Hizi histolia za kweri lakini lakini hawa waislam hakujipanga vizuri kijeshi
@zenionepureone126512 жыл бұрын
WAZANZIBARI WENYEWE HASA NI WAISLAMU SIYO WAKIRISTO
@fatimakhalifa1445 жыл бұрын
hizi ndizohistoriya zakweli Zanzibar
@dkmasengamrisho9125 жыл бұрын
Wallah anasema kweri tatizo nini sasa hari yetu imekuwangumu
@MasudiSuleman-ui5wh8 ай бұрын
Mung tu towe kwenye Mikono ya wadhalim
@s.m.jawadida8868 Жыл бұрын
الله اكبر
@jeanmubemba12043 жыл бұрын
utumwa kwa kwa mtu mweusi hauji toka akilini,bado hatujui waarabu na wazungu wote washenzi wametuuza leo tunawatukuza na kujivunia,daaa twaitwa nyani bado tuu akili hazifunguki
@dkmasengamrisho9125 жыл бұрын
Ndiomaana zanzinzibaar ina wasomi wakubwa kabisa nani kitovu cha erim kwahistolia hii nimerizika huyu shekhe nimkweri
@saidahmed968812 жыл бұрын
TUKITAKA KUJUA UKWELI HAPANASHKA YOYOTE HUU NDIO UKWELI NA UKWELI HUFUATANA NA USHAHIDI
@ukweli119 жыл бұрын
Jee mbona hamzungumzii mauaji ya maelfu ya waarabu mwa 1964 wakati mulipofanya mapiduzi kumkomoa sultani?????????
@khamissiali2231
3 жыл бұрын
Kwani ulisoma historia ww doctor
@saidsfaudh4336
3 жыл бұрын
Tafuta history ya Aman than
@dkmasengamrisho9125 жыл бұрын
Jamani hawa waisilam warikuwa na dola kubwa kiasihicho hawana jeshi imala?
@jumampango6802
4 жыл бұрын
Sikiliza vizuri ndo ucomment
@vikitu4793
3 жыл бұрын
Vita fupi kupita zote ni hii dola ilichapwa
@rashidalbalushi83552 жыл бұрын
Sheikh suna ya mtume kunywa maji mkono wa kulia
@nassorrashid6466
2 жыл бұрын
Huyu mkono wake mbovu
@user-rg6ll1om5z
7 ай бұрын
Muangalie vizuri Uyo shekhe Ni mlemavu wa mkono eti hawezi kunywa Kwa kulia
@stanslausmteme84555 жыл бұрын
Acha upumbavu waislam ndo wakwanza kupata elimu wewee acha upotoshaji
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Inatakiwa nawe ulete vielelezo vyako, huko ni kubwabwaja
@mwitahassan7314
4 жыл бұрын
Ukatae kwa hoja usiwe mbumbumbu
@vikitu4793
3 жыл бұрын
Mkadanganyane huko huko. Mtume Muhamad amezaliwa 570AD. Utakuwa mpumbavu kuamini watu hawakuwa na mifumo ya elimu kabla ya hapo. China ilikuwa inaandika katiba yake miaka 1000 kabla ya hapo. Na na hata kabla ya hapo watu walikuwa wanaelimika sana tu
@stanslausmteme8455
Жыл бұрын
@@vikitu4793 anawadanganya waoumbavu wenzake
@mtzmtulivu11 жыл бұрын
Kama wewe mzanzibari,how much of what this guy is saying do you believe to be true?French were shipping slaves off of east African coast?Arabs fought against the French to stop slavery in EA?Since Arabs were not slave owners,then who worked in their plantations?I cant help it but wonder what side this guy would have been on during the 1963 ass kicking off the island of Arabs rulers he seem very careful not to mention in his praise of "great Zanzibar empirer"
@vikitu4793
3 жыл бұрын
Hawa wanabadili historia makusudi kumsafisha mtawala muarabu
@stanslausmteme84555 жыл бұрын
Acha uongo kilwa ndo ilianza kua na sarafu yk sa kilwa ipo wp????
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Kilwa ni sehem ndogo sana katika dola ya Zanzibar Tanganyika, Uganda, Kenya, Rwanda mpaka Comoro ilikuwa ndani ya ZNZ. Sasa we unaongelea kilwa wakati yenyewe ilikiwa ndani ya pori Tanganyika
@famitoissanawanda6295
4 жыл бұрын
Acha ujinga wewe kilwa ilikua ndani ya Zanzibar
@vikitu4793
3 жыл бұрын
@@mohamedothman9769 Kwa hiyo hii ndio dola iliyokuwa ukiwachukua utumwa babu zetu na kujitajirisha sio, sio? Bora imekufa, tungeifanya kitu kibaya sana
@saidsfaudh4336
3 жыл бұрын
Msirumbane Sana mambo hayo yalikua chini ya utawala wanani Kati IRAN .YEMEN .OMAN .
