ALIEFANYA FUJO NA ALIEVUNJA NYUMBA NA KUIBA WAZUNGUMZIA MAISHA YA GEREZANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 42
@aminasalum19544 жыл бұрын
Huzuni mmewaachia walobaki Omg mungu awalinde,, Jamn huyu kaka mrefu hivi mtz kweli huyu uwiii km nawe unaona maajab kwahili gereza lakigoma gonga like hapa
@raymanmwangosi50414 жыл бұрын
Wakongwe kama mimi nadhani mnakumbuka somo la EK. Kumbe bado lipo magereza nimeskia jamaa amesema amepata elimu ya kujitegemea EK🤣🤣🤣
@shabaazbikorwa25804 жыл бұрын
Pole Sana Dada lakini inabidi ulipwe fidia mana umebambikiziwa kesi ya Uhamiaji na kupoteza muda wako Gerezani
@shabaazbikorwa2580
4 жыл бұрын
@@sharonyasin7521 Wewe mshamba, Malaya mkubwa nenda kafirwe mimi sio level yako wewe unakipimo chakupima wageni? Mababu zako kumi unaweza kuwataja? umeishi Maisha ya Fitina na husda fala wewe usiojitambua.
@hussainomar18494 жыл бұрын
Jela unatoka six Park bila ya kutaka na lazima mkono ufanye misuli .
@xzaviercalvin8734
3 жыл бұрын
I realize it's kinda randomly asking but do anyone know of a good website to stream new series online ?
@fatmapanaguiton97834 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awalinde walio baki
@erickzephania10304 жыл бұрын
Mshukuru na Mungu pia
@johnsonjackson69664 жыл бұрын
Kwa uelewa wangu huyo jamaa mrefu ni asikari
@runigangwamizungo76474 жыл бұрын
Karibu sana kaka Aglomelo tuendelee na kuijenga nchi yetu
@fubanjenjele5214 жыл бұрын
Hao jamaa wote wawili nawafaham vzr sn, Nimejifunza
@beverlykadenge20954 жыл бұрын
Wow
@nipolive..27453 жыл бұрын
Ni kweli we ulifanya fujo mbavu nene
@aminasalum19544 жыл бұрын
Asee hao warundi warudishen kwao jmn
@frankmalimba55394 жыл бұрын
Pole
@bakaryyassin9414 жыл бұрын
Pole Sana mzee goromero
@benjaminfataki68984 жыл бұрын
kwanini wanawake wanadanganyishiwa sana kesi tz.kama huyo mama mtanzania halali na ana sibitisho lakini mabebru wakampakazia kesi ya uamiyaji haramu. saa moja acheni ujinga wanaserikali.
@bonitojo
4 жыл бұрын
Kajifunze uandishi
@makeupmapish94534 жыл бұрын
hey guys karibuni kwenye channel yangu kwa kujifunza makeup wale wanao anza utajifunza mengi
@godlovedonkoli60504 жыл бұрын
Hao jamaa nawafahamu ila huyo dogo mwenye tisheti ya mistali ni hatari mwizi balaa maybe atakuwa amebadilika
@joyceluhasha2989
4 жыл бұрын
kumbe tutakoma hata kwenye jicho anaonekana mwizi
@mdzainb3722
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@fediliaulomi49694 жыл бұрын
Uyu jamaa mrefu anatisha
@adijaniyonkuru97314 жыл бұрын
Swahili yako ya Bujumbura Buyenzi
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Umeonaee wakuja hawa kwanza mwezi tuu kakaa
@jamesmwiko4843
4 жыл бұрын
Adija Niyonkuru msisahu kuomba kadi za chama cha ukombozi tznia ccm ili tudumishe uhuru na kazi tumsaidie raisi kujenga nchi yt karibuni sana uraiani
@abdulmelele7322
4 жыл бұрын
Buyenzi kama manzese ujue niliishawahi kwenda na pale bwiza
@jumaigoti86384 жыл бұрын
Gerezani ni chuo
@barakasosopi4656
4 жыл бұрын
Mpeleke mwanao
@simisausojamhehe6108
4 жыл бұрын
Haha
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
@@barakasosopi4656 🤣🤣🤣🤣
@emilyibraimo5032
3 жыл бұрын
Mwamba gereza la Tanzania Mozambique Nigeria duuuuuu zimbabwe Africa kusini
@silaszayumba76084 жыл бұрын
Huyo ni muongo gerezani ni mji mzuri kuliko miji yooote duniani,shule bure,chakula bure,umeme bure,maji bure ulinzi wa kutosha,so ubaya uko wapi
Пікірлер: 42
Huzuni mmewaachia walobaki Omg mungu awalinde,, Jamn huyu kaka mrefu hivi mtz kweli huyu uwiii km nawe unaona maajab kwahili gereza lakigoma gonga like hapa
Wakongwe kama mimi nadhani mnakumbuka somo la EK. Kumbe bado lipo magereza nimeskia jamaa amesema amepata elimu ya kujitegemea EK🤣🤣🤣
Pole Sana Dada lakini inabidi ulipwe fidia mana umebambikiziwa kesi ya Uhamiaji na kupoteza muda wako Gerezani
@shabaazbikorwa2580
4 жыл бұрын
@@sharonyasin7521 Wewe mshamba, Malaya mkubwa nenda kafirwe mimi sio level yako wewe unakipimo chakupima wageni? Mababu zako kumi unaweza kuwataja? umeishi Maisha ya Fitina na husda fala wewe usiojitambua.
