania wapi?. Tuelimishane katika upendo hadi tuyafikie malengo. Tuache kubaguana na kubughudhiana! Amani iwe nanyi!

  • @eassaeassa5085
    @eassaeassa50853 жыл бұрын

    DAH.MTIANI WALLAH

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Yaa ALLAH tunahitaji msaadawako

  • @ayoubbilatuka7012
    @ayoubbilatuka70123 жыл бұрын

    Mungu awatetee inshaAllah

  • @VPRESTVchannelOneTV
    @VPRESTVchannelOneTV3 жыл бұрын

    Mungu akulindeni

  • @azzamamat2441
    @azzamamat24413 жыл бұрын

    Yarabby tufanyie wepes ktk maadamano haya

  • @jamilambarouk4746

    @jamilambarouk4746

    3 жыл бұрын

    Ulikuepo hapo au unaangalia kwnye mtandao

  • @aldaghariaziyz6420
    @aldaghariaziyz64203 жыл бұрын

    Laaaanatullah hawa ni madhalim kazi mabavu 2

  • @hoseamtiro4439
    @hoseamtiro44393 жыл бұрын

    Ndugu zako hawakuandamaana ndio maana leo upo kama ww unaandaman kwa shinikizo la mtu sina cha kusema ila chakukwambia tu kumbuka Mungu anakuona unachofany hajakihizinisha

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker20623 жыл бұрын

    (وَمَا جَعَلَهُ ٱللَّهُ إِلَّا بُشۡرَىٰ وَلِتَطۡمَىِٕنَّ بِهِۦ قُلُوبُكُمۡۚ وَمَا ٱلنَّصۡرُ إِلَّا مِنۡ عِندِ ٱللَّهِۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَزِیزٌ حَكِیمٌ)

  • @ANONYMOU101

    @ANONYMOU101

    3 жыл бұрын

    نسأل الله تعالى السلامة

  • @yasiralkindi5332

    @yasiralkindi5332

    3 жыл бұрын

    صدق الله العلي العظيم

  • @mujaaxedrogo7337

    @mujaaxedrogo7337

    3 жыл бұрын

    musizitumie ayah za Allah katika upuuzi wenu

  • @truthspeaker2062

    @truthspeaker2062

    3 жыл бұрын

    @@mujaaxedrogo7337 hebu toa maana ya hio aya

  • @rahmamusa9627
    @rahmamusa96273 жыл бұрын

    Kilahatuwa duwa mwenyezi mungu awasimMie

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman31603 жыл бұрын

    Allaah awe pamoja nanyi inshllh

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything78483 жыл бұрын

    Mungu wangu watu wanabidi wakubaliane na hichi kilicho tokea maandamano yaweza leta matatizo makubwa kuna watt wazee wagonjwa mambo yakichacha wataweza kujikwamua

  • @lugomemtamayaye9508
    @lugomemtamayaye95083 жыл бұрын

    Hayo maandamano au matembezi?

  • @bintyussuph4979

    @bintyussuph4979

    3 жыл бұрын

    Hhhhhhhhhhh😁😁😁😁😁😄😄😄😄😄😄😄😛😛😛😛😛🙉🙉🙉🙉

  • @tumainichedego6255
    @tumainichedego62553 жыл бұрын

    Asiyekubali kushindwa si mshindani

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Yaa ALLAH tusaidie

  • @khamissalum8906
    @khamissalum89063 жыл бұрын

    YAA ALLAH MBONA HUJIBU DUA ZETU NA UMETUAMBIA HAKUNA MUNGU MWENGINE WA KUMUOMBA? KWA NIABA YA WAZANZIBARI WENZANGU TUSAMEHE TULIPOKOSEA ILI UTUKUBALIE TUNACHOKUOMBA

  • @aminayussuf1826

    @aminayussuf1826

    3 жыл бұрын

    Tusichoke kuomba Mungu majibu yake huwa yanachelewa kwa vile huwa ni ya kheri

  • @fanaismmsianaf9352
    @fanaismmsianaf93523 жыл бұрын

    Huyo mwinyi kishaua watu hata bado hajawa Raisi. Mungu amshinde asipate ushindi wa dhulma. Na kila alokuepo hapa anasapoti CCM juu ya yote haya yanotokea: KUMANINAZENU!

