MZEE AMEIR BIN AMEIR BIN SUDI WA BWEJUU AIMWAGA UWANJANI HISTORIA YA ZANZIBAR!

MZEE AMEIR BIN AMEIR BIN SUDI WA BWEJUU AIMWAGA UWANJANI HISTORIA YA ZANZIBAR AKIMJIBU MHE. ALI ABIED AMANI KARUME KUTOKANA NA HOTUBA YAKE KWENYE BARAZA LA UWAKILISHI MJINI ZANZIBAR. KATIKA HOTUBA YAKE HIO MHE. ALI KARUME ALISEMA KUWA WAPO WATU WANATAKA KUMREJESHA SULTANI ZANZIBAR.
(VIDEO KWA HISANI YA MACKAY98)
• ALI KARUME: WANATAKA K...

Пікірлер: 119

  • @ds7891
    @ds78913 жыл бұрын

    SMZ kina Sheini na Husein mmepata nini kumtesa huyo Mzee Amer wa miaka75 mpaka mkampotezea maisha yake. Mungu hakopeshwi atawalipa mtayapata machungu na nyinyi hapa duniani.

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    3 жыл бұрын

    Amen yaarabb

  • @huzaimabui8233

    @huzaimabui8233

    3 жыл бұрын

    @@mohamedturanardan8871 ammin

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    Жыл бұрын

    Allah atawahukumu wahusika wa kifo chake

  • @thedon8467

    @thedon8467

    Жыл бұрын

    AMEEN

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr3 жыл бұрын

    Allah akupe nuru ktk kaburi lako kwa haika dunia nimpeto tu mzee wetu ukweli wako ndio sababu ya kifo chako Innalilah Waina ilahi Rajiun SubhanaAllah SubhanaAllah

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын

    Allah atawalipa hao waliofanya na kutekeleza uovo wa kumpiga mpaka kupoteza maisha yake.

  • @ahmedsaidi850
    @ahmedsaidi8504 жыл бұрын

    Dah me nabaki naona tu maisha haya yani tunaowaona viongozi ndo wafki wakwanza hongera mzee nimejifunza ALLAH akubarik

  • @111dudi
    @111dudi2 жыл бұрын

    Mungu amrehem huyu mzee, alisema kweli kabisa. znz ilivurugwa na wasiokuwa wazanzibari.

  • @kanaanrajab1102

    @kanaanrajab1102

    29 күн бұрын

    Uhakika

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan72423 жыл бұрын

    Hilii jamaa kubwa bichwaa tuu lkn hanaa kimojaa akijuwalo mzee Amer bin Amer Allah akulaze mahalipema

  • @Visit_zanzibar
    @Visit_zanzibar3 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahali pema mzee amer bin amer

  • @zanzibaryakale9002
    @zanzibaryakale90023 жыл бұрын

    Allah amrehemu ajaalie kaburi yake iwe miongoni mwa viwanja vya pepo

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Mungu akueke mze kuelewesha wanao potosha uma kua warabu ndio wameleta utumwa n kutawala zanzibar kumbe sivo

  • @maulidmtowi3937
    @maulidmtowi39374 жыл бұрын

    Historia safi sana na yupo makini haswa kwel kwel👍

  • @klischcafe394
    @klischcafe3943 жыл бұрын

    mmesha muuwa mzee wetu amir sasa uweni historia zake.

  • @arafahassan5257

    @arafahassan5257

    3 жыл бұрын

    Kabisa ndugu yangu

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed33903 жыл бұрын

    Mungu amlaze pema peponi Amin Yaarabi. Tumempoteza Mzee wetu mwebye hekma na ushupavu hakujali wala hakuogopa kusema ukweli. Huyu ndiye Mzanzibari halisi Mungu akupe pepo upumzike

  • @masoudali9387

    @masoudali9387

    3 жыл бұрын

    Aamiyn

  • @misscoast3174
    @misscoast31743 жыл бұрын

    Who's here after his death??? Innalillah wainna ilayhi rajiun... Allah amsamehe na amuingize jannatul firdaus... aamin yaa rabby 🤲

