AJALI MBAYA KISAUNI ZANZIBAR, BASI LAGONGA NA KUUA HAPO HAPO

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 90

  • @fadhilaramadan5143
    @fadhilaramadan51434 жыл бұрын

    Innalillah wainnailaih rajiun.

  • @aishanassor8130
    @aishanassor81304 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilayhi rajiun Allah awape qaul thabit waliotangulia Na awape subra waliondokewa. Ni njia ya haki wao mbele ss nyuma Allah atupe husnu lkhatma yarabby

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11064 жыл бұрын

    Jamani Zanzibar hakuna usalama wa barabarani madereva wako careless sana. Wanaendesha OVYOO. Mimi naomba SEREKALI iwafatiliye sana wanoendesha magari kama wandaazimu... ikizidi speed watoleshwe (FINE) alipe PESA hapo ndio watakaa sawa. Hana zakulipa gari izuwiliwe miezi 3 polisi na yeye JELA itakuwa nidhamu barabarani. Asanteni.

  • @moviesseries9923
    @moviesseries99234 жыл бұрын

    Allah Atupe kauli Thabit lkn hii njia mara hii zaidi ya watu 7 washakufa

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Shukran Ktv tz online hakika hii ni FAHARI yetu

  • @West-side-lt9nb
    @West-side-lt9nb4 жыл бұрын

    Hakika sisi ni wa Allah na tutarudi kwake.

  • @ramadio968

    @ramadio968

    4 жыл бұрын

    West-side 1990 gali za fumba ziko rafu sana

  • @sarangeboy9079

    @sarangeboy9079

    4 жыл бұрын

    Kiukwel madereva baaz yao ni wazembe tena sana yani mtu akijua kipga moto tyr nayye dereva mbio nying zilizo kua hazina isaba wala maarifa

  • @nsreenmoafee1064
    @nsreenmoafee10644 жыл бұрын

    Innallillah wainnaillah ranjuun

  • @alirashid1727
    @alirashid17274 жыл бұрын

    Innaalillahi wainna ilayhi raajiuun allah awape kaulithaabit.

  • @w4058

    @w4058

    2 жыл бұрын

    Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajiuun madereva hawakomi maana hawafanywi kitu

  • @fadhilaramadan5143
    @fadhilaramadan51434 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62024 жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi raajiiun 😢

  • @khalfansaid7064
    @khalfansaid70644 жыл бұрын

    Askari wakae na torch za kusoma mwendo wa Magari, na pia Alama za barabarani ziwekwe katika barabarani hiyo

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99054 жыл бұрын

    Innnalllilah wainnaillaih rajiun hakika ss ni wa mungu na kwake tutarejea..

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Innalilah wainailah rajiun pole sana Allah awaswamehe madhambi yao

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    @@mohammedsaleh2202 In shaa Allah nikutakie usiku mwema

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    @@mohammedsaleh2202 Allah awaswamehe maiti wetu wote awajalie kauli thabit atuswamehe na ss

  • @mohammedsaleh2202

    @mohammedsaleh2202

    4 жыл бұрын

    @@zayyatiyussuf9566 asante zayati

  • @mohammedsaleh2202

    @mohammedsaleh2202

    4 жыл бұрын

    @@zayyatiyussuf9566 asante zayati

  • @aliy3303

    @aliy3303

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @joleenmasha
    @joleenmasha4 жыл бұрын

    Jamani jamani mbona yaani ukitoka nyumbani kuenda kununuwa kitunguu ukirudi nyumbani ni ushukuru jamani Duuu

  • @salmayusuph34
    @salmayusuph344 жыл бұрын

    Watatumaliza madereva wawepole walotokezewa na mitihani iyo mungu awape moyo wasubra

  • @hamad-yu4qs
    @hamad-yu4qs4 жыл бұрын

    Innalillah

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57964 жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun, Allah atupe khusnul khaatima, Amiin. Kwa nn serikali hazijengi njia mbili ya kwenda na kurudi? Au hata kugeuza baadhi ya njia zikawa one way tu. Madereva wazembe, njia nyembamba, majumba na viduka mpaka chini ya barabara.

