JE, UBARADHULI UNAFADHILIWA NA NANI ZANZIBAR?

Пікірлер: 141

  • @salwasalwa1795
    @salwasalwa1795 Жыл бұрын

    Wallah Allah pekee ndie atakaekulipa, nampenda sana huyu mama Allah akuhifadhi na kl baya

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    Mashaallah mwanamke wa shoka!!! Allah akupe afya na MMungu akuwezeshe kutetea hakh atawalani hao makhsifu wakubwa!!

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 Жыл бұрын

    Na nyie mashekh hamsemi kitu labda kuisifu serikali lkn uwovu kimnyaa hio makka ndogo ilikua ndio basi tena hairudi n'gooo maisha mpk viongozi wakubali km wanajukumu la kuirejesha znz hio makka ndogo.

  • @jojomohamed3418
    @jojomohamed34185 ай бұрын

    Allah akupe umri mrefu mama yangu uzidi kutupambania Zanzibar yetu🤲🙏

  • @salem9874
    @salem9874 Жыл бұрын

    Mashallah Mungu amlinde na kila baya Mama Bi Amina

  • @ruqayyaoman
    @ruqayyaoman Жыл бұрын

    Allah akulinde habibti akuhifadhi na akujaalie nguvu uendelee kutusaidia vizazi vyetu Allah yuko nanyie nyoote na duaa zetu ziko nanyie Kazi mnayoifanya Allah akupeni nuru duniani hadi makaburini mwenu hadi kesho akhera akunyanyueni darja ya juu juu juu zaid Muwe katika ulinzi wa Rahmaan Amin🤲♥️

  • @awesusaid102
    @awesusaid102 Жыл бұрын

    Hii si kazi ya masheikh peke Yao ni kazi ya Kila mtu mwenye akili

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Жыл бұрын

    Nungwi kama unaheshma yako huwezi kukaa hata dakika moja.mabaa yamejaa watu kwenda uchi.miziki ambapo vibali vinatolewa na haohao ambao mnawasifia

  • @1964AliK
    @1964AliK Жыл бұрын

    Ni kweli tunakupenda sana. Allah akupe nguvu za kila hali kupambana na ufisadi huu.

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Жыл бұрын

    Allah atakulipa mama yangu kwa unayotupigania wazanzibar wote tuiyogope dunia Mifano tumeiyona uturuky sekunder 45 nyumba zote ziko chini zulzilat

  • @ashamustafa7567
    @ashamustafa7567 Жыл бұрын

    Hakika Bi Amina NAMI Nakuombea kwa Mwenyezimungu akujalie Maisha Marefu na Afya njema uendee kuokoa watoto wetu, na kuokoa jamii katika kanga la ubaradhuli na Mwenyezimungu akuepushe na husda na yeyote anae kufikiria ubaya juu yako Mwenyezimungu amuangsmize yeye mama

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 Жыл бұрын

    Allah atakusaidia na atakuhifadhi maana unatetea haki

  • @saadeabass8005
    @saadeabass8005 Жыл бұрын

    Mungu azid kukupa nguv mamaa na tunamuomba Allah aturejeshee muheshimiwa Ayoub hapa Mjin aaamiiin

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Жыл бұрын

    Ant Amina ni mpambanaji sana usikate tamaa

  • @aliyissa9857
    @aliyissa98572 ай бұрын

    Mheshimiwa Bi. Amina jazaakallah kher. Nakuomba ufungue group yakupinga ushoga.

  • @5ffGg-uy7mf
    @5ffGg-uy7mf Жыл бұрын

    Sana sana sana sana tunakupenda sana.

  • @theroots2743
    @theroots2743 Жыл бұрын

    Ubaradhuli unafadhiliwa na viongozi wetU hapo nyumbani

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Жыл бұрын

    Wengi tunakuombea dua my mm. الله akupe mwisho mwema my mama.

  • @oii6zlaboshelby17
    @oii6zlaboshelby17 Жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu mama ila vita unayopambana nayo ni kubwa sana

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    Жыл бұрын

    Nikweli ila tatizo viongozi km alivosema serikali ikitaka lisiwepo halitokuwepo lkn wengine ndo hao viongozi wenyewe laanatullah ndo kazi zao hasa Mungu atunusuru na vizazi vyetu

  • @imamyahyayusuf

    @imamyahyayusuf

    Жыл бұрын

    Mama ALLAH akuhifadhi

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Жыл бұрын

    Mashekh muache kuvaa makanzu tuu hayo ndio mambo yakuyaongea kila mda tunawaomba mashekh, tutokomeze ushoga ushoga si mzuri kwadini zotee😭😭👥

  • @halimajuma2104

    @halimajuma2104

    Жыл бұрын

    Mama ALAAH akuhifadhi maana kitendo hicho ni miingoni mwa dhambi makubwa baya zaidi walio wengi wana haribiwa na watu wa karibu majumbani sasa tunaona na watoto mashuleni wanafanya vitendo hivyo

  • @alisaid5392
    @alisaid5392 Жыл бұрын

    Allah akulinde akutie nguvu.