  • @khajumkhamis7910

    @khajumkhamis7910

    3 жыл бұрын

    Amiiin

  • @masoudali9387

    @masoudali9387

    3 жыл бұрын

    Aamiyn

  • @habibasule2360

    @habibasule2360

    3 жыл бұрын

    Aamin

  • @aminaomar9675
    @aminaomar96753 жыл бұрын

    Hatashemegi zake niwaarabu hanafadhila mlevi huyu

  • @hamadrajab8042
    @hamadrajab8042 Жыл бұрын

    Asante bwana mkubwa, hao hawakujui ila mie nishakuJua mbwana B H. BORA UJIFICHE IVO IVO WASHENZI HAWA HAWAUPENDI UKWELI WATAKUMALUZA

  • @arafahassan5257
    @arafahassan52573 жыл бұрын

    Dah! Hainishi ham kuisikiliza dah! Kasema kweli maskin wakaamua kumdhulum nafsi ama kweli sema kweli japokua chungu na ndoo maana hawataki kumpa nchi seif

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir51274 жыл бұрын

    Hongera babu ameir 'waelimishe

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar34293 жыл бұрын

    Allah atalingarisha KABURI lako mzee wetu walie kudhulumu roho yako madhalim wa ccm Allah awalaani duniani na akhera

  • @user-cu8xc5yl9x
    @user-cu8xc5yl9x10 ай бұрын

    Maaa shaa Allah huyuu mzee kaongea ukweli kabisa japo kuwa watu walopandikizwa chuki wanaone ni ya uwongo ! Na kama ni ya uwongo kwanni serekali wakamtesaaa ! Kwa sababu hakutukana serekali bali kaongea kwa heshimaa na kaeleza historia ya kweli !

  • @arafahassan5257
    @arafahassan52573 жыл бұрын

    Subhanallah innalillah wainnailayh rrajiuun

  • @saidhamad7504
    @saidhamad75044 жыл бұрын

    If ccm come to power under the shadow of lies we will remove it under the shadow of truth.. Allah bless our country and make it great again

  • @AA-pd4pz

    @AA-pd4pz

    3 жыл бұрын

    Dont mix siasa na dini ..unguja itakuwa ya unguja

  • @MohamedAli-en9xh
    @MohamedAli-en9xh3 жыл бұрын

    Ccm mmetuondolea hazina kubwa sana

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa78824 жыл бұрын

    Asante sana mzee wangu

  • @ilyaaswambi1622
    @ilyaaswambi16222 жыл бұрын

    Sawasawa mzee Ameir, chuki kwa waarabu haina maana, sote ndugu, wangapi wamekufa baada ya uhuru, nani wauaji, si sisi wenyewe, mengi mabaya yamepita bali na mema yapo, Mungu atunusuru

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor30812 жыл бұрын

    Allah atakulipia mzee kwa ubaya uliofanyiwa

  • @selwanmohmmed8792
    @selwanmohmmed87923 жыл бұрын

    Wamezoea kuua wawatu bila hatia Allah anakungojeni akulipeni kwa dhulma zenu mnazozitenda

  • @abdullahmechanical60
    @abdullahmechanical603 жыл бұрын

    Daahh!! Inasikitisha sana. Allah amrehemu.

  • @111dudi
    @111dudi2 жыл бұрын

    Mungu amrehem na amuingize peponi. Kayapata aliyoyapata kwa kusema kwake ukweli.

  • @MohamedAli-en9xh
    @MohamedAli-en9xh3 жыл бұрын

    Ndio mana waka muuwa kwa kusema ukweli na ndio tatzo la nchi hii uksema ukweli utapotezwa kwa namna yeyote

  • @mukrimkhamis678

    @mukrimkhamis678

    3 жыл бұрын

    Sio nchi hii tu Africa nzima Sema ukweli uuliwe

  • @yanamwisho871
    @yanamwisho8713 жыл бұрын

    Huyu Mzee kwa sasa ametekwa na vikosi vya smz

  • @theroots2743
    @theroots27433 жыл бұрын

    Yarabi tunakuomba ni wewe tu pasipo na mwengine wa kumuomba ilaa llah hawa walio mdhulumu huyu mzee uwape malipo yao yaanzie hapa hapa duniani na huko tunapokwenda mbele ya haki

  • @abdulbasteali1693

    @abdulbasteali1693

    3 жыл бұрын

    Aaamin yaa raaabb

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim4579Ай бұрын

    Wamemuwa Hesabu kesho kiyama Dunia tunapita njia

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43823 жыл бұрын

    ALI KARUME ALIPKIMBIZWA NA BABA YAKE KWA SABABU ALIMUUA MTU KWA KUMTUPA GOROFANI, YAANI ALI KARUME NI MUUAJI NA MSHENZI SANA!

  • @fatmamansour2369

    @fatmamansour2369

    3 жыл бұрын

    Ndo mana hapewi kuongeza nchi huyo muuzaji hata maisara alimuua mme kisa kakataa tu

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын

    Ukweli unauma kwa wengine . Hassan,kusema maalim Seif ni chotara ama hapo unaonesha dhahir kuwa hujui unachokisema

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 жыл бұрын

    Inaliza kusikia majina duuuu 😭😭😭😭😭

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed18303 жыл бұрын

    Hakuna propaganda hapo makavu live inshllah allah akupe kauli thabit inshllah

  • @omarynassor6313
    @omarynassor63133 жыл бұрын

    Hatari sana

  • @allychale2885
    @allychale2885 Жыл бұрын

    Uyo Ali Karume mjinga babayake kauliwa na nyerere

  • @user-cu8xc5yl9x
    @user-cu8xc5yl9x10 ай бұрын

    Allah akulaze mahali pema peponi hakika wewe ni shujaa wa kihistoriaa ! Hata kama watu wamecomment ujinga ila ulichoongea ni cha kweli

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 жыл бұрын

    Hawa uko wa karume na ukoo kumbe si wanzanzibar subhanallah mi nilisikia na mama yangu kwamba ni wakuriya 😁😁😂😂😂sasa wanakata kwao

  • @fahadfaraj1822

    @fahadfaraj1822

    3 жыл бұрын

    Zanzibar kiasili wengi wahamiji so wala si jambo la kumcheka mtu hata we ukiangalia utakuta unaasili yako nje ya zanzibar

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 жыл бұрын

    Duuuu hiii si ya ki toto Zanzibar kumbe wako kutudanganya warabu ukitizama warabu tele wamewaowa 🤣🤣🤣

  • @saadaissa2524

    @saadaissa2524

    3 жыл бұрын

    Wote hao wameoa waarabu hana kheri

  • @issasaidmbarouk8275
    @issasaidmbarouk82753 жыл бұрын

    Innaalillahi wainaailayhi rajiun

  • @theroots2743
    @theroots27433 жыл бұрын

    Ali karume ndie muhusika wa kifo cha mzee Ameir bin sudi mikono yake inanuka damu na kuuwa kwake sio mara ya kwanza

  • @nassraal-riyyami8387
    @nassraal-riyyami83873 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp2 жыл бұрын

    mm kama huyu mzee angeli kuwa hay.ningeli muuuliza huyu saa joji morini alikuwa ni nanani hapa zanzibar napia uhuru wa mwaka 63 ambao uliitwa uhuru bandia tuliupataje na uhuru wa 64 ulipatikana vp

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib2232 жыл бұрын

    Huyu alikufa baada ya kupigwa na kuteswa na watu wasiojulikana Zanzibar . Hawa wasiojulikana na wanaowatuma wanajua kama ipo siku ya hisabu,?

  • @meekman1805
    @meekman18052 жыл бұрын

    Kumbe ee!

