VIDEO: RC MAKONDA ATANGAZA KUGHARAMIA HARUSI ZOTE ZITAKAZOFUNGIWA ARUSHA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo.
Makonda amesema hayo wakati akiongea na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Arusha leo July 08,2024 ambapo amesema lengo ni kuvutia zaidi Wageni na Watalii kufika Mkoani Arusha ili kuwa chachu ya kukuza uchumi wa Mkoa huo.
“Lengo letu sisi ni hatutaki kuwa na high season au low season, tunataka kutengeneza shughuli na matukio mbalimbali kuhakikisha kuwa muda wote uchumi unakuwa na kuendelea ili Mama wa mboga, bodaboda na kila Mtu anufaike na ugeni unaofika hapa Arusha”
Пікірлер: 32
Ideas nzur ya kuingiza pesa nimekuelewa makonda
Siasa safi sana walishituka wamasai uchaguzi wao utakuwaje 2025 ila makonda ni nyota ya taifa
Very creative man, iwepo siku ya bodaboda kutalii, mambo safi kabisa.
RC eeeh safi sana. Hizo akili uliopewa na Mungu itumie usiogope songs mbele
PROTECT this LEGEND at all COSTS!!
@emmanuelmwambona3438
11 күн бұрын
I support you 100%
Saf bab wa Iman imekuj arush vzr
Ukimtegemea Mungu anakuongezea na hekima na hekima huvuta roho za watu
@JeanMuzaliwa-bs6qh
12 күн бұрын
habari zasaizi mpendwa,vp upo kwa facebook ama whatsapp?
@warakawayohana2896
12 күн бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qh nipo kwa WhatsApp
😂😂😂Makonda bwanaaa😂😂akili Kali sana
Asante baba
NO LOW SEASON ❤
Akili kubwa
Ubongo mwingi❤
Una akili nyingi safi sana
Proudly
Mi shwaaaaaaaah aaah! From dodoma
Sifa za kiongozi ndio hizi, mfikiriaji na mkadiliaji wa mipango chanya ya kiuchumi
Makonda ni kiona mbali.bigup kijana
Umesomeka🙏🙏
Huyu mwamba yuko vzr
Akili mingi sana.
Matumizi mabaya ya kodi za wananchi huyo anae ghalamikiwa huwenda hata kodi halipi
@cmellengotila1803
10 күн бұрын
Kila kitu mnapinga tu hata kiwe kizuri kiasi gani. Acheni hizo bhana.
@emmanueljengo8103
10 күн бұрын
Bado hujacma acha makonda apige kazi u
Bonge la mku wa mkoa
Maombi yana washilishwa wap nipeleke chap maan niko ma mtoto wa mtu hapa sijaenda kwao
@devissyprian1526
12 күн бұрын
Peleka.ofis ya makonda yenyewe
Genius 🙌🫵
Wasiokupenda wachawi
Asante baba