Halikuniki, Mau Mpemba na Bitele wakipimana akili -Uganga sio kazi ya mchezo
Ойын-сауық
Video hii imeweka kwa ruhusa ya STAR ART GROUP.
Kuhusu sisi:
ZMOTION STUDIOS inajihusisha na utengenezaji wa filamu za kiswahili, matangazo, na video fupi za vichekesho na vituko mbali mbali. Ukijiunga na chanali yetu kwa kubonyeza 'Subscribe' utakua miongoni mwa wanaopokea ujumbe wa barua pepe kila tunapoweka video mpya, pia utapata fursa ya kujishindia zawadi ya mwaka ukiwa utakua mfatiliaji mzuri unae 'share', 'like' na kukoment katika video zetu.
Ili kutoa maoni yako na kujua video gani ipo katika maandalizi kwa sasa, usikose kufutailia ukurasa wetu wa facebook link hapo chini
KUTANA WA WASANII WANAOKUJA KWA KASI KATIKA VICHEKESHO
-Mau Mpemba
-Makame Nuhusi
/ zmotionstudios
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "MAKAME NUHUSI ANAHONGA KIWANJA ZANZIBAR (FUMANIZI)"
• MAKAME NUHUSI ANAHONGA...
~-~~-~~~-~~-~
Пікірлер: 48
Allah akupe kauli thabit mzee wetu halikuniki
Hayo macho ya fisadi kweli mau mpemba🤔🤔😄😄
Et ufuge mwenyewe😂😁🤣😂😂😂
allah akupe kauli thabit
Marehemu halikuniki nani anaangalia 2019 agonge like twende sawa
Hahahahahaha nikweli mwanangu.washaniulia mwananguu.
@nawwarsultwaan6404
3 жыл бұрын
Hhhhaaaa
wanaipiga kwa bakora yangu ujue waniumiza..ll leo kwangu kesho kwako wahenga walieleza
Hapa kapatikana mganga .Big up Mau
Hiii imenikumbusha pemba
Noma
😂 😂 😂 Ati mie fisadi, hatar
vitu vzr sana
Halikuni 😀😀😀 ety aje afuge mwenyewe
yaani mnanifariji sana tu
Kwio enyewe kigwiido
hahaha nice
nice
Kwya
Sasa mbona mau lazima umtizame marehem mnlikuwa mnakipanga nini kwani!! Ha ha ha ha !!
hahaha mumetixha
hhhh dadek r.i.p halikuniki
RIP
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kazi nzuri,,, nimeipenda hio nyimbo muliyoiweka mwisho Vipi munaweza kunitumia???
@mussasaid1320
6 жыл бұрын
Hapa Mau umesawiri vyeema saana kazi yako njeema saana n.a. Indonesia uhalisia kweeli kweli yaani kama utacheza hivi itakuwa sanaa zako juu sana
Naona kahamaki
😂😂😂😂
😨😨
Hiki kiswahili cha may kinanifanya nami nine zenzi
hahahah
😀😀😀😀😀😀
@fuadimohiddin9337
6 жыл бұрын
Ally Faki ally faki ?
duh
@zahorrashid5459
6 жыл бұрын
km tukishirikiana znz vipaji vipo sn kwass
haya fisadi weye unatoka wapi ?hahahahaha
@hassammohammed5046
4 жыл бұрын
Uko ufisadini
mau hoqera wapemba vituk
imeshtoka hii film
@Asili
7 жыл бұрын
Mgeni Mkubwa ndio
@ahmadnejad4796
5 жыл бұрын
@@Asili inapatikana wapi hii film
@Asili
5 жыл бұрын
Ni filamu ya zamani kidogo, unaweza kubahatika kuiona katika baadhi ya video library, Zanzibar
@issamnakpeel8756
Жыл бұрын
Me naomba kujua hii film inaitwaje?
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