  • @dazuujuma1211
    @dazuujuma12114 жыл бұрын

    KHUSNUL KHATIMA YAA RABBI POLENI SANA WAFIWA

  • @khamisihaji5446
    @khamisihaji54464 жыл бұрын

    kwa ushaur wangu. serekali ingefanya kwa kila gari la mt binafc linge fungwa sped na likawekwa wastani wa spidi 50 t mwi sho na kila chombo cha moto, kwan 2meshudia kua ajali nying zitokeazo ni kwasabab ya mwendo kasi

  • @stonetown578
    @stonetown5784 жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun, Allah awape kauli thabit, ni kweli traffic hakuna njiani labda mwisho wa mwezi kukaa majiani kudai rushwa, unatoka mjini mpaka unafika kisauni hukuti hata askari

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy90414 жыл бұрын

    Innalillah wainnailayhi raajiuun Allah awapokee hali yakua kawaridhia

  • @rahmahakim6285
    @rahmahakim62854 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @samsungoman5626
    @samsungoman56264 жыл бұрын

    Innalilah wainailaihirajiun

  • @saidrashdy7459
    @saidrashdy74594 жыл бұрын

    Kazi ya mungu haina makosa mungu akujaalie kauli thabib kaka yetu

  • @rashid.mwenyezimunguakurin2968
    @rashid.mwenyezimunguakurin29684 жыл бұрын

    serikari uwa wanapuza mambo sana wanachezea maisha yetu

  • @nureyna629
    @nureyna6294 жыл бұрын

    Innaalillaah wainnaa ilayhi raajiuun

  • @samirnasir2787
    @samirnasir27874 жыл бұрын

    mbele yao nyuma yetu sisi sote ni wamungu na kwake tutarejea mimi sefu haji alikua shemeji yangu. mungu awalaze mahali pema

  • @huweiy6587
    @huweiy65873 жыл бұрын

    Subhana allah 😭

  • @salehmustafa5538
    @salehmustafa55384 жыл бұрын

    innallilah wainnaillaihi rajioun mungu awasahe marehem

  • @intisaarsaid6858
    @intisaarsaid68584 жыл бұрын

    Maderva tunalia na nyinyi mimi nahisi dereva akiuwa iyangaliwe kama mwendo ulikuwq mkubwa afungwe watatumaliza.

  • @ablatuny5406
    @ablatuny54064 жыл бұрын

    Innalillah wainnailayhi rajyun subhanallah

  • @omarisuleiman2611
    @omarisuleiman26114 жыл бұрын

    Innaa lillaah wainnaa ilayh raajiuun, Allah awape kaul thabit

  • @MyChannel-gw4bv
    @MyChannel-gw4bv4 жыл бұрын

    Innaa lillaahi wainaa ilayhi raajiun

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51924 жыл бұрын

    Hao ndio madereva bwege maana hawajali usalama wa wengine

  • @yahayaommar123
    @yahayaommar1234 жыл бұрын

    inna lillahi

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Inalilah waina ilahii rajiun

  • @kidaumtumbwi1128
    @kidaumtumbwi11284 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayhi rajioon. Mimi ningeiomba Serikali waweke Humps (Matuta) barabarani hiyo ndio itakuwa solution.

  • @omanseeb8609
    @omanseeb86094 жыл бұрын

    Ina lilah wain ilah rajiuna

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90304 жыл бұрын

    Mimi kuchangia hapo siwezimaana ukizingatia barabarazetu ni nyembamba sana Kisha humohumo miguu Vespa gari lazima ajali hazito isha muhudi abadan

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Inalillahi waina ilayhi rajiuun

  • @mcfrontier4368
    @mcfrontier43684 жыл бұрын

    wapi like z ktv tz

  • @mimimalsh9139
    @mimimalsh91393 жыл бұрын

    Dereva hajafa??

  • @hajiyahya8380
    @hajiyahya83804 жыл бұрын

    Wekeni matuta kwenye barabara za mitaa kwani maisha ya watu ni bora sana .

  • @bintykonga8706
    @bintykonga87064 жыл бұрын

    Asilimia kumbwa ya madeva wa unguja hawana leseni wanaendesha kimazoea tu, angalia uwapo bara barman ht usojua kuendesha gari unajionea mtihani tu, wabaneni wasio na leseni

  • @fatmamohamed1099
    @fatmamohamed10994 жыл бұрын

    Innalillh wainna ilayh rajiuun

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Maoni yngu mm kuekwa matuta bara barani ni muhimu sana ibakie ajali haina kinga

  • @mamycute3842
    @mamycute38424 жыл бұрын

    Inna lillahi wainnaa ilayhi raajiu'uun

  • @asiaissa976
    @asiaissa9764 жыл бұрын

    Innalillahi wainnailayhi rajiuna

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja67714 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir88264 жыл бұрын

    Innalilahy wainailayhirajioun allah awafanyie wepesi

  • @mohdmussa5587

    @mohdmussa5587

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Poleni sana Mulio pata msiba Allah awajaalie subra

  • @hadhraally316

    @hadhraally316

    4 жыл бұрын

    In shaa Allah tushapoa hii ni njia sahihi kupita mwaadam mungu atupe subra in shaa Allah