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89772 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MAPESA YANAMTIYA WAZIMU NA NA ULEVI DARASA ZURI LINAMTOSHA

  • @mohammedlaabry5799
    @mohammedlaabry57993 жыл бұрын

    Kwani Ali Abeid Amani karume yeye anajikomba kwa mabwana zao Tanganyika Basi

  • @Saidykj
    @Saidykj4 жыл бұрын

    Mpe ukweli huyo mbaguzi asie na fadhila (Baniani mbaya kiauti chake dawa) muelimishe mzee huyo, yeye mwenyewe mkimbizi idiot.

  • @christophermahawi4920
    @christophermahawi49203 жыл бұрын

    Umeme wa majenereta ya mkaa wa mawe yaliletwa Zanzibar 1908 hadi 1954 yakaletwa ya mafuta ambayo mwisho wake 1980 baada ya kupitisha waya wa hydropower kutoka Tanganyika. Narekebisha tu ili msipotoshwe.

  • @zuheraaziz9343

    @zuheraaziz9343

    3 жыл бұрын

    Babu ndio aliesema ukweli ndio mana wakamuuwa

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo87293 жыл бұрын

    Weweee mzeee ,umepagawa au

  • @suafaahsuafaah345

    @suafaahsuafaah345

    3 жыл бұрын

    Achana nasis wew angalia yakwako sio ya znz

  • @aminaomar9675

    @aminaomar9675

    3 жыл бұрын

    Ww kafiri nenda kwenu bara kabla hatuja kukufanya vibaya

  • @samsonhaule5422

    @samsonhaule5422

    3 жыл бұрын

    @@aminaomar9675 Wee Amina Una mikwara?? Unge kuwa mke wangu tungepigana kila siku.

  • @msakuzikondo536
    @msakuzikondo5362 жыл бұрын

    Mzee kalewa pombe

  • @samsonhaule5422
    @samsonhaule54223 жыл бұрын

    Hakuna kitu kinacho kela kama kumuona MSwahili Anajipendekeza kwa Wazungu Au Waraabu Au Wachina Au Wahindi. Pumbavu sana, lazima Waswahili tujitambue.

  • @pascalgiyam9476

    @pascalgiyam9476

    3 жыл бұрын

    Mpumbavu wewe tena kafiri huwezi kuelewa mambo ya historia

  • @khamissaleh921

    @khamissaleh921

    2 жыл бұрын

    Wewe mjinga sana Unajuwa maana ya mswahili labda hujui , hakuna mtu anaezungumza hii kugha asie tumia lighabya kiswahili halafu akawakataa waarabu au wazungu , kumbuka ustaarabu wa afrika hasa ya mashariki ni kutokana kuja kwa wageni wa nje na kuustarabisha hata wenyewe wanaijiita waswahili lugha wameipokea huko kwa wageni basi kama wanawakataa , watumie lugha zao za kienyeji tu , ila ukweli ni kuw waarabu ndio wastarabu hata ULAYA WALITEKA SPAIN MAIKA 800 wakawafundisha ustaarabu wazungu !

  • @himnajuma8463
    @himnajuma84633 жыл бұрын

    Wote hawajui uyo ulowataja mtoto xn tu uyo Ila afya yake inmtia kiburi ole wake pumzi zikimbana kwa kifo .

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha2154 жыл бұрын

    Ali mkimbizi hajuwi ki2

  • @hajijuma8346

    @hajijuma8346

    4 жыл бұрын

    Msomeshe huyo dogo!

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89772 жыл бұрын

    KAOTA SHEMERE TAYARI

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman16492 жыл бұрын

    Kwani nyie waarabu mnawaonaje lkn

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar4393 жыл бұрын

    Umlaze maaalim mzee huyu kwa kweliii 🤦🤦🤦😭😭😭

  • @MarcoPolo-ol2lz
    @MarcoPolo-ol2lz3 жыл бұрын

    Mzee anavyowapamba waarabu utafikiri watu wazuri kweli. Hawa ndio walikuwa viongozi wa utumwa zanzibar na hadi leo mataifa yao ndio ya mwisho kukomesha biashara ya utumwa. Saudi arabia hadi miaka ya 1950 kulikuwa na watumwa. Libya juzi tu baada ya mapinduzi tayari walianza kufanya biashara ya utumwa. Sielewi haya mapenzi juu ya waarabu ambayo mzee huyu anayo yanatoka wapi?