  • @edigajoseph5130
    @edigajoseph51303 жыл бұрын

    Hakuna namna nihivyohivyo tu✌️✌️✌️✌🏼

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Yaa ALLAH kwa rehmazako waokowe wajawako

  • @mr.abrahim4826
    @mr.abrahim48263 жыл бұрын

    Ishapita hiyo mkuu mbn upo mbali na taarifa

  • @renatusvalentine9864
    @renatusvalentine98643 жыл бұрын

    Haki haki... Wametuminyaa haki yetuu.. Inaumaa Sanaa... Inaumiza Sana

  • @mamysubhanallhhhzenj4783
    @mamysubhanallhhhzenj47833 жыл бұрын

    Wallah ccm watajisuta tuu kwasabab democracy haipo ivoo na kwa hali hii hakun haj ya vyama ving nivzur watu wahuwe moj tuu

  • @jahacatechnology9642
    @jahacatechnology96423 жыл бұрын

    Watu wamekosa ibada ndani ya mioyo yao ndio maana hawana hofu ya kutenda mabaya

  • @hasanipoy3976
    @hasanipoy39763 жыл бұрын

    Ndomana afrika hatyedelei kwahajili ya ujinga hunaweza pinga mabomo hae tu naunajuwa mitaani kuna wa mama wazawazito sasa wakihuzurika usenge acha

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Yaa ALLAH tusamehe tulipokosea tuokowe na mazitohaya

  • @dermondermon5767
    @dermondermon57673 жыл бұрын

    CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE. HONGERA DR.MWINYI

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 Жыл бұрын

    Chadomo na maneno yote hawajaweza kufanya hv 2020

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11663 жыл бұрын

    Huyu mtoto wa Mwinyi ataua watu wengi kuhakikisha anakaa madarakani

  • @ibrahimadam4272

    @ibrahimadam4272

    3 жыл бұрын

    Kwani babaye mtu hayaoni wala hayasiki hilo zogo.akamkanya mwanawe

  • @mlapikauma7660

    @mlapikauma7660

    3 жыл бұрын

    Bbke keshaaapa

  • @ibrahimadam4272

    @ibrahimadam4272

    3 жыл бұрын

    @@mlapikauma7660 mngu atawalinda zetu kutoka mambasa ni dua kwa wingi

  • @mariamfaki1166

    @mariamfaki1166

    3 жыл бұрын

    @@ibrahimadam4272 mhh kaka angu baba ndo kasema fanyeni vovote mwanangu nae awe raisi mtihani ti

  • @ibrahimadam4272

    @ibrahimadam4272

    3 жыл бұрын

    @@mariamfaki1166 huyo baba asialiendaga hajj hajuagi ni dhima kwa mngu.mtu mzima huzima huwa hawashi poleni nduzangu