Jela unatoka six Park bila ya kutaka na lazima mkono ufanye misuli .
@xzaviercalvin8734
3 жыл бұрын
I realize it's kinda randomly asking but do anyone know of a good website to stream new series online ?
Mwenyezi mungu awalinde walio baki
Mshukuru na Mungu pia
Kwa uelewa wangu huyo jamaa mrefu ni asikari
Karibu sana kaka Aglomelo tuendelee na kuijenga nchi yetu
Hao jamaa wote wawili nawafaham vzr sn, Nimejifunza
Wow
Ni kweli we ulifanya fujo mbavu nene
Asee hao warundi warudishen kwao jmn
Pole
Pole Sana mzee goromero
kwanini wanawake wanadanganyishiwa sana kesi tz.kama huyo mama mtanzania halali na ana sibitisho lakini mabebru wakampakazia kesi ya uamiyaji haramu. saa moja acheni ujinga wanaserikali.
@bonitojo
4 жыл бұрын
Kajifunze uandishi
hey guys karibuni kwenye channel yangu kwa kujifunza makeup wale wanao anza utajifunza mengi
Hao jamaa nawafahamu ila huyo dogo mwenye tisheti ya mistali ni hatari mwizi balaa maybe atakuwa amebadilika
@joyceluhasha2989
4 жыл бұрын
kumbe tutakoma hata kwenye jicho anaonekana mwizi
@mdzainb3722
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Uyu jamaa mrefu anatisha
Swahili yako ya Bujumbura Buyenzi
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Umeonaee wakuja hawa kwanza mwezi tuu kakaa
@jamesmwiko4843
4 жыл бұрын
Adija Niyonkuru msisahu kuomba kadi za chama cha ukombozi tznia ccm ili tudumishe uhuru na kazi tumsaidie raisi kujenga nchi yt karibuni sana uraiani
@abdulmelele7322
4 жыл бұрын
Buyenzi kama manzese ujue niliishawahi kwenda na pale bwiza
Gerezani ni chuo
@barakasosopi4656
4 жыл бұрын
Mpeleke mwanao
@simisausojamhehe6108
4 жыл бұрын
Haha
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
@@barakasosopi4656 🤣🤣🤣🤣
@emilyibraimo5032
3 жыл бұрын
Mwamba gereza la Tanzania Mozambique Nigeria duuuuuu zimbabwe Africa kusini
Huyo ni muongo gerezani ni mji mzuri kuliko miji yooote duniani,shule bure,chakula bure,umeme bure,maji bure ulinzi wa kutosha,so ubaya uko wapi
@hussainomar1849
4 жыл бұрын
Usizihaki huwezi kujua hatima yako sio kuzuri kule
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
Ubaya wake uhuru finyu aiseee
@tanzanianchiyangutaifalang8376
4 жыл бұрын
@@watakaniitaje1215 hakuna uhuru kabisa,
@officialjohanesmkandara4301
4 жыл бұрын
Nenda wewe nyama kweli wewe
@queenandchill91
4 жыл бұрын
Usiongee usiyoyajua wewe....kakae hata siku moja ndo utaelewa kwa nini wimbo wa taifa hauna video
Kiswali cha Dada mmekisikia
@mdzainb3722
4 жыл бұрын
Yani hata mmi sijaelewa alafu anasema yye mt ata hakifanani na watu wa kigoma kama anavyo dai🤔🤔