Wallah Allah pekee ndie atakaekulipa, nampenda sana huyu mama Allah akuhifadhi na kl baya
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
Mashaallah mwanamke wa shoka!!! Allah akupe afya na MMungu akuwezeshe kutetea hakh atawalani hao makhsifu wakubwa!!
@nailamohd7693 Жыл бұрын
Na nyie mashekh hamsemi kitu labda kuisifu serikali lkn uwovu kimnyaa hio makka ndogo ilikua ndio basi tena hairudi n'gooo maisha mpk viongozi wakubali km wanajukumu la kuirejesha znz hio makka ndogo.
@jojomohamed34185 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu mama yangu uzidi kutupambania Zanzibar yetu🤲🙏
@salem9874 Жыл бұрын
Mashallah Mungu amlinde na kila baya Mama Bi Amina
@ruqayyaoman Жыл бұрын
Allah akulinde habibti akuhifadhi na akujaalie nguvu uendelee kutusaidia vizazi vyetu Allah yuko nanyie nyoote na duaa zetu ziko nanyie Kazi mnayoifanya Allah akupeni nuru duniani hadi makaburini mwenu hadi kesho akhera akunyanyueni darja ya juu juu juu zaid Muwe katika ulinzi wa Rahmaan Amin🤲♥️
@awesusaid102 Жыл бұрын
Hii si kazi ya masheikh peke Yao ni kazi ya Kila mtu mwenye akili
@madamaisha1641 Жыл бұрын
Nungwi kama unaheshma yako huwezi kukaa hata dakika moja.mabaa yamejaa watu kwenda uchi.miziki ambapo vibali vinatolewa na haohao ambao mnawasifia
@1964AliK Жыл бұрын
Ni kweli tunakupenda sana. Allah akupe nguvu za kila hali kupambana na ufisadi huu.
@fatmakombo9793 Жыл бұрын
Allah atakulipa mama yangu kwa unayotupigania wazanzibar wote tuiyogope dunia Mifano tumeiyona uturuky sekunder 45 nyumba zote ziko chini zulzilat
@ashamustafa7567 Жыл бұрын
Hakika Bi Amina NAMI Nakuombea kwa Mwenyezimungu akujalie Maisha Marefu na Afya njema uendee kuokoa watoto wetu, na kuokoa jamii katika kanga la ubaradhuli na Mwenyezimungu akuepushe na husda na yeyote anae kufikiria ubaya juu yako Mwenyezimungu amuangsmize yeye mama
@jarsjam8894 Жыл бұрын
Allah atakusaidia na atakuhifadhi maana unatetea haki
@saadeabass8005 Жыл бұрын
Mungu azid kukupa nguv mamaa na tunamuomba Allah aturejeshee muheshimiwa Ayoub hapa Mjin aaamiiin
@abdull_hafidh Жыл бұрын
Ant Amina ni mpambanaji sana usikate tamaa
@aliyissa98572 ай бұрын
Mheshimiwa Bi. Amina jazaakallah kher. Nakuomba ufungue group yakupinga ushoga.
@5ffGg-uy7mf Жыл бұрын
Sana sana sana sana tunakupenda sana.
@theroots2743 Жыл бұрын
Ubaradhuli unafadhiliwa na viongozi wetU hapo nyumbani
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Wengi tunakuombea dua my mm. الله akupe mwisho mwema my mama.
@oii6zlaboshelby17 Жыл бұрын
Mungu akupe nguvu mama ila vita unayopambana nayo ni kubwa sana
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Nikweli ila tatizo viongozi km alivosema serikali ikitaka lisiwepo halitokuwepo lkn wengine ndo hao viongozi wenyewe laanatullah ndo kazi zao hasa Mungu atunusuru na vizazi vyetu
@imamyahyayusuf
Жыл бұрын
Mama ALLAH akuhifadhi
@matukiotvonline6366 Жыл бұрын
Mashekh muache kuvaa makanzu tuu hayo ndio mambo yakuyaongea kila mda tunawaomba mashekh, tutokomeze ushoga ushoga si mzuri kwadini zotee😭😭👥
@halimajuma2104
Жыл бұрын
Mama ALAAH akuhifadhi maana kitendo hicho ni miingoni mwa dhambi makubwa baya zaidi walio wengi wana haribiwa na watu wa karibu majumbani sasa tunaona na watoto mashuleni wanafanya vitendo hivyo
@alisaid5392 Жыл бұрын
Allah akulinde akutie nguvu.