  • @Teacher_Hassan_Lemunje
    @Teacher_Hassan_Lemunje3 жыл бұрын

    MSIDANGANYIKE MKAANDAMANA. Ili uchaguzi uwe huru na wa haki lazima Lema, Lisu, Mbowe, Zito washinde uchaguzi. Yaani wao hawana Msamiati wa kushindwa, wengi wao kwenye kundi hili Wana miaka 10 Hadi Ishirini Bungeni, ni kustaafu na kuchukua mafao tu kila baada ya miaka mitano. Wao ni kujilimbikizia Mali tu Siasa kwao ni Kazi na Biashara. Wamewatangazia walalahoi wa nchi hii kuwa jumatatu waandamane ili warudishiwe Ubunge wao. Waandamane ili wapate kazi, waandamane ili waendelee kunufaika na mfumo, waandamane ili waendelee kupiga pesa kupitia Siasa. Sina uhakika sana Kama familia zao zitakuwa mbele kwenye maandamano haya. Sina uhakika sana Kama na wao watakuwa front au ni Mimi na wewe tutatangulia mbele. Niwakumbushe Tena Kuhusu maandamano na Sheria za nchi yetu. Sheria za nchi zinasemaje? Sheria ya jeshi la Polisi ya mwaka 1961 na marekebisho yake ya mwaka 1995 ambayo kwayo ndio tunayoifuata hadi sasa inatoa njia na namna ya kuendesha maandamano nchini. Inasema nanukuu:-.. (1) Mtu yeyote ambaye ana mpango wa kufanya, kukusanya, kuunda au kupanga mkusanyiko au maandamano ya hadhara , kwa muda usiopungua saa 48 kabla ya mkusanyiko au maandamano kwa muda uliopangwa kuanza, atawasilisha kwa maandishi notisi kuhusu kufanyika kwa mkusanyiko au maandamano hayo kwa afisa polisi msimamizi wa eneo hilo akianisha:- (a) Sehemu na muda ambao mkutano utafanyika; (b) Dhumuni kwa ujumla kuhusu mkutano huo; na (c) Maelezo mengine kama Waziri atakavyotangaza kwa notisi, mara kwa mara kwenye gazeti la Serikali, kuainisha. (2) Pale ambapo mtu anawasilisha taarifa kulingana na kifungu kidogo cha (1), anaweza kuendelea kuitisha, kukusanya, kuunda au kuandaa mkusanyiko au maandamano hayo kama yalivyopangwa isipokuwa na mpaka atakapopokea amri kutoka kwa afisa polisi msimamizi wa eneo ikielekeza kwamba mkusanyiko au maandamano hayo hayatafanyika kama ilivyotaarifiwa. (3) Afisa polisi ambaye taarifa imewasilishwa kwake kulingana na kifungu kidogo cha (1), hatatoa amri ya kusitisha chini ya kifungu kidogo cha(2) kulingana na taarifa isipokuwa ameridhika kwamba kufanyika kwa mkusanyiko au maandamano hayo kuna uwezekano wa kusababisha kuvunjika kwa amani au kuathiri usalama wa taifa au kudumisha amri kwa umma au kutumika kwa dhumuni lolote lisilokuwa halali." Hiyo ndio sheria inayoliongoza jeshi letu la polisi.Kwa maana rahisi maandamano ni mpaka jeshi la polisi likubali na litoe kibali baada ya waandamanaji kuomba kibali hicho. Kwa vyovyote vile maandamano hayo yanapaswa jeshi la Polisi lijiridhishe pasipo na Shaka kuwa hayatasababisha madhara yoyote na hayata ingilia haki za watu wengine ambao hawataki kuandamana. Huu ni mtego niliokuwa nawaambia... NINI KINAWEZA KUTOKEA? Kinachoweza kutokea baada ya katazo la jeshi la Polisi ni watu wenye nia ya kuandamana kutaka kuandamana kwa nguvu. Ukifanya hivyo moja kwa moja utakuwa unatenda kosa la UHAIN ambalo ndio kosa kubwa kuliko yote nchini kwa mujibu wa ibara ya 28 ya katiba yetu. Sheria inatuambia kwamba kama ukifanya yafuatayo utakuwa umefanya uhaini katika nchi yako. ( a ) Kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya muungano au popote akajaribu kumuua rais atakuwa ametenda uhaini. ( b ) Pia mtu yeyote aliye ndani ya Jamhuri ya muungano au popote na akaanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya muungano atakuwa naye ametenda kosa la uhaini. ( c ) Mtu yeyote ambaye yuko ndani ya Jamhuri ya muungano au popote ambaye atajenga, kusababisha au kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri, kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, au kufungwa kwa rais atakuwa ametenda uhaini. ( d ) Mtu yeyote ambaye yuko ndani ya Jamhuri ya muungano au popote ambaye atajenga, kusababisha au kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kumwondoa rais madarakani visivyo halali atakuwa ametenda uhaini. ( e ) Mtu yeyote ambaye yuko ndani ya Jamhuri ya muungano au popote ambaye atajenga, kusababisha au kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kumwondolea rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali atakuwa ametenda kosa la uhaini. ( f ) Mtu yeyote ambaye yuko ndani ya Jamhuri ya muungano ambaye atajenga, kusababisha au kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kupindua serikiali iliyo madarakani, kutishia serikali, bunge au mahakama atakuwa ametenda kosa la uhaini. Rudia kusoma kipengele D Hadi ukielewe ukishindwa mwite na Mwenzako mkisome kwa pamoja. Aidha ifahamike kuwa kwa mtu yeyote atakayekutwa na hatia ya kutenda kosa la uhaini adhabu yake ni kifo na sheria hiyo ya kifo imeelezwa katika kifungu cha sheria namba 39 na 40 cha kanuni za adhabu. Hivyo watanzania kwa umoja wetu tunapaswa kuzijua sheria za nchi yetu ili kuweza kujiepusha kutenda makosa ya jinai dhidi ya nchi yetu. NAWATAKIA MAANDAMANO MEMA.