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 Жыл бұрын

    Kwa kweli mama nakuombea MUNGU akulinde na akusaidie kufanikisha hivi MUNGU awe nawe kwa kila hatua

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 Жыл бұрын

    Shukran sana mwanaharakati Allah atakusaidia in shaa allah

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    hata mimi.nshawahi kumuona rc ayoub alivokua mjini Kazi hii allifatilia sana

  • @idrisamuhammed
    @idrisamuhammed Жыл бұрын

    Mwanaharakati nakupa hongera Kwa kujitolea, usichoke mama

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Жыл бұрын

    Ushoga ni deal la viongozi

  • @salmasalim3525
    @salmasalim3525 Жыл бұрын

    Allah akulipe InshaAllah na atupe tawfiiq na kutuweka mbali na mabalaa haya

  • @salumnassor6555
    @salumnassor6555 Жыл бұрын

    Masha Allah iko.wapi hio taasisi tuchangie Mama angu

  • @alitunu3086
    @alitunu3086 Жыл бұрын

    Allah akuhidhi mom

  • @AlawiyaMSaleh
    @AlawiyaMSaleh Жыл бұрын

    Nakupa hongera mama yangu. Hayo unayo yasema ya kweli. Zanzibar imekwisha wananchi hawajui haki zao.

  • @Mina.15
    @Mina.15 Жыл бұрын

    Parents need to educate their children.

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 Жыл бұрын

    Tunakuombea sana

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Жыл бұрын

    Mungu akulinde mama nakila shari hapo waovu wanakuchukia lakini mungu yupo nawewe

  • @kiri5807
    @kiri5807 Жыл бұрын

    Viongozi wa serekali ndio wanawafuga mabaradhuli ila Mungu anawaona jicho lake halifumbi na wajue komba akimaliza mwitu huja mwilini . Wasifikitiye wataharibu watoto wa masikini tu na mwisho na wao wataharibiwa pia .

  • @asyajumajuma8446
    @asyajumajuma8446 Жыл бұрын

    SubhanaAllah

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 Жыл бұрын

    Sub'hanna Allaah ...Allaah awaongoze kwa hili

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 Жыл бұрын

    Mashaallah.. Allah akuhifadhi, na maaduwi. Nataman tuwe pmj. Kuupiga ubaradhuli zanzibar.

  • @AminaAliHamad-fc8db

    @AminaAliHamad-fc8db

    Жыл бұрын

    Na mm pia

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 Жыл бұрын

    Ni kweli uyasemayo mm nakuunga mkono Mara lako Ayubu ni kiboko

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Жыл бұрын

    Allah atamlinda ishallAah na zanzibar itakuwa salama yaani haya mambo yanasikitisha sana tunamuomba Allah ajaalie muheshimiwa Ayup arejeshe mjini

  • @salmahalfani6307

    @salmahalfani6307

    Жыл бұрын

    In Sha Allah.

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    Жыл бұрын

    Amin

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Mimi nikimjua mtu anafanya ubaradhuli kiuhakika ajue nyumbayake haiko salama japo kwa petroli

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Жыл бұрын

    Unatimiza wajibu wako hakika Allah amekuleta duniani kwa ajiri yahilo na malipo yako ni meema na makubwa Allah anakujuwa

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Na wanawake tuwachunge watoto wetu endapo utagundua mapema mpeleke kwa bi Amina ,tumsaidie huyu mama kajitoa kwaajili yetu

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Жыл бұрын

    Allah akuepushe na fitina hii na nyengineo atujaliye kheir na baraka ss wazee na vizazi vyetu

  • @LaylaSeyf-jb3hp
    @LaylaSeyf-jb3hp Жыл бұрын

    Allah awangamize kila anaeingia katika hili

  • @ameryharoun7223
    @ameryharoun7223 Жыл бұрын

    Subhannallah viongoz w din mmelala sanaaa

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    Жыл бұрын

    Ni kweli viongozi wa Dini wamelala

  • @hajiharoub8125

    @hajiharoub8125

    Жыл бұрын

    Lazima walale maana had disemba vyuo vinafungwa

  • @fatimaalhabsii1728
    @fatimaalhabsii1728 Жыл бұрын

    Amiin

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    May Allah bless you Ameen...