  • @samsungjsevenprime5717

    @samsungjsevenprime5717

    4 жыл бұрын

    @@hadhraally316 Amin🤲Allah awazidishie subra hiyo ni njia yetu sote ni waja wa Mungu na kwake tutarejea mbele wao nyuma yao ni sisi Allah atujaalie mwisho mwema sote jamii waumini

  • @kijonalusay
    @kijonalusay4 жыл бұрын

    Innah Lillah Wainnah ilayhi raajiun

  • @bksaumu6073
    @bksaumu60734 жыл бұрын

    Kisauni Kama mombasa

  • @alakhyhajjbinhassan4496
    @alakhyhajjbinhassan44964 жыл бұрын

    Innalikh Wainna illaykh rajiun

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii16764 жыл бұрын

    Inna lillahi waina ilaihi rajighuun inaumiza sana hakuna aijuae kesho yake

  • @aminasaleh6134
    @aminasaleh61344 жыл бұрын

    innalillah wainnailaihirajiun kwakwel ni mtihan mkubwa dah mung awalaze mahal pema pepon

  • @harounali9057
    @harounali90574 жыл бұрын

    Inna lilahi wainna ilayhi rajiun

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai8334 жыл бұрын

    Innallilahi wainailahi rajioun

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    4 жыл бұрын

    Subhanalha. Bismilhah😭

  • @aliy3303
    @aliy33034 жыл бұрын

    Tuekeni camera watanyooka tuu km nchi nyengine

  • @joharijohn7005
    @joharijohn70053 жыл бұрын

    Hiyo ndiyo furaha ya serikali munapoongea wanawachora tu

  • @chidiboy5815
    @chidiboy58154 жыл бұрын

    Hiyo niyo kutowa leseni gari kwa wtu wasio kuwa na ujuzi

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana72864 жыл бұрын

    Ajali ni ajali lkn kinachosababisha ajali hasa ni mwendo kasi hakuna chengine serikal iangalie hapo

  • @afropanorama4730
    @afropanorama47304 жыл бұрын

    ajali ndo ajali.ila barabara nazo mbovu mashimo matupu kama bao la kete hujui ukwepe lipi zaidi njia ya kusin

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Uyo mkaka namjua yni daa huzuni mungu awasamehe mazambi yao😭😭😭😭😭

  • @dazuujuma1211

    @dazuujuma1211

    4 жыл бұрын

    Pole mwaya

  • @saymarsaymar4654

    @saymarsaymar4654

    4 жыл бұрын

    Hata na mm namfahamu sana

  • @abdul-fatahyussuf7439

    @abdul-fatahyussuf7439

    4 жыл бұрын

    Alogongwa au alogonga

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    4 жыл бұрын

    Abdul-fatah Yussuf alogongwa seif hajji

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    4 жыл бұрын

    SAYMAR SAYMAR pole yani jana kma namuona nataka kulala usingizi uliruka mawazo kma namuona mungu amsamehe mazambi yke

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81804 жыл бұрын

    Tatizo nduguyanguzetu madereva wengi siowote wanadharau kwanini unajua njia intumika kwa vyumba vikubwa na vidogo na hata wanaotembea kwa miguu Kisha unatembea saidi juweni mtaulizwa sikuya qiyam

  • @khamisame4732
    @khamisame47324 жыл бұрын

    Kwan serekali wakaeka matut katk maeneo hayo mfano mbon jozani hakun binaadam mbon yameekwa matuta!

  • @wiliampaulo5556
    @wiliampaulo55564 жыл бұрын

    Fungeni kamera njiani.!adereva tupunguze mwendo

  • @theroots2743
    @theroots27434 жыл бұрын

    Kuwaweka polisi ni kuwatengenezea wapewe rushwa2 ufumbuzi wa hayo madereva wanapata leseni za magari na hasa ya abiria kwa kweli hawajafikia viwango vya leseni ya kuweza kupakia abiria hapo inatakiwa hata kuipata leseni hiyo uwe umeipata kwakuweza kuhitimu masomo ambayo. C chini ya udereva wa miaka 5 ya masomo juu ya kuchukua abiria na sheri za kumuogopa mwenda kwa miguu mwenye baiskeli pamoja na chombo cha maringi mawili au kitu chochote kinachotumia bara bara na vile vile kuweza kuzijua alama za njiani kwa watumiaji wa barabara na hasa hao madereva

  • @sharifissa26

    @sharifissa26

    3 жыл бұрын

    Innalillah wainailayhi turjaun

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog34224 жыл бұрын

    HIV HIZ COMMWENT TUNAZO ANDIKA HUWA ZINA FUATILIWA AU TUNAANDIKA BURE TYUUUUUUUUUU

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii16764 жыл бұрын

    Inna lillahi waina ilaihi rajighuun inaumiza sana hakuna aijuae kesho yake