AJALI MBAYA KISAUNI ZANZIBAR, BASI LAGONGA NA KUUA HAPO HAPO
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 90
Innalillah wainnailaih rajiun.
Inna lillah wainna ilayhi rajiun Allah awape qaul thabit waliotangulia Na awape subra waliondokewa. Ni njia ya haki wao mbele ss nyuma Allah atupe husnu lkhatma yarabby
Jamani Zanzibar hakuna usalama wa barabarani madereva wako careless sana. Wanaendesha OVYOO. Mimi naomba SEREKALI iwafatiliye sana wanoendesha magari kama wandaazimu... ikizidi speed watoleshwe (FINE) alipe PESA hapo ndio watakaa sawa. Hana zakulipa gari izuwiliwe miezi 3 polisi na yeye JELA itakuwa nidhamu barabarani. Asanteni.
Allah Atupe kauli Thabit lkn hii njia mara hii zaidi ya watu 7 washakufa
Shukran Ktv tz online hakika hii ni FAHARI yetu
Hakika sisi ni wa Allah na tutarudi kwake.
@ramadio968
4 жыл бұрын
West-side 1990 gali za fumba ziko rafu sana
@sarangeboy9079
4 жыл бұрын
Kiukwel madereva baaz yao ni wazembe tena sana yani mtu akijua kipga moto tyr nayye dereva mbio nying zilizo kua hazina isaba wala maarifa
Innallillah wainnaillah ranjuun
Innaalillahi wainna ilayhi raajiuun allah awape kaulithaabit.
@w4058
2 жыл бұрын
Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajiuun madereva hawakomi maana hawafanywi kitu
Subhanallah
Innalillahi wainna ilayhi raajiiun 😢
Askari wakae na torch za kusoma mwendo wa Magari, na pia Alama za barabarani ziwekwe katika barabarani hiyo
Innnalllilah wainnaillaih rajiun hakika ss ni wa mungu na kwake tutarejea..
Innalilah wainailah rajiun pole sana Allah awaswamehe madhambi yao
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@mohammedsaleh2202 In shaa Allah nikutakie usiku mwema
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@mohammedsaleh2202 Allah awaswamehe maiti wetu wote awajalie kauli thabit atuswamehe na ss
@mohammedsaleh2202
4 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 asante zayati
@mohammedsaleh2202
4 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 asante zayati
@aliy3303
4 жыл бұрын
Ameen
Jamani jamani mbona yaani ukitoka nyumbani kuenda kununuwa kitunguu ukirudi nyumbani ni ushukuru jamani Duuu
Watatumaliza madereva wawepole walotokezewa na mitihani iyo mungu awape moyo wasubra
Innalillah
Innalillahi wainna ilayhi rajiun, Allah atupe khusnul khaatima, Amiin. Kwa nn serikali hazijengi njia mbili ya kwenda na kurudi? Au hata kugeuza baadhi ya njia zikawa one way tu. Madereva wazembe, njia nyembamba, majumba na viduka mpaka chini ya barabara.
KHUSNUL KHATIMA YAA RABBI POLENI SANA WAFIWA
kwa ushaur wangu. serekali ingefanya kwa kila gari la mt binafc linge fungwa sped na likawekwa wastani wa spidi 50 t mwi sho na kila chombo cha moto, kwan 2meshudia kua ajali nying zitokeazo ni kwasabab ya mwendo kasi
Innalillahi wainna ilayhi rajiun, Allah awape kauli thabit, ni kweli traffic hakuna njiani labda mwisho wa mwezi kukaa majiani kudai rushwa, unatoka mjini mpaka unafika kisauni hukuti hata askari
Innalillah wainnailayhi raajiuun Allah awapokee hali yakua kawaridhia
Poleni sana
Innalilah wainailaihirajiun
Kazi ya mungu haina makosa mungu akujaalie kauli thabib kaka yetu
serikari uwa wanapuza mambo sana wanachezea maisha yetu
Innaalillaah wainnaa ilayhi raajiuun
mbele yao nyuma yetu sisi sote ni wamungu na kwake tutarejea mimi sefu haji alikua shemeji yangu. mungu awalaze mahali pema
Subhana allah 😭
innallilah wainnaillaihi rajioun mungu awasahe marehem
Maderva tunalia na nyinyi mimi nahisi dereva akiuwa iyangaliwe kama mwendo ulikuwq mkubwa afungwe watatumaliza.
Innalillah wainnailayhi rajyun subhanallah
Innaa lillaah wainnaa ilayh raajiuun, Allah awape kaul thabit
Innaa lillaahi wainaa ilayhi raajiun
Hao ndio madereva bwege maana hawajali usalama wa wengine
inna lillahi
Inalilah waina ilahii rajiun
Innalillah wainna ilayhi rajioon. Mimi ningeiomba Serikali waweke Humps (Matuta) barabarani hiyo ndio itakuwa solution.