  • @TheNgalawa
    @TheNgalawa3 жыл бұрын

    Pumbab, huo umma uko wapi sasa acha kudanganya watu, msiwatumie wananchi kwa kutimiza maslahi yenu ya kisiasa

  • @mshanimsasu5764
    @mshanimsasu57643 жыл бұрын

    Mnaoshabikia maandamano nyinyi niwavivu wakufikili.

  • @amiirrashid6624
    @amiirrashid66243 жыл бұрын

    Allah ndo mshindi na mtume wake na waumini

  • @hakimmselem8467

    @hakimmselem8467

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany53403 жыл бұрын

    Allahu akbar jmn jmn tupen nch yetu

  • @allymohammed6704
    @allymohammed67043 жыл бұрын

    Annasru qariiib inshaalah

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline63663 жыл бұрын

    Sijui haki hiii mpaka lini

  • @user-yw7st3dk7w
    @user-yw7st3dk7w3 жыл бұрын

    الله المستعان

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil94423 жыл бұрын

    Ndugubwazanzibar wenzangu tumieni maarifa zaidi na sio kutafuta sifa

  • @gongayaigongayai6346
    @gongayaigongayai63463 жыл бұрын

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakaatuh sina uhakika kama haya mnayo yafanya ndio mlio umbiwa bora mngekuwa mnatetea dini kama ni siasa nusra itakuwa historia rudin katika dini na ibada basi hapo ndipo palipo na aman dunian hata kesho akhera

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 Жыл бұрын

    Uongo hii picha ya zamani maa Fattaan ma haasid wakubwa

  • @allymohammed6704
    @allymohammed67043 жыл бұрын

    Ya Allah tupe nusra wazanzibar amin

  • @TheTruth10071
    @TheTruth100713 жыл бұрын

    bora mtu afe kuliko kuishi nchi ya kidhalim kama hii

  • @nureyna629
    @nureyna6293 жыл бұрын

    Maalim katimiza wajibu wake, hatutomlaumu kwa 7bu kafanya alichokisema, sisi tuko pamoja nawe. Hata kama haikusaidia kitu kiukweli ametimiza wajibu wake. Ametupigania såna

  • @kolinsimahanga9845
    @kolinsimahanga98453 жыл бұрын

    Tunao comment tukiwa kitandani tujuane, unafki sio mzuri.

  • @husseinhcube1310
    @husseinhcube13103 жыл бұрын

    Mnafikiria maandamano mchezo hujapigwa rungu ukalisikia utam wake

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar4393 жыл бұрын

    Hatariii vooo

  • @bosboyyahya2157
    @bosboyyahya21573 жыл бұрын

    Hata miaka 100 ijayo sie bas na ccm na tunawarithisha watoto wetu waendelee kuwachukia wadhalim hawa Allah awashinde

  • @saramohd7302
    @saramohd73023 жыл бұрын

    حسبنا الله ونعم الوكيل

  • @khamisimasoud4588
    @khamisimasoud45883 жыл бұрын

    Mungu atupe wepes wajamboletu

  • @salimsaid3292
    @salimsaid32923 жыл бұрын

    Tumuombe Mungu Yapite salama

  • @aishasaid6749
    @aishasaid67493 жыл бұрын

    Ndugu zangu tulieni Magufuli amefanya kusudi ili tuingie bara barani tufe hawana dhamira nzur kwetu hiv mmeona walichokifanya huko bara uchaguzi gani huu

