BANDARI YA MAFUTA ZANZIBAR "MANGAPWANI" YAFANYIWA MAJARIBIO, MELI KUSHUSHA MAFUTA.

Пікірлер: 11

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Жыл бұрын

    jamani io ndio bandari kweli yaani ccm wanadhani aisi wananchi hatuna akili eeh

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lqАй бұрын

    Msidanganye,watu,apo,hapana,bandari

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Жыл бұрын

    Ayo mabomba ndio bandari unadhani bandari masihara hamna kitu dhulma hailet maendeleo

  • @abumohammed3939
    @abumohammed3939 Жыл бұрын

    Vipi waondoke mtoni kwani mumeshawalipa, kwani walipojenga hapo mtoni walijijengea tu, au walipewa Ruhusa na serekali? Na hao wananchi walipojenga walipewa Ruhusa na nani ya kujenga chini ya matenki ya mafuta?

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Жыл бұрын

    Hiyo ndio ramani y bandar dhulma haileti maendeleo

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    Nyinyi ndio munaokufa vibaya na kwa sababu ya chuki na roho mbaya mlizonazo miyoni

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 unaijua yalokuwemo Moyoni kwa Mtu??? Wacha kuwa zezeta wa Ccm jitambuwe bro

  • @evianjames88
    @evianjames88 Жыл бұрын

    Yuko vzur mh.mwinyi anaupiga mwingi

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    Жыл бұрын

    Hio kajenga Bakharesa

  • @kiri5807

    @kiri5807

    Жыл бұрын

    Na watu wanaokaa karibu hapo wajitayarishe na macanxer kwa polution .

  • @msabahaali758

    @msabahaali758

    Жыл бұрын

    io ndo bandar