@jukaelyelisha6311 Жыл бұрын
Kwa kweli mama nakuombea MUNGU akulinde na akusaidie kufanikisha hivi MUNGU awe nawe kwa kila hatua
@nailamohd7693 Жыл бұрын
Shukran sana mwanaharakati Allah atakusaidia in shaa allah
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
hata mimi.nshawahi kumuona rc ayoub alivokua mjini Kazi hii allifatilia sana
@idrisamuhammed Жыл бұрын
Mwanaharakati nakupa hongera Kwa kujitolea, usichoke mama
@alijuma8009 Жыл бұрын
Ushoga ni deal la viongozi
@salmasalim3525 Жыл бұрын
Allah akulipe InshaAllah na atupe tawfiiq na kutuweka mbali na mabalaa haya
@salumnassor6555 Жыл бұрын
Masha Allah iko.wapi hio taasisi tuchangie Mama angu
@alitunu3086 Жыл бұрын
Allah akuhidhi mom
@AlawiyaMSaleh Жыл бұрын
Nakupa hongera mama yangu. Hayo unayo yasema ya kweli. Zanzibar imekwisha wananchi hawajui haki zao.
@Mina.15 Жыл бұрын
Parents need to educate their children.
@fathmaoman1186 Жыл бұрын
Tunakuombea sana
@laylayl5166 Жыл бұрын
Mungu akulinde mama nakila shari hapo waovu wanakuchukia lakini mungu yupo nawewe
@kiri5807 Жыл бұрын
Viongozi wa serekali ndio wanawafuga mabaradhuli ila Mungu anawaona jicho lake halifumbi na wajue komba akimaliza mwitu huja mwilini . Wasifikitiye wataharibu watoto wa masikini tu na mwisho na wao wataharibiwa pia .
@asyajumajuma8446 Жыл бұрын
SubhanaAllah
@minnahhers7437 Жыл бұрын
Sub'hanna Allaah ...Allaah awaongoze kwa hili
@amirybeka9602 Жыл бұрын
Mashaallah.. Allah akuhifadhi, na maaduwi. Nataman tuwe pmj. Kuupiga ubaradhuli zanzibar.
@AminaAliHamad-fc8db
Жыл бұрын
Na mm pia
@fatmamuhammed9713 Жыл бұрын
Ni kweli uyasemayo mm nakuunga mkono Mara lako Ayubu ni kiboko
@mwatumsaidi5104 Жыл бұрын
Allah atamlinda ishallAah na zanzibar itakuwa salama yaani haya mambo yanasikitisha sana tunamuomba Allah ajaalie muheshimiwa Ayup arejeshe mjini
@salmahalfani6307
Жыл бұрын
In Sha Allah.
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Amin
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Mimi nikimjua mtu anafanya ubaradhuli kiuhakika ajue nyumbayake haiko salama japo kwa petroli
@lastkinglastking3326 Жыл бұрын
Unatimiza wajibu wako hakika Allah amekuleta duniani kwa ajiri yahilo na malipo yako ni meema na makubwa Allah anakujuwa
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Na wanawake tuwachunge watoto wetu endapo utagundua mapema mpeleke kwa bi Amina ,tumsaidie huyu mama kajitoa kwaajili yetu
@salummzee9739 Жыл бұрын
Allah akuepushe na fitina hii na nyengineo atujaliye kheir na baraka ss wazee na vizazi vyetu
@LaylaSeyf-jb3hp Жыл бұрын
Allah awangamize kila anaeingia katika hili
@ameryharoun7223 Жыл бұрын
Subhannallah viongoz w din mmelala sanaaa
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Ni kweli viongozi wa Dini wamelala
@hajiharoub8125
Жыл бұрын
Lazima walale maana had disemba vyuo vinafungwa
@fatimaalhabsii1728 Жыл бұрын
Amiin
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
May Allah bless you Ameen...
@salimkassim6020 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi Mama Inshaa Allah akufanyie wepesi akuhifadhi na maadui akufanikishie malengo yako Amiin
@abdullakhalfan31 Жыл бұрын
ALLAH ATAKUPA NGUVU NA BWANA MTUME YUKO PAMOJA NASI KATIKA KUTOKOMEZA HILI JANGA MAANA LASHINDA LA UKIMWI.
