NATIKISA PENDO - BURUDANI ZA MASHAKA (4)

Пікірлер: 45

  • @zuwenasaleh9613
    @zuwenasaleh961310 ай бұрын

    MashaAllah wazee wazamani hawapendi watoto wao waachane ila wazee wa siku hizi mtihan wapo mtari wa mbele kutoa go ahead za talaka subhanallah

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh30022 жыл бұрын

    Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰

  • @marcomontolivo5922
    @marcomontolivo59223 жыл бұрын

    Narejea tena kusema hawa ndo wasanii wa Zanzibar waliokuwa na uwezo wa kufikiri mbali sana nawakubali sana wazee wangu wasani wazamani muangalie mkwe wa zamani anavo amua kesi hio

  • @chalulumanyenga1151
    @chalulumanyenga11513 жыл бұрын

    mze Chita katika ubora wake yani noma Chita mungu amrehemu

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma1383 жыл бұрын

    Pendo alitkiswi kweli mana umelitkisa kweli

  • @seifhabib5987
    @seifhabib59873 жыл бұрын

    Machozi yananitoka kwa kukosa flam zilizokuwa zinatufunza juu ya Maadil ya Mzanzibar,Mzee anakuwa ndo Muamuzi wa Mwisho katika ndoa na sio mume kama sasa.

  • @allyboy4153
    @allyboy41537 күн бұрын

    Mzee yuko sirious kijitu uzima

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi494310 ай бұрын

    Hammy ana busara sana ,zaidi ya shangazi. alafu vijana wa zamani walikuwa na adabu sana ,ingekuwa ni sasa unafikiri mashaka angemsikiliza huyo hamy,hapo hamy angetolewa nduki na matusi juu.yaani nyakati zingerudi watu wakaishi kwa amani .

  • @akilihabibu4203
    @akilihabibu42033 жыл бұрын

    Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana

  • @mohammedomar1569
    @mohammedomar15695 жыл бұрын

    Nalikubali sana chimbeni na kwanini umeacha kutuletea mambo mazuri kama haya yuko wapi mifupa 😆😆ila mashaka yashaondoka sasa mashaka kashakua bosi😅😅😅.

  • @safiyaally4825
    @safiyaally48255 жыл бұрын

    Michezo ya zmn ilikua Na heshima

  • @user-wx9xk1sf6b
    @user-wx9xk1sf6b5 ай бұрын

    MashaALLAH

  • @salumame4845
    @salumame48455 жыл бұрын

    michezo yenye kuakisi asili yetu wazanzibar

  • @amneamne7862
    @amneamne78623 жыл бұрын

    sant na baibui old is gold

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket7 күн бұрын

    Wazee wabusara wako wapi jamani

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6236 жыл бұрын

    Very interesting 😀. Mashaka bin Tabu creates burudani

  • @aishaomar4318
    @aishaomar43185 жыл бұрын

    😁😁😁mambo ni 🔥pendo limejua kutikisika.wasasa watasema kwani kwetu nimeua?

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf99813 жыл бұрын

    Hahahahah da mashaka bwan eti nimeskia lkn kwa mbali

  • @aishamohamed5033
    @aishamohamed50333 жыл бұрын

    Ahsante mashaka hahahahaha

  • @husseinramadhan3369
    @husseinramadhan33696 ай бұрын

    chimbeni wewe unajuwa sana kupitiliza

  • @alimussa2655
    @alimussa26555 жыл бұрын

    Zanzibar tushaiuzar kwa tamaa ya maslahi ya wachache tu sasa sijuwi wakumlaum nani manake hata hizo burudani hatuna tena

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf99813 жыл бұрын

    E mashaka mtukutu nyee eti nje wapi dah hahahahaaa

  • @mrwordsthemost7690
    @mrwordsthemost76906 жыл бұрын

    Daah aisee hii zinapatina wapi hizi complete

  • @AliHassan-xr3yb
    @AliHassan-xr3yb6 жыл бұрын

    Asnate bin sef nakukubali Sana weka Mambo ayo from katar

  • @rozypatel5672

    @rozypatel5672

    Жыл бұрын

    Hilo jina lako mpk najiuliza km ni kweli au ni moja ya bots? 😂 Anyway namba kukuuliza huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomva kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl ntshkuru kchizi

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud89796 жыл бұрын

    😁😁😁😁ammy mkali mhh

  • @husnahhhahahausys7810
    @husnahhhahahausys78105 жыл бұрын

    Asante bin seif tupe vitu vizur vya zaman

  • @rozypatel5672

    @rozypatel5672

    Жыл бұрын

    Eti mammy huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomba kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl mammy husna? Au Mwambie anijibu humu mwenyewe 🙏🙏

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57025 жыл бұрын

    Wazee wa siku iz wangalimsaidia mkwe wao kutoa vyombo nje wakashangilia

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal46082 жыл бұрын

    Talaka lazima ikaliwe Eda sio hapo hapo baada ya talaka unarejea.

  • @aishamohamed5033
    @aishamohamed50333 жыл бұрын

    ndo kibiriti hichooo

  • @amneamne7862
    @amneamne78623 жыл бұрын

    zaman wat na adabu

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha2155 жыл бұрын

    Cheka kwasana

  • @mohammedbusaidi8505
    @mohammedbusaidi85056 жыл бұрын

    Hhhhh hapana chezea amiiiiy

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97615 жыл бұрын

    Mashaka ana talenta sana tena wa siku nyingi tunamkubali sana.na pongezi sana kwa Amiii 👏

  • @raghum1149

    @raghum1149

    4 жыл бұрын

    😂haski lugh

  • @zuhrazuhra4051

    @zuhrazuhra4051

    4 жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @ashasaid3136

    @ashasaid3136

    3 жыл бұрын

    Wallahi vitu vzur km hivyo vimpotea,,tulikuw tunapata mafunzo kwa kweli, kweli vya kale dhahabu

  • @ashasaid3136

    @ashasaid3136

    3 жыл бұрын

    Jamanii nataman Zanzibar yetu irudi km zaman

  • @hanifaabuobakar3636
    @hanifaabuobakar36365 жыл бұрын

    zanzibar yetu

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil6275 жыл бұрын

    Hamy

  • @rahimaally9838
    @rahimaally98386 жыл бұрын

    Kawa kasi sio mkasi lol

  • @aishamohamed8778
    @aishamohamed87783 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh30022 жыл бұрын

    Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰

  • @akilihabibu4203
    @akilihabibu42033 жыл бұрын

    Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana