#AJALI
#isleblogTV Gari iliyozama katika bandari ya malindi Zanzibar,hakukuwa na majeruhi wala kupoteza uhai juhudi za uwokozi zimefanyika kwa ushirikiano wa mamlaka ya bandari na wadau wa bandari kupitia kikosi maalum cha cha zima moto na uwokozi Zanzibar.
Пікірлер: 18
Mama halima Pole sana mola amvue nq jengine mtt wako kwa kweli niliona video alivochupa na kuliacha gari likiingiya majini aliogoleya na kusaidiwq kuvutwa mkono na kupanda juu.mumgu mkubwa gari yatafutwa roho tungeongeya buriyanihakika mungu ametenda
poleni san
Poleni sana
Hiyo ndio zanzibar inayo milikiwa na wazembe,serikali haina vifaa vya kuokolea na wala mshipa hauwapigi
Nyiye mlolalqma mlitaka hilo gari lightweight na kitu gni?
That driver should thank Allah. He should be protected from this and the one wants to arise to him. Aamen.
Acheni chuki na serikali hapo tayari mshatiya siasa
Jambo la kwanza tumshukuruni Allah kwa uwezo wake hakuna madhara yyte kwa binaadamu. La pili tunashkuru na serikali na jeshi letu la uokozi
Alochukua video hajui
@isleblogTv
2 ай бұрын
Asante kwa kuendelea kufatilia habari zetu usisahau kusubscribe kushare pamoja na kucoment habari zetu, tunapokea maoni yako na ushauri wako bila uwepo wenu na kutuelekeza jambo litakua haliendi sawa, tunapokea ushauri wako nini tuboreshe katika ufanisi wa kazi. Asante
Nilikumbuka siku niliyokuzaa inaumaa Sana. Yaallah mpemoyo wa subra mwanangu
@Muhamed_mo
2 ай бұрын
Salama roho yke gari inatafutwa tu
@MudathirAli-em3xp
2 ай бұрын
pol
Mh
Atalakuvutia Gari hatuna
@rayisadesigns2646
2 ай бұрын
Kaka, kijiko hiyo ni miongoni mwa kazi zake na wala sio kuchimba barabara na mashimo peke yake.
@user-ps5yv4nr9l
2 ай бұрын
We hanisi kweli