@zeyanahassan7808 Жыл бұрын
Allah akubarik nyote katika juhudi zako
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
Raisi wa zanzibar simamia balaa hili...
@muniraalmusalmy8363 Жыл бұрын
Allah atakufanyia wepesi mama yetu utashinda biidhini Llah
@rahimasaid6721 Жыл бұрын
towemi namba za simu ili wananchi wasaidie shukran
@al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын
Subhanaallah. Allah atakusimamia. Halitampata mja ila lile aliloandikiwa.
@EshaHamd-ed9yv5 ай бұрын
Wazanzibar yenyewe hawana mashirikiano Kwa sababu wao ndio Wahusika Wakubwa hawayakemei haya Mambo Kwa sababu wanawaharibu watoto wa wenzio wao wanawafungia ndani wakumbuke Iko siku na wao yatawafika Viongozi wakubwa hawakemei haya kwa sababu wao ndio wanaofanya haya Mambo ya Kulawiti
@khalefabdallah3680 Жыл бұрын
Tunamuomba Allah akulinde na Watu waovu na akupe umri mrefu na Afya ili uundeleze mapambano.
@laylayl5166 Жыл бұрын
Hiyo mama kwelii kunahata viongozi wanajificha lakini wanaharibu watoto wawatu tena wanaichafuwa znz wachache
@fat-hiyarashid4605 Жыл бұрын
Msaada wa mungu unatosha nna imani Allah yupo na wew mamangu
@fatmasaid9765 Жыл бұрын
لحول ولا قوة الا بالله العلي العظيم
@user-mq6lu2po3y Жыл бұрын
Shukran bi Amina kwa neno lako la mwisho je Kuna dhambi ambayo haiewezi kuachika? Kwa nini mvuta unga anaacha?
@rahmajaffar794 Жыл бұрын
Ni kweli ni vitu vinavyoumiza,Mungu atuepushe na shari za hao watu. Lakini bora watajwe hadharani wajulikane kwani wao ni maadui wakubwa na laana. Za Mungu ziwe juu yaol
@saidkhamis8229 Жыл бұрын
Bi Amina Allah akulinde na Kila Shari vitimbi vya watu hawa
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
Fi mizan hasanatish habibti jazaka Allah kheir
@omytifa6403 Жыл бұрын
MashaALLAH mama
@salma0000 Жыл бұрын
Watajeni tu hao wanaowatumia na hao wafadhili
@matukiotvonline6366 Жыл бұрын
Mama yuko sahihi wamarekeni hufadhili nakisaport ushoga😭😭😭😭😭😭
@jumamuhd620 Жыл бұрын
Mungu atatufanyia wepesi
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
My mm الله akuhifadhi hapa na kesho akhera.
@chaleteubadi4530 Жыл бұрын
MUNGU akulinde
@laylayl5166 Жыл бұрын
Hiyo nikwelii mkuu ayubu yupo makini sana nikiongozi shupavu
@al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын
Allahu Bariki🤝
@othmanawadh3964 Жыл бұрын
ALLAH akupe nguvu teacher
@salma0000 Жыл бұрын
Hawa viongozi wetu tulionao wanafkiri wao hayawahusu, kazi zao kulinda ccm tu
@khadijamgambo9382 Жыл бұрын
Allah atakuopa nsaada kwazazi chako. Allah akuhifadhi na màadui
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Amin
@asyajumajuma8446 Жыл бұрын
Naomba namba yako Bi Amina
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Mama nimekusikiliza leo sijawahi kukusikiliza. Umenifungua akili na ume ni 😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Naumia my mama.
@azizayassin3623 Жыл бұрын
Jaman jaman jaman
@fatmasaid9765 Жыл бұрын
Allah akulinde na kila shari watoto wako
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Amin
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
Mpo shahid mbele ya ALLAH mumetimiza wajibu wenu
@omarally6819 Жыл бұрын
Kwakweli unyama huu serikali inahusika kwa asilimia miamoja kuendelea kuimarika hapa Zanzibar na kutuharibia watoto wetu. Ila viongozi nyamazieni maovu siku ya Qiyama mtakwenda jibu nini sijuwi?
