FOR COPYRIGHT NOTICE CLAIMS
Please if you have any issue with the content used in my channel or you find something that belongs to you, before you claim it to KZread Kindly send me a direct message through [email protected] and I will delete them right away.
Thanks for your understanding .
KUHUSU MADAI YA HAKI MILIKI.
Tafadhali ikiwa una suala lolote na maudhui yaliyotumiwa kwenye Channel yangu hii au utapata kitu ambacho ni milki yako, kabla ya kutuma madai kwa KZread tafadhali Nitumie ujumbe wa moja kwa moja kupitia [email protected] na nitakiondoa mara moja.
Asante kwa kunielewa
Пікірлер
Haiwi nikipanda mbegu ya wema mna😂😂😂
Zanzibar ndio kwetu na ipo siku tutarudi inshaallah
❤❤
Kweli kwann makame faki alikataa kutoa klip alizopiga kidumbaki na seif Khamisi fundi wa kidumbaki kutoka kilindi chake chake pemba
Kweli hawachezi wimbo huu unaoskika wamepiga changa
Wimbo huu hakuimba makame faki ndomana hakutoa klipu zake hadi leo wanababaishatu muimbaji seif Khamisi mpemba wa kilindi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Izi sasa ndo taarab.. Maneno ya busara taha chizi atarevuka😂😂😂😂
Mungu akusameh akuondoleye adhab ya kaburi akupe jjannatil firdaus
Daaa maalimu nimuaminifu san ali kubalika san mungu akulipe san daaa kuna watu wanapendwa ila maalim kazid
Uyo ndie njiwa sanaa jmn Sasa ivi kuinuka hawezi miguu inamuuma mungu akuwafu inshallah
Zinatukumbusha watuwetu wazamani walio tutoka Allah awarehemu wote walio tangulia
Mzee yuko sirious kijitu uzima
Yarabi msamehe inshallah
Wazee wabusara wako wapi jamani
Mikobaaa haahaa😂😂😂
Hhhhmm mduduuu😅😅😅
🎉🎉
Vya kale❤❤❤
Aaaaa Nyerere kumamayo
😂😂😂
Mwenyezi mungu akulinde.uko.uliko kwa Yale ulioyafanya hapa duniani ni mazuri
Amn amin
2024 we are here
Kwakweri nimemkumbuka mama Angu mrezi baba Angu wote Walisha faliki
Siwezi kunsahu ❤
2024
❤
Mapinduzi ya mfano huo ni moja ya dalili za kiyama alichokisema Mtume SAW mtu asiyemiliki hata kiatu leo anakaa kk magorofa
Huyu mzee bado hupo dunia 3:52
Kweli kabisa old is gold 😊
Dah siomchezo iyo
Nakumbuka marehem.zamir uwanja.wa.mkele
Umenikumbusha ata mm saa nane redio Zanzibar upiga hii na ndio muda wa kwenda madarasa
Nyimbo nzuli sana
N mmi samuel
Hhhhhhhhhhhhhhhhv
Tena😢
G
Uvunjike tu tanz tanz zanz zanz bar
Ni mwaka 2024 lkn bado tunaghafilika
Old is gold❤
Hongera kurejesha michezo yet ya asili❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kama ipo mengine tuma tuuu
Nice song❤
Nyimbo safi
my song ❤
Pongezi kwa kazi yako nzuri bi.saada nassor❤❤🇰🇪
Nipeni nafasi nimsifu mpenzi wangu ❤❤naipenda kazi yako BW. Sadiq🇰🇪
Umekua mtu duni hali yako taabani 😂😂😂😂😂hongera sana bi.sabah🇰🇪 salamu zimfikie mfa maji😭
❤❤❤❤❤❤
Kaimba nani hii jaman
Kaimba nani hii jaman