  • @alshaqsi1369
    @alshaqsi13693 жыл бұрын

    Hasbia Allah Waniimal Wakyl aliykum ccm madhalim Allah atawalipa duniani Akhera kwenda hesabu na madaraka mutayokua nayo yatawawakia moto Biidhniy Allah

  • @jamilaalrawahi2773

    @jamilaalrawahi2773

    3 жыл бұрын

    Amiyn Yaa Rabbal alamiyna

  • @shilahajjsuleiman3575

    @shilahajjsuleiman3575

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @alimakame3529

    @alimakame3529

    3 жыл бұрын

    Naona mnachanganya dini na chama wakati kampen zenu mnapiga magoma na wanawake wanaenda uchi kama ccm khasa apo udini wenu unasimama wapi!

  • @annapeter4994
    @annapeter49943 жыл бұрын

    Safi sana

  • @faridsaid1231
    @faridsaid12313 жыл бұрын

    BAba tupe update zozoteee tunakufuatilia we tu kutujuza

  • @mursalsaid3327
    @mursalsaid33273 жыл бұрын

    CCM tumewachoka hatuwataki wacheni kulazimisha mapenz hayalazimishwi . CCM mumerizika ndungu zenu wauwawe na watanganyika.

  • @KH-on8pp
    @KH-on8pp3 жыл бұрын

    Tume inatangaza matoketo ya uongo usio kuwa na kiraka

  • @chekajumasebunga8358
    @chekajumasebunga83583 жыл бұрын

    Mzee wetu tunakupenda lakini uchoki kulilia madaraka muda mwingi umepita kwako wachie vijana pilika kama hizo, TZ Amani kwanza mengine badaye, mukivunja sheria laziama mutachukuliwa atua lazima tujuwe hivyo peace.

  • @alriyamy613
    @alriyamy6133 жыл бұрын

    Mtehan uu wawatanganyikaa

  • @Bmsecret
    @Bmsecret3 жыл бұрын

    Jamani hamna kurudi nyuma

  • @annapeter4994
    @annapeter49943 жыл бұрын

    Mungu awalinde jamani

  • @alicekyai2746
    @alicekyai27463 жыл бұрын

    Lazima haki itendeke

  • @nashiluhende260
    @nashiluhende2603 жыл бұрын

    Msikimbie sasa

  • @obrigadovictor9260
    @obrigadovictor92603 жыл бұрын

    AFRICA imeshindwa kujitawala yenyewe inabidi itawaliwe Tena.

  • @hassanmpwepwe8258
    @hassanmpwepwe82583 жыл бұрын

    Kaz mnayo

  • @allyabdallah1776
    @allyabdallah17763 жыл бұрын

    PAMOJA

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe19583 жыл бұрын

    Yes Zanzibar isn’t a bara i trust on Zanzibar

  • @dermondermon5767
    @dermondermon57673 жыл бұрын

    Hii TV imekalia kuwagombanisha wazanzibari lakini hamtawahi. CCM OYEEEE

  • @hamadbajaj6663
    @hamadbajaj66633 жыл бұрын

    Daaa huzuni

  • @jumbebakari1364
    @jumbebakari13643 жыл бұрын

    Nchi ya aman tz 😂

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf75683 жыл бұрын

    Tayri kumekucha eeh

  • @abubakarmohammed7339
    @abubakarmohammed73393 жыл бұрын

    Nyasi ndio zitaumia

  • @felistamaembe4895
    @felistamaembe48953 жыл бұрын

    Clips za watu waliopata adha ya CCM na Jeshi la Polisi wakati wa uchaguzi Zanzibar na Tanzania bara zipelekwe United Nation.

  • @ismailramole1700
    @ismailramole17003 жыл бұрын

    Hahahaaa....Ona walivyokua waogaa kama Salum Mwalimu.

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis72533 жыл бұрын

    Wako tayari kuuwa watu kwauchu wamadaraka. Lazima watawale milele

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe77083 жыл бұрын

    Haki Zanzibar na Tanzania 😭😭😭😭😭😭