@makamekhamis871 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi na akupe nguvu na akulipe kheri nyingi kutokana na juhudi unazofanya mama yetu. Ni vita vigumu ulivyoamua kupambana ila kwa Allah hakuna linaloshindikana na malipo yanayoridhisha yatatoka kwa Allah. Ila inaonekana mama anahitaji msaada wa kukamilisha ujenzi wa kituo na mambo mengine, hivyo ni vyema ndugu mtangazaji ungemuuliza mama kwa anayetaka kuchangia japo kidogo ili ukufanikisha ujenz wa kituo hicho atumie njia gani kufikisha mchango wake.
@hawasalumu1374
Жыл бұрын
Mungu anatosha anakupa msaada achana na binaadamu
@safiasaleh669 Жыл бұрын
Apewe ulinzi huyu mama
@valenakomba9218 Жыл бұрын
ZANZIBER USHENZI NI MWINGI KULIKO HATA BARA.
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
Hao wadhalalishaji dawa ni kuuliwa tu tena mbele ya hadhara ya watu baada ya salaa ya ijumaa hio ndio ita kuwa dawa yao
@awesusaid102 Жыл бұрын
Kwa wale wasiofahamu suala hili lilifanyiwa kazi Sana na masheikh lakini mwisho wake ni kwenye vyOmbo vya habari kama ilivyo Kwa huyu mama ni huyu mh. Ayubu anajulikana juhudi zake je kwanini kaondoshwa ? Je haiwezekani kurejeshwa?
@aboubakarmtanje9851 Жыл бұрын
Waislam mmeacha jiha y upanga ndo maana yatupatayote haya
@mamawa3mamawa321 Жыл бұрын
ALLAH AWALINDE KILA MMOJA ANAEPINGA TABIA ZA KIBARADHULI
@mustajany689 Жыл бұрын
Hao wanaoharb watoto wa watu wao pia wana watoto mbona hawana ubinadam kbsa tutwakata viungo vyao na kisu tuone wataringa vipi washenz sana hao
@jumamuhd620 Жыл бұрын
Ao viongozi wa Serikali baadhi ni mradi wao wanataka watu wote wawe mashoga. Ila mm nikiwa Rais Shoga adhabu yake itakua ni kifo.
@ruwaidaal-ismaily9099 Жыл бұрын
Zanzibar njema Atakae Ajee Washakuja sasa.
@hassanajiruu5128 Жыл бұрын
Enyi wana nchi Uma wa kislamu Zanzibar Muko wapi MARIJALI Wa zanzibari Mume kuwa MADAA'YUUDHI wanawake wa kislamu Zanzibari ndio walizi wa Jami. Enyi wanaume wa Zanzibari Mcheni Mollah Wenu Walawiti Wangamizeni Mitahani Mwenu Hokoweni Vizazi Vyenu !
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Mama muNgu akurinde
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Wananch tuko na wewe bi Amina
@alijuma8009 Жыл бұрын
Ila ushoga hauko mjini tu atakasikazin upo mfano kiwengwa nungwi ila uko pia nae kakaa kimya
@aimanshija4230 Жыл бұрын
Mungu tusaidie kwa kweli
@Awatee
Жыл бұрын
Amiin amiin amiin 🤲
@jarsjam8894
Жыл бұрын
Allah atakusaidia na atakuhifadhi na kila shari
@aimanshija4230
Жыл бұрын
@@jarsjam8894 allahumma amina,,kwa sote,,pia shukrani sana coz hata hunijui unaniombea dua nzur,, shukrani sana
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Sasa tunasema serikali imrudishe mheshimiwa Ayubu mjini , haraka sana doctor mwingi haraka
@husnaally7964 Жыл бұрын
Wanawake wezangu sisi ndio mama sisi ndio tunaokwenda leba tuzidishen Dua kwa mama etu huyu na watoto wetu Allah ampe nguvu
@asyakinega9945
Жыл бұрын
Aamin
@seifabdulwahid4579 Жыл бұрын
Mama tulikuwa hatujuwi km unajenga kituo Inshaallah tutakuona
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Laana Tullahi viongozi hao
@khadijaa815 Жыл бұрын
Ndio maana rc ayub wakamuondoa mjini tunaomba kher
Пікірлер: 141
Wallah Allah pekee ndie atakaekulipa, nampenda sana huyu mama Allah akuhifadhi na kl baya
Mashaallah mwanamke wa shoka!!! Allah akupe afya na MMungu akuwezeshe kutetea hakh atawalani hao makhsifu wakubwa!!