  • @mjakamjaka5759

    @mjakamjaka5759

    3 жыл бұрын

    Wacha kupoteza watu wewe kwa maneno yako kusema kwamba waarab ndio walioleta utumwa Unapotea sanaa

  • @MarcoPolo-ol2lz

    @MarcoPolo-ol2lz

    3 жыл бұрын

    @@mjakamjaka5759 niambie kabla hawajaja nani alikuwa anafanya biashara ya utumwa? Lakini tufanye hawajaleta je ni uongo kwamba waarabu ndio walikuwa na bado wanaendelea kuwa vinara wa watumwa duniani? Kuna ugonjwa unaitwa stockholme syndrome ndio unaowasumbua. Angalia youtube slaves in saudi arabia utaona, angalia libya utaona na maeneo mengine. Haya mapenzi yenu juu ya waarabu yanatokana na udini lakini katika akili ya kawaida sioni unaanzia wapi kuwatetea waarabu kwamba ni watu wema

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    2 жыл бұрын

    Hata kama warabu wabaya lakini nyinyi watanganyika ni wabaya zaidi, hasa nyinyi watanganyika makafiri

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    2 жыл бұрын

    @@MarcoPolo-ol2lz ubaya wa warabu si uzuri wa mabwana zenu wazungu walikuleteeni ukafiri wa kikristo. Soma historia mabwana zenu wazungu walikuwa wakiwachukua katika nchi za ulaya na amerika kulimishwa mashamba na wasioweza waliuliwa. Pia rejea vita vya majimaji huko kwenu Tanganyika, watanganyika wangapi waliuliwa? Warabu waliokuja Zanzibar waliitwa na wazanzibar wenyewe ili kuwaondoa washenzi wa Kireno.

  • @AllyMassud

    @AllyMassud

    Жыл бұрын

    wy kichogo wazania wazazibar hwakuwa watwa

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis80923 жыл бұрын

    Hakuna kitu kinachonikera kama kuwa ninahamu yakusikiliza kitu nikasikia miziki kwachini

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena59223 жыл бұрын

    Ally karume pombe nyingi hana lolote

  • @samsonhaule5422
    @samsonhaule54223 жыл бұрын

    Huyu Mzee Amer bin Amer, ina onyesha Waarabu walikuwa wakimshughu likia. Maana hata sauti yake Pia mtihani.

  • @samsonhaule5422
    @samsonhaule54223 жыл бұрын

    Mswahili yeyote Anaye mfuata Mzee Amer basi Nina Mashaka naye, Kama si Mtoto Rizki !!! basi Ni Mswahili Asiye jitambua.

  • @saidmaulid523
    @saidmaulid5233 жыл бұрын

    Babu waelimishee

  • @tifumunguatamlipaaliendewa4927

    @tifumunguatamlipaaliendewa4927

    3 жыл бұрын

    Ewe mola wahukumu wabaya wazanzibari hususan Shein na mwnyi na bollzi idi we Ali karume ww huna kitu Zanzibar wenyewe warabu kima ww

  • @realmadrid7823

    @realmadrid7823

    3 жыл бұрын

    Sana

  • @Abdulrahman-is2di

    @Abdulrahman-is2di

    3 жыл бұрын

    Ukwel utabakia uwe ukweli tu. Na Hasidi hana sababu. Nenda salama babu Allah akuthibitishe.

  • @jumaakida5951
    @jumaakida59512 жыл бұрын

    Jamani jamani Allah! Walipe wazanzibar kila la kheri. Mmepoteza wanazuoni wengi mno.

  • @Visit_zanzibar
    @Visit_zanzibar3 жыл бұрын

    Sheikh.Abdallah saleh Al farsy na weng tumewapoteza visiwan mwetu :yalikua ni mapinduzi ya kuondoa watu wema na wasomi!

  • @froma3732
    @froma37322 жыл бұрын

    Hao ni vizazi vinatoka Malawi lkn hawataki kukubali

Келесі