  • @salimkassim6020
    @salimkassim6020 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi Mama Inshaa Allah akufanyie wepesi akuhifadhi na maadui akufanikishie malengo yako Amiin

  • @abdullakhalfan31
    @abdullakhalfan31 Жыл бұрын

    ALLAH ATAKUPA NGUVU NA BWANA MTUME YUKO PAMOJA NASI KATIKA KUTOKOMEZA HILI JANGA MAANA LASHINDA LA UKIMWI.

  • @zeyanahassan7808
    @zeyanahassan7808 Жыл бұрын

    Allah akubarik nyote katika juhudi zako

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    Raisi wa zanzibar simamia balaa hili...

  • @muniraalmusalmy8363
    @muniraalmusalmy8363 Жыл бұрын

    Allah atakufanyia wepesi mama yetu utashinda biidhini Llah

  • @rahimasaid6721
    @rahimasaid6721 Жыл бұрын

    towemi namba za simu ili wananchi wasaidie shukran

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын

    Subhanaallah. Allah atakusimamia. Halitampata mja ila lile aliloandikiwa.

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv5 ай бұрын

    Wazanzibar yenyewe hawana mashirikiano Kwa sababu wao ndio Wahusika Wakubwa hawayakemei haya Mambo Kwa sababu wanawaharibu watoto wa wenzio wao wanawafungia ndani wakumbuke Iko siku na wao yatawafika Viongozi wakubwa hawakemei haya kwa sababu wao ndio wanaofanya haya Mambo ya Kulawiti

  • @khalefabdallah3680
    @khalefabdallah3680 Жыл бұрын

    Tunamuomba Allah akulinde na Watu waovu na akupe umri mrefu na Afya ili uundeleze mapambano.

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Жыл бұрын

    Hiyo mama kwelii kunahata viongozi wanajificha lakini wanaharibu watoto wawatu tena wanaichafuwa znz wachache

  • @fat-hiyarashid4605
    @fat-hiyarashid4605 Жыл бұрын

    Msaada wa mungu unatosha nna imani Allah yupo na wew mamangu

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Жыл бұрын

    لحول ولا قوة الا بالله العلي العظيم

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y Жыл бұрын

    Shukran bi Amina kwa neno lako la mwisho je Kuna dhambi ambayo haiewezi kuachika? Kwa nini mvuta unga anaacha?

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 Жыл бұрын

    Ni kweli ni vitu vinavyoumiza,Mungu atuepushe na shari za hao watu. Lakini bora watajwe hadharani wajulikane kwani wao ni maadui wakubwa na laana. Za Mungu ziwe juu yaol

  • @saidkhamis8229
    @saidkhamis8229 Жыл бұрын

    Bi Amina Allah akulinde na Kila Shari vitimbi vya watu hawa

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Жыл бұрын

    Fi mizan hasanatish habibti jazaka Allah kheir

  • @omytifa6403
    @omytifa6403 Жыл бұрын

    MashaALLAH mama

  • @salma0000
    @salma0000 Жыл бұрын

    Watajeni tu hao wanaowatumia na hao wafadhili

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Жыл бұрын

    Mama yuko sahihi wamarekeni hufadhili nakisaport ushoga😭😭😭😭😭😭

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620 Жыл бұрын

    Mungu atatufanyia wepesi

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Жыл бұрын

    My mm الله akuhifadhi hapa na kesho akhera.

  • @chaleteubadi4530
    @chaleteubadi4530 Жыл бұрын

    MUNGU akulinde

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Жыл бұрын

    Hiyo nikwelii mkuu ayubu yupo makini sana nikiongozi shupavu

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын

    Allahu Bariki🤝

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh3964 Жыл бұрын

    ALLAH akupe nguvu teacher

  • @salma0000
    @salma0000 Жыл бұрын

    Hawa viongozi wetu tulionao wanafkiri wao hayawahusu, kazi zao kulinda ccm tu

  • @khadijamgambo9382
    @khadijamgambo9382 Жыл бұрын

    Allah atakuopa nsaada kwazazi chako. Allah akuhifadhi na màadui

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    Жыл бұрын

    Amin

  • @asyajumajuma8446
    @asyajumajuma8446 Жыл бұрын

    Naomba namba yako Bi Amina

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Жыл бұрын

    Mama nimekusikiliza leo sijawahi kukusikiliza. Umenifungua akili na ume ni 😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Naumia my mama.

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Жыл бұрын

    Jaman jaman jaman

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Жыл бұрын

    Allah akulinde na kila shari watoto wako

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    Жыл бұрын

    Amin

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Жыл бұрын

    Mpo shahid mbele ya ALLAH mumetimiza wajibu wenu

  • @omarally6819
    @omarally6819 Жыл бұрын

    Kwakweli unyama huu serikali inahusika kwa asilimia miamoja kuendelea kuimarika hapa Zanzibar na kutuharibia watoto wetu. Ila viongozi nyamazieni maovu siku ya Qiyama mtakwenda jibu nini sijuwi?