Na nyie mashekh hamsemi kitu labda kuisifu serikali lkn uwovu kimnyaa hio makka ndogo ilikua ndio basi tena hairudi n'gooo maisha mpk viongozi wakubali km wanajukumu la kuirejesha znz hio makka ndogo.
Allah akupe umri mrefu mama yangu uzidi kutupambania Zanzibar yetu🤲🙏
Mashallah Mungu amlinde na kila baya Mama Bi Amina
Allah akulinde habibti akuhifadhi na akujaalie nguvu uendelee kutusaidia vizazi vyetu Allah yuko nanyie nyoote na duaa zetu ziko nanyie Kazi mnayoifanya Allah akupeni nuru duniani hadi makaburini mwenu hadi kesho akhera akunyanyueni darja ya juu juu juu zaid Muwe katika ulinzi wa Rahmaan Amin🤲♥️
Hii si kazi ya masheikh peke Yao ni kazi ya Kila mtu mwenye akili
Nungwi kama unaheshma yako huwezi kukaa hata dakika moja.mabaa yamejaa watu kwenda uchi.miziki ambapo vibali vinatolewa na haohao ambao mnawasifia
Ni kweli tunakupenda sana. Allah akupe nguvu za kila hali kupambana na ufisadi huu.
Allah atakulipa mama yangu kwa unayotupigania wazanzibar wote tuiyogope dunia Mifano tumeiyona uturuky sekunder 45 nyumba zote ziko chini zulzilat
Hakika Bi Amina NAMI Nakuombea kwa Mwenyezimungu akujalie Maisha Marefu na Afya njema uendee kuokoa watoto wetu, na kuokoa jamii katika kanga la ubaradhuli na Mwenyezimungu akuepushe na husda na yeyote anae kufikiria ubaya juu yako Mwenyezimungu amuangsmize yeye mama
Allah atakusaidia na atakuhifadhi maana unatetea haki
Mungu azid kukupa nguv mamaa na tunamuomba Allah aturejeshee muheshimiwa Ayoub hapa Mjin aaamiiin
Ant Amina ni mpambanaji sana usikate tamaa
Mheshimiwa Bi. Amina jazaakallah kher. Nakuomba ufungue group yakupinga ushoga.
Sana sana sana sana tunakupenda sana.
Ubaradhuli unafadhiliwa na viongozi wetU hapo nyumbani
Wengi tunakuombea dua my mm. الله akupe mwisho mwema my mama.
Mungu akupe nguvu mama ila vita unayopambana nayo ni kubwa sana
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Nikweli ila tatizo viongozi km alivosema serikali ikitaka lisiwepo halitokuwepo lkn wengine ndo hao viongozi wenyewe laanatullah ndo kazi zao hasa Mungu atunusuru na vizazi vyetu
@imamyahyayusuf
Жыл бұрын
Mama ALLAH akuhifadhi
Mashekh muache kuvaa makanzu tuu hayo ndio mambo yakuyaongea kila mda tunawaomba mashekh, tutokomeze ushoga ushoga si mzuri kwadini zotee😭😭👥
@halimajuma2104
Жыл бұрын
Mama ALAAH akuhifadhi maana kitendo hicho ni miingoni mwa dhambi makubwa baya zaidi walio wengi wana haribiwa na watu wa karibu majumbani sasa tunaona na watoto mashuleni wanafanya vitendo hivyo
Allah akulinde akutie nguvu.
Kwa kweli mama nakuombea MUNGU akulinde na akusaidie kufanikisha hivi MUNGU awe nawe kwa kila hatua
Shukran sana mwanaharakati Allah atakusaidia in shaa allah
hata mimi.nshawahi kumuona rc ayoub alivokua mjini Kazi hii allifatilia sana
Mwanaharakati nakupa hongera Kwa kujitolea, usichoke mama
Ushoga ni deal la viongozi
Allah akulipe InshaAllah na atupe tawfiiq na kutuweka mbali na mabalaa haya
Masha Allah iko.wapi hio taasisi tuchangie Mama angu
Allah akuhidhi mom
Nakupa hongera mama yangu. Hayo unayo yasema ya kweli. Zanzibar imekwisha wananchi hawajui haki zao.
Parents need to educate their children.
