VIDEO: RC MAKONDA ATANGAZA KUGHARAMIA HARUSI ZOTE ZITAKAZOFUNGIWA ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo.
Makonda amesema hayo wakati akiongea na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Arusha leo July 08,2024 ambapo amesema lengo ni kuvutia zaidi Wageni na Watalii kufika Mkoani Arusha ili kuwa chachu ya kukuza uchumi wa Mkoa huo.
“Lengo letu sisi ni hatutaki kuwa na high season au low season, tunataka kutengeneza shughuli na matukio mbalimbali kuhakikisha kuwa muda wote uchumi unakuwa na kuendelea ili Mama wa mboga, bodaboda na kila Mtu anufaike na ugeni unaofika hapa Arusha”

Пікірлер: 32

  • @user-mg2uz6sj9k
    @user-mg2uz6sj9k12 күн бұрын

    Ideas nzur ya kuingiza pesa nimekuelewa makonda

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo511 күн бұрын

    Siasa safi sana walishituka wamasai uchaguzi wao utakuwaje 2025 ila makonda ni nyota ya taifa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael733812 күн бұрын

    Very creative man, iwepo siku ya bodaboda kutalii, mambo safi kabisa.

  • @songeza
    @songeza11 күн бұрын

    RC eeeh safi sana. Hizo akili uliopewa na Mungu itumie usiogope songs mbele

  • @section8ight174
    @section8ight17412 күн бұрын

    PROTECT this LEGEND at all COSTS!!

  • @emmanuelmwambona3438

    @emmanuelmwambona3438

    11 күн бұрын

    I support you 100%

  • @MarthaMollel-jc5kf
    @MarthaMollel-jc5kf12 күн бұрын

    Saf bab wa Iman imekuj arush vzr

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana289612 күн бұрын

    Ukimtegemea Mungu anakuongezea na hekima na hekima huvuta roho za watu

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    12 күн бұрын

    habari zasaizi mpendwa,vp upo kwa facebook ama whatsapp?

  • @warakawayohana2896

    @warakawayohana2896

    12 күн бұрын

    @@JeanMuzaliwa-bs6qh nipo kwa WhatsApp

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g12 күн бұрын

    😂😂😂Makonda bwanaaa😂😂akili Kali sana

  • @NeemaJafeth
    @NeemaJafeth11 күн бұрын

    Asante baba

  • @saimonsirikwa3141
    @saimonsirikwa314112 күн бұрын

    NO LOW SEASON ❤

  • @JohariNuru-qx7oe
    @JohariNuru-qx7oe12 күн бұрын

    Akili kubwa

  • @goodluckndagile9381
    @goodluckndagile938112 күн бұрын

    Ubongo mwingi❤

  • @user-fn8lh3oi6x
    @user-fn8lh3oi6x11 күн бұрын

    Una akili nyingi safi sana

  • @user-lx6ep1dn5k
    @user-lx6ep1dn5k11 күн бұрын

    Proudly

  • @AminaKova-ig3mi
    @AminaKova-ig3mi12 күн бұрын

    Mi shwaaaaaaaah aaah! From dodoma

  • @tukuyufm.
    @tukuyufm.10 күн бұрын

    Sifa za kiongozi ndio hizi, mfikiriaji na mkadiliaji wa mipango chanya ya kiuchumi

  • @fredyswai
    @fredyswai12 күн бұрын

    Makonda ni kiona mbali.bigup kijana

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e12 күн бұрын

    Umesomeka🙏🙏

  • @NepporSabith
    @NepporSabith11 күн бұрын

    Huyu mwamba yuko vzr

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h12 күн бұрын

    Akili mingi sana.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw11 күн бұрын

    Matumizi mabaya ya kodi za wananchi huyo anae ghalamikiwa huwenda hata kodi halipi

  • @cmellengotila1803

    @cmellengotila1803

    10 күн бұрын

    Kila kitu mnapinga tu hata kiwe kizuri kiasi gani. Acheni hizo bhana.

  • @emmanueljengo8103

    @emmanueljengo8103

    10 күн бұрын

    Bado hujacma acha makonda apige kazi u

  • @joackimishengoma
    @joackimishengoma11 күн бұрын

    Bonge la mku wa mkoa

  • @samkoka3
    @samkoka312 күн бұрын

    Maombi yana washilishwa wap nipeleke chap maan niko ma mtoto wa mtu hapa sijaenda kwao

  • @devissyprian1526

    @devissyprian1526

    12 күн бұрын

    Peleka.ofis ya makonda yenyewe

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman34512 күн бұрын

    Genius 🙌🫵

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile15237 күн бұрын

    Wasiokupenda wachawi

  • @HGM_tz
    @HGM_tz12 күн бұрын

    Asante baba

Келесі