Ina lilah wain ilah rajiuna
Mimi kuchangia hapo siwezimaana ukizingatia barabarazetu ni nyembamba sana Kisha humohumo miguu Vespa gari lazima ajali hazito isha muhudi abadan
Inalillahi waina ilayhi rajiuun
wapi like z ktv tz
Dereva hajafa??
Wekeni matuta kwenye barabara za mitaa kwani maisha ya watu ni bora sana .
Asilimia kumbwa ya madeva wa unguja hawana leseni wanaendesha kimazoea tu, angalia uwapo bara barman ht usojua kuendesha gari unajionea mtihani tu, wabaneni wasio na leseni
Innalillh wainna ilayh rajiuun
Maoni yngu mm kuekwa matuta bara barani ni muhimu sana ibakie ajali haina kinga
Inna lillahi wainnaa ilayhi raajiu'uun
Innalillahi wainnailayhi rajiuna
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭
Innalilahy wainailayhirajioun allah awafanyie wepesi
@mohdmussa5587
4 жыл бұрын
Amin
Poleni sana Mulio pata msiba Allah awajaalie subra
@hadhraally316
4 жыл бұрын
In shaa Allah tushapoa hii ni njia sahihi kupita mwaadam mungu atupe subra in shaa Allah
@samsungjsevenprime5717
4 жыл бұрын
@@hadhraally316 Amin🤲Allah awazidishie subra hiyo ni njia yetu sote ni waja wa Mungu na kwake tutarejea mbele wao nyuma yao ni sisi Allah atujaalie mwisho mwema sote jamii waumini
Innah Lillah Wainnah ilayhi raajiun
Kisauni Kama mombasa
Innalikh Wainna illaykh rajiun
Inna lillahi waina ilaihi rajighuun inaumiza sana hakuna aijuae kesho yake
innalillah wainnailaihirajiun kwakwel ni mtihan mkubwa dah mung awalaze mahal pema pepon
Inna lilahi wainna ilayhi rajiun
Innallilahi wainailahi rajioun
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
Subhanalha. Bismilhah😭
Tuekeni camera watanyooka tuu km nchi nyengine
Hiyo ndiyo furaha ya serikali munapoongea wanawachora tu
Hiyo niyo kutowa leseni gari kwa wtu wasio kuwa na ujuzi
Ajali ni ajali lkn kinachosababisha ajali hasa ni mwendo kasi hakuna chengine serikal iangalie hapo
ajali ndo ajali.ila barabara nazo mbovu mashimo matupu kama bao la kete hujui ukwepe lipi zaidi njia ya kusin
Uyo mkaka namjua yni daa huzuni mungu awasamehe mazambi yao😭😭😭😭😭
@dazuujuma1211
4 жыл бұрын
Pole mwaya
@saymarsaymar4654
4 жыл бұрын
Hata na mm namfahamu sana
@abdul-fatahyussuf7439
4 жыл бұрын
Alogongwa au alogonga
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Abdul-fatah Yussuf alogongwa seif hajji
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
SAYMAR SAYMAR pole yani jana kma namuona nataka kulala usingizi uliruka mawazo kma namuona mungu amsamehe mazambi yke
Tatizo nduguyanguzetu madereva wengi siowote wanadharau kwanini unajua njia intumika kwa vyumba vikubwa na vidogo na hata wanaotembea kwa miguu Kisha unatembea saidi juweni mtaulizwa sikuya qiyam
Kwan serekali wakaeka matut katk maeneo hayo mfano mbon jozani hakun binaadam mbon yameekwa matuta!
Fungeni kamera njiani.!adereva tupunguze mwendo
Kuwaweka polisi ni kuwatengenezea wapewe rushwa2 ufumbuzi wa hayo madereva wanapata leseni za magari na hasa ya abiria kwa kweli hawajafikia viwango vya leseni ya kuweza kupakia abiria hapo inatakiwa hata kuipata leseni hiyo uwe umeipata kwakuweza kuhitimu masomo ambayo. C chini ya udereva wa miaka 5 ya masomo juu ya kuchukua abiria na sheri za kumuogopa mwenda kwa miguu mwenye baiskeli pamoja na chombo cha maringi mawili au kitu chochote kinachotumia bara bara na vile vile kuweza kuzijua alama za njiani kwa watumiaji wa barabara na hasa hao madereva
@sharifissa26
3 жыл бұрын
Innalillah wainailayhi turjaun
HIV HIZ COMMWENT TUNAZO ANDIKA HUWA ZINA FUATILIWA AU TUNAANDIKA BURE TYUUUUUUUUUU
Subhanallah
Inna lillahi waina ilaihi rajighuun inaumiza sana hakuna aijuae kesho yake