Tunakuombea sana
Mungu akulinde mama nakila shari hapo waovu wanakuchukia lakini mungu yupo nawewe
Viongozi wa serekali ndio wanawafuga mabaradhuli ila Mungu anawaona jicho lake halifumbi na wajue komba akimaliza mwitu huja mwilini . Wasifikitiye wataharibu watoto wa masikini tu na mwisho na wao wataharibiwa pia .
SubhanaAllah
Sub'hanna Allaah ...Allaah awaongoze kwa hili
Mashaallah.. Allah akuhifadhi, na maaduwi. Nataman tuwe pmj. Kuupiga ubaradhuli zanzibar.
@AminaAliHamad-fc8db
Жыл бұрын
Na mm pia
Ni kweli uyasemayo mm nakuunga mkono Mara lako Ayubu ni kiboko
Allah atamlinda ishallAah na zanzibar itakuwa salama yaani haya mambo yanasikitisha sana tunamuomba Allah ajaalie muheshimiwa Ayup arejeshe mjini
@salmahalfani6307
Жыл бұрын
In Sha Allah.
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Amin
Mimi nikimjua mtu anafanya ubaradhuli kiuhakika ajue nyumbayake haiko salama japo kwa petroli
Unatimiza wajibu wako hakika Allah amekuleta duniani kwa ajiri yahilo na malipo yako ni meema na makubwa Allah anakujuwa
Na wanawake tuwachunge watoto wetu endapo utagundua mapema mpeleke kwa bi Amina ,tumsaidie huyu mama kajitoa kwaajili yetu
Allah akuepushe na fitina hii na nyengineo atujaliye kheir na baraka ss wazee na vizazi vyetu
Allah awangamize kila anaeingia katika hili
Subhannallah viongoz w din mmelala sanaaa
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Ni kweli viongozi wa Dini wamelala
@hajiharoub8125
Жыл бұрын
Lazima walale maana had disemba vyuo vinafungwa
Amiin
May Allah bless you Ameen...
Allah akuhifadhi Mama Inshaa Allah akufanyie wepesi akuhifadhi na maadui akufanikishie malengo yako Amiin
ALLAH ATAKUPA NGUVU NA BWANA MTUME YUKO PAMOJA NASI KATIKA KUTOKOMEZA HILI JANGA MAANA LASHINDA LA UKIMWI.
Allah akubarik nyote katika juhudi zako
Raisi wa zanzibar simamia balaa hili...
Allah atakufanyia wepesi mama yetu utashinda biidhini Llah
towemi namba za simu ili wananchi wasaidie shukran
Subhanaallah. Allah atakusimamia. Halitampata mja ila lile aliloandikiwa.
Wazanzibar yenyewe hawana mashirikiano Kwa sababu wao ndio Wahusika Wakubwa hawayakemei haya Mambo Kwa sababu wanawaharibu watoto wa wenzio wao wanawafungia ndani wakumbuke Iko siku na wao yatawafika Viongozi wakubwa hawakemei haya kwa sababu wao ndio wanaofanya haya Mambo ya Kulawiti
Tunamuomba Allah akulinde na Watu waovu na akupe umri mrefu na Afya ili uundeleze mapambano.
Hiyo mama kwelii kunahata viongozi wanajificha lakini wanaharibu watoto wawatu tena wanaichafuwa znz wachache
Msaada wa mungu unatosha nna imani Allah yupo na wew mamangu
لحول ولا قوة الا بالله العلي العظيم
Shukran bi Amina kwa neno lako la mwisho je Kuna dhambi ambayo haiewezi kuachika? Kwa nini mvuta unga anaacha?
Ni kweli ni vitu vinavyoumiza,Mungu atuepushe na shari za hao watu. Lakini bora watajwe hadharani wajulikane kwani wao ni maadui wakubwa na laana. Za Mungu ziwe juu yaol
Bi Amina Allah akulinde na Kila Shari vitimbi vya watu hawa
Fi mizan hasanatish habibti jazaka Allah kheir
MashaALLAH mama
Watajeni tu hao wanaowatumia na hao wafadhili
Mama yuko sahihi wamarekeni hufadhili nakisaport ushoga😭😭😭😭😭😭
Mungu atatufanyia wepesi
My mm الله akuhifadhi hapa na kesho akhera.
