#AJALI

#isleblogTV Gari iliyozama katika bandari ya malindi Zanzibar,hakukuwa na majeruhi wala kupoteza uhai juhudi za uwokozi zimefanyika kwa ushirikiano wa mamlaka ya bandari na wadau wa bandari kupitia kikosi maalum cha cha zima moto na uwokozi Zanzibar.

Пікірлер: 18

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 ай бұрын

    Mama halima Pole sana mola amvue nq jengine mtt wako kwa kweli niliona video alivochupa na kuliacha gari likiingiya majini aliogoleya na kusaidiwq kuvutwa mkono na kupanda juu.mumgu mkubwa gari yatafutwa roho tungeongeya buriyanihakika mungu ametenda

  • @MudathirAli-em3xp
    @MudathirAli-em3xp2 ай бұрын

    poleni san

  • @mussanyanda3451
    @mussanyanda34512 ай бұрын

    Poleni sana

  • @BLUBEENICE
    @BLUBEENICE2 ай бұрын

    Hiyo ndio zanzibar inayo milikiwa na wazembe,serikali haina vifaa vya kuokolea na wala mshipa hauwapigi

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 ай бұрын

    Nyiye mlolalqma mlitaka hilo gari lightweight na kitu gni?

  • @dudemussa6715
    @dudemussa67152 ай бұрын

    That driver should thank Allah. He should be protected from this and the one wants to arise to him. Aamen.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 ай бұрын

    Acheni chuki na serikali hapo tayari mshatiya siasa

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed41242 ай бұрын

    Jambo la kwanza tumshukuruni Allah kwa uwezo wake hakuna madhara yyte kwa binaadamu. La pili tunashkuru na serikali na jeshi letu la uokozi

  • @karimdaud3993
    @karimdaud39932 ай бұрын

    Alochukua video hajui

  • @isleblogTv

    @isleblogTv

    2 ай бұрын

    Asante kwa kuendelea kufatilia habari zetu usisahau kusubscribe kushare pamoja na kucoment habari zetu, tunapokea maoni yako na ushauri wako bila uwepo wenu na kutuelekeza jambo litakua haliendi sawa, tunapokea ushauri wako nini tuboreshe katika ufanisi wa kazi. Asante

  • @HalimaKhamis-bk4fo
    @HalimaKhamis-bk4fo2 ай бұрын

    Nilikumbuka siku niliyokuzaa inaumaa Sana. Yaallah mpemoyo wa subra mwanangu

  • @Muhamed_mo

    @Muhamed_mo

    2 ай бұрын

    Salama roho yke gari inatafutwa tu

  • @MudathirAli-em3xp

    @MudathirAli-em3xp

    2 ай бұрын

    pol

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l2 ай бұрын

    Mh

  • @user-lr5oy4rl9c
    @user-lr5oy4rl9c2 ай бұрын

    Atalakuvutia Gari hatuna

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    2 ай бұрын

    Kaka, kijiko hiyo ni miongoni mwa kazi zake na wala sio kuchimba barabara na mashimo peke yake.

  • @user-ps5yv4nr9l

    @user-ps5yv4nr9l

    2 ай бұрын

    We hanisi kweli

Келесі