BEATRICE AGOMA KUFUNUA USO MAHAKAMANI MOSHI, ANADAIWA KUMUUA MUME WAKE MSELE

Пікірлер: 17

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg12 күн бұрын

    Atajificha miaka mingapi hii kesi bado mbichi sana. Akubali kuvuna alichopanda

  • @GodJakobTash-mu9zf
    @GodJakobTash-mu9zf12 күн бұрын

    IV kunahaja gani ya kupoteza muda mahakamani wakati mtu aliua kweliii afungwe au aachiwe ila sisi ni (people) tutaonana ila Mimi ningekua mojawapo ya ndugu nisingepoteza muda atakidogo kwenda mahakamani .manina

  • @upendosanga9205
    @upendosanga920512 күн бұрын

    Daaa yote haya sababu ya mchepuko nae awe mtuumiwa no 2

  • @leokamil6284
    @leokamil628411 күн бұрын

    Kwa aina ya ndugu wa mume niliowaona nawaonea huruma sana watoto mtihani mkubwa. Dada ungewaza kuhusu watoto wako kisha ungemuacha aendelee na huyo mwanamke ambae kahadaika nae baada ya kuwa na uwezo. Hao wa nje ni watumiaji tu wanatunda ya uwezo wa mtu ,akiterereka au kuugua ndio mtu hutambua thamani ya mke na sio mchepuko .

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s11 күн бұрын

    Hyu mwandishi wa ayo Anajua kufanya kazi vizuri jamni .Good job mwandishi.

  • @leokamil6284
    @leokamil628411 күн бұрын

    Maisha haya Mungu atusamehe hasira hasara

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x12 күн бұрын

    Ila hiyo damu itamsumbua na watoto watamchukia sana asali mnooo huyo

  • @SadikiKisubi
    @SadikiKisubi12 күн бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @ElizabethNjau-yt2tz
    @ElizabethNjau-yt2tz9 күн бұрын

    Huyu ni muuaji mzoefu

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s11 күн бұрын

    Unamuua mume wako kisa mchepuko .utayatapika mauaji uliyofanya

  • @florarwegerera8025
    @florarwegerera802512 күн бұрын

    Mlitaka afunue uso wake unawausu nini? Hacheni unafiki yeye siyo wa kwanza kupata kesi kama hiyo

  • @easternyerembe7271

    @easternyerembe7271

    12 күн бұрын

    Anaficha nn naye alifanya ya hadharani????

  • @Niget-us1np

    @Niget-us1np

    12 күн бұрын

    ​@@easternyerembe7271dad na wew Ni mwanmk pia huwezi juwa Misha waliopitia na mume alafu leo maish yamekaa saw ndo mwanaum anauza kuhaha sem mung atunusuru na hasira Ni hasira 2

  • @joramkimario

    @joramkimario

    12 күн бұрын

    ko watajuaj kama ni yeye au sie.

  • @user-tw9wu2gz4g

    @user-tw9wu2gz4g

    12 күн бұрын

    Unahitaji maombi.

  • @JofreyMsigwa-ok7hv

    @JofreyMsigwa-ok7hv

    11 күн бұрын

    Kuma lake

Келесі