MUNGU akulinde
Hiyo nikwelii mkuu ayubu yupo makini sana nikiongozi shupavu
Allahu Bariki🤝
ALLAH akupe nguvu teacher
Hawa viongozi wetu tulionao wanafkiri wao hayawahusu, kazi zao kulinda ccm tu
Allah atakuopa nsaada kwazazi chako. Allah akuhifadhi na màadui
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Amin
Naomba namba yako Bi Amina
Mama nimekusikiliza leo sijawahi kukusikiliza. Umenifungua akili na ume ni 😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Naumia my mama.
Jaman jaman jaman
Allah akulinde na kila shari watoto wako
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Amin
Mpo shahid mbele ya ALLAH mumetimiza wajibu wenu
Kwakweli unyama huu serikali inahusika kwa asilimia miamoja kuendelea kuimarika hapa Zanzibar na kutuharibia watoto wetu. Ila viongozi nyamazieni maovu siku ya Qiyama mtakwenda jibu nini sijuwi?
Allah akuhifadhi na akupe nguvu na akulipe kheri nyingi kutokana na juhudi unazofanya mama yetu. Ni vita vigumu ulivyoamua kupambana ila kwa Allah hakuna linaloshindikana na malipo yanayoridhisha yatatoka kwa Allah. Ila inaonekana mama anahitaji msaada wa kukamilisha ujenzi wa kituo na mambo mengine, hivyo ni vyema ndugu mtangazaji ungemuuliza mama kwa anayetaka kuchangia japo kidogo ili ukufanikisha ujenz wa kituo hicho atumie njia gani kufikisha mchango wake.
@hawasalumu1374
Жыл бұрын
Mungu anatosha anakupa msaada achana na binaadamu
Apewe ulinzi huyu mama
ZANZIBER USHENZI NI MWINGI KULIKO HATA BARA.
Hao wadhalalishaji dawa ni kuuliwa tu tena mbele ya hadhara ya watu baada ya salaa ya ijumaa hio ndio ita kuwa dawa yao
Kwa wale wasiofahamu suala hili lilifanyiwa kazi Sana na masheikh lakini mwisho wake ni kwenye vyOmbo vya habari kama ilivyo Kwa huyu mama ni huyu mh. Ayubu anajulikana juhudi zake je kwanini kaondoshwa ? Je haiwezekani kurejeshwa?
Waislam mmeacha jiha y upanga ndo maana yatupatayote haya
ALLAH AWALINDE KILA MMOJA ANAEPINGA TABIA ZA KIBARADHULI
Hao wanaoharb watoto wa watu wao pia wana watoto mbona hawana ubinadam kbsa tutwakata viungo vyao na kisu tuone wataringa vipi washenz sana hao
Ao viongozi wa Serikali baadhi ni mradi wao wanataka watu wote wawe mashoga. Ila mm nikiwa Rais Shoga adhabu yake itakua ni kifo.
Zanzibar njema Atakae Ajee Washakuja sasa.
Enyi wana nchi Uma wa kislamu Zanzibar Muko wapi MARIJALI Wa zanzibari Mume kuwa MADAA'YUUDHI wanawake wa kislamu Zanzibari ndio walizi wa Jami. Enyi wanaume wa Zanzibari Mcheni Mollah Wenu Walawiti Wangamizeni Mitahani Mwenu Hokoweni Vizazi Vyenu !
Mama muNgu akurinde
Wananch tuko na wewe bi Amina
Ila ushoga hauko mjini tu atakasikazin upo mfano kiwengwa nungwi ila uko pia nae kakaa kimya
Mungu tusaidie kwa kweli
@Awatee
Жыл бұрын
Amiin amiin amiin 🤲
@jarsjam8894
Жыл бұрын
Allah atakusaidia na atakuhifadhi na kila shari
@aimanshija4230
Жыл бұрын
@@jarsjam8894 allahumma amina,,kwa sote,,pia shukrani sana coz hata hunijui unaniombea dua nzur,, shukrani sana
Sasa tunasema serikali imrudishe mheshimiwa Ayubu mjini , haraka sana doctor mwingi haraka
Wanawake wezangu sisi ndio mama sisi ndio tunaokwenda leba tuzidishen Dua kwa mama etu huyu na watoto wetu Allah ampe nguvu
@asyakinega9945
Жыл бұрын
Aamin
Mama tulikuwa hatujuwi km unajenga kituo Inshaallah tutakuona
Laana Tullahi viongozi hao
Ndio maana rc ayub wakamuondoa mjini tunaomba kher