  • @makamekhamis871
    @makamekhamis871 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi na akupe nguvu na akulipe kheri nyingi kutokana na juhudi unazofanya mama yetu. Ni vita vigumu ulivyoamua kupambana ila kwa Allah hakuna linaloshindikana na malipo yanayoridhisha yatatoka kwa Allah. Ila inaonekana mama anahitaji msaada wa kukamilisha ujenzi wa kituo na mambo mengine, hivyo ni vyema ndugu mtangazaji ungemuuliza mama kwa anayetaka kuchangia japo kidogo ili ukufanikisha ujenz wa kituo hicho atumie njia gani kufikisha mchango wake.

  • @hawasalumu1374

    @hawasalumu1374

    Жыл бұрын

    Mungu anatosha anakupa msaada achana na binaadamu

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 Жыл бұрын

    Apewe ulinzi huyu mama

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Жыл бұрын

    ZANZIBER USHENZI NI MWINGI KULIKO HATA BARA.

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Жыл бұрын

    Hao wadhalalishaji dawa ni kuuliwa tu tena mbele ya hadhara ya watu baada ya salaa ya ijumaa hio ndio ita kuwa dawa yao

  • @awesusaid102
    @awesusaid102 Жыл бұрын

    Kwa wale wasiofahamu suala hili lilifanyiwa kazi Sana na masheikh lakini mwisho wake ni kwenye vyOmbo vya habari kama ilivyo Kwa huyu mama ni huyu mh. Ayubu anajulikana juhudi zake je kwanini kaondoshwa ? Je haiwezekani kurejeshwa?

  • @aboubakarmtanje9851
    @aboubakarmtanje9851 Жыл бұрын

    Waislam mmeacha jiha y upanga ndo maana yatupatayote haya

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 Жыл бұрын

    ALLAH AWALINDE KILA MMOJA ANAEPINGA TABIA ZA KIBARADHULI

  • @mustajany689
    @mustajany689 Жыл бұрын

    Hao wanaoharb watoto wa watu wao pia wana watoto mbona hawana ubinadam kbsa tutwakata viungo vyao na kisu tuone wataringa vipi washenz sana hao

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620 Жыл бұрын

    Ao viongozi wa Serikali baadhi ni mradi wao wanataka watu wote wawe mashoga. Ila mm nikiwa Rais Shoga adhabu yake itakua ni kifo.

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 Жыл бұрын

    Zanzibar njema Atakae Ajee Washakuja sasa.

  • @hassanajiruu5128
    @hassanajiruu5128 Жыл бұрын

    Enyi wana nchi Uma wa kislamu Zanzibar Muko wapi MARIJALI Wa zanzibari Mume kuwa MADAA'YUUDHI wanawake wa kislamu Zanzibari ndio walizi wa Jami. Enyi wanaume wa Zanzibari Mcheni Mollah Wenu Walawiti Wangamizeni Mitahani Mwenu Hokoweni Vizazi Vyenu !

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын

    Mama muNgu akurinde

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Wananch tuko na wewe bi Amina

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Жыл бұрын

    Ila ushoga hauko mjini tu atakasikazin upo mfano kiwengwa nungwi ila uko pia nae kakaa kimya

  • @aimanshija4230
    @aimanshija4230 Жыл бұрын

    Mungu tusaidie kwa kweli

  • @Awatee

    @Awatee

    Жыл бұрын

    Amiin amiin amiin 🤲

  • @jarsjam8894

    @jarsjam8894

    Жыл бұрын

    Allah atakusaidia na atakuhifadhi na kila shari

  • @aimanshija4230

    @aimanshija4230

    Жыл бұрын

    @@jarsjam8894 allahumma amina,,kwa sote,,pia shukrani sana coz hata hunijui unaniombea dua nzur,, shukrani sana

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Sasa tunasema serikali imrudishe mheshimiwa Ayubu mjini , haraka sana doctor mwingi haraka

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Жыл бұрын

    Wanawake wezangu sisi ndio mama sisi ndio tunaokwenda leba tuzidishen Dua kwa mama etu huyu na watoto wetu Allah ampe nguvu

  • @asyakinega9945

    @asyakinega9945

    Жыл бұрын

    Aamin

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Жыл бұрын

    Mama tulikuwa hatujuwi km unajenga kituo Inshaallah tutakuona

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Laana Tullahi viongozi hao

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 Жыл бұрын

    Ndio maana rc ayub wakamuondoa mjini tunaomba kher