Пікірлер: 37
Mwenyezi mungu akubarki tulikuwa hatujuwi.kitu..tuwelewesheni. Wazanzibar tufunguke vichwa MN vyetu inshaallwa. Nakutakiya. Lila.la.kheri. usirudi nyuma..twende mbele tuitambuwe Zanzibar .yetu
inshaalah zanzibar tutaipata wenyewe
@fatmaabudu8465
6 жыл бұрын
thanks
@salumseif1005
3 жыл бұрын
Aamin
Hizi histolia za kweri lakini lakini hawa waislam hakujipanga vizuri kijeshi
WAZANZIBARI WENYEWE HASA NI WAISLAMU SIYO WAKIRISTO
hizi ndizohistoriya zakweli Zanzibar
Wallah anasema kweri tatizo nini sasa hari yetu imekuwangumu
Mung tu towe kwenye Mikono ya wadhalim
الله اكبر
utumwa kwa kwa mtu mweusi hauji toka akilini,bado hatujui waarabu na wazungu wote washenzi wametuuza leo tunawatukuza na kujivunia,daaa twaitwa nyani bado tuu akili hazifunguki
Ndiomaana zanzinzibaar ina wasomi wakubwa kabisa nani kitovu cha erim kwahistolia hii nimerizika huyu shekhe nimkweri
TUKITAKA KUJUA UKWELI HAPANASHKA YOYOTE HUU NDIO UKWELI NA UKWELI HUFUATANA NA USHAHIDI
Jee mbona hamzungumzii mauaji ya maelfu ya waarabu mwa 1964 wakati mulipofanya mapiduzi kumkomoa sultani?????????
@khamissiali2231
3 жыл бұрын
Kwani ulisoma historia ww doctor
@saidsfaudh4336
3 жыл бұрын
Tafuta history ya Aman than
Jamani hawa waisilam warikuwa na dola kubwa kiasihicho hawana jeshi imala?
@jumampango6802
4 жыл бұрын
Sikiliza vizuri ndo ucomment
@vikitu4793
3 жыл бұрын
Vita fupi kupita zote ni hii dola ilichapwa
Sheikh suna ya mtume kunywa maji mkono wa kulia
@nassorrashid6466
2 жыл бұрын
Huyu mkono wake mbovu
@user-rg6ll1om5z
7 ай бұрын
Muangalie vizuri Uyo shekhe Ni mlemavu wa mkono eti hawezi kunywa Kwa kulia
Acha upumbavu waislam ndo wakwanza kupata elimu wewee acha upotoshaji
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Inatakiwa nawe ulete vielelezo vyako, huko ni kubwabwaja
@mwitahassan7314
4 жыл бұрын
Ukatae kwa hoja usiwe mbumbumbu
@vikitu4793
3 жыл бұрын
Mkadanganyane huko huko. Mtume Muhamad amezaliwa 570AD. Utakuwa mpumbavu kuamini watu hawakuwa na mifumo ya elimu kabla ya hapo. China ilikuwa inaandika katiba yake miaka 1000 kabla ya hapo. Na na hata kabla ya hapo watu walikuwa wanaelimika sana tu
@stanslausmteme8455
Жыл бұрын
@@vikitu4793 anawadanganya waoumbavu wenzake
Kama wewe mzanzibari,how much of what this guy is saying do you believe to be true?French were shipping slaves off of east African coast?Arabs fought against the French to stop slavery in EA?Since Arabs were not slave owners,then who worked in their plantations?I cant help it but wonder what side this guy would have been on during the 1963 ass kicking off the island of Arabs rulers he seem very careful not to mention in his praise of "great Zanzibar empirer"
@vikitu4793
3 жыл бұрын
Hawa wanabadili historia makusudi kumsafisha mtawala muarabu
Acha uongo kilwa ndo ilianza kua na sarafu yk sa kilwa ipo wp????
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Kilwa ni sehem ndogo sana katika dola ya Zanzibar Tanganyika, Uganda, Kenya, Rwanda mpaka Comoro ilikuwa ndani ya ZNZ. Sasa we unaongelea kilwa wakati yenyewe ilikiwa ndani ya pori Tanganyika
@famitoissanawanda6295
4 жыл бұрын
Acha ujinga wewe kilwa ilikua ndani ya Zanzibar
@vikitu4793
3 жыл бұрын
@@mohamedothman9769 Kwa hiyo hii ndio dola iliyokuwa ukiwachukua utumwa babu zetu na kujitajirisha sio, sio? Bora imekufa, tungeifanya kitu kibaya sana
@saidsfaudh4336
3 жыл бұрын
Msirumbane Sana mambo hayo yalikua chini ya utawala wanani Kati IRAN .YEMEN .OMAN .