ALIEFANYA FUJO NA ALIEVUNJA NYUMBA NA KUIBA WAZUNGUMZIA MAISHA YA GEREZANI

Пікірлер: 42

  • @aminasalum1954
    @aminasalum19544 жыл бұрын

    Huzuni mmewaachia walobaki Omg mungu awalinde,, Jamn huyu kaka mrefu hivi mtz kweli huyu uwiii km nawe unaona maajab kwahili gereza lakigoma gonga like hapa

  • @raymanmwangosi5041
    @raymanmwangosi50414 жыл бұрын

    Wakongwe kama mimi nadhani mnakumbuka somo la EK. Kumbe bado lipo magereza nimeskia jamaa amesema amepata elimu ya kujitegemea EK🤣🤣🤣

  • @shabaazbikorwa2580
    @shabaazbikorwa25804 жыл бұрын

    Pole Sana Dada lakini inabidi ulipwe fidia mana umebambikiziwa kesi ya Uhamiaji na kupoteza muda wako Gerezani

  • @shabaazbikorwa2580

    @shabaazbikorwa2580

    4 жыл бұрын

    @@sharonyasin7521 Wewe mshamba, Malaya mkubwa nenda kafirwe mimi sio level yako wewe unakipimo chakupima wageni? Mababu zako kumi unaweza kuwataja? umeishi Maisha ya Fitina na husda fala wewe usiojitambua.

  • @hussainomar1849
    @hussainomar18494 жыл бұрын

    Jela unatoka six Park bila ya kutaka na lazima mkono ufanye misuli .

  • @xzaviercalvin8734

    @xzaviercalvin8734

    3 жыл бұрын

    I realize it's kinda randomly asking but do anyone know of a good website to stream new series online ?

  • @fatmapanaguiton9783
    @fatmapanaguiton97834 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu awalinde walio baki

  • @erickzephania1030
    @erickzephania10304 жыл бұрын

    Mshukuru na Mungu pia

  • @johnsonjackson6966
    @johnsonjackson69664 жыл бұрын

    Kwa uelewa wangu huyo jamaa mrefu ni asikari

  • @runigangwamizungo7647
    @runigangwamizungo76474 жыл бұрын

    Karibu sana kaka Aglomelo tuendelee na kuijenga nchi yetu

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele5214 жыл бұрын

    Hao jamaa wote wawili nawafaham vzr sn, Nimejifunza

  • @beverlykadenge2095
    @beverlykadenge20954 жыл бұрын

    Wow

  • @nipolive..2745
    @nipolive..27453 жыл бұрын

    Ni kweli we ulifanya fujo mbavu nene

  • @aminasalum1954
    @aminasalum19544 жыл бұрын

    Asee hao warundi warudishen kwao jmn

  • @frankmalimba5539
    @frankmalimba55394 жыл бұрын

    Pole

  • @bakaryyassin941
    @bakaryyassin9414 жыл бұрын

    Pole Sana mzee goromero

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki68984 жыл бұрын

    kwanini wanawake wanadanganyishiwa sana kesi tz.kama huyo mama mtanzania halali na ana sibitisho lakini mabebru wakampakazia kesi ya uamiyaji haramu. saa moja acheni ujinga wanaserikali.

  • @bonitojo

    @bonitojo

    4 жыл бұрын

    Kajifunze uandishi

  • @makeupmapish9453
    @makeupmapish94534 жыл бұрын

    hey guys karibuni kwenye channel yangu kwa kujifunza makeup wale wanao anza utajifunza mengi

  • @godlovedonkoli6050
    @godlovedonkoli60504 жыл бұрын

    Hao jamaa nawafahamu ila huyo dogo mwenye tisheti ya mistali ni hatari mwizi balaa maybe atakuwa amebadilika

  • @joyceluhasha2989

    @joyceluhasha2989

    4 жыл бұрын

    kumbe tutakoma hata kwenye jicho anaonekana mwizi

  • @mdzainb3722

    @mdzainb3722

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi49694 жыл бұрын

    Uyu jamaa mrefu anatisha

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru97314 жыл бұрын

    Swahili yako ya Bujumbura Buyenzi

  • @aminasalum1954

    @aminasalum1954

    4 жыл бұрын

    Umeonaee wakuja hawa kwanza mwezi tuu kakaa

  • @jamesmwiko4843

    @jamesmwiko4843

    4 жыл бұрын

    Adija Niyonkuru msisahu kuomba kadi za chama cha ukombozi tznia ccm ili tudumishe uhuru na kazi tumsaidie raisi kujenga nchi yt karibuni sana uraiani

  • @abdulmelele7322

    @abdulmelele7322

    4 жыл бұрын

    Buyenzi kama manzese ujue niliishawahi kwenda na pale bwiza

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti86384 жыл бұрын

    Gerezani ni chuo

  • @barakasosopi4656

    @barakasosopi4656

    4 жыл бұрын

    Mpeleke mwanao

  • @simisausojamhehe6108

    @simisausojamhehe6108

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @hildababyabdullah5627

    @hildababyabdullah5627

    4 жыл бұрын

    @@barakasosopi4656 🤣🤣🤣🤣

  • @emilyibraimo5032

    @emilyibraimo5032

    3 жыл бұрын

    Mwamba gereza la Tanzania Mozambique Nigeria duuuuuu zimbabwe Africa kusini

  • @silaszayumba7608
    @silaszayumba76084 жыл бұрын

    Huyo ni muongo gerezani ni mji mzuri kuliko miji yooote duniani,shule bure,chakula bure,umeme bure,maji bure ulinzi wa kutosha,so ubaya uko wapi

  • @hussainomar1849

    @hussainomar1849

    4 жыл бұрын

    Usizihaki huwezi kujua hatima yako sio kuzuri kule

  • @watakaniitaje1215

    @watakaniitaje1215

    4 жыл бұрын

    Ubaya wake uhuru finyu aiseee

  • @tanzanianchiyangutaifalang8376

    @tanzanianchiyangutaifalang8376

    4 жыл бұрын

    @@watakaniitaje1215 hakuna uhuru kabisa,

  • @officialjohanesmkandara4301

    @officialjohanesmkandara4301

    4 жыл бұрын

    Nenda wewe nyama kweli wewe

  • @queenandchill91

    @queenandchill91

    4 жыл бұрын

    Usiongee usiyoyajua wewe....kakae hata siku moja ndo utaelewa kwa nini wimbo wa taifa hauna video

  • @Commentsplus
    @Commentsplus4 жыл бұрын

    Kiswali cha Dada mmekisikia

  • @mdzainb3722

    @mdzainb3722

    4 жыл бұрын

    Yani hata mmi sijaelewa alafu anasema yye mt ata hakifanani na watu wa kigoma kama anavyo dai🤔🤔

Келесі